Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Revelation

17

1Iek anda le efta angelonge kai sas le le efta saxanitsi avilo mande, ai phendia mange, "Aidi! Ai sikavava tuke so kerdiola ka e zhuvli kai kerel zhungalimos le statosa, kai beshel po le but paia la lumiake.
1Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na bakuli akaja, akaniambia, "Njoo, mimi nitakuonyesha adhabu aliyopewa yule mzinzi mkuu, mji ule uliojengwa juu ya maji mengi.
2Le amperaturia la lumiake kerde kurvi lasa, ai le manush la lumiake sas kerde te pen la molasa anda lake kurvimos."
2Wafalme wa dunia wamefanya uzinzi pamoja naye; na wakazi wa dunia wamelewa divai ya uzinzi wake."
3O angelo lia ma ando duxo kai pusta. Kotse dikhlem ek zhuvli beshelas po ek lolo zhunaglo zhigania kai sas la efta shere ai desh shinga, ai po sa o zhungalo zhigania sas ramome zhungale anava kai dine duma kontra O Del.
3Kisha, Roho akanikumba, akaniongoza mpaka jangwani. Huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu. Mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
4Ai e zhuvli lia pe late tsalia brazba ai lole. Ai lai pe late lantsuria ai angrustia ai aver fieluria kai sas kerde le sumnakasa, perli, a baxensa kai sas kuchi, ai inkerdia ando lako vas ek kuchi sumnkai pherdi lake bezexa katar o zhungalimos le statosa.
4Mwanamke huyo alikuwa amevaa vazi la rangi ya zambarau na nyekundu; alikuwa amejipamba kwa dhahabu, mawe ya thamani na lulu. Mkononi mwake alishika kikombe cha dhahabu ambacho kilikuwa kimejaa machukizo na mambo machafu yanayoonyesha uzinzi wake.
5Ai sas ramome ek anav kai sas shodo po lako chikat kai phendia, "BABYLON O BARO, E DEI SA LE DEIANGE KAI KEREN ZHUNGALIMOS LE STATOSA, AI DEN LUVUDIMOS KAL IKONI PE SWAKO RIK PE SA E LUMIA."
5Alikuwa ameandikwa juu ya paji la uso wake jina la fumbo "Babuloni mkuu, mama wa wazinzi na wa mambo yote ya kuchukiza sana duniani."
6Ai dikhlem e zhuvli mate sas le ratesa le Devleske narodos ai kodola kai sas mudarde ke dine duma pa Jesus. Kana dikhlem la, chudisailem.
6Nikamwona huyo mwanamke amelewa damu ya watu wa Mungu, na damu ya watu waliouawa kwa sababu ya kumtangaza Yesu. Nilipomwona nilishangaa mno.
7O angelo phushlia mange, "Sostar chudisailian? Me phenav tuke o garadimos la zhuvliako, kon si la ai pa o lolo zhungalo zhigania le efta sherensa ai le Desh shinga kai anel la.
7Lakini malaika akaniambia, "Kwa nini unashangaa? Mimi nitakuambia maana iliyofichika ya mwanamke huyu na mnyama huyo amchukuaye ambaye ana vichwa saba na pembe kumi.
8O lolo zhungalo zhigania tu dikhlian, zhuvindilas numa akana si mulo. Ai akanash wo avela katar o gropo ai avela pharhadia, le manush la lumiake chudin, lenge anav kai nas ramome ande Klishka le Traioski de anda gor la lumiake, avena chudisaile kana dikhen o lolo zhungalo zhigeni zhuvindilas. Akana si mulo, numa pale avela palpale.
8Huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. Hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. Wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena!
9Katse trobul ame goji. Le efta shere le lolo zhungale zhigeneske si la plaia kai e zhuvli beshel,
9"Hapa panahitaji akili na hekima! Hivyo vichwa saba ni vilima saba, na huyo mwanamke anaketi juu yake. Vichwa hivyo pia ni wafalme saba.
10ai si le efta amperaturia. Pansh anda lende nai amperaturia akana. O shovto si amperato. O eftato chi avilo inker, kana avela si amperato ferdi pala xantsi vriama.
10Kati ya hao wafalme saba, watano wamekwisha angamia, mmoja anatawala bado, na yule mwingine bado hajafika; na atakapofika atabaki kwa muda mfupi.
11O lolo zhungalo zhigania kai mule si o oxtoto amperato. Wo si ek anda le perve efta amperaturia, numa avela pharhadia.
11Huyo mnyama ambaye alikuwa anaishi hapo awali lakini sasa haishi tena ni mfalme wa nane, naye pia ni miongoni mwa hao saba, na anakwenda zake kuharibiwa.
12"Le desh shinga le lolo zhungalo zhigania kai dikhlian si desh amperaturia. Won chi avile bare vai chi poronchin inker. Numa avela lenge e putiera te poronchin pe lenge thema pala iek chaso le lolo zhungalo zhiganesa.
12"Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme ambao bado hawajaanza kutawala. Lakini watapewa mamlaka ya kutawala kwa muda wa saa moja pamoja na yule mnyama.
13Won chiden andek than ai savorhe anda lende phenen te den e putiera ka o lolo zhungalo zhigeni.
13Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.
14Kadala amperaturia marena ai keren marimos le Bakriorhosa. Numa O Bakriorho nirila o marimos ke wo si O Gazda le Gazdenge ai O Amperato le Amperatosko, ai lesko narodo kai si lesa si akharde, ai alosarde ai keren vorta angle leste."
14Watapigana na Mwanakondoo, lakini Mwanakondoo pamoja na wale aliowaita na kuwachagua, ambao ni waaminifu, atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme."
15Porme o angelo phendia mange, "Le paia tu dikhlian, kai e zhuvli kerdia kurvi, si le manush, ai le bare naroduria, ai le thema, ai le shiba.
15Malaika akaniambia pia, "Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi, ni mataifa, watu wa kila rangi na lugha.
16Le desh shinga kai tu dikhlian po lolo zhungalo zhigania vurhitsina e zhuvli kai kerdia kurvi, kerdia o zhungalimos le statosa. Won len swako fielo kai si la latar ai vi len lake tsalia. Won xan lako mas ai phabon la la iagasa.
16Pembe zile kumi ulizoziona na yule mnyama watamchukia huyo mzinzi. Watachukua kila kitu alicho nacho na kumwacha uchi; watakula nyama yake na kumteketeza kwa moto.
17Ke O Del thol lesko gindo ande lenge goji, ai won keren sar Wo mangel. Won chiden andek than ai phenen te den lengo them ka o lolo zhungalo zhigania zhi kai le vorbi le Devleske avena kerdile.
17Maana Mungu ametia mioyoni mwao nia ya kutekeleza shabaha yake, yaani kwa kukubaliana wao kwa wao na kumpa huyo mnyama mamlaka yao ya kutawala, mpaka hapo neno la Mungu litakapotimia.
18"E zhuvli kai dikhlian ando chiro vizion si o baro foro kai poronchil ai si la e putiera pe le amperaturia la lumiake."
18"Na yule mwanamke uliyemwona ndio ule mji mkuu unaowatawala wafalme wa dunia."