Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Matthew

15

1Antunchi uni Gramnoturia ai Farizeanuria avile andai Jerusalem ka Jesus ai phushle les,
1Kisha Mafarisayo na walimu wa Sheria wakafika kutoka Yerusalemu, wakamwendea Yesu, wakamwuliza,
2"Sostar che disipluria chi keren o zakono le phurengo? Won chi xalaven penge vas kana xan!"
2"Kwa nini wanafunzi wako hawajali mapokeo tuliyopokea kutoka kwa wazee wetu? Hawanawi mikono yao kama ipasavyo kabla ya kula!"
3O Jesus phendia lenge, "Ai tume sostar phagen o zakono le Devlesko, te keren tumaro zakono?
3Yesu akawajibu, "Kwa nini nanyi mnapendelea mapokeo yenu wenyewe na hamuijali Sheria ya Mungu?
4Ke O Del phendia, Preznaisar che dades ai cha da, ai kodo kai prokletsila peske dades vai peska da trobul mudardo."
4Mungu amesema: Waheshimu baba yako na mama yako, na Anayemkashifu baba yake au mama yake, lazima auawe.
5Numa tume phenen kon godi phenela peske dadeske vai peska dake, so sai demas tume te zhutiv tume dem ka Del.
5Lakini ninyi mwafundisha ati mtu akiwa na kitu ambacho angeweza kuwasaidia nacho baba au mama yake, lakini akasema: Kitu hiki nimemtolea Mungu,
6Kado manush nai leske musai te preznail peske dades ai peska da. Kadia tume phagen o zakono le Devlesko te keren tumaro zakono.
6basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.
7Tume manush kai ankerdion so chi san! O Isaiah, mishto dias profesi pa tumende kana phendia,
7Enyi wanafiki! Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu:
8"Kado narodo preznain ma peska mosa, numa lengo ilo dur mandar.
8Watu hawa, asema Mungu, huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami.
9Intaino preznain ma, ke won sicharen manushenge zakonuria sar te avilino le Devleske."
9Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu."
10Pala kodia akhardias le narodos peste ai phendia lenge, 'Ashunen ai haliaren!
10Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, "Sikilizeni na muelewe!
11Nai so thol o manush ando mui kai maril les, numa so anklel anda lesko mui, si so kai maril les.'
11Kitu kinachomtia mtu najisi si kile kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho kinywani. Hicho ndicho kimtiacho mtu najisi."
12Antunchi le disipluria avile leste ai phende leske, "Zhanes ke le Farizeanuria xoliale kana ashunde so phendian?"
12Kisha wanafunzi wakamwendea, wakamwambia, "Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa waliposikia maneno yako?"
13O Jesus phendia, "Che godi patria kai chi thodias te bariol murho Dat kai si ando rhaio, avela ankaladi avri.
13Lakini yeye akawajibu, "Kila mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakuupanda, utang'olewa.
14Mek le! Ke won si sar korhe kai phiraven avre korhen; kana iek korho ingerel avre korhes, vi le dui si te peren ande hunia."
14Waacheni wenyewe! Wao ni vipofu, viongozi wa vipofu; na kipofu akimwongoza kipofu, wote wawili hutumbukia shimoni."
15O Petri phendias, "Sikav ame te haliaras kadala paramichi."
15Petro akadakia, "Tufafanulie huo mfano."
16O Jesus phendias, "Chi tu sa chi haliares?"
16Yesu akasema, "Hata nyinyi hamwelewi?
17Chi haliares? Ke so godi thos ando mui, zhan ando ji, ai porme anklel avri.
17Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani huenda tumboni na baadaye hutupwa nje chooni?
18Numa so anklel anda mui avel anda ilo; ai kodia si kai kerel andal manush marime angla Del.
18Lakini yale yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu najisi.
19Ke anda ilo anklen le nasul ginduria, mudarimos, adulteri, kurvisia, chorimos, xoxaimos, pupuiimos, ai te des duma nasul pa Del.
19Maana moyoni hutoka mawazo maovu yanayosababisha uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na kashfa.
20Kodia kerel andal manush marime angla Del. Numa kai xan bi te xalaven peske vas. Nai marime angla Del.
20Hayo ndiyo yanayomtia mtu najisi. Lakini kula chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu najisi."
21O Jesus gelotar kotsar ai gelo karing o Tire ai Sidon.
21Yesu aliondoka mahali hapo akaenda kukaa katika sehemu za Tiro na Sidoni.
22Ek zhuvli kai avili anda Canaan delas mui, "Al tuke mila anda mande! Gazda, Shav le Davidosko. Murhi shei chinuil zurales ke beng ande late."
22Basi, mama mmoja Mkaanani wa nchi hiyo alimjia, akapaaza sauti: "Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, nionee huruma! Binti yangu anasumbuliwa na pepo."
23O Jesus chi phendia lake khanchi chi iek vorba. Leske disipluria avile leste ai phende leske, "Phen lake te zhaltar ke tsipil ai lelpe pala amende!"
23Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi, wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, "Mwambie aende zake kwa maana anatufuatafuata akipiga kelele."
24O Jesus phendia, "Tradino sim ferdi kal bakriorhe le xasarde anda kher Israel."
24Yesu akajibu, "Sikutumwa ila kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo."
25Numa e zhuvli avili ai thodiape ande changende angla leste, ai phendias, "Gazda, zhutisar ma!"
25Hapo huyo mama akaja, akapiga magoti mbele yake, akasema, "Mheshimiwa, nisaidie."
26Wo phendias, "Nai vorta te les o manrho le glatengo ai te shudes les kal zhukel."
26Yesu akamjibu, "Si sawa kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."
27Woi phendias leske, "Chaches, Gazda, numa le zhukel xan le prusuka kai peren katar lenge gazdaski skafidi."
27Huyo mama akajibu, "Ni kweli, Mheshimiwa; lakini hata mbwa hula makombo yanayoanguka kutoka meza ya bwana wao."
28Antunchi O Jesus phendia lake, "Zhuvlio, cho pachamos baro te kerdiolpe tuke so manges." Ai strazo lake shei sastili.
28Hapo Yesu akamjibu, "Mama, imani yako ni kubwa; basi, ufanyiwe kama unavyotaka." Yule binti yake akapona tangu saa hiyo wakati huohuo.
29O Jesus gelo pasha e maria, Galilee. Gelo pe iek plaiin ai kote beshlo tele.
29Yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa Galilaya, akapanda mlimani, akaketi.
30But narodo avelas leste, andine pesa le bangen, korhen, kashuken, le muto, le dukhade, ai but aver. Thode le ka leske punrhe, ai sastiardia le.
30Watu wengi sana wakamjia wakiwaleta vilema, vipofu, viwete, bubu na wengine wengi waliokuwa wagonjwa, wakawaweka mbele ya miguu yake, naye Yesu akawaponya.
31Ta o narodo chudisailo kana dikhle ke le kashuke ashunen, le muto dine duma, le naswale sastile, le bange phirenas, le korhe dikhenas, won preznaisarde ai luvudisarde O Del le Israelosko.
31Umati ule wa watu ulishangaa sana ulipoona bubu wakiongea, waliokuwa wamelemaa wamepona, viwete wakitembea na vipofu wakiona; wakamsifu Mungu wa Israeli.
32O Jesus akhardia peske disiplon peste ai phendias, "Mila mange anda narodo, ke de trin dies mansa le, ai na le so xan. Chi mangav te zhantar bokhale, ke kam zalin po drom."
32Basi, Yesu aliwaita wanafunzi wake, akasema, "Nawaonea watu hawa huruma kwa sababu kwa siku tatu wamekuwa nami, wala hawana chakula. Sipendi kuwaacha waende bila kula wasije wakazimia njiani."
33Le disipluria phende leske, "Kai te las dosta manrho ande kadia pusta te pravaras ka savo baro narodo?"
33Wanafunzi wakamwambia, "Hapa tuko nyikani; tutapata wapi chakula cha kuwatosha watu wengi hivi?"
34O Jesus phushlias le, "Sode manrhe si tume?" Won phende, "Efta manrhe ai xantsi tsinorhe mashe."
34Yesu akawauliza, "Mnayo mikate mingapi?" Wakamjibu, "Saba na visamaki vichache."
35Wo phendia le narodoske te beshen tele pe phuv.
35Basi, Yesu akawaamuru watu wakae chini.
36Lia le efta manrhe ai le mashe, kana dias naisimos, phaglias le, ai dias le kal disipluria, le disipluria dine le ka narodo.
36Akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akamshukuru Mungu, akavimega, akawapa wanafunzi, nao wakawagawia watu.
37Savorhe xale ai chailile. Le disipluria chide le kotora kai ashshile efta kozhnitsi pherde sas.
37Wote wakala, wakashiba. Kisha wakakusanya makombo, wakajaza vikapu saba.
38Kodola kai xale sas shtar mi mursh, ai vi zhuvlia ai glate sas.
38Hao waliokula walikuwa wanaume elfu nne, bila kuhesabu wanawake na watoto.
39Kana O Jesus tradia le narodos te zhantar, anklisto andek pamphuri, ai gelo ando o foro Magadan.
39Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.