1O Jesus gelotar kotsar, ai areslo ando foro kai barilo; ai leske disipluria linepe pala leste.
1Yesu aliondoka hapo akaenda katika kijiji chake, akifuatwa na wanafunzi wake.
2Ai po dies Savato, sicharelas le narodos ande lengi synagogue, chudisaile, ai phenenas, "Katar lias kado manush kasavo haliarimos ai putiera te kerel mirakluria?
2Siku ya Sabato ilipofika, alianza kufundisha katika sunagogi. Wengi waliomsikia walishangaa, wakasema, "Je, ameyapata wapi mambo haya? Ni hekima gani hii aliyopewa? Tena, anatendaje maajabu haya anayoyafanya?
3Nai kado o stoliari, o shav le Mariako, o phral le Iakovosko, ai le Josesosko, ai le Judasosko, ai o Simonosko? Ai leske pheia nai sa mashkar amende? Xoliale pe leste.
3Je, huyu si yule seremala mwana wa Maria, na ndugu yao kina Yakobo, Yose, Yuda na Simoni; Je, dada zake si wanaishi papa hapa kwetu?" Basi, wakawa na mashaka naye.
4Numa O Jesus phendia lenge, "Ferdi ande lesko foro ai ande lesko kher chi preznain le profeturia."
4Yesu akawaambia, "Nabii hakosi heshima isipokuwa katika nchi yake, kwa jamaa zake na nyumbani mwake."
5O Jesus chi kerdia but mirakluria kotse, numa thodia leske vas pe xantsi manush kai sas naswale, ai sastiardia len.
5Hakuweza kutenda miujiza hapo, ila aliwawekea mikono wagonjwa wachache, akawaponya.
6Ai chudisailo ke nai lenge pachamos. Antunchi gelo kal gava kotse, sicharel le manushen.
6Alishangaa sana kwa sababu ya kutoamini kwao. Kisha Yesu alivitembelea vijiji vya pale karibu akiwafundisha watu.
7O Jesus akhardia peste, peske desh u do disipluria, ai tradia le dui po dui; ai dia le e putiera pe le bi vuzhe duxuria;
7Aliwaita wale wanafunzi kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawiliwawili. Aliwapa uwezo wa kuwatoa pepo wachafu,
8Ai phendia lenge, "Na len khanchi tumensa po drom kai zhan, ferdi iek rovli; na len gono, vai manrho, vai love ande tumare posucha;
8na kuwaamuru, "Msichukue chochote mnapokwenda isipokuwa fimbo tu. Msichukue mkate, wala mkoba, wala fedha kibindoni.
9Thos pe tute le papucha; numa chi thos pe tute dui gada.
9Vaeni viatu lakini msivae kanzu mbili."
10Ai phendia lenge, ande fersavo kher kai aresena, beshen ka lesko kher zhi kai tume zhanatar kotsar.
10Tena aliwaambia, "Popote mtakapokaribishwa nyumbani, kaeni humo mpaka mtakapoondoka mahali hapo.
11Kodola manush te na primina tume vai te na ashunena tumende, kana zhantar anda kodo kher vai foro, chinon e pulberia pa tumare punrhe. Phenav tumenge, mai vushoro le narodoske anda Sodom ai Gomorrah po dies la krisako, ke sar kodole foroske!
11Mahali popote ambapo watu watakataa kuwakaribisheni au kuwasikiliza, ondokeni hapo na kuyakung'uta mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao."
12Ai geletar, denas duma pa Del, phenenas, "Trobul te keiin tume anda tumare bezexa!"
12Basi, wakaondoka, wakahubiri watu watubu.
13Ai gonisarde but beng, ai thodia vuloi pe but naswalen, ai sastiarde le.
13Waliwafukuza pepo wengi wabaya; wakawapaka mafuta wagonjwa wengi, wakawaponya.
14Ai o amperato o Herod ashundias e viasta pa Jesus. Le manush phenenas, "Kado si o Iovano o baptisto, zhuvindisailo pai martia. Anda kodia si les e putiera te kerel mirakluria."
14Basi, mfalme Herode alisikia juu ya hayo yote, maana sifa za Yesu zilienea kila mahali. Baadhi ya watu walikuwa wakisema, "Yohane Mbatizaji amefufuka kutoka wafu, ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake."
