Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Luke

2

1Ande kodia vriama iek baro manush kai busholas Ceasar Augustus dia ordina te dikhen sode narodo sas ando them.
1Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari Augusto kuwataka watu wote chini ya utawala wake wajiandikishe.
2Kana jinde le narodos e pervo data kana inker aver manush kai busholas Cyrenius sas baro pe them kai busholas Syria.
2Kuandikishwa huku kulikuwa mara ya kwanza, wakati Kirenio alipokuwa mkuu wa mkoa wa Siria.
3Savorhe gele te ramonpe ando foro kai kerdiol.
3Basi, wote waliohusika walikwenda kujiandikisha, kila mtu katika mji wake.
4O Josef gelotar anda kado foro Nazareth kai sas ande Galilee te zhal ande Judea, andek foro kai busholas Bethlehem, kai kerdilo o amperato David. Ke wo sas andai vitsa le Davidoski.
4Yosefu pia alifanya safari kutoka mjini Nazareti mkoani Galilaya. Kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa Daudi alikwenda mjini Bethlehemu mkoani Yuda alikozaliwa Mfalme Daudi.
5Gelo vi wo te ramol pe la Mariasa, kodia kai sas tomnime pala leste.
5Alikwenda kujiandikisha pamoja na mchumba wake Maria ambaye alikuwa mja mzito.
6Woi azhukerelas iek glata, kana sas ando Bethlehem e vriama avili kai o shav trobulas te kerdiol.
6Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia,
7O Shav kerdilo, o pervo andai lake glate, pachardia les andel poxtan ai thodia les ande liagano pel suluma ke nas than lenge ando hotelo.
7akajifungua mtoto wake wa kwanza wa kiume, akamvika nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.
8Ande kodo foro sas pastuxuria kai nakhavenas e riat pel kimpuria te garaven le bakriorhan.
8Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.
9Ek angelo le Devlesko sikadilo lenge, ai o barimos le Devlesko strefial pe lende: ai won daraile,
9Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukawaangazia pande zote. Wakaogopa sana.
10Numa o angelo phendia lenge, "Na daran! Ke me anav tumenge ek lashi viasta, kai raduila zurales sa le narodos.
10Malaika akawaambia, "Msiogope! Nimewaleteeni habari njema ya furaha kuu kwa watu wote.
11Kadia dies ando foro le Davidosko ek skepitori kerdilo, wo si o Kristo le Devles.
11Kwa maana, leo hii katika mji wa Daudi, amezaliwa Mwokozi kwa ajili yenu, ndiye Kristo Bwana.
12Sar te prinzharen les arakhena iek tsinorho kai si pachardo andel poxtan ai ande liagano."
12Na hiki kitakuwa kitambulisho kwenu: mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelazwa horini."
13Strazo angelosa but aver angeluria anda cheri luvudinas le Devles ai mothonas,
13Mara kundi kubwa la jeshi la mbinguni likajiunga na huyo malaika, wakamsifu Mungu wakisema:
14"O barimos ka Del ke si ando rhaio, ai leski pacha dinila pe phuv kal manush kai si leske drago!"
14"Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu aliopendezwa nao!"
15Kana le angeluria geletar katar le pastuxuria te zhantar ando rhaio, le pastuxuria denas pe duma mashkar pende, "Aven ando Bethlehem ke trobul te dikhas so si so O Del phendia amenge."
15Baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: "Twendeni moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha."
16Grebisaile te zhan ai kotse arakhle la Maria ai Josefos, ai dikhle o tsinorho kai sas ande liagano.
16Basi, wakaenda mbio, wakamkuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga amelazwa horini.
17Kana dikhle les phende so phendiasas lenge o angelo pai glata.
17Hao wachungaji walipomwona mtoto huyo wakawajulisha wote habari waliyokuwa wamesikia juu yake.
18Savorhe kai ashunde le pastuxuria chudisaile so phendesas lenge.
18Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.
19Numa e Maria garavelas kodola dieli ande peske goji ai delas pe goji ande peste.
19Lakini Maria aliyaweka na kuyatafakari mambo hayo yote moyoni mwake.
20Porme le pastuxria geletar palpale khere, jilabenas pa drom o barimos le Devlesko ai naisinas leske anda so ashunde ai dikhle; ke swako diela kerdili sar o angelo phendiasas lenge.
