Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Revelation

18

1Porme dikhlem aver angelo hulelas tele anda rhaio la bari putierasa, ai e lumia strefialas lesko barimasa.
1Baada ya hayo, nilimwona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa na uwezo mkuu, na dunia ikamulikwa na mng'ao wake.
2Wo tsipisardia le baro glasosa, "O Babylon O Baro si pharhado. Le beng ai le bi vuzhe duxuria beshen kotse ai swako fielo le nasulimasko duxo si kotse.
2Basi, akapaaza sauti kwa nguvu akisema, "Umeanguka; Babuloni mkuu umeanguka! Sasa umekuwa makao ya mashetani na pepo wachafu; umekuwa makao ya ndege wachafu na wa kuchukiza mno.
3Ke sa le thema la lumiake pile e mol le bezexeski lasa kai sas o zhungalimos le statosa ai kurvi, le amperaturia la lumiake kerde le bezexha lasa. Le manush la lumiake kai chinen ai bichinen sas kerde barvale katar o traio le bezexesko."
3Maana mataifa yote yalileweshwa kwa divai kali ya uzinzi wake, nao wafalme wa dunia wamefanya uzinzi naye. Nao wafanyabiashara wa dunia wametajirika kutokana na anasa zake zisizo na kipimo."
4Ashundem aver glaso anda rhaio phenelas, "Aidi, zha dur latar, murhe manush. Chi keren bezex lasa, te na avena le baiuria pe tumende.
4Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema, "Watu wangu, ondokeni kwake, ili msishirikiane naye katika dhambi zake, msije mkaipata adhabu yake.
5Ke lake bezexa si wucho sar o rhaio si latar. O Del mai sigo si te kritsinil la.
5Kwa maana dhambi zake zimekuwa nyingi mno, zimelundikana mpaka mbinguni, na Mungu ameyakumbuka maovu yake.
6Ker lasa sar woi kerdia tusa ai de la mai but. Musai avela palpale lake duvar mai but sar woi kerdia pala lako nasulimos. Woi kerdia but nasulimos le kolavrenge, de la duvar mai but palpale.
6Mtendeeni kama alivyowatendea ninyi; mlipeni mara mbili kwa yale aliyoyatenda. Jazeni kikombe chake kwa kinywaji kikali mara mbili zaidi ya kile alichowapeni.
7Woi traiisardia ando barvalimos ai raduilaspe ande lake bezexa, akana de la chinuimos ai nekazuria. Ando lako ilo woi phenel, "Me sim amperatasaika po murho skamin", woi phenel peste," ai chi sim ek phivli ai shoxar chi avela nekazo mange."
7Mpeni mateso na uchungu kadiri ya kujigamba kwake, na kuishi kwake kwa anasa. Maana anajisemea moyoni: Ninaketi hapa; mimi ni malkia. Mimi si mjane, wala sitapatwa na uchungu!
8Pala kodia, le baiuria la martiake ai nekazo ai nai xabe avena lake, sa kerdiona po iek dies. Woi phabola la iagasa. Ke O Del si e putiera ai wo phenel, woi si doshali."
8Kwa sababu hiyo mabaa yake yatampata kwa siku moja: ugonjwa, huzuni na njaa. Atachomwa moto, maana Bwana Mungu mwenye kumhukumu ni Mwenye Uwezo."
9"Ai le amperaturia la lumiake roven ai si le nekazo pala late kana dikhen e thu katar lako than kai phabol. Won kai roven si kodola kai kerde bezex (kurvimos) ai nasulimos lasa ai traiisarde sar barvale manush.
9Wafalme wa Dunia waliofanya uzinzi naye na kuishi naye maisha ya anasa wataomboleza na kulia wakati watakapoona moshi wa mji huo unaoteketea.
10Won beshen dur latar, izdran la darasa, ai tsipinas, "Nasul si! O Babylon, kodo baro foro, o baro foro kai sas la putiera. Ando iek chaso sas pharhado."
10Wanasimama kwa mbali kwa sababu ya kuogopa mateso yake, na kusema, "Ole! Ole kwako Babuloni, mji maarufu na wenye nguvu! Kwa muda wa saa moja tu adhabu yako imekupata."
11Le manush kai chinen ai bichinen rovan pala late. Won roven ke nas khonik te chinen lenge dieli na mai.
11Wafanyabiashara wa dunia watalia na kumfanyia matanga, maana hakuna mtu anayenunua tena bidhaa zao;
12Won bichinde sumnakai ai rup, ai le bax ai perli kai sas kuchi. Bichinde shukar poxtan ai shukar brazba ai loli selia. Bichinde le khash kai sas le duxi andre, ai le dieli kai sas kerde anda le dand le zhigenenge, ai dieli kerde anda poshom kai sas kuchi. Won bichinde xarkune, ai sastri, ai bax.
12hakuna tena wa kununua dhahabu yao, fedha, mawe ya thamani na lulu, kitani na nguo za rangi ya zambarau, hariri na nguo nyekundu; vyombo vya kila aina ya miti ya pekee, vyombo vya pembe za ndovu, vya miti ya thamani kubwa, vya shaba, chuma na marmari;
13Won bichinde duxi, ai piperia, ai draba, ai mol, ai vuloi le maslinenge, ai arho, ai jiv, ai gurumlia, ai bakre, ai gras, ai vurdona, ai slugi, ai le duxuria le manushenge.
