1Antunchi O Jesus sichardia len le paramichensa, "Sas iek gazda kheresko kai thodia te bariol ek rez, ai thodia ek zido kruglom latar, ai kerdia ai lashardias iek than te strangon o struguro, vazdias iek wucho than te len sama kotsar. Ai dias e rez ka rabocha rezaria (po wundilepe manushende) ai gelotar andek dur them.
1Yesu alianza kusema nao kwa mifano: "Mtu mmoja alilima shamba la mizabibu. Akalizungushia ukuta, na katikati yake akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga mnara pia. Akalikodisha shamba hilo kwa wakulima, akasafiri hadi nchi ya mbali.
2Kana pashili e vriama te chidenpe struguro, tradias ek sluga kal manush kai bariarenaspe leski rez, te len struguro kai avelas leske.
2Wakati wa mavuno, alimtuma mtumishi wake kwa wale wakulima akamletee sehemu ya mazao ya shamba lake.
3Ai astarde les, ai marde les, ai tradia les bi kanchesko.
3Wale wakulima wakamkamata, wakampiga, wakamrudisha mikono mitupu.
4Magdata tradias lende aver sluges; ai shude bax pe leste, ai dukhade lesko shero, ai chinuisarde les, ai tradias les.
4Akatuma tena mtumishi mwingine; huyu wakamuumiza kichwa na kumtendea vibaya.
5Magdata tradia aver sluges; ai mudarde les, ai tradias mai but, marde uni, ai mudarde uni.
5Mwenye shamba akatuma mtumishi mwingine tena, na huyo wakamuua. Wengine wengi waliotumwa, baadhi yao walipigwa, na wengi wakauawa.
6Ta ando gor sas les ieke shaves, kai sas leske de sa drago, ai wo tradia lende peske shaves, ai phenelas, "Si te preznain murhe shaves."
6Alibakiwa bado na mtu mmoja, yaani mwanawe mpendwa. Mwishowe akamtuma huyo akisema, Watamheshimu mwanangu.
7Numa le rezaria phende iek avreske, "O Shav le Manushesko kai bariarelaspe rez; Aven mudaras les, ai lias ame so si lesko."
7Lakini hao wakulima wakaambiana, Huyu ndiye mrithi, basi, tumuue ili urithi wake uwe wetu!
8Ai line les, ai mudarde les, ai gonisarde les avri andai rez.
8Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
9Kana o gazda le rezako avela, so kerela kodole manushenge? Avela ai mudarel kodole nasul manushen, ai dela e rez ka kaver.
9"Basi, mwenye shamba atafanya nini? Atakuja kuwaangamiza hao wakulima na kulikodisha hilo shamba la mizabibu kwa watu wengine.
10"Ai chi jindian ando ramomos? O bax kai le manush kai vazden o kher shude kerdilo o bax kai si sa e zor le kheresko.
10Je, hamjasoma Maandiko haya? Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi.
11O Del kerdias kadia, ai che mundro ande amare iakha!"
11Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu."
12Mangenas te thon o vas pe leste, numa daraile katar o narodo: ke won zhanenas kai wo dia duma iek paramichi pala lende, mekle les, ai geletar.
12Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee walifahamu ya kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu. Kwa hiyo walijaribu kumtia nguvuni, lakini waliogopa umati wa watu. Basi, wakamwacha wakaenda zao.
13Won trade leste uni andal Farizeanonge ai uni andal Herodianonge te astaren les ande lesko divano.
13Basi, baadhi ya Mafarisayo na wafuasi wa kikundi cha Herode walitumwa ili wamtege Yesu kwa maneno yake.
14Ai kana aresle, phenenas leske "Gazda, zhanas ke chachimasa san, bi te daras vari kastar, ke chi thos partia kanikaske, numa sikaves o chachimos pa Del si amenge slobodo vai nai, te pochinas taksa ka Caesar?"
14Wakamwendea, wakamwambia, "Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu unayesema ukweli mtupu, wala humjali mtu yeyote. Wala cheo cha mtu si kitu kwako, lakini wafundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu. Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la? Tulipe au tusilipe?"
15"Pochinasa vai chi pochinasa?" Numa O Jesus haliardias lenge nasul ginduria, ai phendias lenge, "Sostar tume zumaven ma? Sikaven mange le love, te sai dikhav les.
