1Kana pashile karing o Jerusalem, areslo ando Bethphage pe plai le maslinengi. O Jesus tradias duien andal disipluria.
1Yesu na wanafunzi wake walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage katika mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
2ai phendia lenge, "Zhan ando gav mai angle, ai arakhena kotse ek magari phangli ai lako magaristsi lasa; phutren le, ai anen le mande.
2akawaambia, "Nendeni hadi kijiji kilicho mbele yenu na mtamkuta punda amefungwa na mtoto wake. Wafungueni mkawalete kwangu.
3Te phenela tumenge vari kon, vari so, phenen leske, "Trobun le gazdas," ai strazo si te tradel le."
3Kama mtu akiwauliza sababu, mwambieni, Bwana anawahitaji, naye atawaachieni mara."
4Kadia kerdiliape te pherdiol so phendiasas o profeto.
4Jambo hili lilifanyika ili yale yaliyosemwa na nabii yatimie:
5Kana phendias, "Phenen la sheiake le Zionoski, "Eta, cho amperato avel tute! Domolo ai anklisto pe ek magari, ai pe ek tsinorho le magaresko."
5"Uambieni mji wa Sioni: Tazama, Mfalme wako anakujia! Ni mpole na amepanda punda, mwana punda, mtoto wa punda."
6Le disipluria gele, ai kerde so O Jesus phendias lenge.
6Hivyo, wale wanafunzi walienda wakafanya kama Yesu alivyowaagiza.
7Andine le magares ai le tsinorho magares, thode penge raxamia pe lende, ai O Jesus beshlo pel raxamia.
7Wakamleta yule punda na mtoto wake, wakatandika nguo zao juu yao na Yesu akaketi juu yake.
8But anda narodo shudenas penge raxamia po drom angla leste, kaver shinde patria pai krenga ai thode le po drom angla leste.
8Umati mkubwa wa watu ukatandaza nguo zao barabarani, na watu wengine wakakata matawi ya miti wakayatandaza barabarani.
9O narodi kai zhanas anglal angla leste, ai kodola kai avenas palal pala leste, tsipinas, "Hosana ka O Shav le Davidosko! Raduime kodo kai avel ando anav le Devleske! Hosana zhi ando rhaio."
9Makundi ya watu waliomtangulia na wale waliomfuata wakapaaza sauti: "Hosana Mwana wa Daudi! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana! Hosana Mungu juu mbinguni!"
10Kana O Jesus avilo ande Jerusalem sa o foro sas buntuime, ai phushenas, "Kon si kado?"
10Yesu alipokuwa anaingia Yerusalemu, mji wote ukajaa ghasia. Watu wakawa wanauliza, "Huyu ni nani?"
11O narodo phenenas, "Kado si O Jesus o profeto anda Nazareth ande Galilee."
11Watu katika ule umati wakasema, "Huyu ni nabii Yesu, kutoka Nazareti katika mkoa wa Galilaya."
12O Jesus avilo ande tamplo le Devleski ai gonisardia sa kodolen kai bichinenas ai chinenas ande tamplo. Dia muial le skafidia kodolenge kai parhuvenas le love ai le skamina kodolenge kai bichinenas le golumburia,
12Basi, Yesu akaingia Hekaluni, akawafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu ndani ya Hekalu; akazipindua meza za wale waliokuwa wanavunja fedha, na viti vya wale waliokuwa wanauza njiwa.
13ai phendia lenge, "Ramome murho kher avela akhardo 'Kher rhugimasko,' numatume keren anda leske shtala chorengi!"
13Akawaambia, "Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala. Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi."
14Le korhe ai le bange avile leste ande tamplo ai sastiardia le.
14Vipofu na vilema walimwendea huko Hekaluni, naye Yesu akawaponya.
15Numa kana le bare rasha ai le Gramnoturia dikhle sa le mirakluria ai sa so kerdias, ai ke le shavorhe ande tamplo denas mui, ai phenenas, "Hosana ka O Shav le Davidosko," xoliale.
15Basi, makuhani wakuu na walimu wa Sheria walipoyaona maajabu aliyoyafanya Yesu, na pia watoto walipokuwa wanapaaza sauti zao Hekaluni wakisema: "Sifa kwa Mwana wa Daudi," wakakasirika.
16Ai phende leske, "Ashunes so phenen?" O Jesus phendias, "E, Shoxar chi jindian, anda mui shavorhenge ai tsinorhe glatengo andian chacho luvudimos."
16Hivyo wakamwambia, "Je, husikii wanachosema?" Yesu akawajibu, "Naam, nasikia! Je hamjasoma Maandiko haya Matakatifu? Kwa vinywa vya watoto wadogo na wanyonyao unajipatia sifa kamilifu."
