Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Revelation

19

1Pala kodia ashundem le glasuria le bute manushenge ando rhaio, phenenas, "Alleluia! Skepimos ai o baro barimos ai o luvudimos ai e putiera si le Devleske.
1Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati wa watu wengi mbinguni ikisema, "Haleluya! Ukombozi, utukufu na nguvu ni mali yake Mungu wetu!
2Ai sar wo kritsinil le manushen si vorta ai chacho. Wo kritsinisardia e bari zhuvli kai kerdia o zhungalimos lako statosa. Woi kerdia e lumia te kerel bezex, te kerel zhungalimos le statosa, kurvi lasa. Woi mudardia kodole manush kai kerde buchi le Devleske. Wo kritsinisardia la pala kodia."
2Maana hukumu yake ni ya kweli na ya haki. Amemhukumu yule mzinzi mkuu ambaye alikuwa ameipotosha dunia kwa uzinzi wake. Amemwadhibu kwa sababu ya kumwaga damu ya watumishi wake!"
3Pale phenen, "Alleluia! Naisimos ka amaro Del. E thu katar lako phabo zhal opre sa data."
3Wakasema, "Asifiwe Mungu! Moshi wa moto unaoteketeza mji huo utapanda juu milele na milele!"
4Le bish tai shtar manush (elders, pasturia) ai le shtar zhigene pele tele ai luvudisarde le Devles, kodo kai beshelas po Lesko than. Won phende, "Amen! Mek te avel! Alleluia! Naisimos ka amaro Del!"
4Na wale wazee ishirini na wanne, na vile viumbe hai vinne, wakajitupa chini, wakamwabudu Mungu aliyeketi juu ya kiti cha enzi wakisema, "Amina! Asifiwe Mungu!"
5Ai ek glaso avilo katar o than, phenelas, "Den o naisimos ka amaro Del, savorhe tumenge leske slugi, teliarde ai bariarde, kai daran lestar.
5Kisha kukatokea sauti kwenye kiti cha enzi: "Msifuni Mungu enyi watumishi wake wote, nyote mnaomcha, wadogo kwa wakubwa."
6Porme ashundem but glasuria, sar sigo zhal o baro pai, ai sar o zuralo rhonjito, ai phenelas, "Naisimos ka amaro Del! Ke le Devles amaro Del si Amperato, O Del la putierako.
6Kisha nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa wa watu na sauti ya maji mengi na ya ngurumo kubwa, ikisema, "Haleluya! Maana Bwana Mungu wetu Mwenye Uwezo ni Mfalme!
7Raduisavas ai veselisavas ai luvudis les, ke e vriama avili le abiaveski skafidi le Bakriorhoski, ai leski bari shei lashardia pe.
7Tufurahi na kushangilia; tumtukuze, kwani wakati wa arusi ya Mwanakondoo umefika, na bibi arusi yuko tayari.
8Woi sas dini vuzho, parno, shukar poxtan, selia te lel pe late. O poxtan, znachil le lashe bucha kai sas kerde pala le shave le Devleske."
8Amepewa uwezo wa kujivalia nguo ya kitani safi, iliyotakata na yenye kung'aa!" (Nguo hiyo ya kitani safi ni matendo mema ya watu wa Mungu.)
9O angelo phendia mange, "Ramos kadala vorbi: Raduime kodola kai si akharde ka le abiaveski skafidi le Bakriorhoski." Ai phendia mande, "Kadala vorbi si le chache vorbi le Devleske."
9Kisha malaika akaniambia, "Andika haya: Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwanakondoo!" Tena akaniambia, "Hayo ni maneno ya kweli ya Mungu."
10Porme thodem man ka leske punrhe te luvudiv les. Numa wo phendia mande, "Nichi, te na luvudis man, ke i me kerav buchi le Devleski tusa, ai che devlekane phralensa kai den duma pa lengo pachamos ando Jesus. Luvudis O Del! Ke le vorbi le Jesusoske ai sa kai sikadem tu si te phenes pa Jesus."
10Basi, mimi nikaanguka kifudifudi mbele ya miguu yake nikataka kumwabudu. Lakini yeye akaniambia, "Acha! Mimi ni mtumishi tu kama wewe na ndugu zako; sote tunauzingatia ukweli ule alioufunua Yesu. Mwabudu Mungu! Maana ukweli alioufunua Yesu ndio unaowaangazia manabii."
