Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Matthew

20

1E amperetsia le rhaioski si sar iek gazda kai gelo diminiatsi te lel manush te keren buchi ande leski rez.
1"Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba la mizabibu, ambaye alitoka asubuhi na mapema kuwaajiri wafanyakazi katika shamba lake.
2Ashilo le bucharensa pe iek pena po dies ai tradia le ande peski rez.
2Akapatana nao kuwalipa dinari moja kwa siku, kisha akawapeleka katika shamba lake la mizabibu.
3Karing le inia, gelotar ai ando bazari dikhlias avren kai chi kerenas khanchi.
3Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi.
4Lenge phendia, "Zhan vi tume ande murhi rez, ai dava tumen so si vorta."
4Akawaambia, Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.
5Karing le desh u dui miazutsi, ai magdata karing le trin pala miazutsi kerdias sa kadia.
5Basi, wakaenda. Huyo mwenye shamba akatoka tena mnamo saa sita na saa tisa, akafanya vivyo hivyo.
6Karing le pansh pala miazutsi gelo ai arakhlias avren kai chi kerenas khanchi, ai phendias lenge, "Sostar beshen katse sorho dies ai chi keren khanchi?"
6Hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. Basi, akawauliza, Mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?
7Won phende leske, "Ke chi lias amen khonik te keras buchi." Lenge phendias, "Zhan vi tume ande murhi rez, ai so godi avela vorta, kodia len."
7Wakamjibu: Kwa sababu hakuna mtu aliyetuajiri. Yeye akawaambia, Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu.
8"Kana peli e riat, o gazda la rezako phendia peske slugake, "Akhar le bucharen ai de le lenge pochin, pervo kodolen kai lem mai palal ai ando gor kodolen kai lem pervo.
8"Kulipokuchwa, huyo mwenye shamba alimwambia mtunza hazina wake, Waite wafanyakazi ukawalipe mshahara wao, ukianzia na wale walioajiriwa mwisho, na kumalizia na wale wa kwanza.
9Ai kodola kai sas line karing le pansh pala miazutsi avile ai swako lias po iek pena.
9Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja dinari moja.
10Kana le perve avile, gindinas ke won len mai but, numa swako lias po iek pena.
10Wale wa kwanza walipofika, walikuwa wanadhani watapewa zaidi; lakini hata wao wakapewa kila mmoja dinari moja.
11Kana line peske pochin pupuiinaspe pa gazda.
11Wakazipokea fedha zao, wakaanza kumnung'unikia yule bwana.
12Phenenas, "Kadala kai avile ande vurma kerde buchi numa iek chaso, ai thodian le amensa, kai chinuisardiam sorho jes ando tachimos!"
12Wakasema, Watu hawa walioajiriwa mwisho walifanya kazi kwa muda wa saa moja tu, mbona umetutendea sawa na wao hali sisi tumevumilia kazi ngumu kutwa na jua kali?
13Numa wo dias atweto ai phendias ieskeske, "Vortakona, chi kerav tusa nasul, chi ashilian mansa pe iek pena?
13"Hapo yule bwana akamjibu mmoja wao, Rafiki, sikukupunja kitu! Je, hukupatana nami mshahara wa denari moja?
14Le so si chiro ai zha ci drom. Me mangav te dav kodoles kai avilo ande vurma sode dem tute.
14Chukua haki yako, uende zako. Napenda kumpa huyu wa mwisho sawa na wewe.
15Dar nashti kerav murhe lovensa so mangav. Vai inatsia si tut ke lasho sim, ai dav mai but de so trobul.
15Je, sina haki ya kufanya na mali yangu nipendavyo? Je, unaona kijicho kwa kuwa mimi ni mwema?"
16Kadia kerdiola, le palune avena le perve, ai le perve avena le palune: but si akharde, numa xantsi si halome."
16Yesu akamaliza kwa kusema, "Hivyo, walio wa mwisho watakuwa wa kwanza na wa kwanza watakuwa wa mwisho."
17Sar zhalas O Jesus ando Jerusalem, lia le desh u dui disiplon rigate pa drom, ai phendias lenge,
17Yesu alipokuwa anakwenda Yerusalemu, aliwachukua wale wanafunzi kumi na wawili faraghani, na njiani akawaambia,
18Ame zhas ande Jerusalem ai O Shav le Manushesko avela dino ando vas kal bare rasha ai le Gramnoturia, won kerena leski kris te mudaren les.
18"Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu, na huko Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa Sheria, nao watamhukumu auawe.
19Dena les kal manush kai Nai Zhiduvuria te maren mui lestar, te maren les le bichosa, te karfon les po trushul; ai o trito dies si te zhuvindil."
19Watamkabidhi kwa watu wa mataifa mengine ili adhihakiwe, apigwe viboko na kusulubiwa; lakini siku ya tatu atafufuliwa."
20Antunchi le Zebedeske shave ai lenge dei avile ka Jesus, thodias pe anda changende angla leste, te mangel vari so lestar.
20Hapo mama yao wana wa Zebedayo alimjia Yesu pamoja na wanawe, akapiga magoti mbele yake na kumwomba kitu.
21Phushlias la, "So manges?" Woi phendias, "Mek murhe do shaven te beshen iek ka cho chacho vas ai iek ka cho stingo vas ande chiri amperetsia."
21Yesu akamwuliza, "Unataka nini?" Huyo mama akamwambia, "Ahidi kwamba katika Ufalme wako, hawa wanangu wawili watakaa mmoja upande wako wa kulia na mwingine upande wako wa kushoto."
22Numa O Jesus phendias lake, "Chi zhanes so manges." Amboldiaspe ka Iakov ai ka Iovano ai phushlias le, "Sai phen andai kuchi kai me si te piiav?" Won phende, "Sai."
22Yesu akajibu, "Hamjui mnaomba nini. Je, mnaweza kunywa kikombe nitakachokunywa mimi?" Wakamjibu, "Tunaweza."
23Wo phendias lenge, "Si te phen anda murhi kuchi, numa te beshen ka murho chacho chas ai ka murho stingo, nai mandar te dav. Kodo than avela dino ka kodola kaske getosardias le murho Dat.
23Yesu akawaambia, "Kweli mtakunywa kikombe changu, lakini kuketi kulia au kushoto kwangu si kazi yangu kupanga; jambo hilo watapewa wale waliowekewa tayari na Baba yangu."
24Kana le kolaver desh disipluria ashunde kodia, xoliale pel dui phral.
24Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia hayo, wakawakasirikia hao ndugu wawili.
25O Jesus akhardias le peste ai phendias, "Tume zhanen ke le bare le manushenge kai Nai Zhiduvuria gazdin len, ai keren lensa so mangen.
25Hivyo Yesu akawaita, akawaambia, "Mnajua kwamba watawala wa mataifa hutawala watu wao kwa mabavu na wakuu hao huwamiliki watu wao.
26Nai kadia mashkar tumende, numa savo godi mangel te avel baro mashkar tumende, avela tumaro podaitori.
26Lakini kwenu isiwe hivyo, ila yeyote anayetaka kuwa mkuu kati yenu sharti awe mtumishi wa wote;
27Ai savo godi mangel te avel o mai baro mashkar tumende, avela tumari sluga;
27na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu.
28Sakadia o Shav le Manushesko chi avilo te podain les, numa avilo te podail ai te del pesko traio te pochinel anda but te skepil le."
28Jinsi hiyohiyo, Mwana wa Mtu hakuja kutumikiwa, bali kutumikia na kutoa maisha yake kuwa fidia ya watu wengi."
29Kana zhanas avri anda Jericho, but narodo liape pala Jesus.
29Yesu alipokuwa anaondoka mjini Yeriko, umati wa watu ulimfuata.
30Dui korhe beshenas pe rig le dromeske kana ashunde ke O Jesus nakhelas, tsipisarde, "Gazda, tu Shav le Davidosko! Al tuke mila anda amende!"
30Basi, kulikuwa na vipofu wawili wameketi kando ya njia, na waliposikia kwamba Yesu alikuwa anapitia hapo, walipaaza sauti: "Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, utuhurumie!"
31O narodo ashavelas le. Numa won tsipinas mai zurales, "Gazda, Shav le Davidosko! Al tuke mila anda amende!"
31Ule umati wa watu ukawakemea na kuwaambia wanyamaze. Lakini wao wakazidi kupaaza sauti: "Mheshimiwa, Mwana wa Daudi, utuhurumie!"
32O Jesus terdilo, akhardias le, ai phushlias len, "So mangen te kerav tumenge?"
32Yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, "Mnataka niwafanyie nini?"
33Phende leske, "Gazda, phuter amare iakha te dikhas!"
33Wakamjibu, "Mheshimiwa, tunaomba macho yetu yafumbuliwe."
34Mila sas leske anda lende. O Jesus azbadias lenge iakha; strazo dikhle, ai linepe pala leste.
34Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.