Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Mark

7

1Antunchi le Farizeanuria ai uni Gramnoturia avile andai Jerusalem, ai chidinisaile pasha Jesus.
1Baadhi ya Mafarisayo na walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu walikusanyika mbele ya Yesu.
2Dikhle uni andal leske disipluria xanas bi te xalaven penge vas,
2Waliona kwamba baadhi ya wanafunzi wake walikula mikate kwa mikono najisi, yaani bila kunawa.
3ke le Farizeanuria ai sa le Zhiduvuria shoxar chi xan bi te xalaven penge vas. Won keren o zakono le phurenge.
3Maana Mafarisayo na Wayahudi wengine wote huzingatia mapokeo ya wazee wao: hawali kitu kabla ya kunawa mikono ipasavyo.
4Ai kana aven andal bazari, won shoxar chi xan bi te xalaven penge vas. Ai si le mai but aver zakonuria kai won keren. Uni xalaven le daxtai, le kruzhki, ai le phiria le xarkune.
4Tena hawali kitu chochote kutoka sokoni mpaka wamekiosha kwanza. Kuna pia desturi nyingine walizopokea kama vile namna ya kuosha vikombe, sufuria na vyombo vya shaba.
5Antunchi le Farizeanuria ai le Gramnoturia phushen les, "Sostar che disipluria chi keren o zakono le phurenge, numa xan bi te xalaven penge vas?"
5Basi, Mafarisayo na walimu wa Sheria wakamwuliza Yesu, "Mbona wanafunzi wako hawayajali mapokeo tuliyopokea kwa wazee wetu, bali hula chakula kwa mikono najisi?"
6O Jesus dia atweto, ai phendia lenge, "Tume manush kai ankerdion so chi san, O Isaiah dias mishto profesi po tumende kana ramosardia, "Kado narodo preznain ma peska mosa, numa lengo ilo dur mandar.
6Yesu akawajibu, "Wanafiki ninyi! Nabii Isaya alitabiri ukweli juu yenu alipoandika: Watu hawa, asema Mungu, huniheshimu kwa maneno matupu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami.
7Intaino preznain ma, ke won sicharen manushenge zakonuria sar te aviline le Devleske."
7Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.
8Tume chi keren o zakono le Devlesko, numa keren o zakono le manushenge."
8Ninyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu."
9O Jesus phendia lenge, "Tume thon rigate o zakono le Devlesko numa keren tumaro zakono.
9Yesu akaendelea kusema, "Ninyi mnajua kuepa kwa ujanja sheria ya Mungu kwa ajili ya kufuata mapokeo yenu.
10Ke o Moses phendia, "Preznaisar che dades ai cha da," ai kodo kai del duma nasul pa peske dades ai peska da, musai merel.
10Maana Mose aliamuru: Waheshimu baba yako na mama yako, na, Anayemlaani baba au mama, lazima afe.
11Numa tume phenen "Kon godi phenela peske dadeske vai peska dake, so sai demas tume te zhutiv tume, dem ka Del."
11Lakini ninyi mwafundisha, Kama mtu anacho kitu ambacho angeweza kuwasaidia nacho baba au mama yake, lakini akasema kwamba kitu hicho ni Korbani (yaani ni zawadi kwa Mungu),
12Ai tume chi mai meken les e zhutil peske dades vai peska da.
12basi, halazimiki tena kuwasaidia wazazi wake.
13Tume thon rigate E Vorba le Devleski te keren tumaro zakono, ai tume keren but aver dieli sa kadia."
13Hivyo ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa ajili ya mafundisho mnayopokezana. Tena mnafanya mambo mengi ya namna hiyo."
14Pala kodia akhardia le narodos peste, ai phendia lenge, "Savorhen, ashunen mande.
14Yesu aliuita tena ule umati wa watu, akawaambia, "Nisikilizeni nyote, mkaelewe.
15Nai so thol o manush ando mui kai maril les, numa so anklel anda lesko mui kai maril les.
15Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mtu toka nje ambacho chaweza kumtia mtu najisi. Lakini kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia mtu najisi."
16Si tume khan, antunchi ashun!"
16Mwenye masikio na asikie!
17Wo meklia le narodos ai gelo ando kher. Antunchi leske disipluria phushle les pa paramichi.
17Alipouacha umati wa watu na kuingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza maana ya huo mfano.
18Ai phendia lenge, "Chi tume sa chi haliaren? Chi haliaren, ke so thol ando lesko mui nashti maril les.
18Naye akawaambia, "Je, hata ninyi hamwelewi? Je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtu toka nje hakiwezi kumtia unajisi,
19Ke kadia chi zhal ando lesko ilo, numa ando ji, porme anklel avri, (phenelas kai sa o xabe si lasho).
19kwa maana hakimwingii moyoni, ila tumboni, na baadaye hutolewa nje chooni?" (Kwa kusema hivyo, Yesu alivihalalisha vyakula vyote.)
