1O Jesus dia duma pale andel paramichi ai phenel,
1Yesu alisema nao tena kwa kutumia mifano:
2"E amperetsia le rhaioski si sar iek amperato kai kerdias abiav peske shaveske.
2"Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya arusi.
3Tradias peske slugen te akharen kodolen kai sas akharde ka abiav, numa won chi mangle te aven.
3Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje arusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika.
4"Magdata tradias avre slugen, te mothon kodolenge kai sas akharde, "Eta, getosardem o xabe, murhe guruv ai le vitseluria sa mudarde, swako fielo gata. Aven ka abiav!" "
4Akawatuma tena watumishi wengine, akisema, Waambieni wale walioalikwa: karamu yangu iko tayari sasa; fahali wangu na ng'ombe wanono wamekwisha chinjwa; kila kitu ni tayari, njoni arusini.
5Numa chi thode sama, ai gele peske drom, iek ka peski farma, aver ande peski buchi.
5Lakini wao hawakujali, wakaenda zao; mmoja shambani kwake, mwingine kwenye shughuli zake,
6Ai le kolaver thode o vas pe leske slugi, marde mui lendar, darade le ai mudarde le.
6na wengine wakawakamata wale watumishi wakawatukana, wakawaua.
7"Kana o amperato ashundias, xolialo, tradias peske ketani; ai kerdias xaiimaske anda kodola kai mudarde, ai dias iag lengo foro.
7Yule mfalme akakasirika, akawatuma askari wake wakawaangamize wauaji hao na kuuteketeza mji wao.
8Antunchi phendias peske slugenge, o abiav gata numa kodola kai sas akharde, chi molas te aven akharde."
8Kisha akawaambia watumishi wake: Karamu ya arusi iko tayari kweli, lakini walioalikwa hawakustahili.
9Anda kodia zhan pel bare vulitsi, ai sode arakhena kotse, akharen le ka o abiav.
9Basi, nendeni kwenye barabara na wowote wale mtakaowakuta waiteni waje arusini.
10"Kodola slugi gele pel vulitsi ai chide andek than sa kai arakhle, vi nasul ai vi lashe; ai o kher le abiavesko sas pherdo.
10Wale watumishi wakatoka, wakaenda njiani, wakawaleta watu wote, wabaya na wema. Nyumba ya arusi ikajaa wageni.
11Kana o amperato avilo te dikhel le gosten, dikhlia kotse iek manush kai sas xuriarado andel tsalia abiaveske.
11"Mfalme alipoingia kuwaona wageni, akamwona mtu mmoja ambaye hakuvaa mavazi ya arusi.
12Ai phendias leske, "Vortako, Sar avilian andre katse bi tsalengo abiaveske?" Les nas so mothol.
12Mfalme akamwuliza, Rafiki, umeingiaje hapa bila vazi la arusi? Lakini yeye akakaa kimya.
13Antunchi o amperato phendias le slugenge, "Phanden leske vas ai leske punrhe, ai shuden les avri ando tuniariko. Kotse kai rovena ai chiden dandendar."
13Hapo mfalme akawaambia watumishi, Mfungeni miguu na mikono mkamtupe nje gizani; huko atalia na kusaga meno."
14"Ke but si akharde, numa xantsi si halome."
14Yesu akamaliza kwa kusema, "Wengi wamealikwa, lakini wachache wameteuliwa."
15Antunchi le Farizeanuria gele ai dinepe duma sar te astaren les ande lesko divano.
15Kisha, Mafarisayo wakaenda zao, wakashauriana jinsi ya kumnasa Yesu kwa maneno yake.
16Trade leste peske disiplon ai une Herodians, won phende , "Gazda, zhanas ke chachimasa san ai sikaves o chachimos pa Del bi te daras vari kastar, ke chi thos partia kanikaske.
16Basi, wakawatuma wafuasi wao pamoja na wafuasi wa kikundi cha Herode. Wakamwuliza, "Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu, na kwamba wafundisha njia ya Mungu kwa uaminifu; humwogopi mtu yeyote, maana cheo cha mtu si kitu kwako.
17Phen amenge antunchi, "So gindis? Si amenge slobodo vai nai, te pochinas taksa ka Caesar?"
17Haya, twambie maoni yako. Je, ni halali au la, kulipa Kaisari?"
18Numa O Jesus haliardias lenge nasul ginduria, ai phendias, "Sostar tume zumaven ma? Tume kai ankerdion so chi san?
18Lakini Yesu alitambua uovu wao, akawaambia, "Enyi
19Sikaven mange le love so sa pochinen e taksa." Andine leske iek pena,
19Nionyesheni fedha ya kulipia kodi." Nao wakamtolea sarafu ya fedha. sarafu ya fedha.
20ai phendias lenge, "Kaski fatsa ai ramomos si kado?"
20Basi, Yesu akawauliza, "Sura na chapa hii ni ya nani?"
21Won phende leske, "O Caesar" Antunchi O Jesus phendias lenge, "Den ka Caesar so si lesko, ai den ka Del so si le Devlesko."
21Wakamjibu, "Ni vya Kaisari." Hapo Yesu akawaambia, "Basi, mpeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu."
