1Zhanen pa dui dies si O Dies O Baro le Zhidovongo, ai le manrhe bi drozhdenge: ai le bare rasha, ai le Gramnoturia, denaspe duma sar te atsaven O Jesus ai te thon o vas pe leste, ai te mudaren les.
1Ilikuwa siku mbili tu kabla ya sikukuu ya Pasaka na ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria walikuwa wakitafuta njia ya kumtia Yesu nguvuni kwa hila wamuue.
2Numa phende, "Nashti avel po dies o baro ka kam buntuilpe o them."
2Lakini walisema, "Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia."
3O Jesus sas ando foro Bethani ando kher ka Simon o lepra, iek zhuvli avili leste, ai andias e mai kuchi duxi, sar beshelas ka e skafidi, pharhadia e botela, ai shordias kodola duxuria pe lesko shero.
3Yesu alikuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni, Mkoma. Alipokuwa mezani kula chakula, mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya nardo safi ya thamani kubwa alikuja, akaivunja hiyo chupa, akammiminia Yesu marashi hayo kichwani.
4Uni xoliale mashkar pende, ai phende, "Sostar kerdias kasavi zida?
4Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika wakajisemea, "Kwa nini kupoteza ovyo marashi haya?
5"Sai avilino bichindo mai but sar trin shela teliara, ai le love dine kal chorhe!" Ai denas duma nasul pa late.
5Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha denari mia tatu, wakapewa maskini!" Wakamkemea huyo mama.
6O Jesus phendia, "Mek la trankilo; Sostar dosharen kadala zhuvlia? Ke so woi kerdias mange si de sa shukar diela.
6Lakini Yesu akawaambia, "Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema.
7Ke le chorhe sagda avena tumensa, ai vari kana kai mangen sai zhutin le: numa me chi avava tumensa sagda.
7Maskini mnao daima pamoja nanyi; mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaopenda. Lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.
8Kana shordias kado duxi pe murho stato, woi kerdias kodia te getol ma pe murho gropomos.
8Yeye amefanya alivyoweza; ameupaka mwili wangu marashi kuutayarisha kwa maziko.
9Chachimos me phenav tumenge, kai godi kadia viasta lashi avela phendi ande sa e lumia, so woi kerdias mange si te avel phendo te denpe goji late."
9Nawaambieni kweli, popote ulimwenguni Habari Njema itakapohubiriwa, kitendo hiki alichofanya kitatajwa kwa ajili ya kumkumbuka."
10Antunchi iek andal desh u dui disipluria kai besholas Judas Iscariot, gelo kal le bare rasha, te purhila les lenge.
10Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alienda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.
11Ai kana ashunde kadala vorbi, raduisaile, ai shinade te den les love. De katar kodia vriama o Judas rodias sar te del les ando vas.
11Makuhani wakuu waliposikia habari hiyo, walifurahi, wakaahidi kumpa fedha. Basi, Yuda akaanza kutafuta nafasi ya kumsaliti Yesu.
12Po pervo andal diesa le bare kai xanas manrho kai nai puchardo, le disipluria avile ka Jesus, ai phushle les, "Kai manges te getosaras tuke te xas O Dies O Baro le Zhidovongo?"
12Siku ya kwanza ya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, wakati ambapo mwana kondoo wa Pasaka huchinjwa, wanafunzi wake walimwuliza, "Wataka tukuandalie wapi karamu ya Pasaka?"
13O Jesus tradia dui andal peske disiplonge, ai phendia lenge, "Zhan ando foro, kotse arakhena ieke manushes kai si les iek vaza paiesko; len tume pala leste.
13Basi Yesu akawatuma wawili wa wanafunzi wake akiwaambia, "Nendeni mjini, nanyi mtakutana na mtu anayebeba mtungi wa maji. Mfuateni
14Kana wo zhal ando kher, phenen leske, "O gazda phenel, 'Kai e soba te kerav O Dies O Baro le Zhidovongo ka chiro kher murhe disiplonsa?'"
14mpaka katika nyumba atakayoingia, mkamwambie mwenye nyumba, Mwalimu anasema: wapi chumba changu ambamo nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu?
15Wo sikavela tumenge iek bari soba opre kai si swako fielo andre kotse, lasharen O Dies O Baro le Zhidovongo.
15Naye atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani kilichotayarishwa na kupambwa. Tuandalieni humo."
16Ai peske disipluria geletar, ai aresle ando foro, ai arakhle sa sar wo phendiasas lenge: ai won lasharde O Dies O Baro le Zhidovongo.
16Wanafunzi wakaondoka, wakaenda mjini, wakakuta kila kitu sawa kama Yesu alivyokuwa amewaambia. Wakaandaa karamu ya Pasaka.
17Kana pele e riat O Jesus beshlo kai skafidi le desh u dui disiponsa.