20Wale wachungaji walirudi makwao huku wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa yote waliyokuwa wamesikia na kuona; yote yalikuwa kama walivyokuwa wameambiwa.
21Ek kurko pala kodia, kana e vriama avili te shinen lesko boriko, ai dine les o anav kai si Jesus, o anav kai phendiasas lenge o angelo te thon leske mai anglal sar te avel e Maria phari.
21Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.
22Porme e vriama avili le Josefoske ai la Mariake te keren so o zakono le Mosesoske sas te vuzharenpe, antunchi andine o tsinorho ando foro kai si ando Jerusalem te sikaven o tsinorho ka Del.
22Siku zilipotimia za Yosefu na Maria kutakaswa kama walivyotakiwa na Sheria ya Mose, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye Yerusalemu ili wamweke mbele ya Bwana.
23Ke ramome ando zakono le Devlesko, swako mursh glata o pervo kai kerdilo avela thodino rigate le Devlesko."
23Katika Sheria ya Bwana imeandikwa: "Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume atawekwa wakfu kwa Bwana."
24Ai mai kerde vari so kai o zakono le Devlesko mangelas te den dui terne golumburia. (Turtledoves vai pigeons)
24Pia walikwenda ili watoe sadaka: hua wawili au makinda wawili ya njiwa, kama ilivyotakiwa katika Sheria ya Bwana.
25Sas ando Jerusalem iek manush kai busholas Simeon. Kodo manush lasho sas ai respektilas le Devles, ai azhukerelas pala e vriama kana le Zhiduvuria avena skepime, ai O Swunto Duxo sas lesa.
25Wakati huo huko Yerusalemu kulikuwa na mtu mmoja, mwema na mcha Mungu, jina lake Simeoni. Yeye alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi wa Israeli. Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye.
26Ai O Swunto Duxo phendia leske ke chi merela mai anglal sar te dikhel le skepitores kai si tradino katar O Del.
26Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Masiha wa Bwana.
27O Swunto Duxo sikavelas leske kai te zhal, o Simeon gelo ande tampla. O dat ai e dei le Kristoske andine pengo Shav O Jesus ande tamplo te keren so mangelas o zakono.
27Basi, akiongozwa na Roho Mtakatifu, Simeoni aliingia Hekaluni; na wazazi wa Yesu walipomleta Hekaluni mtoto wao ili wamfanyie kama ilivyotakiwa na Sheria,
28O Simeon lia le Kristos ande peske vas ai naisilas le Devles, ai motholas:
28Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu na kusema:
29"Devla, akana so phendian kerdilia, ai sai mekes man te merav pachasa.
29"Sasa Bwana, umetimiza ahadi yako, waweza kumruhusu mtumishi wako aende kwa amani.
30Ke dikhlem murhe iakhensa cho skepimos, kai dian ka sa le thema:
30Maana kwa macho yangu nimeuona wokovu utokao kwako,
32Vediara te sikavel sa le themenge kai si ande lumia, ai dela barimos ande Israel kai si cho narodo."
31ambao umeutayarisha mbele ya watu wote:
33O dat ai e dei le Kristoske chudisaile so motholas o Simeon pa Jesus.
32Mwanga utakaowaangazia watu wa mataifa, na utukufu kwa watu wako Israeli."
34O Simeon swuntsosardia le ai phendia la Mariake e dei le Kristoski, O Del alosardia kadala glata te pherel ai te vazdel buten kai si ande Israel. Wo avela katar O Del kai le manush chi mangena.
33Baba na mama yake Yesu walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.
35Ai kadia sikavela le ginduria kai si garade ando lengo ilo. Numa tu zhuvlio, e dukh dukhavela cho duxo sar ek sabia."
34Simeoni akawabariki, akamwambia Maria mama yake, "Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli. Naye atakuwa ishara itakayopingwa na watu;
36Sas ek profeti, Anna busholas, woi sas e shei le manusheske kai busholas Phanuel, ande vitsa kodolenge kai bushon Asher. Phuri sas, traiisardiasas efta bersh le manushesa kai ansurisailisas lesa kana sas terni.
35na hivyo mawazo ya watu wengi yataonekana wazi. Nawe mwenyewe, uchungu ulio kama upanga mkali utauchoma moyo wako."