17Meklia le, ai gelotar anda foro, gelo ande Bethani, ai kotse riatchardias.
17Basi, akawaacha, akatoka nje ya mji na kwenda Bethania, akalala huko.
18De diminiatsi, sar avelas palpale ando foro bokhailo.
18Yesu alipokuwa anarudi mjini asubuhi na mapema, aliona njaa.
19Kana dikhlias ek pruing figengi pasha drom gelo late, ai arakhlias patria ferdi, antunchi phendia la pruingake, shoxar te na mai bariol fruta tutar, ai strazo shuchili e pruing.
19Akauona mtini mmoja kando ya njia, akauendea; lakini aliukuta hauma chochote ila majani matupu. Basi akauambia, "Usizae tena matunda milele!" Papo hapo huo mtini ukanyauka.
20Kana le disipluria dikhle kodia, chudisaile, ai phushle, "Sarta shuchili e pruing andak data?"
20Wanafunzi walipouona walishangaa wakisema, "Kwa nini mtini huu umenyauka ghafla?"
21O Jesus phendias lenge, "O chachimos phenav tumenge, te avela tume pachamos, ai te na avela tume gindo ke chi kerdiol, tume chi kerena ferdi so sas kerdo kakala pruingake, numa vi te mothona kakala plaiake,
21Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, kama mkiwa na imani bila kuwa na mashaka, mnaweza si tu kufanya hivyo, bali hata mkiuambia mlima huu: Ng'oka ukajitose baharini, itafanyika hivyo.
22"Le tu katkar ai av shudini ande maria si te kerdiol. Ai so godi mangena ando rhugimos ai te pachana tume si te len."
22Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba katika sala, mtapata."
23Ai kana avilo ande tamplo, le bare rasha ai le phure kai poronchinas avile leste sar sikavelas, ai phende, "Kon phendias tuke ke sai keres so tu keres, ai kon dias tu kudia putiera?"
23Yesu aliingia Hekaluni, akawa anafundisha. Alipokuwa akifundisha, makuhani wakuu na wazee wa watu wakamwuliza, "Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Nani amekupa mamlaka haya?"
24O Jesus phendia lenge, "Vi me akana phushav tumendar ek divano, ai te phenena mange, antunchi me phenav tumennge katar che putiera kerav so kerav.
24Yesu akawajibu, "Na mimi nitawaulizeni swali moja; mkinijibu, basi nami nitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.
25O bolimos le Iovanosko katar sas, anda rhaio vai manushendar?" Dinepe duma mashkar pende, ai pheneas, "Te phenasa anda o rhaio si te phushel ame, Sostar chi pachaian les?"
25Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa nani? Je, yalitoka mbinguni ama kwa watu?" Lakini wakajadiliana wao kwa wao hivi: "Tukisema, Yalitoka mbinguni, atatuuliza, Basi, mbona hamkumsadiki?
26Numa te phenasa manushendar. Dar katar le manush ke savorhe ankeren le Iovanos profeto.
26Na tukisema, Yalitoka kwa watu, tunaogopa umati wa watu maana wote wanakubali kwamba Yohane ni nabii."
27Antunchi phende le Kristoske, "Chi zhanas." Ai Wo phendia lenge, "Chi me, chi phenav tumenge katar che putiera kerav so kerav."
27Basi, wakamjibu, "Hatujui!" Naye Yesu akawaambia, "Nami pia sitawaambieni ninafanya mambo haya kwa mamlaka gani.
28"So gindin tume? Sas iek manush kai sas les dui shave. Gelo ka pervo, ai phendias, "Shava, zha, ker buchi adies ande murhe rez."
28"Ninyi mnaonaje; mtu mmoja alikuwa na wana wawili. Akamwambia yule wa kwanza, Mwanangu, leo nenda ukafanye kazi katika shamba la mizabibu.
29Wo phendias, "Chi zhav" numa mai palal keisailo ai gelo.
29Yule kijana akamwambia, Sitaki! Lakini baadaye akabadili nia, akaenda kufanya kazi.
30Avilo ka duito ai phendias leske sakadia. Wo phendias, "Zhav, Raia," numa chi gelo.
30Yule baba akamwambia mtoto wake wa pili vivyo hivyo, naye akamjibu, Naam baba! Lakini hakwenda kazini.
31Savo andal dui kerdia e voia peske dadeske?" Won phende leske, "O pervo". O Jesus phendias lenge, "Chaches mothav tumenge, le manush kai chiden e taksa ai le kurvi arasena ande amperetsia le Devleski mai anglal tumendar.