17Ilipokuwa jioni, Yesu alifika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
18Ai sar xanas, O Jesus phendia, "Chachimasa, phenav tumenge, iek anda tumende si te purhin ma."
18Walipokuwa mezani wakila, Yesu alisema, "Kweli nawaambieni, mmoja wenu anayekula pamoja nami, atanisaliti."
19Nekezhisaile zurales, ai iek pala avreste phushenas, "Sim me?" ai aver phendia, "Sim me?" ai aver phendia, "Sim me?"
19Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, "Je, ni mimi?"
20O Jesus phendia lenge, "Si iek andal desh u dui, kodo kai xal mansa anda tiari.
20Yesu akawaambia, "Ni mmoja wenu ninyi kumi na wawili, anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli.
21O Shav le Manushesko avela kerdo lesa sar sas o ramome pa leste, numa nasul avela kodoleske ka purhila le Shaves le Manushesko! Mai mishto avilino leske te na arakhadilo sas!"
21Kweli Mwana wa Mtu anakwenda zake kama Maandiko Matakatifu yanavyosema juu yake; lakini, ole wake mtu yule anayemsaliti Mwana wa Mtu! Ingalikuwa afadhali kwa mtu huyo kama hangalizaliwa!"
22Sar xanas, O Jesus lia manrho, ai dias naisimos, phaglia les, ai dia lende te xan, ai phendia lenge, "Len, xan, kado si murho stato."
22Walipokuwa wanakula, Yesu alitwaa mkate, akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi wake akisema, "Twaeni; huu ni mwili wangu."
23Porme lias e kuchi, ai kana dia naisimos, ai dia lende; ai savorhe pile.
23Kisha akatwaa kikombe, akamshukuru Mungu, akawapa; nao wote wakanywa katika kikombe hicho.
24Phendia lenge, "Kado si murho rat, o nevo kontrakto, shordo te pochinel anda bezex, (rat kai chacharel e vortechia le Devleske).
24Akawaambia, "Hii ni damu yangu inayothibitisha agano la Mungu, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu wengi.
25Chachimos phenav tumenge, chi mai piiava andai fruta le struguroski, de akana ai zhi po dies piiava andai e nevi fruta tumensa ande murhi Dadeski amperetsia.
25Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika Ufalme wa Mungu."
26Ai kana jilabade ek jeli, geletar pe plai le maslinenge.
26Kisha wakaimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.
27Ai O Jesus phendia lenge, "Ariat sa si te meken ma pala so kerdiolape mange, ke ramome; "Dava dab le pastuxos, ai le bakre si te rhispinpe."
27Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Ninyi nyote mtakuwa na mashaka nami; maana Maandiko Matakatifu yasema: Nitampiga mchungaji nao kondoo watatawanyika.
28Kana zhuvindiva andai martia, si te zhav mai anglal tumendar ande Galilee."
28Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya."
29Numa o Petri phendia leske, "Vi te meken tu sa pala so kerdiolape, me shoxar chi mekava tut!"
29Petro akamwambia "Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakukana kamwe!"
30Ai O Jesus phendia leske, "Chachimasa phenav tuke, ke kadia dies, e riat mai anglal sar o kurkorsho te bashel duvar, tu si te mothos trivar ke chi zhanes ma.
30Yesu akamwambia, "Kweli nakwambia, usiku huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu."
31Numa o Petri dias mui, "Vi te trobula te merav tusa, me shoxar chi phenava ke chi zhanav tut." Ai sa le disipluria phende sakadia.
31Lakini Petro akasisitiza, "Hata kama ni lazima nife pamoja nawe, sitakuacha kamwe." Wanafunzi wote pia wakasema vivyo hivyo.
32Ai aresle ka o than kai bushol Gethsemane: ai phendia peske disiplonge, "Beshen katse zhi pon rhugiv ma."
32Basi, wakafika katika bustani iitwayo Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Kaeni hapa wakati mimi nasali."
33Porme lia pesa o Petri, o Iakov ai o Iovano, ai kote avilo pe leste pharipe nekazo ai chinuilas.
33Kisha akawachukua Petro, Yakobo na Yohane; akaanza kufadhaika sana na kuhangaika.
34Ai O Jesus phendia lenge, "Haliarav ande murho duxo de sa pharo nekazo, zhi kai martia, beshen katka, ai len sama."
34Akawaambia, "Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa mkeshe."
35Ai O Jesus tsirha mai angle, ai shudiaspe tele mosa pe phuv, ai rhugisailo. "Te dashtilpe, o chaso sai nakhel mandar."
35Akaenda mbele kidogo, akajitupa chini kifudifudi, akasali kwamba, kama ingewezekana, asiipitie saa hiyo ya mateso.
36Ai phendia, "Abba Murho Dat, te sai mek te nakhel kadia kuchi mandar, numa na murhi, chiri voia te avel kerdi."