15Lakini Yesu alijua unafiki wao, akawaambia, "Mbona mnanijaribu? Nionyesheni sarafu."
16Ai andine leske iek pena. Ai O Jesus phendia lenge, "Kaski fatsa ai ramomos si kado?" Ai phenen leske, "O Caesar."
16Wakamwonyesha. Naye akawauliza, "Sura na chapa hii ni ya nani?" Wakamjibu, "Ni ya Kaisari."
17Antunchi O Jesus phendias lenge, "Den ka Caesar so si lesko, ai den ka Del so si le Devlesko." Kana ashunde, chudisaile.
17Basi, Yesu akawaambia, "Mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari na Mungu yaliyo yake Mungu." Wakashangazwa sana naye.
18Antunchi uni andal Saduseanonge avile ka Jesus, kai mothon ke nai traio pala e martia: ai phushle les, phenenas,
18Masadukayo wasemao kwamba hakuna ufufuo walimwendea Yesu, wakamwuliza,
19"Gazda, o Moses ramosardia amende, "Te merela vari kasko phral, ai sas ansurime, ai nas les glate, lesko phral trobul te lel leska rhomnia, ai te vazdel familia peske phraleske."
19"Mwalimu, Mose alituagiza hivi: Mtu akifa na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima amchukue huyo mama mjane amzalie watoto ndugu yake marehemu.
20Sar mashkar amende efta phral. O pervo ansurisailo, ai mulo, ai nas les glate.
20Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto.
21Ai o duito ansurisailo leska rhomniasa, ai mulo, ai nas les glate ai sakadia o trito.
21Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.
22Ai sakadia zhi ka o eftato, ai nas les glate: antunchi vi e zhuvli muli.
22Wote saba walikufa bila kuacha mtoto. Mwishowe yule mama mjane naye akafa.
23Kana avela te zhuvindin le mule te zhan ando rhaio saveski andal efta phral avela e rhomnia?"
23Basi, siku watu watakapofufuka, mama huyo atakuwa mke wa nani? Maana wote saba walikuwa wamemwoa."
24O Jesus phendia lenge, "Shubin tume zurales! Ke tume chi haliaren E Vorba le Devleski, ai chi e putiera le Devleski."
24Yesu akawaambia, "Ninyi mmekosea sana, kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu.
25Ke kana zhuvindin le mule te zhan ando rhaio, le mursh chi lena rhomnia, ai le zhuvlia chi lena rhom, numa aven sar le angeluria le Devleske kai si ando rhaio.
25Maana wafu watakapofufuka, hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika wa mbinguni.
26Numa anda kodia kai zhuvindin le mule te zhan ando rhaio, chi jindian ande klishka le Mosesoski, sar ande krenzha O Del phendia leske, phenelas, "Me sim O Del le Abramosko, ai O Del le Isakosko, ai O Del le Iakovosko?
26Lakini kuhusu kufufuliwa kwa wafu, je, hamjasoma kitabu cha Mose katika sehemu inayohusu kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto? Mungu alimwambia Mose, Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo.
27O Del nai O Del le mulengo, numa le zhuvindengo, shubin tume zurales."
27Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Ninyi mmekosea sana!"
28Ai iek andal Gramnoturia avilo, ai ashundia le Saduseanuria marenas mui pende, vo haliardia ke phandadias o mui le Saduseanonge, phushlia les, "Savo si o mai baro andal zakonuria?"
28Mmojawapo wa walimu wa Sheria alifika, akasikia mabishano yao. Alipoona kwamba Yesu aliwajibu vyema, akajitokeza akamwuliza, "Katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza?"
29Ai O Jesus phendia leske, "O pervo andal zakonuria si, Ashun, O Israel; O Del, amaro Del, si ferdi iek Del.
29Yesu akamjibu, "Ya kwanza ndiyo hii: Sikiliza, Israeli! Bwana Mungu wetu ndiye peke yake Bwana.
30Te avel tuke drago O Del sa che ilesa, sa che duxosa, ai sa che gojasa, ai sa che zorasa: kado si o pervo zakono.
30Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili yako yote na kwa nguvu zako zote.
31Ai o duito si saikfielo, te avel tuke drago le manush sode san tu tuke. Nai aver zakono o mai baro sar kadala."
31Na ya pili ndiyo hii: Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi."
32Ai o Gramnoto phendia leske, "Gazda, tu phendian o chachimos; ferdi iek Del si, ai nai aver, ferdi wo si.
