1Pe kodia vriama o Herod o tetrarch, ashundias e viasta pa O Jesus.
1Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.
2Ai phenel peske slugenge, "Kado si o Iovano o baptisto, zhuvindisailo pai martia, anda kodia si les e putiera te kerel mirakluria."
2Basi, akawaambia watumishi wake, "Mtu huyu ni Yohane mbatizaji, amefufuka kutoka wafu; ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake."
3O Herod astardias le Iovanos, phanglia les lantsonsa ai thodia les ande temnitsa, palai Herodias, e rhomni leske phraleski o Philip.
3Herode ndiye aliyekuwa amemtia Yohane nguvuni, akamfunga minyororo na kumtia gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo, ndugu yake. Sababu hasa ni
4Ke o Iovano phenelas leske, "Nai tuke slobodo te les la!"
4kwamba alikuwa amemwambia Herode, "Si halali kwako kuishi na huyo mwanamke!"
5Wo mangelas te mudarel le Iovanos, numa daralas katar o narodo, ke sa o narodo jinenas les profeto.
5Herode alitaka kumwua Yohane, lakini aliogopa watu kwa sababu kwao Yohane alikuwa nabii.
6Po dies kai arakhadilo, dine pachiv le Herodos, e shei la Herodiaki kheldias lenge, ai de sa zurales plachalias le Herodos.
6Katika sherehe za sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti ya Herodia alicheza mbele ya wageni. Herode alifurahiwa,
7Anda kudia solaxadias, te del la so godi mangel.
7hata akaahidi kwa kiapo kumpa huyo msichana chochote atakachoomba.
8Pala laka dako sikaimos phendias, An mange pek charo o shero le Iovanosko o baptisto.'
8Naye, huku akichochewa na mama yake, akaomba, "Nipe papahapa katika sinia kichwa cha Yohane mbatizaji."
9O amperato nekezhisailo, numa ke solaxadias angla o narodo phendias te den la so mangel.
9Mfalme alihuzunika, lakini kwa sababu ya kile kiapo chake na kwa sababu ya wale wageni karamuni, akaamuru apewe.
10Tradia te shinen o shero le Iovanosko ande temnitsa.
10Basi, Herode akatuma mtu gerezani amkate kichwa Yohane.
11Andine lesko shero pek charo, dine les kai shei, ai woi angerdia les ka peski dei.
11Kichwa chake kikaletwa katika sinia, wakampa yule msichana, naye akampelekea mama yake.
12Leske disipluria avile, line lesko stato, groposarde les; ai gele ka Jesus ta phende leske so kerdiliape.
12Wanafunzi wa Yohane wakaja, wakauchukua mwili wake, wakauzika. Kisha wakaenda kumpasha habari Yesu.
13Kana O Jesus ashundias so kerdiliape, gelotar pek chuno korkorho kai nas khonik, o narodo andal foruria ashunde kodia, ai linepe pala leste telal.
13Yesu alipopata habari hiyo, aliondoka mahali pale kwa mashua, akaenda mahali pa faragha peke yake. Lakini watu walipata habari, wakamfuata kwa miguu toka mijini.
14Kana O Jesus avilo palpale, dikhlias baro narodo, pelias leske mila anda lende, ai sastiardias lenge naswalen.
14Basi, aliposhuka pwani, aliona umati mkubwa wa watu, akawaonea huruma, akawaponya wagonjwa wao.
15Kana e riat perelas le disipluria avile leste ai phende," Vuzhe pozno ai nai khanchi katse. Trade le narodos te zhantar, te zhan andel foruria te chinen peske te xan."
15Kulipokuwa jioni, wanafunzi wake walimwendea wakamwambia, "Mahali hapa ni nyikani, na saa zimepita. Basi, uwaage watu ili waende vijijini wakajinunulie chakula."
16Numa O Jesus phendias lenge, 'Chi trobul te zhantar, den le tume te xan!"
16Yesu akawaambia, "Si lazima waende, wapeni ninyi chakula."
17Won phende leske, "Ferdi panzh manrhe ai dui mashe si ame."
17Lakini wao wakamwambia, "Tunayo mikate mitano tu na samaki wawili."
18"Anen le mande," phendias O Jesus.
18Yesu akawaambia, "Nileteeni hapa."
19O Jesus phendias le narodoske te beshen tele pe char; lias le panzh manrhe ai le dui mashe, vazdia le iakha karing o rhaio, ai naisisardias ai phaglias le manrhe, dias le kal disipluria, ai le disipluria dine le ka narodo.
19Akawaamuru watu waketi katika nyasi. Kisha akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru Mungu. Halafu akaimega hiyo mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu.
20Savorhe xale ai chailile. Kana le disipluria chide le kotora kai ashshile desh u dui kozhnitsi pherde sas.
20Watu wote wakala, wakashiba. Kisha wanafunzi wakakusanya mabaki, wakajaza vikapu kumi na viwili.
21Kodola kai xale sas panzh mi mursh, ai vi zhuvlia ai glate sas.
21Jumla ya waliokula ilikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.
22Strazo O Jesus kerdias te anklen le disipluria ando pamphuri te zhan mai anglal lestar pe kaver rig le paieske, zhi pon wo tradias le narodos te zhantar.
22Mara, Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie ng'ambo ya ziwa wakati yeye anawaaga watu.
23Kana tradias le narodos te zhantar, gelo opre ande plai korkorho te rhujilpe. Kana peli e riat, kote sas korkorho.
23Baada ya kuwaaga, alipanda mlimani peke yake kusali. Ilipokuwa jioni, yeye alikuwa huko peke yake,
24O pamphuri sas mashkaral e maria, ai buntuime sas katar le talazuria ke e barval phurdelas zurales.
24na wakati huo ile mashua ilikwishafika karibu katikati ya ziwa, lakini ilikuwa inakwenda mrama kwa sababu upepo ulikuwa unaipinga.
25Mashkar le trin ai le shov chasuria diminiatsako O Jesus avilo karing lende, phirelas po pai.
25Usiku, karibu na mapambazuko, Yesu aliwaendea wanafunzi akitembea juu ya maji.
26Kana le disipluria dikhle les ke phirel po pai, daraile. Ai tsipinas, "Choxano si!"
26Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji waliingiwa na hofu, wakasema, "Ni mzimu!" Wakapiga kelele kwa hofu.
27Numa strazo O Jesus phendias lenge, "Aven veselo, ke me sim, Na daran!"
27Mara, Yesu akasema nao, "Tulieni, ni mimi. Msiogope!"
28O Petri dias mui, "Gazda, te san tu, akhar ma te avav tute po pai."
28Petro akamwambia, "Bwana, ikiwa ni wewe kweli, amuru nitembee juu ya maji nije kwako."
29"Aidi," phendias. Antunchi o Petri anklisto anda pamphuri ai phirdias po pai karing O Jesus.
29Yesu akasema, "Haya, njoo." Basi, Petro akashuka kutoka ile mashua, akatembea juu ya maji, akamwendea Yesu.
30Numa kana thodias sama ke e barval phurdel zurales, darailo, antunchi tasolas ai tsipisardias, "Gazda, skepisar ma!"
30Lakini alipouona ule upepo, aliogopa, akaanza kuzama; akalia kwa sauti, "Bwana, niokoe!"
31Strazo O Jesus anzardias pesko vas, astardia les ai phendia leske, "Tu kai si tu xantsi pachamos! Sostar chi pachaian?"
31Hapo, Yesu akaunyosha mkono wake, akamshika na kumwambia, "Ewe mwenye imani haba! Kwa nini uliona shaka?"
32Kana ankliste ando pamphuri, e barval aterdili.
32Basi, wakapanda mashuani, na upepo ukatulia.
33Ai kodola kai sas ando pamphuri luvudisarde ai preznaisarde les phenenas, "Chaches tu san O Shav le Devlesko!"
33Wote waliokuwa ndani ya mashua walimsujudia, wakasema, "Hakika wewe ni Mwana wa Mungu."
34Kana aresle inchal ando them sas kai bushol Gennesaret.
34Walivuka ziwa, wakafika nchi ya Genesareti.
35Kana le manush kotsar prinzharde les, trade divano ande sa o them ai le manush andine sa penge naswalen leste.
35Watu wa huko walipomtambua, wakaeneza habari pote katika sehemu hizo. Basi, wakamletea Yesu wagonjwa wote,
36Rhugisaile leste te mekel le naswalen, ferdi te azban e tivala leske raxamaki, ai kon godi azbadias leski raxami sastile.
36wakamwomba awaruhusu waguse tu pindo la vazi lake; wote waliomgusa walipona.