Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Mark

2

1O Jesus pale gelo ando Capernau, ai ashunenas e viasta ke wo sas ando kher.
1Baada ya siku kadhaa, Yesu alirudi Kafarnaumu, watu wakapata habari kwamba alikuwa nyumbani.
2Ai strazo but manush chudinisaile andek than ando kher, ma nas than andre te beshen, ai vi avrial angla o wudar nas than. O Jesus sicharelas le E Vorba le Devleski.
2Basi, wakaja watu wengi sana hata nafasi yoyote ikakosekana mlangoni. Yesu alikuwa akiwahubiria ujumbe wake,
3Shtar manush avile leste, ai andine leste ieke manushes kai sas bango, pashliolas po than.
3wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa na watu wanne.
4Numa chi zhanenas kai te zhan ando kher ke but narodo sas, ankliste po chardako, ai kerde ek gropa, ai vuliarde les le thanasa mashkar O narodo ai angla Jesus.
4Kwa sababu ya huo umati wa watu, hawakuweza kumpeleka karibu na Yesu. Basi, wakatoboa sehemu ya dari iliyokuwa juu ya mahali alipokuwa Yesu. Walipokwisha pata nafasi, wakamteremsha huyo mtu akiwa amelala juu ya mkeka.
5Kana O Jesus dikhlia lengo pachamos, phendias le bangeske, "Shav che bezexa iertime le."
5Yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, "Mwanangu, umesamehewa dhambi zako."
6Numa sas uni Gramnoturia beshenas tele kotse, ai phenenas peske,
6Baadhi ya walimu wa Sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao,
7"Sar sai kado manush tromal te lel o than le Devlesko? Ke ferdi O Del sai iertil le bezexa?"
7"Anathubutuje kusema hivyo? Anamkufuru Mungu! Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake."
8Ai strazo O Jesus zhanglia lenge ginduria, ai phendia lenge, "Sostar si tume kasave chorhe ginduria ande tumaro ilo ?
8Yesu alitambua mara mawazo yao, akawaambia, "Mbona mnawaza hivyo mioyoni mwenu?
9So si mai vushoro te phenes ka le banges, "Che bezexa iertime vai wushti opre ai phir?"
9Ni lipi lililo rahisi zaidi: kumwambia mtu huyu aliyepooza, Umesamehewa dhambi zako, au kumwambia, Inuka! Chukua mkeka wako utembee?
10Numa te zhanen ke ka O Shav le Manushesko si e putiera te iertil le bezexa." Ai phedia le bangeske,
10Basi, nataka mjue kwamba Mwana wa Mtu anayo mamlaka ya kuwasamehe watu dhambi duniani." Hapo akamwambia huyo mtu aliyepooza,
11Phenav tuke, "Wushti, le cho than ai zha khere!"
11"Nakwambia simama, chukua mkeka wako uende nyumbani!"
12Ai strazo wushtilo, gelotar angla lende, sa narodo chudisailo, ai luvudinas le Devles, phenen, "Shoxar chi dikhlian ek diela sar dikhliam adies."
12Mara, watu wote wakiwa wanamtazama, huyo mtu akainuka, akauchukua mkeka wake, akaenda zake. Watu wote wakashangaa na kumtukuza Mungu wakisema, "Hatujapata kamwe kuona jambo kama hili."
13Pala kodia O Jesus gelo palpale kai maria Galilee; ai sa narodo avelas leste, ai wo sichardia le.
13Yesu alikwenda tena kando ya ziwa. Umati wa watu ukamwendea, naye akaanza kuwafundisha.
14Sar phiravelaspe, dikhlia o Levi, o shav le Alphaeusosko beshelas tele kai skafidi kai pochinenas e taksa le themeske, ai phendia leske, "Av pala mande." O Levi wushtilo ai liape pala leste.
14Alipokuwa akipita, akamwona Lawi mwana wa Alfayo, ameketi katika ofisi ya ushuru. Yesu akamwambia, "Nifuate!" Lawi akasimama, akamfuata.
15Kana O Jesus xalas ando lesko kher, but manush kai chiden e taksa, ai le bezexale avile te beshen kai skafidi lesa ai leske disipluria.
15Baadaye, Yesu alikuwa amekaa mezani, nyumbani kwa Lawi, kula chakula. Watoza ushuru wengi na wenye dhambi walikuwa wamemfuata Yesu na wengi wao wakawa wamekaa mezani pamoja naye na wanafunzi wake.