32Basi, yule mwalimu wa Sheria akamwambia, "Vyema Mwalimu! Umesema kweli kwamba Mungu ni mmoja tu wala hakuna mwingine ila yeye.
33Ai te avel leske drago O Del sa peske ilesa, ai sa peske haliarimos, ai sa peske duxosa, ai sa peske zorasa, ai te avel leske drago le manush sar si les leske, mai mishto si te keren le dui zakonuria sar te thon zhegeni ai aver podarki po altari ande tampla pala e sakrifis."
33Na ni lazima mtu kumpenda Mungu kwa moyo wote, kwa akili yote, na kwa nguvu zote, na kumpenda jirani yake kama anavyojipenda mwenyewe. Jambo hili ni muhimu zaidi kuliko dhabihu na sadaka zote za kuteketezwa."
34Ai kana O Jesus zhanelas ke wo haliardia, phendia leske, "Tu san nai dur katar e amperetsia le Devleski. Pala kodia khonik chi tromalas te phushel lestar vari so.
34Yesu alipoona kwamba huyu mtu alimjibu kwa ujasiri, akamwambia, "Wewe huko mbali na Ufalme wa Mungu." Baada ya hayo, hakuna mtu aliyethubutu tena kumwuliza kitu.
35Kana O Jesus sicharelas ande tampla, phushlia le, "Sar sai phenen le Gramnoturia ke O Kristo si O Shav le Davidosko?
35Wakati Yesu alipokuwa akifundisha Hekaluni, aliuliza, "Mbona walimu wa Sheria wanasema ya kwamba Kristo ni mwana wa Daudi?
36O Swunto Duxo phendia ka David te phenel, "O gazda phendia murhe gazdaske, 'Besh ka murho chacho vas, zhi pon thav che duzhmanon tela che punrhe.'"
36Daudi mwenyewe akiongozwa na Roho Mtakatifu alisema: Bwana alimwambia Bwana wangu: Keti upande wangu wa kulia, Mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako."
37Teala o David akharel les Gazda, sar si lesko shav? Ai o baro narodo ashunelas les raduimasa.
37"Daudi mwenyewe anamwita Kristo Bwana. Basi, Kristo atakuwaje mwanae?" Umati wa watu ulikuwa ukimsikiliza kwa furaha.
38Sar O Jesus sicharelas le, phendia lenge, "Arakhen tume katar le Gramnoturia, ke lenge drago te phiravenpe andel raxamia lunzhi, ai mangen savorhe te den le lasho dies pel wulitsi.
38Katika mafundisho yake, Yesu alisema, "Jihadharini na walimu wa Sheria ambao hupenda kupitapita wamejivalia kanzu ndefu na kusalimiwa na watu kwa heshima sokoni; hupenda kuketi mahali pa heshima katika masunagogi,
39Ai mangena le mai lashe skamina ande synagogue, ai te beshen ka shero le skafidiako kal pachiva.
39na kuchukua nafasi za heshima katika karamu.
40Ai won len khera le phivlia, ai te na dichol lenge nasulimos but, pe lende avela kris mai bari.
40Huwanyonya wajane huku wakijisingizia kusali sala ndefu. Siku ya hukumu watapata adhabu kali!"
41O Jesus beshlo pasha o than kai le manush thon le love ande tamplo, ai dikhlia sar thonas penge love ande tamplo, ai but andal barvale dine but.
41Yesu alikuwa ameketi karibu na sanduku la hazina. Akawa anatazama jinsi watu wengi walivyokuwa wakitoa fedha na kuzitia katika hazina ya Hekalu. Matajiri wengi walitoa fedha nyingi.
42Ai ek phivli chorhi avili ai tholas dui xarkune kotora, anklen iek sent.
42Hapo akaja mama mmoja mjane maskini, akatoa sarafu mbili ndogo za fedha.
43Ai wo akhardia leste peske disiplon, ai phendia lenge, "Chachimasa, phenav tumenge, kacha chorhi phivli thodia mai but de sar savorhe:
43Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, "Kweli nawaambieni, huyu mama mjane maskini ametoa zaidi kuliko wengine wote waliotia fedha katika sanduku la hazina.
44Ke le barvale dine katar le but love kai sas le, numa woi dia so godi sas la te traiil."
44Maana wote walitoa kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa yote aliyokuwa nayo, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi."