1Pala kodia sas iek pachiv le Zhidovongi; ai O Jesus gelo ando Jerusalem.
1Baada ya hayo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, naye Yesu akaenda Yerusalemu.
2Ai ando Jerusalem sas pasha wudar le bakriango, sas iek balta paieske panshe wudarensa, ai akharenas la Zhidovisko Bethesda.
2Huko Yerusalemu, karibu na mlango uitwao Mlango wa Kondoo, kulikuwa na bwawa la maji liitwalo kwa Kiebrania Bethzatha, ambalo lilikuwa na baraza tano zenye matao.
3Andre sas but naswale kai beshenas tele, korhe, bange, ai paralitikuri azhukerenas te mishtil o pai.
3Humo barazani mlikuwa na wagonjwa wengi wamekaa: vipofu, viwete na waliopooza. Walikuwa wakingojea maji yatibuliwe,
4Ke ek angelo le Devlesko hulelas pe vriama ai mishtilas o pai; o pervo naswalo kai hulelas ando pai kana sas buntuime, sastiolas anda pesko naswalimos. Savestar godi sas.
4maana mara kwa mara malaika alishuka majini nyakati fulani na kuyatibua. Mtu yeyote aliyekuwa wa kwanza kuingia majini baada ya maji kutibuliwa, alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao.
5Kotse sas ek manush naswalo de trenda ai oxto bersh.
5Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.
6Kana O Jesus dikhlia les tele, ai zhanglia ke sas naswalo de dumult, phushlia les, "Kames te aves sasto?"
6Naye alipomwona huyo mtu amelala hapo, akatambua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu, akamwuliza, "Je, wataka kupona?"
7O naswalo manush phendia leske, "Gazda, nai khonik katse te shudel ma ando pai kana si buntuime; ai kana avav, aver hulel tele mai anglal mandar.
7Naye akajibu, "Mheshimiwa, mimi sina mtu wa kunipeleka majini wakati yanapotibuliwa. Kila nikijaribu kuingia, mtu mwingine hunitangulia."
8Jesus phendia leske, "Wushti, le cho than ai phir." Ai strazo kodo manush sastilo, wo lia pesko than ai phirdia.
8Yesu akamwambia, "Inuka, chukua mkeka wako utembee."
9Numa sa kodia diela kerdili Savatone.
9Mara huyo mtu akapona, akachukua mkeka wake, akatembea. Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato.
10Le Zhiduvuria phende le manusheske kai sastilo, "Adies si Savato, ai nai slobodo tuke te angeres cho than."
10Kwa hiyo baadhi ya Wayahudi wakamwambia huyo mtu aliyeponywa, "Leo ni Sabato, si halali kubeba mkeka wako."
11Wo phendia lenge, "O manush kai sastiardia ma, phendia mange, "Le cho than, ai phir."
11Lakini yeye akawaambia, "Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: Chukua mkeka wako, tembea."
12Antunchi phushle les, "Kon si o manush kai phendia tuke, te les cho than ai phires?"
12Nao wakamwuliza, "Huyo mtu aliyekwambia: Chukua mkeka wako, tembea, ni nani?"
13Numa o manush kai sastilo chi zhanelas o anav kodolesko kai sastiardia les, ke O Jesus gelotar ke sas but narodos ande kodo than.
13Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.
14Pala kodia, O Jesus arakhlia les ande tampla, ai phenel leske, Ashun! Sastilian anda cho naswalimos, na mai ker bezexa akana. Te na mai kerdiol tuke vari so mai nasul.
14Basi, baadaye Yesu alimkuta huyo aliyeponywa Hekaluni, akamwambia, "Sasa umepona; usitende dhambi tena, usije ukapatwa na jambo baya zaidi."
15Kodo manush gelotar, ai phendia le Zhidovonge ke O Jesus sastiardia les.
15Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya.
16Sa anda kodia le Zhiduvuria chinuisarde Jesus, ai rodenas te mudaren les, ke kerdia kodia o dies Savatone.
16Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu.
