Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Matthew

19

1Kana O Jesus getosardias so phenelas, gelotar andai Galilee karing e Judea inchal e Jordan.
1Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka Galilaya, akaenda katika mkoa wa Yudea, ng'ambo ya mto Yordani.
2Bare naroduria gele pala leste, ai sastiardia le kotse.
2Watu wengi walimfuata huko, naye akawaponya.
3Le Farizeanuria avile leste te zumaven les, ai phushle les, "Dar vorta ai slobodo ando zakono te mekel o manush peska rhomnia anda vari soste godi?"
3Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, "Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?"
4Dias atweto ai phendias, "Chi jindian ke kodo kai kerdias le de anda gor kerdias le mursh ai zhuvlia?
4Yesu akawajibu, "Je, hamkusoma katika Maandiko Matakatifu kwamba Mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke,
5Ai phendias, "Anda kodia o mursh si te mekel peske dades ai peska da, ai avela astardo ka peski rhomni, ai le dui avena iek stato."
5na akasema: Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja?
6Pala kodia na mai dui numa iek stato. So Del thodias andek than o manush te na hulavel."
6Kwa hiyo wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe."
7Won phende leske, "Apo, Sostar o Moses meklias ke sai mekel o manush peska rhomnia te dela la lil anda vas?"
7Lakini wao wakamwuliza, "Kwa nini basi, Mose alituagiza mwanamke apewe hati ya talaka na kuachwa?"
8Wo phendias lenge, "Ke zuradian tumaro ilo o Moses meklias ke sai meken tumare rhomnian. Numa de anda gor nas kadia.
8Yesu akawajibu, "Mose aliwaruhusu kuwaacha wake zenu kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu.
9Me mothav tuke kon godi mekela peska rhomnia te na avela ke kurvisaile, ai te lela avria kerdias kurvia, ai kodo kai lela la kerel kurvia.
9Lakini haikuwa hivyo tangu mwanzo. Basi nawaambieni, yeyote atakayemwacha mke wake isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, akaoa mke mwingine, anazini."
10Le disipluria phende leske, "Te avela kadia mashkar o mursh ai leski rhomni mai feder te na meritinpe.
10Wanafunzi wake wakamwambia, "Ikiwa mambo ya mume na mkewe ni hivyo, ni afadhali kutooa kabisa."
11Wo phendias lenge, "Nashtin sa le manush te primin kado sikaimos. Numa kodola kaste si dino.
11Yesu akawaambia, "Si wote wanaoweza kulipokea fundisho hili, isipokuwa tu wale waliojaliwa na Mungu.
12Uni si Eunuchs ke biandile kadia, uni si Eunuchs ke le manush kerde le kadia, ai uni si Eunuchs ke won mangen pala e amperestia le rhaioski. Kodo kai sai primil, mek te primil."
12Maana kuna sababu kadhaa za kutoweza kuoa: wengine ni kwa sababu wamezaliwa hivyo, wengine kwa sababu wamefanywa hivyo na watu, na wengine wameamua kutooa kwa ajili ya Ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea fundisho hili na alipokee."
13Antunchi andine tsinorhe glaten te thol peske vas pe lende ai te rhugil lenge, numa le disipluria dine le trad.
13Kisha watu wakamletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono na kuwaombea. Lakini wanafunzi wakawakemea.
14O Jesus phendias, "Mek te aven le glate mande, ai na ashaven le, ke e amperetsia le rhaioski kodolenge si kai si sar lende."
14Yesu akasema, "Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie; maana Ufalme wa mbinguni ni wa watu walio kama watoto hawa."
15Thodia peske vas pe lende ai gelotar kotsar.
15Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.
16Iek manush avilo ka Jesus ai phushlia les, "Lasho Gazda, che lashimos trobul te kerav te avel ma traio kai chi mai getolpe?"
16Mtu mmoja alimjia Yesu, akamwuliza, "Mwalimu, nifanye kitu gani chema ili niupate uzima wa milele?"