31Je, ni nani kati ya hawa wawili aliyetimiza matakwa ya baba yake?" Wakamjibu, "Yule mtoto wa kwanza." Basi, Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, watoza ushuru na waasherati wataingia katika Ufalme wa Mungu kabla yenu.
32Ke o Iovano avilo tumende te sikavel tumenge o drom o chacho, ai chi pachaian les, numa le manush kai chiden e taksa ai le kurvi pachaie les. Vi kana dikhlian kodia chi keisailian ai te pachan les."
32Maana Yohane alikuja kwenu akawaonyesha njia njema ya kuishi, nanyi hamkumwamini; lakini watoza ushuru na waasherati walimwamini. Hata baada ya kuona hayo yote ninyi hamkubadili mioyo yenu, na hamkusadiki."
33"Ashunen ka aver paramichi, sas iek gazda kheresko thodias iek zido kruglom latar, ai lashardias iek than te strangon o struguro, vazdias iek wucho than te len sama kotsar. Ai dias e rez po wunjilepe manushende, ai gelotar andek dur them.
33Yesu akasema, "Sikilizeni mfano mwingine. Mtu mmoja mwenye nyumba alilima shamba la mizabibu; akalizungushia ukuta, akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga humo mnara pia. Kisha akalikodisha kwa wakulima, akasafiri kwenda nchi ya mbali.
34Kana pashili e vriama te chidelpe o struguro, tradias peske slugen kal manush kai bariarenas pe leski rez, te len o struguro kai avelas leske.
34Wakati wa mavuno ulipofika, aliwatuma watumishi wake kwa wale wakulima, ili wakachukue sehemu ya mavuno yake.
35Numa kudula kai bariarenas pe rez line leske slugen ai marde iekes, iekes mudarde, ai ande iek shude baxensa. Magdata tradia avre slugen, kadia data tradias mai but ai kerde lenge sakadia.
35Wale wakulima wakawakamata hao watumishi; mmoja wakampiga, mwingine wakamwua na mwingine wakampiga mawe.
37Ta ando gor tradias lende peske shaves, ai phendias, "Si te preznain murhe shaves."
36Huyo mtu akawatuma tena watumishi wengine, wengi kuliko wa safari ya kwanza. Wale wakulima wakawatendea namna ileile.
38Numa kana dikhle le shaves le manush kai bariaren pe rez phende iek avreske. Aven, mudaras les, ai lias ame so si lesko.
37Mwishowe akamtuma mwanawe huku akifikiri: Watamheshimu mwanangu.
39Line les, shude les avri andai rez ai mudarde les."
38Lakini wale wakulima walipomwona mwanawe wakasemezana wao kwa wao: Huyu ndiye mrithi; na tumuue ili tuuchukue urithi wake!
40"Kana o gazda le rezako avela, so kerela kodole manushenge?"
39Basi, wakamkamata, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamwua.
41Won phende leske, "Si te mudarel kodole nasul manushen, ai dela e rez ka kaver te bariaren pe late, kai dena les e fruta kai si leski kana avela e vriama."
40"Sasa, huyo mwenye shamba la mizabibu atakapokuja, atawafanyaje hao wakulima?"
42O Jesus phendias lenge, "Shoxar chi jindian ando ramomos? O bax kai le manush kai vazden o kher shude kerdilo o bax kai si sa e zor le khereski, O Del kerdias kadia, ai che mundro ande amare iakha!"
41Wao wakamjibu, "Atawaangamiza vibaya hao waovu, na lile shamba atawapa wakulima wengine ambao watampa sehemu ya mavuno wakati wa mavuno."
43Anda kodia phenav tumenge, "E amperetsia le Devleski avela lini tumendar, ai avela dini kai iek them kai avela laki fruta lendar.
42Hapo Yesu akawaambia, "Je, hamkusoma jambo hili katika Maandiko Matakatifu? Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi. Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu!
44Ai kon godi perela pe kado bax avela phago, numa pe kaste perela o bax licharela les sar e pulberia.
43"Kwa hiyo nawaambieni, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake."
45Kana le rasha le bare ai le Farizeanuria ashunde kadia paramicha haliarde ke pa lende delas duma.
44"Atakayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjika vipandevipande; na likimwangukia mtu yeyote, litamponda."
46Mangenas te thon o vas pe leste. Numa daraile katar o narodo ke won ankerenas les profeto.
45Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao.
46Kwa hiyo wakawa wanatafuta njia ya kumtia nguvuni, lakini waliwaogopa watu kwa sababu wao walimtambua yeye kuwa nabii.