17Numa O Jesus phendia lenge, "Murho Dat kerel buchi sorho dies, ai vi me kerav bichi."
17Basi, Yesu akawaambia, "Baba yangu anafanya kazi daima, nami pia nafanya kazi."
18Pa kadala vorbi le Zhiduvuria rodenas mai but te mudaren les; na ferdi ke kerdia kodia Savatone, numa ke phendia ke O Del si lesko Dat, ai wo kerdilo iek fielo sar O Del.
18Kwa sababu ya maneno haya, viongozi wa Wayahudi walizidi kutafuta njia ya kumwua Yesu: si kwa kuwa aliivunja Sheria ya Sabato tu, bali pia kwa kuwa alisema kwamba Mungu ni Baba yake, na hivyo akajifanya sawa na Mungu.
19O Jesus phendia lenge, "Chachimasa, chachimasa, phenav tumenge, O Shav nashti kerel kanchi pestar, numa kerel so dikhel O Dat kerel; so godi kerel O Dat, vi O Shav kerel.
19Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, Mwana hawezi kufanya kitu peke yake; anaweza tu kufanya kile anachomwona Baba akikifanya. Maana kile anachofanya Baba, Mwana hukifanya vilevile.
20Ke O Dat drago le Shaves, ai sikavel leske so godi kerel. Ai O Dat sikavela leske mai bare buchi sar kadala. Chudina tume.
20Baba ampenda Mwana, na humwonyesha kila kitu anachokifanya yeye mwenyewe, tena atamwonyesha mambo makuu kuliko haya, nanyi mtastaajabu.
21Ke sar O Dat wushtiavel le mulen, ai del le o traio, saikfielo O Shav del o traio kodolen kai mangel wo.
21Kama vile Baba huwafufua wafu na kuwapa uzima, vivyo hivyo naye Mwana huwapa uzima wale anaopenda.
22O Dat chi kerel kris pe khanikaste, numa dia e putiera le Shaves te krisinil.
22Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli yote ya hukumu amemkabidhi Mwana,
23Kashte savorhe te luvudin le Shaves, sar luvudin le Dades. Kodo kai chi luvudil le Shaves, chi luvudil le Dades kai tradia les.
23ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba ambaye amemtuma.
24"Chachimasa, chachimasa, phenav tumenge, Kon godi kai ashunel murhi vorba, ai pachalpe ande kodo kai tradia ma, avela les o traio kai chi mai getolpe, ai chi avela pe leste kris; numa nakhlo anda merimos ai gelo ka traio kai chi mai getolpe.
24"Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.
25"Chachimasa, chachimasa, phenav tumenge, O chaso avela, ai vunzhe avili, kana le mule ashunena o glaso le Shavesko le Devlesko; ai kodola kai ashunena les traiina.
25Kweli nawaambieni, wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wafu wataisikia sauti ya Mwana wa Mungu, nao watakaoisikia, wataishi.
26Ke sar O Dat si les o traio ande peste, saikfielo wo kerdia peske Shaves te avel o traio ande peste.
26Kama vile Baba alivyo asili ya uhai, ndivyo pia alivyomjalia Mwanawe kuwa asili ya uhai.
27Ai dia peske Shaves e putiera te kerel e kris, ke wo si O Shav le Manushesko.
27Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.
28Na chudin tume ke o chaso avela, ke sa le mule kai si andel le greposhevuria ashunen lesko glaso.
28Msistaajabie jambo hili; maana wakati unakuja ambapo wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake,
29Ai anklena avri andal greposhevuria, kodola kai kerde mishto anklena avri te len o traio kai chi mai getolpe. Ai kodola kai kerde o nasulimos, wushtena te nakhen pe kris te zhan ando iado.
29nao watafufuka: wale waliotenda mema watafufuka na kuishi, na wale waliotenda maovu watafufuka na kuhukumiwa.
30"Nashti kerav kanchi anda mande. Sar ashunav, kerav kris pala so phenel mange O Del, ai murhi kris si vorta, ke chi rodav te kerav so mangav anda mande, numa ferdi so mangel te kerav kodo kai tradia ma.
30"Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma.
31Te mothava pa mande, so phenav nashti te avel chachimos.
31Nikijishuhudia mimi mwenyewe, ushahidi wangu hauwezi kukubaliwa kuwa wa kweli.
32Numa aver si kai phenel pa mande, ai me zhanav le vorbi kai wo mothol pa mande si o chachimos.
32Lakini yuko mwingine ambaye hutoa ushahidi juu yangu, nami najua kwamba yote anayosema juu yangu ni ya kweli.
33"Tume tradian marturia ka Iovano o baptisto, ai wo phendia tumenge o chachimos.
33Ninyi mlituma ujumbe kwa Yohane naye aliushuhudia ukweli.
34Man, chi trobul le vorbi katar le manushen te phenel ke vorta sim, numa phenav kadia, saxke te sai aven skepime.
34Si kwamba mimi nautegemea ushahidi wa wanadamu, lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa.
35O Iovano sas sar ek lampo kai phabolas ai sar e vediara kai strefialas; ai tume manglian te raduin tume xantsi vriama ande leski vediara.
35Yohane alikuwa kama taa iliyokuwa ikiwaka na kuangaza, nanyi mlikuwa tayari kufurahia mwanga huo kwa kitambo.
36Numa, man si man ek mai baro chachimos pa mande sar o Iovano, me kerav e buchi kai murho Dat dia ma te kerav, kodola bucha kai kerav sikaven pa mande ke O Dat tradia ma.
36Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye aliyenituma.
37Ai O Dat kai tradia ma, phenel vi wo pa mande. Tume shoxar chi ashundian lesko glaso, ai shoxar chi dikhlian lesko mui.
37Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake,
38Chi garaven leske vorbi ande tumende, ke chi pachan tume ande kodo kai tradia les.
38na ujumbe wake haukai ndani yenu maana hamkumwamini yule aliyemtuma.
39"Sichon o ramomos ande Vorba le Devleski, ke tume gindin kai arakhena ande late o traio kai chi mai getolpe.
39Ninyi huyachunguza Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata uzima wa milele; na kumbe maandiko hayohayo yananishuhudia!
40Ai o ramomos del duma pa mande! Ai tume chi aven mande, te avel tumen o traio.
40Hata hivyo, ninyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima.
41Chi rodav o luvudimos andal manush.
41"Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.
42Numa me zhanav tumen; ke nai dragostia le Devleski ande tumende.
42Lakini nawajua ninyi, najua kwamba upendo kwa Mungu haumo mioyoni mwenu.
43Avilem ando o anav murhe Dadesko, numa chi premisardian ma; numa te avela aver ande pesko anav, premisaren les.
43Mimi nimekuja kwa mamlaka ya Baba yangu, lakini hamnipokei; bali mtu mwingine akija kwa mamlaka yake mwenyewe, mtampokea.
44Drago tumenge te aven luvudime iek avrestar, numa chi roden o luvudimos te avel ferdi katar O Del; sar sai pachan tume?
44Mwawezaje kuamini, hali ninyi mnapenda kupokea sifa kutoka kwenu ninyi wenyewe, wala hamtafuti sifa kutoka kwake yeye aliye peke yake Mungu?
45Na gindin ke dosharava tumen ka murho Dat. Si ek kai dosharela tumen, kodo si o Moses kai thodian tumaro pachamos ande leste.
45Msifikiri kwamba mimi nitawashtaki kwa Baba. Mose ambaye ninyi mmemtumainia ndiye atakayewashtaki.
46Te pachaianas tume chaches ando Moses, pachadian vi ande mande; ke wo ramosardia pa mande.
46Kama kweli mngemwamini Mose, mngeniamini na mimi pia; maana Mose aliandika juu yangu.
47Numa te chi pachana tume so ramosardian, sar sai pachan murhe vorbi?"
47Lakini hamuyaamini yale aliyoandika, mtawezaje basi, kuamini maneno yangu?"