13mdalasini, viungo, ubani, manemane, udi, divai, mafuta, unga na ngano, ng'ombe na kondoo, farasi na magari ya kukokotwa, watumwa wao na hata maisha ya watu.
14Won phenen lake, "Sa le dieli kai manglian faltisardia tu, sa phabule, ma nai, ai chi avena palpale cho barvalimos ai le dieli kai manglian.
14Wafanyabiashara wanamwambia: "Faida yote uliyotazamia imetoweka, na utajiri na fahari vimekuponyoka; hutaweza kuvipata tena!"
15Ai le barvale manush kai chinenas ai bichinenas ando kodo foro beshen dur latar, ke daran pala lako chinuimata, ai daran ke sai avena pe lende. Won rovena ai si le nekazo.
15Wafanya biashara waliotajirika kutokana na mji huo, watasimama mbali kwa sababu ya hofu ya mateso yake, watalalamika na kuomboleza,
16Won phenenas, "Nasul si! Nasul le forosko, shukar sas o foro, sar ek zhuvli kai sas pe late tsalia, brazba ai lole selia, ai pe late sas sumnakai ai perli ai bax kai si kuchi.
16wakisema, "Ole! Ole kwa mji huu mkuu. Ulizoea kuvalia nguo za kitani, za rangi ya zambarau na nyekundu, na kujipamba kwa dhahabu, mawe ya thamani na lulu!
17Ando iek chaso, iek momento sa lako barvalimos sas pharhado."O kapitano le pharaxodosko, ai sa le manush kai phiravenpe po le pharaxoduria, ai sa le manush kai kerenas buchi po le pharaxoduria beshle dur latar.
17Kwa saa moja tu utajiri wako umetoweka!" Halafu manahodha wote na wasafiri wao, wanamaji na wote wanaofanya kazi baharini, walisimama kwa mbali,
18Ai tsipin sar dikhen o thu zhalas opre, ai phenenas, "Kai ande sa e lumia si aver foro sar sas o Babylon?"
18na walipouona moshi wa moto ule uliouteketeza, wakalia kwa sauti: "Hakujapata kuwako mji kama mji huu mkuu!"
19Ai won shudena phuvia pe lenge shere pala lengo nekazo ai phenenas, "Nasul si! Nasul si pala kodo baro foro! Woi kerdia ame barvale katar lako barvalimos. Ai akana ando iek chaso ma nai kanch.
19Wakajimwagia vumbi juu ya vichwa vyao wakilia kwa sauti na kuomboleza: "Ole! Ole kwako mji mkuu! Ni mji ambamo wote wenye meli zisafirizo baharini walitajirika kutokana na utajiri wake. Kwa muda wa saa moja tu umepoteza kila kitu!"
20"Raduin tume pala late; o rhaio, ai tume, le shave le Devleske, ai le profeturia ai le apostluria! Ke O Del kritsinisardia la pala so kerdia."
20Furahi ee mbingu, kwa sababu ya uharibifu wake. Furahini watu wa Mungu, mitume na manabii! Kwa maana Mungu ameuhukumu kwa sababu ya mambo uliyowatenda ninyi!
21Porme ek zuralo angelo lia o bax o baro sar kodola kai licharen e jiv. Wo shudia o baro bax ande maria, phenelas, "Kodo baro ai zuralo foro, Babylon, avela shudino tele sar kodo bax, ai shoxáar chi iek data chi avela arakhardo.
21Kisha malaika mmoja mwenye nguvu sana akainua jiwe mfano wa jiwe kubwa la kusagia, akalitupa baharini akisema, "Ndivyo, Babuloni atakavyotupwa na kupotea kabisa.
22Shoxar chi iek data, chi ashunena le jilia, Harps, tutrazi, pianos mai iek data katar o foro, ai le manush shoxar chi mai keren buchi kotse, ai le manush chi mai licharen o jiv ando kodo foro.
22Sauti za vinubi za muziki, sauti za wapiga filimbi na tarumbeta hazitasikika tena ndani yako. Hakuna fundi wa namna yoyote ile atakayepatikana tena ndani yako; wala sauti ya jiwe la kusagia haitasikika tena ndani yako.
23Tuniariko, tuniariko si lake riata, ai chi iek lampo chi strefial; ai le glasuria chi avena ashunde katar e abiav, shoxar chi mai ashunen o glaso katar o ternaxar vai katar e bari shei katar e abiav kai veselinpe, lake manush kai chinde ai bichinde sas zhangline pe sa e lumia ai woi atsadia le.
23Mwanga wa taa hautaonekana tena ndani yako; sauti za bwana arusi na bibi arusi hazitasikika tena ndani yako. Wafanyabiashara wako walikuwa wakuu duniani, na kwa uchawi wako mataifa yote yalipotoshwa!"
24Ai ando kodo foro sas arakhlia o rat le profetongo ai le shavenge le Devleske, ai sa kodolenge kai sas mudarde pe lumia."
24Mji huo uliadhibiwa kwani humo mlipatikana damu ya manabii, damu ya watu wa Mungu na damu ya watu wote waliouawa duniani.