36Akasema, "Baba yangu, kwako mambo yote yanawezekana. Uniondolee kikombe hiki; lakini isiwe kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe."
37Ai avilo, ai arakhlia le sovenas, ai phendia ka Petri, "O Simon, soves? So nashtisardian te le sama mansa iek chaso?"
37Kisha akarudi kwa wanafunzi wale watatu, akawakuta wamelala. Basi, akamwuliza Petro, "Simoni, je umelala? Hukuweza kukesha hata saa moja?"
38Le sama ai rhugis tu, te na peres ando zumaimos. O duxo mangel, numa o stato kovlo."
38Kisha akawaambia, "Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu."
39Gelotar e duito data ai rhugisailo, phenelas sa kodola vorbi.
39Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.
40Ai kana areslo palpale, arakhlias le sovenas, ke nashti ankerenas peske iakha phuterde. Ai chi zhanen so te phenen leske.
40Kisha akarudi tena, akawakuta wamelala. Macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Hawakujua la kumjibu.
41Ai wo avilo o trito data, ai phendia lenge, "Akana soven ai hodinin: si dosta, o chaso avilo, ashun, O Shav le Manushesko avela dino ando vas le bezexale manushengo.
41Alipowajia mara ya tatu aliwaambia, "Mnalala bado na kupumzika? Sasa imetosha! Saa imefika! Mwana wa Mtu anakabidhiwa kwa watu waovu.
42Wushten, aventar, Dikhen, avel kodo kai dias ma ando vas."
42Amkeni, twendeni zetu. Tazameni, yule atakayenisaliti amekaribia."
43Ai strazo, sar O Jesus delas duma, o Judas, iek andal desh u dui avilo, ai lesa avilo baro narodo sabiensa ai khashtensa. Tradine sas katar le bare rasha, le Gramnoturia, ai katar le phure ka pronchinas.
43Yesu alipokuwa bado anasema, Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, akafika pamoja na umati wa watu wenye mapanga na marungu. Watu hao walikuwa wametumwa na makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee.
44Kodo kai dias les ando vas dias len ek semno, phendia, "Kodolen kai chumidava si o manush, astaren les ai len les."
44Msaliti Yuda alikuwa amewapa ishara: "Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni, mkampeleke chini ya ulinzi."
45Andak data gelo ka Jesus ai phendia leske, "Gazda, Gazda," ai chumidia les.
45Yuda alipofika tu, alimwendea Yesu moja kwa moja, akasema, "Mwalimu!" Kisha akambusu.
46Ai thode vas po Jesus ai phangle les.
46Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.
47Ai iek anda kodola kai sas le Kristosa, anzilo ai lias peski sabia, ai shindias tele o khan kodoleske kai sas sluga ka rashai o baro.
47Mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo pamoja na Yesu akauchomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.
48Ai O Jesus phendia le narodosko, "Dar chor sim te avilian pala mande sabiensa ai khashtensa te astaren ma?
48Yesu akawaambia, "Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi?
49Swako dies simas tumensa ande tamplo te sicharav, ai chi thodian vas pe mande, numa sa kado kerdiilo kashte o ramomos le profetongo te pherdiol."
49Kila siku nilikuwa pamoja nanyi nikifundisha Hekaluni, wala hamkunikamata. Lakini sasa lazima Maandiko Matakatifu yatimie."
50Antunchi sa le disipluria mekle les, ai rhispisaile.
50Hapo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.
51Ek terno manush lia pe pala leste, sas ferdi iek kotor poxtan pe leste. Won thode vas pe terno manush,
51Kulikuwa na kijana mmoja aliyekuwa anamfuata Yesu akiwa amevaa shuka. Nao wakajaribu kumkamata.
52ai meklia o kotor poxtan, ai rhispisailo sa nango.
52Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi.
53Ai ningerde O Jesus ka o baro rashai: kai sa le bare rasha, ai le phure kai poronchinas, ai le Gramnoturia chidinisaile.
53Basi, wakampeleka Yesu kwa Kuhani Mkuu ambapo makuhani wakuu wote, wazee na walimu wa Sheria walikuwa wamekutanika.
54O Petri liape pala leste de dural, zhi ka e bar la bare rashake; ai beshlo tele le slugensa, ai tacholas pashai iag.
54Petro alimfuata Yesu kwa mbali, akaingia ndani ya ya wa Kuhani Mkuu, akaketi pamoja na walinzi akiota moto.
55Le bare le rasha ai sa e Sanhedren (e kris e bare) rodenas te thon beda xoxamni po Jesus te shinen kris pe leste te mudaren les, ai chi arakhle.
55Makuhani wakuu na Baraza lote wakatafuta ushahidi wa kumshtaki Yesu wapate kumwua, lakini hawakupata.
56Ke but manush avile angle te xoxavan pa leste, numa lenge vorbi nai iek fielo.