11Porme dikhlem o rhaio phutren. O parno gras beshelas kotse. Kodo kai beshel po gras si akhardo "O Del le Pachamasko ai Chacho". Kodo Iek kai kritsinil vorta ai kerel marimos.
11Kisha nikaona mbingu zimefunguliwa; na huko alikuwako farasi mmoja mweupe, na mpanda farasi wake aliitwa "Mwaminifu" na "Kweli". Huyo huhukumu na kupigana kwa ajili ya haki.
12Leske iakha sas sar iag, ai po lesko shero sas but kononuria. Ek anav sas ramome po lesko chikhat, ai ferdi wo zhanel so znachil o ramomos.
12Macho yake ni kama mwali wa moto, na alikuwa amevaa taji nyingi kichwani. Alikuwa ameandikwa jina ambalo hakuna mtu alijuaye isipokuwa tu yeye mwenyewe.
13Ai leski raxami kai lia pe peste sas thodini ando rat: ai lesko anav si "E Vorba le Devleski."
13Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni "Neno la Mungu."
14Le armia le rhaioske line pe lende vuzho, parno poxtan, selia, ai lenas pe pala leste pe le gras le parne.
14Majeshi ya mbinguni yalimfuata yakiwa yamepanda farasi weupe na walikuwa wamevaa mavazi ya kitani, meupe na safi.
15Avri anda lesko mui avela ek skurto sabia te kritsinil le thema. Ai Wo poronchil le ek kotoresa sastresko. Wo phiravelpe po struguro kai keren e mol, ai katar les avela e xoli le Devleski, o baro Del la putierako.
15Upanga mkali hutoka kinywani mwake, na kwa upanga huo atawashinda mataifa. Yeye ndiye atakayetawala kwa fimbo ya chuma na kuikamua divai katika chombo cha kukamulia zabibu za ghadhabu kuu ya Mungu Mwenye Uwezo.
16Pe leski raxami ai po lesko punrho si ramome o anav, "Amperato le Amperatonge ai Gazda le Gazdenge."
16Juu ya vazi lake, na juu ya mguu wake, alikuwa ameandikwa jina: "Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana."
17Porme dikhlem ek angelo beshel anda punrhende ando kham, tsipilas zurales ka le chiriklia, "Aidi, aven andek than pala e bari skafidi le Devleski!
17Kisha nikamwona malaika mmoja amesimama katika jua. Akapaaza sauti na kuwaambia ndege wote waliokuwa wanaruka juu angani, "Njoni! Kusanyikeni pamoja kwa karamu kuu ya Mungu.
18Aven ai xan o mas le amperatonge, ai le kapitanonge le ketanenge, ai le zurale manushenge, ai o mas le grastengo, ai kodolengo kai beshen pe lende. Aven ai xan o mas sa le manushäenge, teliarde ai bariarde. Uni si slugi ai uni nai slugi.
18Njoni mkaitafune miili ya wafalme, ya majemadari, ya watu wenye nguvu, ya farasi na wapanda farasi wao; njoni mkaitafune miili ya watu wote: walio huru na watumwa, wadogo na wakubwa."
19Porme dikhlem o zhungalo zhigania ai le amperaturia la lumiake ai lenge armia (bute ketani) chiden andek than te marenpe kodolesa kai beshel po gras ai leski armia.
19Kisha nikaona yule mnyama pamoja na mfalme wa dunia na askari wao wamekusanyika pamoja kusudi wapigane na yule aliyekuwa ameketi juu ya farasi, pamoja na jeshi lake.
20O zhungalo zhigania sas lino, ai o xoxamlo profeto line sas lesa. Ai sas o xoxamlo profeto kai kerdia le mirakluria anglal o zhungalo zhigania. Anda kodia, wo atsadia kodole kai premisarde o semno le zhungalo zhiganesko ai kodole kai luvudisarde lesko xoxamlo del. Le dui shudine sas ande Maria la Iagaki kai phabol le sulfersoa.
20Lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka, pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (Kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake.) Huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti.
21Ai le kolaver sas mudarde pala e sabia kai avilo avri anda o mui kodolesko kai sas po gras o parno, ai sa le chiriklia anda rhaio xale lengo mas.
21Majeshi yao yaliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa yule anayepanda farasi. Ndege wote wakajishibisha kwa nyama zao.