17Wo phendias leske, "Sostar mothos mange lasho? Ke nai khonik lasho. O Del ferdi si lasho. Te mangesa te nakhes ando traio kai chi getolpe anker le zakonuria."
17Yesu akamwambia, "Mbona unaniuliza kuhusu jambo jema? Kuna mmoja tu aliye mwema. Ukitaka kuingia katika uzima, shika amri."
18"Savo?" phushlias lestar. O Jesus phendias leske, "Na mudar, na ker kurvia, na chor, na xoxav.
18Yule mtu akamwuliza, "Amri zipi?" Yesu akasema, "Usiue, usizini, usiibe, usitoe ushahidi wa uongo,
19Preznaisar che dades ai cha da, ai te avel tuke drago le manush sar kai san tu tuke."
19waheshimu baba yako na mama yako; na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe."
20O terno manush phendias, "Sa kadala zakonuria ankerdem de sar sim tsinorho: So mai trobul te kerav?"
20Huyo kijana akamwambia, "Hayo yote nimeyazingatia tangu utoto wangu; sasa nifanye nini zaidi?"
21O Jesus phendias leske, "Te mangesa te aves vorta, zha bichin so si tu, de kal chorhe, ai avela tu manjin ando rhaio: antunchi aidi pala mande."
21Yesu akamwambia, "Kama unapenda kuwa mkamilifu, nenda ukauze mali yako uwape maskini hiyo fedha, nawe utakuwa na hazina mbinguni, kisha njoo unifuate."
22Kana o terno manush ashundias kodia tristosailo ai gelotar, ke but barvalimos sas les.
22Huyo kijana aliposikia hayo, alienda zake akiwa mwenye huzuni, maana alikuwa na mali nyingi.
23Porme O Jesus phendia peske disiplonge, "Phenav tumenge o chachimos, trutno ek barvale manusheske te zhal ande amperetsia le rhaioski.
23Hapo Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Kweli nawaambieni, itakuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.
24Ai mai phenav tumenge, mai vushoro te nakhel iek gemula andai iakh la suviaki, de sar iek barvalo manush te zhal ande amperetsia le Devleski."
24Tena nawaambieni, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni."
25Kana le disipluria ashunde kadia, chudisaile ai phende, "Apo, kon sai avela skepime?"
25Wale wanafunzi waliposikia hivyo walishangaa, wakamwuliza, "Ni nani basi, awezaye kuokoka?"
26O Jesus dikhlias pe lende. Ai phendias lenge, "Le manush anda pende nashtin, numa le Devlesa vari so sai kerdiol."
26Yesu akawatazama, akasema, "Kwa binadamu jambo hili haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote huwezekana."
27Antunchi o Petri phendias leske, "Ame mekliam swako fielo ai liam ame pala tute. So avela amen."
27Kisha Petro akasema, "Na sisi je? Tumeacha yote tukakufuata; tutapata nini basi?"
28O Jesus phendia lenge, "Phenav tumenge o chachimos, ande nevi lumia kana O Shav le Manushesko beshela pe pesko skamin o amperatitsko ando barimos le rhaiosko, tume kai lian tume pala mande, si te beshen pe desh u dui amperatitske skamina, te shinen kris pe le desh u dui vitsi andai Israel.
28Yesu akawaambia, "Nawaambieni kweli, Mwana wa Mtu atakapoketi katika kiti cha enzi cha utukufu wake katika ulimwengu mpya, ninyi mlionifuata mtaketi katika viti kumi na viwili mkiyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
29Ai kon godi mekela khera, phralen, pheian, dades, vai da, rhomni, glaten, vai phuvia pala mande, lena iek shelvar mai but ai avela le o traio kai chi getolpe.
29Na kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi, na kupata uzima wa milele.
30But anda le perve avena le palune, ai but kai sas le palune avena le perve."
30Lakini walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.