15Uni phenen, "Kado si o Elias." Ai aver phenen, "Kado si iek profeto, vai sar iek andal profeturia."
15Wengine walisema, "Mtu huyu ni Eliya." Wengine walisema, "Huyu ni nabii kama mmojawapo wa manabii wa kale."
16Numa kana o Herod ashundia kadia, phendia, "Kado si o Iovano! Phendem te shinen o shero le Iovanosko; ai zhuvindisailo pai martia."
16Lakini Herode alipopata habari hizi alisema, "Huyu ni Yohane! Nilimkata kichwa, lakini amefufuka."
17O Herod astardias le Iovanos, ai phangle les lantsonsa ai thodia les ande temnitsa palai Herodias, e rhomni leske phraleski o Philip: ke wo ansurisailo lasa.
17Hapo awali Herode mwenyewe alikuwa ameamuru Yohane atiwe nguvuni, akamfunga gerezani. Herode alifanya hivyo kwa sababu ya Herodia ambaye Herode alimwoa ingawaje alikuwa mke wa Filipo, ndugu yake.
18Ke o Iovano phenelas ka Herod, "Nai tuke slobodo te les e rhomni cho phraleski."
18Yohane alikuwa amemwambia Herode, "Si halali kwako kumchukua mke wa ndugu yako."
19E Herodias xoliarikosas le Iovanosa, ai mangelas te mudarel le Iovanos, numa nashtisardia.
19Basi Herodia alimchukia sana Yohane, akataka kumwua, asiweze.
20O Herod daralas katar o Iovano. Wo zhanelas kai o Iovano sas ek lasho ai chacho manush. Wo lelas sama lestar ai chi meklia khonik te dukhavel les. Kana o Iovano dia duma pa Del wo ashundia les raduimasa, numa ando lesko ilo nai mishto sas.
20Herode alimwogopa Yohane kwa maana alijua kwamba yeye ni mtu mwema na mtakatifu, na hivyo akamlinda. Herode alipenda kumsikiliza Yohane, ingawaje baada ya kumsikiliza, alifadhaika sana.
21Antunchi e Herodias dikhlia sar dashtil te mudarel o Iovano. Po dies kai arakhadilo o Herod, dia ek pachiv le gazdaske, le bare kapitanuria, ai le mai bareske andai Galilee.
21Ikapatikana nafasi, wakati wa sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode. Herode aliwafanyia karamu wazee wa baraza lake, majemadari na viongozi wa Galilaya.
22Ai kana e shei la Herodiaki avili andre, woi kheldias lenge, ai de sa zurales plachalias le Herodos ai won kai sas lesa, o amperato phendia ka shei, "Phushes mandar so godi manges, ai dava tu so godi manges."
22Basi, binti yake Herodia aliingia, akacheza, akawafurahisha sana Herode na wageni wake. Mfalme akamwambia huyo msichana, "Niombe chochote utakacho, nami nitakupa."
23Ai solaxadia lake, "So godi manges mandar, dava tu so manges, vi dava tu dopash murhi amperetsaki."
23Tena akamwapia, "Chochote utakachoniomba, nitakupa: hata ikiwa ni nusu ya ufalme wangu."
24Woi geli kai laki dei, ai phendia lake, "So sai phushav lestar?" Ai laki dei phendia, "O shero le Iovanosko o baptisto."
24Hapo huyo msichana akatoka, akamwuliza mama yake, "Niombe nini?" Naye akamjibu, "Kichwa cha Yohane mbatizaji."
25Woi avili strazo ka amperato, ai phushlia lestar, phenel, "An mange pek charo o shero le Iovanosko o baptisto.
25Msichana akamrudia mfalme mbio akamwomba, "Nataka unipe sasa hivi katika sinia kichwa cha Yohane mbatizaji."
26O amperato nekezhisailo, numa ke solaxadias angla o narodo, phendias te den la so mangel.
26Mfalme akahuzunika sana, lakini kwa sababu ya kiapo chake, na kwa ajili ya wale wageni wake karamuni, hakutaka kumkatalia.
