1Kana pashilo karing Jerusalem, aresle ando Bethphage ai Bethani, karing o plai le maslinengo, O Jesus tradia dui anda leske disiplon
1Walipokuwa wanakaribia Yerusalemu walifika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni. Hapo aliwatuma wawili wa wanafunzi wake,
2ai phendia lenge, "Zhan ando gav mai angle, ai kana aresena, akharena ieke magares phanglo kai shoxar chi iek manush beshlo opral; phutren les, ai anen les.
2akawaambia, "Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia humo, mtakuta mwana punda amefungwa ambaye bado hajatumiwa na mtu. Mfungueni mkamlete.
3Te phenela tumen vari kon, "Sostar keren kadia? Phenen leske, "Trobul le Devles; ai strazo si te tradel les."
3Kama mtu akiwauliza, Mbona mnafanya hivyo? Mwambieni, Bwana anamhitaji na atamrudisha hapa mara."
4Le dui disipluria geletar, ai arakhle ieke magares kai sas phanglo pasha o wudar kai le dui droma avile andek than: ai phutrenas le.
4Basi, wakaenda, wakamkuta mwana punda barabarani amefungwa mlangoni. Walipokuwa wakimfungua,
5Le manush phushle, "Sostar phutren le magares?"
5baadhi ya watu waliokuwa wamesimama hapo wakawauliza "Kwa nini mnamfungua huyo mwana punda?"
6Le disipluria phende lenge so phendia lenge O Jesus, "Ke trobul le Devles." Ai le manush mekle le te zhan.
6Wanafunzi wakajibu kama Yesu alivyokuwa amewaambia; nao wakawaacha waende zao.
7Angerde le magares ka Jesus, ai thode penge gada pe leste, ai O Jesus beshlo opral le magares.
7Wakampelekea Yesu huyo mwana punda. Wakatandika mavazi yao juu ya huyo mwana punda, na Yesu akaketi juu yake.
8But anda narodo shudenas penge raxamia po drom angla leste, kaver shinde patria pai le khash, ai thode le po drom angla leste.
8Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani; wengine wakatandaza matawi ya miti waliyoyakata mashambani.
9Le manush kai zhanas anglal angla leste, ai kodola kai avenas palal pala leste, tsipinas, Hosana! Raduime kodo kai aven ando anav le Devlesko:
9Watu wote waliotangulia na wale waliofuata wakapaaza sauti zao wakisema, "Hosana! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana!
10Raduime si e amperetsia amari dadeski o David, kai avel ando anav le Devlesko: "Hosana zhi ando rhaio!"
10Ubarikiwe Ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni!"
11Ai O Jesus areslo ando Jerusalem, ai gelo ande tampla, wo dikhlia pe sa le dieli, antunchi O Jesus ai le desh u dui disipluria gele ande Bethani ke pozno sas.
11Yesu aliingia mjini Yerusalemu akaenda moja kwa moja mpaka Hekaluni, akatazama kila kitu kwa makini. Lakini kwa vile ilikwisha kuwa jioni, akaenda Bethania pamoja na wale kumi na wawili.
12Pe terharin diminiatsi, sar avenas anda Bethani, O Jesus bokhailo;
12Kesho yake, walipokuwa wanatoka Bethania, Yesu aliona njaa.
13Pasha drom dur angla leste, O Jesus dikhlias ek pruing figengi kai sas la patria ferdi, gelo late te rodel fruti, ai arakhlias patria ferdi, ke e vriama le figengi nas inker.
13Basi, akaona kwa mbali mtini wenye majani mengi. Akauendea ili aone kama ulikuwa na tunda lolote. Alipoufikia, aliukuta bila tunda lolote ila majani matupu, kwa vile hayakuwa majira ya mtini kuzaa matunda.
14Antunchi O Jesus phendia la pruingake, "Chi iek manush xal fruti anda tute na mai." Ai leske disipluria ashunde kadala vorbi.
14Hapo akauambia mtini, "Tangu leo hata milele mtu yeyote asile matunda kwako." Nao wanafunzi wake walisikia maneno hayo.
15Ai won aresle ando Jerusalem: ai O Jesus avilo ande tampla le Devlesko, ai gonisardia sa kodolen kai bichinenas ai chinenas ande tampla, dia muial le skafidia kodolenge kai parhuvenas le love, ai le skamina kodolenge kai bichinenas le golumburia;
15Basi, wakafika Yerusalemu. Yesu akaingia Hekaluni, akaanza kuwafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu humo ndani. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilishana fedha na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.
16Ai chi meklia khonik te angerel vari phiria ande bar le tamploski.
16Hakumruhusu mtu yeyote kupitia Hekaluni akichukua kitu.
17Ai sicharelas le, phenel lenge, "Ramome, murho kher avela akhardo rhugimasko: ande sa le thema. Numa tume keren anda leste shtala chorengi."
17Kisha akawafundisha, "Imeandikwa: Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya mataifa yote! Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi!"
18Le Gramnoturia ai le bare rasha ashunde kadala vorbi, ai rodenas sar te mudaren les; daraile lestar, ke sa le manush chudisaile pa lesko sicharimos.
18Makuhani wakuu na walimu wa Sheria waliposikia hayo, walianza kutafuta njia ya kumwangamiza. Lakini walimwogopa kwa sababu umati wa watu ulishangazwa na mafundisho yake.
19Kana e telairiat avili, O Jesus ai leske disipluria gele avri anda foro.
19Ilipokuwa jioni, Yesu na wanafunzi wake waliondoka mjini.
20Pe terharin diminiatsi, sar nakhenas po drom, dikhle ek pruing figengi shuchili zhi kai vuni.
20Asubuhi na mapema, walipokuwa wanapita, waliuona ule mtini umenyauka wote, hata mizizi.
21Antunchi o Petri serelaspe so phendia O Jesus arachi, ai phendia ka Jesus, "Gazda, Dikh! E pruing le figengi ke tu dian armaia muli."
21Petro aliukumbuka, akamwambia Yesu, "Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani, umenyauka!"
22O Jesus phendia; lenge, "Si tume pachamos ando Del." Chachimasa, phenav tumenge,
22Yesu akawaambia, "Mwaminini Mungu.
23ke kon godi phenel plaiake, "Le tu katkar, ai av shudini ande maria"; ai te na avela les gindo ke chi kerdiol, numa pachal kai so phenel avela dino.
23Nawaambieni kweli, mtu akiuambia mlima huu: Ng'oka ukajitose baharini bila kuona shaka moyoni mwake, ila akaamini kwamba mambo yote anayosema yanafanyika, atafanyiwa jambo hilo.
24Pala kadia phenav tuke, "So godi manges, kana rhugis tu, pachas kai avela so manges an avela dino."
24Kwa hiyo nawaambieni, mnaposali na kuomba kitu, aminini kwamba mmekipokea, nanyi mtapewa.
25"Ai kana beshen ande punrhende te rhugin, te si tu vari so pe kanikaske; iertin, antunchi cho Dat ando rhaio iertil che bezexa.
25Mnaposimama kusali, sameheni kila mtu aliyewakosea chochote, ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu.
26Numa te na iertin le, cho Dat ando rhaio chi iertila che bezexa."
26Lakini msipowasamehe wengine, hata Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu."
27Ai avile palpale ando Jerusalem: ai sar O Jesus phirelas ande tamplo, le bare rasha, ai le Gramnoturia, ai le phure kai poronchinas avile leste,
27Basi, wakafika tena Yerusalemu. Yesu alipokuwa akitembea Hekaluni, makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee walimwendea,
28ai phenen leske, "Kon phendias tuke ke sai keres so tu keres, ai kon dias tu kadia putiera?"
28wakamwuliza, "Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani aliyekupa mamlaka ya kufanya mambo haya?"
29O Jesus phendia lenge, "Vi me akana phushav tumendar ek divano, ai phenen mange, antunchi me phenav tumenge katar che putiera kerav so kerav.
29Lakini Yesu akawaambia, "Nitawaulizeni swali moja; mkinijibu, na pia nitawaambieni ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya.
30O bolimos le Iovanosko katar sas, anda rhaio vai manushendar?" Phenen mange.
30Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni."
31Ai dinepe duma mashkar pende, ai phenenas, "Te phenasa anda rhaio si te phushel ame, "Sostar chi pachaian les?"
31Wakaanza kujadiliana, "Tukisema, Yalitoka mbinguni, atatuuliza, Basi, mbona hamkumsadiki?
32Numa te phenasa, manushendar. Dar katar le manush, ke savorhe ankeren le Iovanos profeto."
32Na tukisema, Yalitoka kwa watu..." (Waliogopa umati wa watu maana wote waliamini kwamba Yohane alikuwa kweli nabii.)
33Antunchi phende ka Jesus, "Chi zhanas." Ai wo phendia lenge, "Chi me, chi phenav tumenge katar che putiera so kerav."
33Basi, wakamjibu Yesu, "Sisi hatujui." Naye Yesu akawaambia, "Nami pia sitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani."