Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Revelation

21

1Porme dikhlem ek nevo rhaio ai ek nevi lumia. O pervo rhaio ai e pervi lumia chi dichon ma nai. Ai ma nai maria.
1Kisha nikaona mbingu mpya na dunia mpya. Mbingu ile ya kwanza na dunia ile ya kwanza vilikuwa vimetoweka, nayo bahari pia haikuweko tena.
2Ai me, o Iovano, dikhlem o Swunto Foro, o Nevo Jerusalem, hulelas tele andai rhaio katar O Del. Shukar sas, sar e shei kai laki abiav, woi lia pe late shukar tsalia pala lako ternaxar.
2Nikaona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni. Ulikuwa umetayarishwa vizuri kama bibi arusi aliyepambwa tayari kukutana na mumewe.
3Ashundem ek zuralo glaso katar o rhaio, phenelas, "Dikh! E tsera le Devlesko si mashkar le manush, ai Wo traiila lensa, ai won avena lesko narodo; E, O Del Wo si lensa, ai Wo si lengo Del!
3Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka katika kiti cha enzi ikisema, "Tazama! Mungu amefanya makao yake kati ya watu. Atakaa kati yao, nao watakuwa watu wake, naye atakuwa Mungu wao.
4O Del lela le asua katar amare iakha, ai chi mai avela martia, ai nai nekazo, ai chi mai roven, ai ma nai dukh. Sa geletar ai shoxar chi mai avena palpale. Kadia si sa data.
4Yeye atayafuta machozi yao yote; maana hakutakuwako tena na kifo, wala uchungu, wala kilio, wala maumivu; maana ile hali ya kale imepita!"
5Porme Kodo kai beslo po lesko than sar Amperato phendia, "Dikh! Me kerav sa dieli neve." Ai wo phendia mange, "Ramos: Ke kadala vorbi si chache ai sai jin pe lende.
5Kisha yule aliyeketi juu ya kiti cha enzi akasema, "Tazama, nafanya yote mapya." Tena akaniambia, "Andika hili, maana maneno haya ni ya kuaminika na ya kweli!"
6Wo phendia mande, Gata si! Me sim o "A" ai o "Z", o "de anda gor" ai "åando gor". Ka vari kon kai si trushalo me dava les pai le traiosko sar e podarka!
6Kisha akaniambia, "Yametimia! Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Aliye na kiu nitampa kinywaji cha bure kutoka katika chemchemi ya maji ya uzima.
7Wo kai si les putiera ai niril premil sa kakala mishtimata. Me avava lesko Del ai wo avela Murho shav.
7Yeyote atakayeshinda atapokea hiki, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
8Numa kodole kai daran, ai kodole kai chi pachanpe ando Del, ai kodole kai mudaren aver manushen, ai kodole kai keren zhungalimos le statosa vai kurvi, ai kodole kai drabaren, ai kodole kai luvudin le xoxamle dela, ai sa kodole kai xoxaven avena shudine ande Maria la Iagaki ai Sulfer. Kadia si o Duito Martia."
8Lakini watu waoga, wasioamini, wapotovu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, mahali pao patakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto na kiberiti; hicho ndicho kifo cha pili."
9Porme iek anda le efta angeluria kai sas les le efta saxanitsi pherde le efta palune baiuria avilo mande ai phendia, "Aidi! Me sikavav tuke e bari shei, e rhomni le Bakriorhoski."
9Kisha mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba yaliyokuwa yamejaa mabaa saba ya mwisho, akaja na kuniambia, "Njoo! Mimi nitakuonyesha bibi arusi, mkewe Mwanakondoo!"
10Murho duxo sas ingerdia pala o angelo ka ek wucho plai. Wo sikadia ma o Swunto Foro Jerusalem sar avelas andai rhaio katar O Del.
10Basi, Roho akanikumba, naye malaika akanipeleka juu ya mlima mrefu sana. Akanionyesha mji mtakatifu, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni,
11Pherdo sas o barimos kai strefial le Devlesko, strefialas sar ek bax kai si kuchi, sar ek Jasper (diamond) bax, dichol sar stakla.
11uking'aa kwa utukufu wa Mungu. Mwangaza wake ulikuwa kama wa jiwe la thamani kubwa kama yaspi, angavu kama kioo.
12Le ziduria sas bufle ai wuche, ai sas desh u dui wudara, ai desh u dui angeluria beshle pasha le wudara. Le anava ramome sas pe le wudara, kai si le anava le desh u dui vitsange le shavenge le Israelonge.
12Ulikuwa na ukuta mrefu na mkubwa, wenye milango kumi na miwili, na malaika wanangojea kumi na wawili. Majina ya wangoja milango kumi na mawili ya Israeli yalikuwa yameandikwa juu ya milango hiyo.
13Ai sas trin wudara pe swako rik, norto, sauto, easto, westo.
13Kila upande ulikuwa na milango mitatu: upande wa mashariki, milango mitatu, kaskazini milango mitatu, kusini milango mitatu na magharibi milango mitatu.
