Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Revelation

20

1Porme dikhlem ek angelo hulelas tele andai rhaio. Sas les ando lesko vas ek chaia ka o gropo, ai sas les ek zuralo lantso.
1Kisha nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake.
2Wo lia o baro sap, kodia phuro sap, kai si o beng, ai Satano, ai phandado les le lantsonsa pala iek mi bersh.
2Akalikamata lile joka--nyoka wa kale, yaani Ibilisi au Shetani--akalifunga kwa muda wa miaka elfu moja.
3O angelo shudia les ando gropo, ai phandado les. Wo nashtisardia te atsavel le thema ma nai zhi kana getonpe le iek mi bersh. Pala kodia wo musai avel ivia xantsi vriama.
3Malaika akalitupa Kuzimu, akaufunga mlango wa kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa mpaka hapo miaka elfu moja itakapotimia. Lakini baada ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena, lakini kwa muda mfupi tu.
4Porme dikhlem le thana kai le amperaturia beshen. Kodola kai beshenas kotse sas dine e putiera te phenen kon si doshalo. Dikhlem le duxuria kodolenge kai sas mudarde ke phende pa Jesus ai denas duma e Vorba le Devleski. Won chi luvudisarde o zhungalo zhigania vai lesko xoxamlo del. Won chi premisarde lesko semno po lengo chikhat vai vas. Won avile palpale ka traio ai won si le bare kai poronchin le Kristosa pala iek mi bersh.
4Kisha nikaona viti vya enzi na watu walioketi juu yake; watu hao walipewa mamlaka ya hukumu. Niliona pia roho za wale waliokuwa wamenyongwa kwa sababu ya kumtangaza Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawa hawakumwabudu yule mnyama na sanamu yake, wala hawakupigwa alama yake juu ya paji za nyuso zao, au juu ya mikono yao. Walipata tena uhai, wakatawala pamoja na Kristo kwa muda wa miaka elfu moja.
5Le kaver kai mule chi avena palpale ka traio zhi kana le iek mi bersh getonpe. Kodo si o pervo zhuvindimos o pervo data kana but manush si vazdine andai martia ka traio andek than.
5(Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka elfu moja itimie.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.
6Kodole kai si vazdine katar e martia ande kodia vriama si raduime ai Swunto. O duito martia nai les putiera pe lende. Won avena le rashai le Devleske ai le Kristoske, ai poronchin lesa pala iek mi bersh.
6Wameneemeka sana, tena heri yao wote wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. Kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao; watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, na watatawala pamoja naye kwa miaka elfu moja.
7Kana le iek mi bersh si getome, o Satano si ivia te mekel leski temnitsa.
7Wakati miaka elfu mia moja itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.
8Ai wo zhala pe sa e lumia te atsavel sa le thema. Won si Gog ai Magog. Ai wo chidel le andek than pala marimos, avena kadia but kai nashti te jinel le ke won si sar e chishai po berego;
8Basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani Gogu na Magogu. Shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.
9ai won zhan pe sa e lumia ai zhan kruglom le Devleske manushen ai kruglom o foro kai drago leske. Numa e iag hulelas tele katar O Del andai rhaio, ai pharhadia le.
9Walitawanyika katika nchi yote, wakaizunguka kambi ya watu wa Mungu na mji wa Mungu aupendao. Lakini moto ulishuka kutoka mbinguni, ukawaangamiza.
10Porme o beng kai atsadia le avela shudino ande Maria la Iagaki kai phabol le sulferosa kai o zhungalo zhigeni ai lesko xoxamlo profeto si, ai won avena chinuisarde adiese ai eriate sa data ai sa data.
10Ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.
11Porme dikhlem o baro than o parno, ai O Del kai beshlo kotse. Katar leski fatsa e phuv ai o cheri mekle les strazo, ai nas than lenge.
11Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. Dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana tena.
12Dikhlem le mule, le bariarde ai le teliarde, beshen anda punrhende anglal O Del; ai le klishki sas phuterde. Ai aver klishka sas phuterdi, e Klishka le Traioski. Ai le mule sas kritsinisarde pala le dieli kai si ramome ande klishka, swako pala so kerdia.
12Kisha nikawaona watu wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kiti cha enzi, na vitabu vikafunguliwa. Halafu kitabu kingine, yaani kitabu cha uzima, kikafunguliwa pia. Wafu wakahukumiwa kadiri ya matendo yao, kama ilivyoandikwa ndani ya vitabu hivyo.
13Ai e maria dini le mule manush kai sas groposarde ande late, ai e Martia ai o Iado dine le mule kai sas ande lende. Swako sas kritsinisardia pala so kerdia.
13Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake.
14Ai e Martia ai o Iado shudine sas ande Maria la Iagaki. Kadia si o Duito Martia.
14Kisha kifo na kuzimu vikatupwa ndani ya ziwa la moto. Ziwa hili la moto ndicho kifo cha pili.
15Ai vari kaske anav kai nas arakhlia ramome ande Klishka le Traioski sas shudino ande Maria la Iagaki.
15Mtu yeyote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika ziwa la moto.