1Pala kodia aver narodo avile, ai nai le so te xan. O Jesus akhardia peske disiplon peste, ai phendia lenge.
1Wakati huo umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena, na hawakuwa na chakula. Basi, Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia,
2"Mila mange anda narodo, ke de trin dies mansa le, ai nai ke so te xan,
2"Nawahurumia watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu, wala hawana chakula.
3Chi mangav le te zhan khere bokhale, ke kam zaline po drom; ke dur sas o drom but manushenge."
3Nikiwaacha waende nyumbani wakiwa na njaa watazimia njiani, maana baadhi yao wametoka mbali."
4Leske disipluria phendia leske, "Kai te las dosta manrho ande kadia pusta te pravaras len?"
4Wanafunzi wake wakamwuliza, "Hapa nyikani itapatikana wapi mikate ya kuwashibisha watu hawa wote?"
5O Jesus phushlia le, "Sode manrhe si tume?" Won phende, "Efta manrhe."
5Yesu akawauliza, "Mnayo mikate mingapi?" Nao wakamjibu, "Saba."
6O Jesus phendia le narodoske te beshen tele pe phuv. Lia le efta manrhe, ai dias naisimos, phaglias le, ai dias le kal disipluria. Le disipluria dine le kal narodo.
6Basi, akawaamuru watu wakae chini. Akaitwaa ile mikate saba, akamshukuru Mungu, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu, nao wakawagawia.
7Sas le xantsi tsinorhe mashe: ai O Jesus dias naisimos, ai phendia le disipluria te thon le mashe angla lende te xan.
7Walikuwa pia na visamaki vichache. Yesu akavibariki, akaamuru vigawiwe watu vilevile.
8Savorhe xale ai chailile. Le disipluria chide le kotora kai ashshile efta kozhnitsi, pherde sas.
8Watu wakala, wakashiba. Wakaokota mabaki yaliyosalia wakajaza makapu saba.
9Kodola kai xale sas shtar mi mursh, Antunchi O Jesus tradia le narodos te zhantar.
9Nao waliokula walikuwa watu wapatao elfu nne. Yesu akawaaga,
10Ai strazo O Jesus anklisto andek chuno peske disiplonsa, ai avilo ando them Dalmanutha.
10na mara akapanda mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda wilaya ya Dalmanutha.
11Ai le Farizeanuria avile ka Jesus, ai mangle lestar te sikavel lenge ek semno kai si te avel anda rhaio.
11Mafarisayo walikuja, wakaanza kujadiliana na Yesu. Kwa kumjaribu, wakamtaka awafanyie ishara kuonyesha anayo idhini kutoka mbinguni.
12Ai nekezhisailo ande pesko duxo, ai phendia lenge, "Sostar kadia vitsa adies roden ek semno Chachimasa, phenav tumenge, chi iek semno chi avela dino len."
12Yesu akahuzunika rohoni, akasema, "Mbona kizazi hiki kinataka ishara? Kweli nawaambieni, kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote!"
13Antunchi meklia le, ai anklisto ando chuno, ai geletar inchal o pai.
13Basi, akawaacha, akapanda tena mashua, akaanza safari kwenda ng'ambo ya pili ya ziwa.
14Le disipluria bustarde te len manrho pesa, ai sas le ferdi iek manrho lensa ando chuno.
14Wanafunzi walikuwa wamesahau kuchukua mikate; walikuwa na mkate mmoja tu katika mashua.
15Ai O Jesus phendia lenge, "Arakhen tume katar e drozhda kai avel katar le Farizeanuria, ai le Herodoske.
15Yesu akawaonya, "Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode."
16Le disipluria denaspe duma mashkar pende, ai phenenas, "Ke chi liam amensa manrho phenel kadia."
16Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, "Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate."
17O Jesus zhanglias, ai phendias lenge, "Sostar phenen mashkar tumende, ke chi andian manrho? Chi haliaren? Ai chi den goji?
17Yesu alitambua hayo, akawaambia, "Mbona mnajadiliana juu ya kutokuwa na mikate? Je, bado hamjafahamu, wala hamjaelewa? Je, mioyo yenu imeshupaa?
18Si tumen iakha ai chi dikhen? Ai si tumen khan ai chi ashunen? Ai chi seren tume?
18Je, Mnayo macho na hamwoni? Mnayo masikio na hamsikii? Je, hamkumbuki
19Kana phaglem le panzh manrhe ai tume dine kal panzh mi manushen? Sode kozhnitsi pherdo kotora chide?" Won phende leske, "Desh u dui.
19wakati ule nilipoimega ile mikate mitano na kuwapa watu elfu tano? Mlikusanya vikapu vingapi vya mabaki ya makombo?" Wakamjibu, "Kumi na viwili."
20Ai kana sas efta manrhe kai tume dine kal shtar mi manushen, sode kozhnitsi pherdo kotora chide?" Ai phende leske, "Efta".
20"Na nilipoimega ile mikate saba na kuwapa watu elfu nne, mlikusanya makapu mangapi ya makombo?" Wakamjibu, "Saba."