56Watu wengi walitoa ushahidi wa uongo juu ya Yesu, lakini ushahidi wao haukupatana.
57Uni wushtile opre te xoxaven pa leste, phende,
57Kisha wengine walisimama, wakatoa ushahidi wa uongo wakisema:
58"Ashundiam kado manush phenel, 'Man si e putiera te xaiin o tampla le Devleski kai le manush kerde le vastensa, ai ande trin dies vazdav aver le vastensa."'
58"Tulimsikia mtu huyu akisema, Nitaliharibu Hekalu hili lililojengwa kwa mikono, na kwa siku tatu nitajenga lingine lisilojengwa kwa mikono."
59Swako manush phendia vari so aver fielo pa leste.
59Lakini hata hivyo, ushahidi wao haukupatana.
60Ai o baro rashai wushtilo opre angla lende, ai phushlia katar O Jesus, phenelas, "Nai tu so te phenes pa kadia." So phenen kadala manush pa tute?"
60Basi, Kuhani Mkuu akasimama katikati yao, akamwuliza Yesu, "Je, hujibu neno? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?"
61Numa O Jesus chi phendia khanchi, mai iek data o baro rashai phushlia les, "Tu san O Kristo, O Shav le Swunto Devlesko?"
61Lakini yeye akakaa kimya; hakusema hata neno moja. Kuhani Mkuu akamwuliza tena, "Je, wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu Mtukufu?"
62Ai O Jesus phendia leske, "Me sim: ai mai angle si te dikhen O Shav le Manushesko ka o vas o chacho putierako, ai sar avel pel nuveria le rhaioski."
62Yesu akajibu, "Naam, mimi ndiye. Tena, mtamwona Mwana wa Mtu amekaa upande wa kulia wa Mwenyezi, akija katika mawingu ya mbinguni."
63Antunchi o baro rashai shindia peske tsalia, ai phendia, "So mai trobul ame marturia?
63Hapo Kuhani Mkuu akararua joho lake, akasema, "Tuna haja gani tena ya mashahidi?
64Vi tume ashundian leske nasul vorbi: So haliaren tume? Phende, 'Doshalolo ai trobul mudardo.'" Ai uni chungarde pe leste, ai te wusharen lesko mui, ai dine les dab dukhamensa, ai phenen leske, "Kon mardia tu?" Le ketani marde les le vastensa.
64Mmesikia kufuru yake! Ninyi mwaonaje?" Wote wakaamua kwamba anastahili kuuawa.
66O Petri beshelas avri ande bar, iek sluga andal le bare rashaske avili,
65Basi, baadhi yao wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, wakampiga na kumwambia, "Bashiri ni nani aliyekupiga!" Hata watumishi wakamchukua, wakampiga makofi.
67ai kana woi dikhlia o Petri tachol pasha iag, dikhelas pe leste, ai phendia, "Ai vi tu sanas lesa, O Jesus andai Nazareth."
66Petro alipokuwa bado chini ukumbini, mmoja wa wajakazi wa kuhani Mkuu alikuja.
68Wo phendias, "Nai chaches" angla savorhende, "Chi zhanav pa soste des duma." Ai gelo karing e wurota, ai o kurkorsho bashlo.
67Alipomwona Petro akiota moto, alimtazama, akamwambia, "Hata wewe ulikuwa pamoja na Yesu Mnazareti."
69E sluga dikhlia les, ai phendia kodolenge kai sas kotse, "Kodo si iek anda lende."
68Lakini Petro akakana, "Sijui, wala sielewi unayosema!" Kisha Petro akaondoka, akaenda nje uani. Hapo jogoo akawika.
70Mai iek data phendias, "Nai chaches, ai tsirha vriama, kodola kai sas pashai iag avile ka Petri ai phende leske, "Chaches tu san iek anda lende, ke tu san andai Galilee, ai cho divano purhil tut."
69Yule mjakazi alipomwona tena Petro, akaanza tena kuwaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, "Mtu huyu ni mmoja wao."
71Numa o Petri dias pe armaia ai solaxadias lenge, "Me chi zhanav kadale manushes."
70Petro akakana tena. Baadaye kidogo, watu waliokuwa wamesimama hapo wakamwambia Petro, "Hakika wewe ni mmoja wao, maana wewe ni Mgalilaya."
72Ai o duito data o kurkorsho bashlo. Ai o Petri diape goji ka le vorbi kai phendiasas leske O Jesus, "Mai anglal sar te bashel duvar o kurkorsho, tu trivar phenesa ke chi zhanes ma." Ai kana serelas kadia, ruia zurales.
71Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, "Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake."
72Hapo jogoo akawika mara ya pili. Basi, Petro akakumbuka jinsi Yesu alivyokuwa amemwambia: "Kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu." Petro akabubujika machozi.