22Kana ashunde, chudisaile. Mekle les ai geletar.
22Waliposikia hivyo wakashangaa; wakamwacha, wakaenda zao.
23Sa kodo dies uni Saduseanuria kai mothon ke nai traio pala e martia avile leste ai phushle les,
23Siku hiyo, baadhi ya Masadukayo walimwendea Yesu. Hao ndio wale wasemao kwamba wafu hawafufuki.
24"Gazda, o Moses phendias, 'Te merela iek manush ai nas les glate, lesko phral trobul te lel leska rhomni, te vazdel familia peske phralesle.'
24Basi, wakamwambia, "Mwalimu, Mose alisema mtu aliyeoa akifa bila kuacha watoto, lazima ndugu yake amwoe huyo mama mjane, amzalie ndugu yake watoto.
25Sas mashkar amende efta phral. O pervo ansurisailo ai mulo, ai ke nas les glate, meklia peska rhomnia peske phraleske.
25Sasa, hapa petu palikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa kisha akafa bila kujaliwa watoto, akamwachia ndugu yake huyo mke wake mjane.
26Sa kadia o duito, ai o trito zhi ka o eftato.
26Ikawa vivyo hivyo kwa ndugu wa pili, na wa tatu, mpaka wa saba.
27Kana avela te zhuvindin le mule te zhan ando rhaio, saveski andal efta phral avela e rhomni ke savorhenge sas?"
27Baada ya ndugu hao wote kufa, akafa pia yule mama.
29O Jesus phendias lenge, "Shubin tume zurales! Ke tume chi haliaren E Vorba le Devleski , ai chi e putiera le Devleski.
28Je, siku wafu watakapofufuka mama huyo atakuwa mke wa nani miongoni mwa wale ndugu saba? Maana Wote saba walimwoa."
30Ke kana avela te zhuvindin le mule te zhan ando rhaio, le mursh chi lena rhomni ai le zhuvlia chi lena rhom, numa avena sar le angeluria le Devleske kai si ando rhaio.
29Yesu akawajibu, "Kweli mmekosea kwa sababu hamjui Maandiko Matakatifu wala nguvu ya Mungu!
31Numa anda kodia kai zhuvindin le mule te zhan ando rhaio, chi jindian tume so sas phendo tumenge katar O Del, kana phendias.
30Maana wafu watakapofufuliwa hawataoa wala kuolewa, watakuwa kama malaika mbinguni.
32"Me sim O Del le Abramosko, O Del le Isakosko ai O Del le Jacovosko," O Del nai O Del le mulengo, numa le zhuvindengo."
31Lakini kuhusu suala la wafu kufufuka, hamjasoma yale aliyowaambieni Mungu?
33Kana le naroduria ashunde kado divano, chudisaile katar lesko sikaimos.
32Aliwaambia, Mimi ni Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo! Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai."
34Numa kana le Farizeanuria ashunde ke phandadias o mui le Saduseanongo, chidinisaile andek than,
33Ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake.
35ai iek anda lende, ablakato, phushlias les ek divano te zumavel les.
34Mafarisayo waliposikia kwamba Yesu alikuwa amewanyamazisha Masadukayo, wakakutana pamoja.
36"Gazda, Savo si o mai baro andal zakonuria?"
35Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza Yesu kwa kumjaribu,
37O Jesus phendias leske, "Te avel tuke drago O Del sa che ilesa, sa che duxosa, ai sa cho gojasa." Kado si o pervo ai o mai baro andal zakonuria.
36"Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika Sheria ya Mose?"
39Ai o duito si saikfielo: "Te avel tuke drago le manush sode san tu tuke."
37Yesu akamjibu, "Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote.
40Ande kadala dui zakonuria ankerdiol sa e kris ai so phende le profeturia."
38Hii ndiyo amri kuu ya kwanza.
41Kana sas chidine andek than le Farizeanuria, O Jesus phushlia le divano,
39Ya pili inafanana na hiyo: Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe.
42"So gindin tume pa Kristo? Kasko shav si wo?" Won phende leske, "O Shav le Davidosko."
40Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili."
43O Jesus phendias lenge, "Sar, antunchi o David kana sas O Swunto Duxo pe leste akhardias les, 'Gazda?'" phendias,
41Mafarisayo walipokusanyika pamoja, Yesu aliwauliza,
44"O gazda phendia murhe gazdaske: 'Besh ka murho chacho vas, zhi pon thav che duzhmanon tela che punrhe.'"
42"Ninyi mwaonaje juu ya Kristo? Je, ni mwana wa nani?" Wakamjibu, "Wa Daudi."
45Teala o David akharel les, "Gazda," Sar si lesko shav?
43Yesu akawaambia, "Basi, inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho Mtakatifu Daudi anamwita yeye Bwana? Maana alisema:
46Chi iek nashti phendias leske iek vorba, ai pala kodia chi mai tromaile te phushen les kaver divanuria.
44Bwana alimwambia Bwana wangu: keti upande wangu wa kulia, mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako.
45Basi, ikiwa Daudi anamwita Kristo Bwana, anawezaje kuwa mwanawe?"
46Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumjibu neno. Na tangu siku hiyo hakuna aliyethubutu tena kumwuliza swali.