1Andek dies Savatone, O Jesus gelo ando kher ieke baresko le Farizeanonge te xal manrho po Sabato, ai kotse le manush lenas sama pe leste.
1Siku moja ya Sabato, Yesu alikwenda kula chakula nyumbani kwa mmoja wa viongozi wa Mafarisayo; watu waliokuwapo hapo wakawa wanamchunguza.
2Eta, ek manush kai o naswalimos kai sas les kerelas les te shuvliol, sas thodino angla Jesus.
2Mbele yake Yesu palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba mwili.
3O Jesus mothol le ablakatonge ai le Farizeanonge, phenelas, "Si slobodo vai nichi te sastiarel pe Savatone?"
3Yesu akawauliza walimu wa Sheria na Mafarisayo, "Je, ni halali au la kumponya mtu siku ya sabato?"
4Khonik chi phendia kanch. Antunchi O Jesus lunzhardia pesko vas pe kado manush ai sastiardia les, ai meklia les te zhaltar.
4Lakini wao wakakaa kimya. Yesu akamshika huyo mgonjwa, akamponya, akamwacha aende zake.
5Ai porme phendia lenge, "Savo anda tumende kai si les ek magari vai ek gurumli kai perela ande xaiin, chi skepila les strazo vi Savatone?"
5Halafu akawaambia, "Ni nani kati yenu ambaye mtoto wake au ng'ombe wake akitumbukia shimoni, hangemtoa hata kama ni siku ya Sabato?"
6Ai khonik nashtisardia te del les atweto pa so phushlia le.
6Nao hawakuweza kumjibu swali hilo.
7Ai phendia ek paramichi le manushenge kai sas akharde, ke dikhelas kai rodenas le thana le anglune, phenelas,
7Yesu aliona jinsi wale walioalikwa walivyokuwa wanajichagulia nafasi za heshima, akawaambia mfano:
8"Kana avesa akhardo vari kastar ka ek abiav, na tho tu ke pervo skamin, ke vari kon kai si mai baro tutar sai avela kai sas akhardo.
8"Kama mtu akikualika arusini, usiketi mahali pa heshima isije ikawa amealikwa mwingine mheshimiwa kuliko wewe;
9Ai kodo kai akhardia tu ai wo ka abiav, avel te mothol tuke, "Me kotsan kakale manusheske;" No antunchi avela tuke mai lazhav te zhas te beshes mai palpale.
9na mwenyeji wenu ninyi wawili atakuja na kukwambia: Mwachie huyu nafasi. Hapo utaaibika mbele ya wote na kulazimika kwenda kuchukua nafasi ya mwisho.
10Numa kana avesa akhardo, zha tho tu po skamin kai si ta palpale, kashke kodo kai akhardia tu avel ai mothol tuke, "Murho vortako, aida mai opre." No antunchi avela tuke mai pachiv angla kodola kai si kai e skafidi tusa.
10Bali ukialikwa kwenye karamu, keti mahali pa mwisho, ili mwenyeji wako atakapokuja akwambie: Rafiki, njoo hapa mbele, mahali pazuri zaidi. Hapo utakuwa umeheshimika mbele ya wote wanaoketi pamoja nawe.
11Ke kon godi vazdelpe avela meklo tele; ai kon godi mekelape tele avela vazdino opre."
11Kwa maana yeyote anayejikweza atashushwa, na anayejishusha, atakwezwa."
12Porme O Jesus phendia kodoleske kai akhardia les, "Kon des xabe mashkar o dies vai telairiat, na akhar che vortakon, vai che phralen, vai che naiamon, vai chi kodolen kai beshen pasha tute le barvalen; ke akharen tu vi von, ai pochinena tuke so kerdian tu lenge.
12Halafu akamwambia na yule aliyemwalika, "Kama ukiwaandalia watu karamu mchana au jioni, usiwaalike rafiki zako au jamaa zako au jirani zako walio matajiri, wasije nao wakakualika nawe ukawa umelipwa kile ulichowatendea.
13Numa kana keres pachiv, akhar le choren, le bange, kodola kai nashti phiren, ai le korhen:
13Badala yake, unapofanya karamu, waalike maskini, vilema viwete na vipofu,
14Ai avela tuke raduimos, ke won nashtina te keren tuke so kerdian tu lenge; numa avela tuke pochindo katar O Del kana le manush le Devlakane wushtena andai martia."
14nawe utakuwa umepata baraka, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa. Maana Mungu atakupa tuzo lako wakati watu wema watakapofufuka."
15Iek anda kodola kai sas kai skafidi kana ashundia kadala paramichi phendia leske, "Raduime kodo kai xala manrho ande amperetsia le Devleski."
15Mmoja wa wale waliokuwa wameketi pamoja na Yesu akasema, "Ana heri mtu yule atakayekula chakula katika Ufalme wa Mungu."
16O Jesus phendia leske, "Sas ek manush kai kerdia pachiv, ai akhardo but narodo.
16Yesu akamjibu, "Mtu mmoja alifanya karamu kubwa, akaalika watu wengi.
17Ai tradia peski sluga te akharel len kai sas akharde kai pachiv, "Aidi, ke akana sa gata!"