27Strazo o amperato tradia iek andal ketani te shinen o shero le Iovanosko ande temnitsa, ai dia ordina te anel o shero le Iovanosko leste. Ek ketani gelo kai temnitsa ai shindia o shero le Iovanosko.
27Basi, mfalme akamwamuru askari kukileta kichwa cha Yohane. Askari akaenda, akamkata kichwa Yohane mle gerezani,
28Andine lesko shero pek charo ai dine les kai shei, ai woi angerdia les kai laki dei.
28akakileta katika sinia, akampa msichana naye msichana akampa mama yake.
29Ai kana leske disipluria ashunde kadia, avile, line lesko stato, ai groposarde les.
29Wanafunzi wa Yohane walipopata habari, walikwenda wakachukua mwili wake, wakauzika kaburini.
30Le Apostluria avile palpale, ai phende ka Jesus so godi kerde, ai so sicharenas.
30Wale mitume walirudi, wakakusanyika mbele ya Yesu wakamwarifu yote waliyotenda na kufundisha.
31Wo phendia lenge, "Aven tume korkorho ande pusta ai hodinin xantsi, ke sas but narodo kai avenas ai zhanas, ai vi nas le vriama te xan.
31Alisema hivyo kwa kuwa kulikuwa na watu wengi mno walikuwa wanafika hapo na kuondoka hata Yesu na wanafunzi wake hawakuweza kupata nafasi ya kula chakula. Basi, Yesu akawaambia, "Twendeni peke yetu mahali pa faragha kula chakula, mkapumzike kidogo."
32Ai geletar pek chuno korkorho kai nas khonik.
32Basi, Wakaondoka peke yao kwa mashua, wakaenda mahali pa faragha.
33O narodo dikhle le kana geletar, ai but zhanenas les, ai nashle telal avri anda sa le foruria, ai aresle kotse mai anglal lendar, ai chidinisaile.
33Lakini watu wengi waliwaona wakienda, wakawatambua. Hivyo wengi wakatoka katika kila mji, wakakimbilia huko Yesu na wanafunzi wake walikokuwa wanakwenda, wakawatangulia kufika.
34Kana O Jesus anklisto avri anda chuno, dikhlias but narodo, pelias leske mila anda lende, ke won sas sar bakriorhe bi le pastuxosa, ai wo sicharelas le but kai trobulsardias te zhanen.
34Waliposhuka pwani, Yesu aliona umati mkubwa wa watu, akawahurumia, kwa sababu walikuwa kama kondoo wasio na mchungaji. Akaanza kuwafundisha mambo mengi.
35Kana avili e riat leske disipluria avile leste, ai phende leske, "Si pusta katse ai vunzhe pozno.
35Saa za mchana zilikwisha pita. Basi, wanafunzi wakamwendea Yesu, wakamwambia, "Hapa ni nyikani, na sasa kunakuchwa.
36Trade le narodos te zhan andel gava ai avrial le gave te chinen peske manrho, ke nai le khanchi te xan."
36Afadhali uwaage watu waende mashambani na katika vijiji vya jirani, wanunue chakula."
37Wo dia atweto ai phendia lenge, "Den le te xan." Ai won phende leske, "Tu manges ame te zhas ai chinas manrhe kai anklel dui shela teliara te pravarel sa le manush?"
37Lakini Yesu akawaambia, "Wapeni ninyi chakula." Nao wakamwuliza, "Je, twende kununua mikate kwa fedha dinari mia mbili, na kuwapa chakula?"
38Phendia lenge, "Sode manrhe si tume? Zha ai dikh." Ai kana zhanenas, phenen, "Panzh manrhe, ai dui mashe."
38Yesu akawauliza, "Mnayo mikate mingapi? Nendeni mkatazame." Walipokwisha tazama, wakamwambia, "Kuna mikate mitano na samaki wawili."
39O Jesus phendias le narodoske te beshen tele pel zeleno char.
39Basi, Yesu akawaamuru wanafunzi wawaketishe watu wote makundimakundi penye nyasi.
40Ai beshle tele andek than po panvardesh zhene ai po iek shel zhene.
40Nao wakaketi makundimakundi ya watu mia moja na ya watu hamsini.