20Mai phendia lenge, so anklel andal manush kodia si kai kerel andal manush marime angla Del.
20Akaendelea kusema, "Kinachotoka ndani ya mtu ndicho kinachomtia najisi.
21Ke anda ilo anklel le nasul ginduria, kurvisia, mudarimos,
21Kwa maana kutoka ndani, katika moyo wa mtu, hutoka mawazo mabaya, uasherati, wizi, uuaji,
22chorimos, te manges zurales so si nai chiro, te keres vai so kai si defial nasul, atsimos, manges te dikhes po zhuvli le chorhe gindosa, zhaluzile, te des duma nasul pa Del, barimata, dzilimos.
22uzinzi, uchoyo, uovu, udanganyifu, ufisadi, wivu, kashfa, kiburi na upumbavu.
23Sa kadala nasul dieli anklen andal manush, ai kodia si kai kerel andal manush marime angla Del.
23Maovu hayo yote yatoka ndani ya mtu, nayo humtia mtu najisi."
24O Jesus gelotar kotsar ai gelo karing o Tire ai Sidon, gelo ando kher, chi mangelas khonik te zhanel kai wo sas kotse, numa nashti garavel les.
24Yesu aliondoka hapo, akaenda hadi wilaya ya Tiro. Huko aliingia katika nyumba moja na hakutaka mtu ajue; lakini hakuweza kujificha.
25Strazo ek zhuvli avili leste ke ashundia kai wo sas kotse. Sas la ek sheiorhi kai sas la ek bi vuzho ande late. Avili leste, ai peli kal punrhe (shudiape ka leske punrhe).
25Mwanamke mmoja ambaye binti yake alikuwa na pepo, alisikia habari za Yesu. Basi, akaja akajitupa chini mbele ya miguu yake.
26E zhuvli sas Grekaika, biandilia ando them Phoenicia, woi manglia les te gonil le benges avri anda laki shei.
26Mama huyo alikuwa Mgiriki, mwenyeji wa Sirofoinike. Basi, akamwomba Yesu amtoe binti yake pepo mchafu.
27Numa O Jesus phendia lake, "Nai vorta te les o manrho le glatengo ai te shudes les kal zhukel.
27Yesu akamwambia, "Kwanza watoto washibe; kwa maana si vizuri kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."
28Woi dia atweto, ai phendia leske, "E, Gazda, numa le zhukel telai skafidi xan le prushuka le glatenge."
28Lakini huyo mama akasema, "Sawa, Bwana, lakini hata mbwa walio chini ya meza hula makombo ya watoto."
29Antunchi O Jesus phendia lake, "Ke tu phendian kadala vorbi, zha khere, o beng anklisto avri anda chi shei."
29Yesu akamwambia, "Kwa sababu ya neno hilo, nenda. Pepo amemtoka binti yako!"
30Woi geli khere, ai dikhlia laki sheiorhi pashliol po than; o beng anklisto avri anda late.
30Basi, akaenda nyumbani kwake, akamkuta mtoto amelala kitandani, na pepo amekwisha mtoka.
31Antunchi O Jesus gelotar andai foruria o Tire ai o Sidon, avilo palpale kai maria Galilee, nakhelas pasha o them Decapolis.
31Kisha Yesu aliondoka wilayani Tiro, akapitia Sidoni, akafika ziwa Galilaya kwa kupitia nchi ya Dekapoli.
32Won andine leste ieke kashukes, ai nashti delas duma mishto; ai mangle lestar te thol lesko vas pe leste.
32Basi, wakamletea bubu-kiziwi, wakamwomba amwekee mikono.
33O Jesus lia les rigate katar o narodo, ai thodia leske naia andel khan, chungarde, ai azbadia leski shib,
33Yesu akamtenga na umati wa watu, akamtia vidole masikioni, akatema mate na kumgusa ulimi.
34ai vazdia le iakha kal rhaio, rhugisailo ande peste ai phendia, "Ephphatha," kodia si, phuterdiol.
34Kisha akatazama juu mbinguni, akapiga kite, akamwambia, "Efatha," maana yake, "Funguka."
35Strazo leske khan phuterdile, ai leski shib nas phangli, ai dino duma savsem/desea mishto,
35Mara masikio yake yakafunguka na ulimi wake ukafunguliwa, akaanza kusema sawasawa.
36O Jesus phendia lenge te na phenen kanikaske; numa mai but wo phenelas lenge te na phenen kanikaske, mai but won denas duma pa so kerdia O Jesus.
36Yesu akawaamuru wasimwambie mtu juu ya jambo hilo. Lakini kadiri alivyowakataza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari hiyo.
37Ta o narodo chudisailo, phenelas, "So godi kerel si desea mishto. Wo kerel le kashuke te ashunen, ai kerel le muto te den duma savsem mishto.
37Watu walishangaa sana, wakasema, "Amefanya yote vyema: amewajalia viziwi kusikia, na bubu kusema!"