21Ai O Jesus phendia lenge, "Sostar sa chi haliaren?"
21Basi, akawaambia, "Na bado hamjaelewa?"
22Antunchi wo avilo ande Bethsaida, ai andine ek korho manush ka Jesus, ai mangle les te azbal les.
22Yesu alifika Bethsaida pamoja na wanafunzi wake. Huko watu wakamletea kipofu mmoja, wakamwomba amguse.
23Lia le korhes vastestar, ai ningardia les avri andai gav. Antunchi chungarde pe leske iakha, ai thodia leske vas pe leste, ai phushlia les, "Sai dikhes vari so?"
23Yesu akamshika mkono huyo kipofu, akampeleka nje ya kijiji. Akamtemea mate machoni, akamwekea mikono, akamwuliza, "Je, unaweza kuona kitu?"
24Ai wo vazdia le iakha, ai phendia leske, "E, dichol mange le manush, numa miazon le khash phirenas."
24Huyo kipofu akatazama, akasema, "Ninawaona watu wanaoonekana kama miti inayotembea."
25O Jesus pale thodia leske vas pe leske iakha, ai phendia leske te vazdel le iakha, sastilo ai dikhlia swako fielo mishto.
25Kisha Yesu akamwekea tena mikono machoni, naye akakaza macho, uwezo wake wa kuona ukamrudia, akaona kila kitu sawasawa.
26Antunchi O Jesus tradia les te zhaltar ka lesko kher, ai phendia leske, "Nai zhal palpale ando gav, vai phenes kanikaske ando gav."
26Yesu akamwambia aende zake nyumbani na kumwamuru, "Usirudi kijijini!"
27O Jesus ai leske disipluria geletar andel gava ando them Caesarea Philippe: ai sar zhanas phushlias katar peske disipluria, "Kon mothon le manush ke sim?"
27Kisha Yesu na wanafunzi wake walikwenda katika vijiji vya Kaisarea Filipi. Walipokuwa njiani, Yesu aliwauliza wanafunzi wake, "Watu wanasema mimi ni nani?"
28Phende leske, "O Iovano o baptisto, numa uni phenen ke san o Elias; ai aver phenen, iek andal profeturia."
28Wakamjibu, "Wengine wanasema wewe ni Yohane Mbatizaji, wengine Eliya na wengine mmojawapo wa manabii."
29Wo phendia lenge, "Ai tume kon mothon ke sim?" Ai o Petri phendia, "Tu san O Kristo."
29Naye akawauliza, "Na ninyi je, mnasema mimi ni nani?" Petro akamjibu, "Wewe ndiwe Kristo."
30Antunchi O Jesus dias le trad, te na phenen kanikaske pa leste.
30Kisha Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake.
31De katar kodia vriama O Jesus sikavelas peske disiplon, ke O Shav le Manushesko musai chinuil but, ai avela shudino lendar katar le phurane ai katar le bare le rashange, ai le Gramnoturia, ai avela mudardo ai zhuvindila pala trin dies.
31Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake: "Ni lazima Mwana wa Mtu apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa Sheria. Atauawa na baada ya siku tatu atafufuka."
32Wo phendia kadala vorbi angla lende. Antunchi o Petri lia les rigate ai phendias leske.
32Yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. Basi, Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.
33Numa kana O Jesus amboldinisailo, dikhlia pe peske disipluria, ai phenel le Petresko, "Le tu angla mande, Satano!(Beng!) Ke che ginduria na le Devleske, nume le manusheske."
33Lakini Yesu akageuka, akawatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro akisema, "Ondoka mbele yangu, Shetani! Fikira zako si za kimungu ila ni za kibinadamu!"
34Ai kana O Jesus akhardia o narodo ai peske disiplon leste, wo phendia lenge, "Te si vari kon kai mangel te avel pala mande, musai te bustrel pa peste, te lel pesko trushul, ai te avel pala mande.
34Kisha akauita umati wa watu pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, "Mtu yeyote akitaka kuwa mfuasi wangu, lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
35Ke o manush kai mangela te garavel pesko traio xasarela les; numa kodo kai dela pesko traio pala mande ai pala e lashi viasta, arakhela traio.
35Maana mtu anayetaka kuyaokoa maisha yake mwenyewe, atayapoteza, lakini mtu atakayepoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema, atayaokoa.
36So lela o manush te niril sa e lumia ai te xasarela pesko duxos?
36Je, kuna faida gani mtu kuupata ulimwengu wote na kuyapoteza maisha yake?
37So sai del o manush te chinel palpale pesko duxo?
37Ama mtu atatoa kitu gani badala ya maisha yake?
38Ke kon godi lazhala mandar ai katar murhe vorbi mashkar le bezexalenge adies, O Shav le Manushesko avela lestar lazhal, kana avela ando pesko barimos le dadesko le Swuntsi angelonsa."
38Mtu yeyote katika kizazi hiki kiovu na kisichomjali Mungu anayenionea aibu mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Mtu atamwonea aibu mtu huyo wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu."