1O Jesus gelo palpale ande synagogue, ai kotse sas iek manush kai sas les vas bango.
1Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.
2Won lenas sama po Jesus, te sastiarela vari kas savatone; kashte te dosharen les.
2Humo baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki.
3O Jesus phendia le manushesko kai sas les vas bango, "Wushti opre."
3Yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza, "Njoo hapa katikati."
4Ai phushlia lenge, "Slobodo po Sabat te kerelpe mishtimos vai te kerelpe nasulimos? Te skepisar le manushes vai te mudar le manushes? Numa chi phende khanch.
4Kisha, akawauliza, "Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?" Lakini wao hawakusema neno.
5O Jesus xolailo sas kana dikhlia pe lende, nekezhilas ke nas le mila le manushenge, numa mila sas les pe lende. Phende le manusheske, "Lunzhar cho vas." Wo lunzhardia pesko vas ai sasto sas sar o kolaver.
5Hapo akawatazama wote kwa hasira, akaona huzuni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao. Kisha akamwambia huyo mtu, "Nyosha mkono wako!" Naye akaunyosha mkono wake, ukawa mzima tena.
6Le Farizeanuria geletar, ai strazo dinepe duma le slugensa le amperatosko o Herod, sar te mudaren les.
6Mara Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri pamoja na watu wa kikundi cha Herode jinsi ya kumwangamiza Yesu.
7O Jesus gelo kai maria leske disiplonsa, ai but narodo lenaspe pala leste andai Galilee, ai andai Judea,
7Yesu aliondoka hapo pamoja na wanafunzi wake, akaenda kando ya ziwa, na umati wa watu ukamfuata. Watu hao walikuwa wametoka Yerusalemu, Yudea,
8ai andai Jerusalem, ai andai Idumea, ai inchal o Jordan, ai andai le foruria Tire ai Sidon.
8Idumea, ng'ambo ya mto Yordani, Tiro na Sidoni. Watu hao wengi walimwendea Yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda.
9Kana o narodo ashunde so kerdiasas, avile leste. Ai wo phendia leske disipluria kai mangel ek chuno te azhukerel les te trobul les, ke o baro narodo pashon pasha leste katar swako rig.
9Yesu akawaambia wanafunzi wake wamtayarishie mashua moja, ili umati wa watu usije ukamsonga.
10Ke sastiardia but manushen, ai sa le naswale avenas leste te azban les.
10Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.
11Kana le bi vuzhe dikhle les, pele tele angla leste, ai tsipisarde, phenen, "Tu san O Shav le Devlesko!"
11Na watu waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu walipomwona, walijitupa chini mbele yake na kupaaza sauti, "Wewe ni Mwana wa Mungu!"
12Ai strazo O Jesus dia le trad te na phenen kon sas wo.
12Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.
13Antunchi O Jesus gelo po plai ai akhardia peste le manushen kai manglia. Won avile leste.
13Yesu alipanda kilimani, akawaita wale aliowataka. Basi, wakamwendea,
14Wo alosardia desh u dui, kai akhardia Apostles te beshen lesa, ai tradela le te den duma pa Del.
14naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri
15Ai dia le e putiera te sastiaren le naswalimata, ai te gonin le bengen:
15na wawe na mamlaka ya kuwafukuza pepo.
16Ai o Simon wo akhardo Petri.
16Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),
17Ai o Iakov o shav le Zebedesko ai lesko phral o Iovano, wo akhardo le Boanerges kai si "Le shave rhunjitosko."
17Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo (Yesu aliwapa hawa ndugu wawili jina Boanerge, maana yake "wanangurumo"),
18Ai Andre, ai Philip, ai Bartholmew, ai Mate, ai Thomas, ai Iakov o shav le Alphaeusosko, ai Thaddaeus, ai o Simon o Canaanite,
18Andrea na Filipo, Batholomayo, Mathayo, Thoma, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkanani na
19ai o Judas Iscariot, kai purhisardia les, ai gele ando kher.
19Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.
20Kana O Jesus avilo ando kher, but narodo chidinisaile andek than angla leste, ai nas le vriama te xan.
20Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula.
21Kana leski familia ashundia kodia, roden te astaren les ke le manush phenenas, "Xasardo leski goji!"
21Basi, watu wa jamaa yake walipopata habari hiyo wakatoka kwenda kumchukua maana walikuwa wanasema kwamba amepatwa na wazimu.
22Ai le Gramnoturia avile andai Jerusalem phenenas, "Si les Beelzebub ande leste! Ai gonil le bengen ke o baro le bengengo, o Beelzebub del les e putiera."
22Nao walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, "Ana Beelzebuli! Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo."
23Ai O Jesus akhardia le manushen leste, ai phendia lenge paramichi, "Sar sai o beng gonil le bengen?
23Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, "Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?
24Ek amperetsia kai si xuladi pe peste si te xaiil, chi ashela.
24Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopigana, utawala huo hauwezi kudumu.
25Ek familia kai si xulade pe peste si te xaiil, chi ashela.
25Tena, ikiwa jamaa moja imegawanyika makundimakundi yanayopingana, jamaa hiyo itaangamia.
26Teala o beng gonil le bengen, won si xulade pe peste. Sar rhivdila ai ashela leske amperetsia?
26Ikiwa basi, utawala wa Shetani umegawanyika vikundivikundi hauwezi kudumu, bali utaangamia kabisa.
27Vai sar sai del vari kon ando kher zurale manushesko, ai te lel so si lesko, bi te phandel le zurale manush, ai antunchi te lel so si lesko "
27"Hakuna mtu awezaye kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, isipokuwa kwanza amemfunga huyo mtu mwenye nguvu; hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake.
28Chachimasa phenav tumenge, "Sa le bezexa ai kai den duma nasul le manush sai iertilpe.
28"Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote;
29Numa kon del duma nasul po Swunto Duxo, shoxar chi avela iertime. Chi ande kadia lumia vai e lumia kai si te avel."
29lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele."
30O Jesus phendia lenge kadala vorbi ke uni phenenas, "Si les iek beng ande leste."
30(Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, "Ana pepo mchafu.")
31Antunchi leski dei ai leske phral avile, beshenas avri, ai mangenas te den duma lesa.
31Mama yake Yesu na ndugu zake walifika hapo, wakasimama nje, wakampelekea ujumbe kutaka kumwona.
32But narodo beshenas tele pasha Jesus, ai phenen leske, "Dikh, chi dei ai che phral avri, ai mangen te dikhen tu."
32Umati wa watu ulikuwa umekaa hapo kumzunguka. Basi, wakamwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kukuona."
33Wo dia lenge atweto, phenel, "Kon si murhi dei, vai murhe phral?"
33Yesu akawaambia, "Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?"
34Ai wo dikhlia pe lende kai beshenas tele pasha leste ai phendia, "Eta, Murhi dei ai murhe phral!"
34Hapo akawatazama watu waliokuwa wamemzunguka, akasema, "Tazameni! Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu.
35Ke kon godi kerel e voia murho Dadeski kai si ando rhaio, si murho phral, murhi phei, ai murhi dei."
35Mtu yeyote anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na mama yangu."