14Le ziduria sas po desh u dui fundania, ai pe lende sas ramome le anava le desh u dui apostlonge le Bakriorhoske.
14Kuta za mji huo zilikuwa zimejengwa juu ya mawe ya msingi kumi na mawili, na juu ya mawe hayo yalikuwa yameandikwa majina na mitume kumi na wawili wa Mwanakondoo.
15O angelo sas les ek rhai sumnakai ando lesko vas te musuril o foro ai leske wudara ai ziduria.
15Basi, yule malaika aliyekuwa anasema nami alikuwa na kijiti cha dhahabu cha kupimia, kwa ajili ya kuupima huo mji, milango yake na kuta zake.
16Kana musurilas les, wo arakhlia o foro sas buflo sar sas lungo, ai sas wucho sar sas buflo, sas kwadrato. Pe swako rik saikfielo sas – iek mi ai pansh shela maili pe swako rik.
16Mji wenyewe ulikuwa wa mraba, upana na urefu wake sawa. Basi, malaika akaupima mji huo kwa kijiti chake: ulikuwa na urefu, upana na urefu wa kwenda juu, kama kilomita elfu mbili na mia nne.
17Porme musurilas o tsulo le zidosko ai arakhlia les te avel dui shela ai desh u shov punrhe inchal. O angelo musurilas o foro sar o manush musuril.
17Kisha akaupima ukuta wake pia; nao ulikuwa mita sitini kwa kipimo cha macho cha kibinadamu ambacho malaika alitumia.
18O zido sas kerdo anda jasper bax, ai o foro sas vuzho sumnakai sar stakla.
18Ukuta huo ulikuwa umejengwa kwa mawe mekundu ya thamani, na mji wenyewe ulikuwa umejengwa kwa dhahabu safi, angavu kama kioo.
19Le fundania kerdo sas po swako fielo baxeske kai sas kuchi. O pervo fundania bax sas le jasperasa- diamond; o duito sas le sapphiresa; o trito sas le chalcedonyesa; o shtarto sas le emeraldosa; o panshto sas le sardonyxosa; o shovto sas le sardusosa; o eftato sas le chrisolitesa; o oxtoto sas le berylosa; o iniato sas le topazosko; o deshto sas le chrysoprasasa; o desh u iekto sas le jacinthesa; o desh u duito sas le amethystesa;
19Mawe ya msingi wa ukuta huo yalikuwa yamepambwa kwa kila aina ya mawe ya thamani. Jiwe la kwanza la msingi lilikuwa jiwe la thamani jekundu, la pili yakuti samawati, la tatu kalkedoni, la nne zamaradi,
21Le desh u dui wudara kerde sas andai perli, swako wudar sas anda iek perli! Ai o drom sas vuzho sumnakai sar stakla.
20la tano sardoniki, la sita akiki, la saba krisolito, la nane zabarijadi, la tisa topazi, la kumi krisopraso, la kumi na moja yasinto, na la kumi na mbili amethisto.
22Chi dikhlem ek tampla le Devlesko ando foro. Ke le Devles, O Del la putierako ai O Bakriorho si o tampla le Devlesko ando kado foro.
21Na ile milango kumi na miwili ilikuwa lulu kumi na mbili; kila mlango ulikuwa umetengenezwa kwa lulu moja. Barabara kuu ya mji ilikuwa imetengenezwa kwa dhahabu safi, angavu kama kioo.
23Ai o foro chi trobul o kham te del vediara ai chi trobul o shunto te del vediara; ke o barimos le Devlesko kai strefial del vediara, ai O Bakriorho si e vediara,
22Sikuona hekalu katika mji huo, maana Bwana Mungu Mwenye Uwezo na yule Mwanakondoo ndio Hekalu lake.
24ai pala leski vediara phiren le thema kai si skepime: ai le amperaturia la lumiake anen lengo barimos ai luvudimos andre;
23Mji huo hauhitaji jua wala mwezi kuangazia, maana utukufu wa Mungu huuangazia, na taa yake ni yule Mwanakondoo.
25ai le wudara shoxar chi phandaven: ke nai riat kotse.
24Watu wa mataifa watatembea katika mwanga wake, na wafalme wa dunia watauletea utajiri wao.
26O barimos ai o luvudimos le themenge avela andine andre.
25Milango ya mji huo itakuwa wazi mchana wote; maana hakutakuwa na usiku humo.
27Nai kanchi kai si marime, vai nasul, vai xoxamlo sai zhal andre, numa ferdi kodoleske kai si les pesko anav ramome ande klishka le Bakriorhoski le Traioski.
26Fahari na utajiri wa watu wa mataifa utaletwa humo ndani.
27Lakini hakuna chochote kilicho najisi kitakachoingia humo; wala mtu yeyote atendaye mambo ya kuchukiza au ya uongo hataingia humo. Ni wale tu walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo ndio watakaoingia ndani.