17Wakati wa karamu ulipofika alimtuma mtumishi wake awaambie walioalikwa, Njoni, kila kitu ni tayari.
18Numa savorhe phenen vari so ke chi mangle te aven. O pervo phendia leske, "Chindem ek kimpo, ai trobul te zhav ai dikhav les; iertisar ma."
18Lakini wote, kwa namna moja, wakaanza kuomba radhi. Wa kwanza akamwambia mtumishi: Nimenunua shamba, kwa hiyo sina budi kwenda kuliangalia; nakuomba uniwie radhi.
19Ai kaver phendia, "Chindem panzh zhute gurumlia, ai zhav te zumav le; iertisar ma."
19Mwingine akasema: Nimenunua ng'ombe jozi tano wa kulima; sasa nimo njiani kwenda kuwajaribu; nakuomba uniwie radhi.
20Ai kaver phendia, "Ansurisailem ek rhomni ai nashti avav."
20Na mwingine akasema: Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.
21Kodia sluga gelo palpale, ai phendia sa kadala dieli ka lesko xazhainona. O xazhainona le kheresko xolailo ai phendia ka lesko sluga, "Zhas strazo pel droma ai vi pel vulitsi, ai anel le chorhe, ai le bange, ai le korhen, ai le bangole."
21Mtumishi huyo akarudi na kumwarifu bwana wake jambo hilo. Yule mwenye nyumba alikasirika, akamwambia mtumishi wake: Nenda upesi kwenye barabara na vichochoro vya mji, uwalete hapa ndani maskini, viwete, vipofu na waliolemaa.
22Ai kodia sluga phendia, "Gazda, kerdem so phendian, ai si mai than inker."
22Baadaye, mtumishi huyo akasema: Bwana mambo yamefanyika kama ulivyoamuru, lakini bado iko nafasi.
23Ai o xazhainona phendia lesko sluga, "Zhas pel droma ai vurmi, ai akhares le kai pachiv, te avela pherdo murho kher.
23Yule bwana akamwambia mtumishi: Nenda katika barabara na vichochoro vya mji uwashurutishe watu kuingia ili nyumba yangu ijae.
24Numa phenav tuke, "Khonik anda sa kodolen kai sas akaharde zumavena murho xamaske!"
24Kwa maana, nawaambieni, hakuna hata mmoja wa wale walioalikwa atakayeonja karamu yangu."
25But narodo zhanas lesa. Amboldesailo, ai phendia lenge,
25Hapo, makundi mengi yakawa yanaandamana pamoja na Yesu. Basi, akawageukia akawaambia,
26"Te vari manush avel mande, ai chi gretsol lesko dat, ai leski dei, ai leski zhuvli, ai leske shave, ai leske phrala, ai leske pheia, e, ai vi lesko traio, wo nashti avela murho disiplo.
26"Mtu yeyote akija kwangu, asipowachukia baba na mama yake, mke wake, watoto, ndugu na dada zake, naam, hata na nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
27Ai kodo kai chi lel pesko trushul, ai avela pala mande, nashti avela murho disiplo."
27Mtu asipochukua msalaba wake na kunifuata hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
28"Savo anda tumende, kai mangel te vazdel kher, chi rodel mai anglal, sode si te arasel leske, ai te si les dosta te getol?
28Kwa maana, ni nani miongoni mwenu ambaye akitaka kujenga mnara hataketi kwanza akadirie gharama zake ili ajue kama ana kiasi cha kutosha cha kumalizia?
29Daratar te lelape te kerel e buchi, nashti getola, ai savo godi dikhena pe leste asana lestar.
29La sivyo, baada ya kuweka msingi na kushindwa kumaliza, watu watamcheka
30Ai phenena, "Kado manush liape te kerel kher ai nashtisardia te getol les."
30wakisema: Mtu huyu alianza kujenga, lakini hakumalizia.
31"Vai savo amperato, zhala te kerel marimos kolaver amperatosa? Chi aterdiola mai anglal te lel sama te dashtila desh mie manushensa, sai zhal te marelpe pe kuko kai avel pe leste bish mie manushensa?
31"Au, ni mfalme gani ambaye, akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine, hataketi kwanza chini na kufikiri kama ataweza, kwa askari wake elfu ishirini?
32Te na dashtila, wo tradela le manushen ka kolaver amperato kai si dur lestar, te mangel lestar e pacha.
32Kama anaona hataweza, atawatuma wajumbe kutaka masharti ya amani wakati mfalme huyo mwingine angali mbali.
33Anda kodia, zhido iek anda tumende te na mukhela sa so godi si les, nashti avel murho disiplo.
33Vivyo hivyo, basi, hakuna hata mmoja wenu atakayekuwa mwanafunzi wangu kama asipoachilia kila kitu alicho nacho.
34"O lon si lasho, numa o lon te xasarela pesko skusno, sar kerena anda leste pale londo?
34"Chumvi ni nzuri; lakini ikipoteza ladha yake, itakolezwa na nini?
35Chi avela lasho chi la phuviake, ai chi le gunoieske, shuda les avri. Savo kai si le khan te ashunel, ashunel!"
35Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Sikieni basi, kama mna masikio!"