37Ai akana kai si phivli areslisas kal bersh kai sas oxtovardesh tai shtar bersh. Chi zhalastar anda tampla, numa podailas le Devles e diese ai e riate chi xalas ai rhugilaspe.
36Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa.
38Ande kodia momento aresli ai naisilas le Devles, ai delas duma pai glata sa kodolenge kai azhukerenas te skepil O Del o Jerusalem.
37Halafu alibaki mjane hadi wakati huo akiwa mzee wa miaka themanini na minne. Wakati huo wote alikaa Hekaluni akifunga na kusali usiku na mchana.
39kana kerde so godi mangelas o zakono le Devlesko geletar palpale ande Galilee, ande pengo foro kai bushol Nazareth.
38Saa hiyohiyo alijitokeza mbele, akamshukuru Mungu, na akaeleza habari za huyo mtoto kwa watu wote waliokuwa wanatazamia ukombozi wa Yerusalemu.
40O tsinorho bariolas, ai zuriavolas ando duxo; ai gojaver sas e goji, ai o mishtimos le Devlesko sas po leste.
39Hao wazazi walipokwisha fanya yote yaliyoamriwa na Sheria ya Bwana, walirudi makwao Nazareti, mkoani Galilaya.
41Swako bersh o dat ai e dei le Kristoske zhanas ando Jerusalem pala O Dies O Baro le Zhidovongo.
40Mtoto akakua, akazidi kupata nguvu, akajaa hekima, na neema ya Mungu ilikuwa pamoja naye.
42Kana O Jesus pherdilo desh u do bershengo gele te xan O Baro Dies le Zhidovongo sar keren swako bersh.
41Wazazi wa Yesu walikuwa na desturi ya kwenda Yerusalemu kila mwaka wakati wa sikukuu ya Pasaka.
43Kana getosaile le diesa kana xanas O Baro Dies le Zhidovongo geletar, numa O Jesus beshlo ande Jerusalem, ai lesko dat ai leski dei chi zhanenas.
42Mtoto alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, wote walikwenda kwenye sikukuu hiyo kama ilivyokuwa desturi.
44Won gindinas ke O Jesus sas penge vortakonsa kai zhanas pa drom, phirde iek dies, porme rodenas les ka penge naimuria ai ka penge vortacha.
43Baada ya sikukuu, walianza safari ya kurudi makwao, lakini Yesu alibaki Yerusalemu bila wazazi wake kuwa na habari.
45Numa chi arakhle les, pale gele ande Jerusalem te roden les.
44Walidhani alikuwa pamoja na kundi la wasafiri, wakaenda mwendo wa kutwa, halafu wakaanza kumtafuta miongoni mwa jamaa na marafiki.
46O trito dies arakhel les ande tampla, beshelas tele mashkar le Zhiduvuria kai sicharenas o zakono le Devlesko, O Jesus ashunelas lende ai phushelas le vari so.
45Kwa kuwa hawakumwona, walirudi Yerusalemu wakimtafuta.
47Ai sa kai ashunde les chudinaspe che gojaver sas ai sar delas le atweto.
46Siku ya tatu walimkuta Hekaluni kati ya walimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
48Lesko dat ai leski dei chudisaile zurales kana dikhle les. Leski dei phendia leske, "Murho shav, sostar kerdian kadia? Cho dat ai me nekezhisas ai rodasas tu."
47Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.
49Ai wo dia le atweto, "Sostar roden ma? Pate tume chi zhanen ke trobul te avav ando kher murho Dadesko?"
48Wazazi wake walipomwona walishangaa. Maria, mama yake, akamwuliza, "Mwanangu, kwa nini umetutenda hivyo? Baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa huzuni."
50Numa won chi haliarde so motholas lenge.
49Yeye akawajibu, "Kwa nini mlinitafuta? Hamkujua kwamba inanipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?"
51Porme O Jesus gelotar palpale lensa ande Nazareth, ai pachalas lenge mui, leski dei garavelas sa le vorbi ande pesko ilo.
50Lakini wazazi wake hawakuelewa maana ya maneno aliyowaambia.
52O Jesus bariolas ande pesko stato ai vi leski goji, ai bariolas ande dragostia le Devleski ai le manushengi.
51Basi, akarudi pamoja nao hadi Nazareti, akawa anawatii. Mama yake akaweka mambo hayo yote moyoni mwake.
52Naye Yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na Mungu na watu.