16-Ai kana le Gramnoturia ai le Farizeanuria dikhle ke Jesus xalas le manushensa kai chiden e taksa ai kodolen kai si bezexale; phushle leske disipluria, "Sostar tumaro gazda xal le manushensa kai chiden e taksa ai kodolensa kai si bezerxale?"
16Basi, baadhi ya walimu wa Sheria ambao walikuwa Mafarisayo walipomwona Yesu akila pamoja na watu wenye dhambi na watoza ushuru, wakawauliza wanafunzi wake, "Kwa nini anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?"
17O Jesus ashundia le ai phendia lenge, "Le manush kai si saste chi trobul le dokxtoro, le naswalen trobul. Chi avilem te akharav kodolen kai gindinpe vorta angla Del, numa le bezexalen."
17Yesu alipowasikia, akawaambia, "Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa. Sikuja kuwaita watu wema, ila wenye dhambi."
18Le disipluria le Iovanoske ai le Farizeanuria zholinas, ai aven ka Jesus ai phushen lestar, "Sostar, le disipluria le Iovanoske ai le Farizeanuria zholin butivar, ai che disipluria chi zholin?"
18Wakati mmoja wanafunzi wa Yohane na wanafunzi wa Mafarisayo walikuwa wanafunga. Basi, watu wakaja, wakamwuliza Yesu, "Kwa nini wanafunzi wa Yohane na wa Mafarisayo wanafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?"
19O Jesus phendia lenge, "Sar sai zholin le manush kai si akharde ka abiav, kana o manush kai ansurilpe lensalo?
19Yesu akajibu, "Walioalikwa harusini wanawezaje kufunga kama bwana harusi yupo pamoja nao? Wakati wote wawapo pamoja na bwana harusi hawawezi kufunga.
20Numa avela e vriama kai o manush kai ansurilpe avela lino lendar, antunchi zholina."
20Lakini wakati utafika ambapo bwana harusi ataondolewa kati yao; wakati huo ndipo watakapofunga.
21"Khonik chi suvel nevo kotor poxtan te lasharel phurane tsalia, ke o nevo kotor tsigniol, ai kerdiol mai nasul o shinimos.
21"Hakuna mtu anayekata kiraka kutoka katika nguo mpya na kukishonea katika nguo kuukuu. Kama akifanya hivyo, hicho kiraka kipya kitararuka kutoka hilo vazi kuukuu, nalo litaharibika zaidi.
22Le manush chi thon nevi mol andel phurane morchia moliake, ke le morchia pharhadion, ai e mol shordiol, ai le morchia rimonpe. Numa thon e nevi mol andel neve morchia.
22Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu. Kama akifanya hivyo, divai itavipasua hivyo viriba, nayo divai pamoja na hivyo viriba vitaharibika. Divai mpya hutiwa katika viriba vipya!"
23Ande kodia vriama O Jesus nakhlia pe ek niva kai bariolas jiv po Sabat. Ai leske disipluria line anda jiv.
23Siku moja ya Sabato, Yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano. Walipokuwa wanatembea, wanafunzi wake wakaanza kukwanyua masuke ya ngano.
24Ai le Farizeanuria phende leske, "Eta, Sostar che disipluria keren so nai slobodo te keren po Sabat?"
24Mafarisayo wakawaambia, "Tazama! Kwa nini wanafanya jambo ambalo si halali kufanya wakati wa Sabato?"
25Wo phendia lenge, "Chi jindian so kerdia o David kana bokhailo, wo ai le manush kai sas lesa?
25Yesu akawajibu, "Je, hamjapata kusoma juu ya kile alichofanya Daudi wakati alipohitaji chakula? Yeye pamoja na wenzake waliona njaa,
26Sar gelo ando kher le Devlesko kana o Abiathar sas o baro rasha, ai xalias andal halome manrhe kai nas leske slobodo te xal, vai kodolenge kai sas lesa, numa le rashange.
26naye akaingia ndani ya Nyumba ya Mungu, akala ile mikate iliyowekwa mbele ya Mungu. Jambo hili lilifanyika wakati Abiathari alikuwa Kuhani Mkuu. Na ni makuhani tu peke yao waliokuwa wameruhusiwa kula mikate hiyo. Lakini Daudi aliila, tena akawapa na wenzake."
27Wo phendia lenge, "O Sabat kerdilo le manushenge; ai nai manush le Sabatoske.
27Basi, Yesu akawaambia, "Sabato iliwekwa kwa ajili ya binadamu na si binadamu kwa ajili ya Sabato!
28Ke O Shav le Manushesko si o gazda le Sabatosko."
28Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ni Bwana hata wa Sabato."