41O Jesus lias le panzh manrhe ai le dui mashe, vazdia le iakha karing o rhaio, ai naisisardia, ai phaglias le manrhe, dias le kal disiplonge, ai le disipluria dine le ka narodo; ai xulade le dui mashe mashkar lende.
41Kisha Yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu, akaimega mikate, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu. Na wale samaki wawili pia akawagawia wote.
42Savorhe xale ai chailile.
42Watu wote wakala, wakashiba.
43Antunchi le disipluria chide le kotora le manrheske ai le masheske kai ashshile, desh u dui kozhnitsi pherde sas.
43Wakaokota mabaki ya mikate na samaki pia, wakajaza vikapu kumi na viwili.
44Kodola kai xale le manrheske sas panzh mi mursh.
44Nao waliokula hiyo mikate walikuwa wanaume elfu tano.
45Strazo O Jesus kerdias le disipluria te zhan ando chuno te zhan mai anglal lestar pe kaver rig le paieske ka foro Bethsaida, zhi pon wo tradias le narodos te zhantar.
45Mara Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie kwenda Bethsaida, ng'ambo ya ziwa, wakati yeye anauaga umati wa watu.
46Kana tradia le narodos te zhantar, gelo opre po plai te rhugilpe.
46Baada ya kuwaaga watu alikwenda mlimani kusali.
47Kana peli e riat, o chuno sas mashkaral e maria, ai O Jesus sas kotse korkorho pe phuv.
47Ilipokuwa jioni, mashua ilikuwa katikati ya ziwa, naye alikuwa peke yake katika nchi kavu.
48Dikhlia kai sas le but chino te visilin o chuno; ke barval phurdelas zurales pe lende, mashkar le trin ai le shov chasuria diminiatsake, O Jesus avilo karing lende, phirelas po pai, ai wo nakhelas pasha lende.
48Basi, akawaona wanafunzi wake wakitaabika kwa kupiga makasia, maana upepo ulikuwa unawapinga. Karibu na mapambazuko, Yesu aliwaendea akitembea juu ya maji. Alitaka kuwapita.
49Kana le disipluria dikhle les phirel po pai, tsipisarde daratar; "Choxano si!"
49Lakini walimwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu, wakapiga yowe.
50Ke savorhe dikhle les, ai chudisaile daratar. Strazo dia duma lensa, ai phendia lenge, "Aven veselo, ke me sim, na daran!"
50Maana wote walipomwona waliogopa sana. Mara Yesu akasema nao, "Tulieni, ni mimi. Msiogope!"
51Ai Wo avilo karing lende ai anklisto ande chuno; ai e barval aterdili: ai but chudisaile ai gindinaspe pa so kerdilia.
51Kisha akapanda mashuani walimokuwa, na upepo ukatulia. Nao wakashangaa sana.
52Ke chi haliarde so znachil o miraklo le manrhengo; ke lengo ilo zuralo sas.
52maana hawakuwa bado wameelewa maana ya ile mikate. Akili zao zilikuwa bado zimepumbazika.
53Ai kana nakhle inchal o pai, aresle kai phuv ando them kai bushol Gennersaret, ai gele karing e berego.
53Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti, wakatia nanga.
54Ai kana ankliste avri anda chuno, strazo le manush kotsar prinzharde les.
54Walipotoka mashuani, mara watu wakamtambua Yesu.
55Trade divano ande sa o them, ai le manush andine sa penge naswalen leste.
55Basi, kwa haraka wakazunguka katika nchi ile yote, wakaanza kuwachukua wagonjwa wamelala juu ya mikeka yao, wakawapeleka kila mahali waliposikia Yesu yupo.
56Ai kai godi gelo andel gava, andel foruria, vai avrial le gava; andel bazaria ai pel vulitsi, won thode kodola kai sas naswale, ai phende leske, te ferdi dashtin le naswalen te pashon pasha leste te azban e tivala leske raxamaki, ai kon godi azbadias leski raxami sastile.
56Kila mahali Yesu alipokwenda, vijijini, mijini, au mashambani, watu waliwaweka wagonjwa uwanjani, wakamsihi waguse walau pindo la vazi lake. Nao wote waliomgusa walipona.