Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Revelation

10

1Porme dikhlem aver angelo hulelas tele andai rhaio kai sas wusharado ek nuverosa. Ai e rhaza sas opral lesko shero. Lesko mui sas sar o kham. Leske punrhe sas sar khastorhe le iagake.
1Kisha nikamwona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa amevikwa wingu, na upinde wa mvua kichwani mwake. Uso wake ulikuwa kama jua, na miguu yake ilikuwa kama moto.
2Ai sas ando lesko vas ek tsinorhi klishka kai sas phuterdo. Wo thodia lesko chacho punrho pe maria ai lesko stingo punrho pe phuv.
2Mikononi mwake alishika kitabu kidogo kimefunguliwa. Aliweka mguu wake wa kulia juu ya bahari, na wa kushoto juu ya nchi kavu,
3Wo tsipisardia le baro glasosa sar ek liono, ai efta rhonjituria bashle.
3na kuita kwa sauti kubwa kama ya mngurumo wa simba. Alipopaaza sauti, ngurumo saba ziliitikia kwa kishindo.
4Me lasharavas te ramov kana ashundem ek glaso andai rhaio, phenelas mange, "Phandes le dieli kai le efta rhonjituria phende. Na ramos le!"
4Na hizo ngurumo saba ziliposema, mimi nikataka kuandika. Lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni: "Maneno ya ngurumo hizo saba ni siri; usiyaandike!"
5Porme o zuralo angelo kai dikhlem beshelas anda punrhende pe maria ai pe phuv vazdino lesko chacho vas karing o rhaio,
5Kisha yule malaika niliyemwona akisimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu akainua mkono wake wa kulia juu mbinguni,
6ai shinadia vari so ando anav le Devlesko kai zhuvindil sa data, kodo kai kerdia o rhaio, ai e phuv, ai e maria ai swako fielo kai si ande lende, te na mai azhuker.
6akaapa kwa jina la Mungu aishiye milele na milele, Mungu aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, bahari na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo. Akasema, "Wakati wa kusubiri zaidi umekwisha!
7Ai kana o eftato angelo phurdia leski tuturaza, O Del sikavel lesko garadimos – shodeni kai sas garado pala but bersh – de sar e lashi viasta sas phendi ka leske slugi le profeturia, akana kerdiol so sas shinadia katar O Del.
7Lakini wakati ule malaika wa saba atakapotoa sauti yake, wakati atakapopiga tarumbeta yake, Mungu atakamilisha mpango wake wa siri kama alivyowatangazia watumishi wake manabii."
8Porme o glaso kai ashundem andai rhaio pale dia duma mande, "Zha" wo phendia, "Ai les e tsinorhi klishka kai si phuterdi, e klishka si ando vas le angelongo kai beshel pe maria ai pe phuv."
8Kisha ile sauti niliyokuwa nimeisikia kutoka mbinguni pale awali ikasema nami tena: "Nenda ukakichukue kile kitabu kilichofunguliwa, kilicho mkononi mwa malaika asimamaye juu ya bahari na juu ya nchi kavu."
9Gelem ka angelo ai phushlem lestar te del ma e tsinorhi klishka. Wo phendia, "Les la ai xas la. Zumavela sar avjin ando cho mui, numa kana xalian, kerel cho ji shuklo."
9Basi, nikamwendea huyo malaika, nikamwambia anipe hicho kitabu kidogo. Naye akaniambia, "Kichukue, ukile; kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali, lakini tumboni kitakuwa kichungu!"
10Porme lem e klishka katar le angelosko vas ai xalem la. Sas gugli sar avjin ando murho mui, numa kerdia murho stomoko (ji) shuklo kana xalem la.
10Basi, nikakichukua kitabu hicho kidogo kutoka mkononi mwa huyo malaika, nikakila; nacho kilikuwa kitamu kinywani mwangu kama asali, lakini nilipokimeza kikawa kichungu tumboni mwangu.
11Porme wo phendia manage, "Pale trobul tu te mai des profesi angla le manushen, ai thema, ai shiba, ai amperaturia."
11Kisha nikaambiwa, "Inakubidi tena kutangaza ujumbe wa Mungu kuhusu watu wengi, mataifa, watu wa lugha nyingi na wafalme!"