Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Romans

4

1Apo so te mothas, so lia o Abraham amaro dat?
1Tuseme nini basi, juu ya Abrahamu baba yetu?
2Te avilino o Abraham arakhlo vorta katar O Del palal dieli kai kerdia, sai kerdino barimata, numa nashtil te kerel barimata angla Del. Chaches E Vorba le Devleski mothol.
2Kama Abrahamu alikubaliwa kuwa mwadilifu kutokana na matendo yake, basi, anacho kitu cha kujivunia mbele ya Mungu.
3"O Abraham pachaiape ando Del, ai O Del jinelas les vorta pala pesko pachamos."
3Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: "Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu."
4O manush kai kerel buchi si les pochin; kodia pochin nai jindi sar iek podarka ivia, numa kerdia buchi pala late.
4Mfanyakazi hulipwa mshahara; mshahara wake si zawadi bali ni haki yake.
5Numa kana iek manush bi te kerel buchi thol ferdi pesko pachamos ando Del, ai O Del jinel vorta le bezexa leske, O Del dikhel lesko pachamos te jinel les sar vorta angla leste.
5Lakini mtu asiyetegemea matendo yake mwenyewe, bali anamwamini Mungu ambaye huwasamehe waovu, basi, Mungu huijali imani ya mtu huyo, na hivi humkubali kuwa mwadilifu.
6Ai kadia si kai o David del duma pa raduimos le manushesko, kai O Del jinel les vorta bi te lel sama so kerel:
6Naye Daudi asema hivi juu ya furaha ya mtu ambaye Mungu amemkubali kuwa mwadilifu bila kuyajali matendo yake:
7"Raduime te aven kodola kai O Del iertisardia lenge shipki, ai kai iertisardia lenge bezexa. Raduime o manush kai O Del chi jinel lesko bezex.
7"Heri wale waliosamehewa makosa yao ambao makosa yao yamefutwa.
8Kado mishtimos si ferdi le manushenge kai si semno pe lende, vai vi le manushenge kai nai semno pe lende?
8Heri mtu yule ambaye Bwana hataziweka dhambi zake katika kumbukumbu."
9Akana so phendiam ke O Del jinel le Abrahamos sa vorta, ke lel sama ka lesko pachamos." (Gen 15:6).
9Je, hiyo ni kwa wale waliotahiriwa tu, ama pia kwa wale wasiotahiriwa? Ni kwa wale wasiotahiriwa pia. Kwa maana tumekwisha sema: "Abrahamu aliamini, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu."
10Kana kodia diela kerdili? Sas mai angla vai mai palal kana Abraham sas semno pe leste? Nichi mai palal, numa mai anglal.
10Je, Abrahamu alikubaliwa kabla ya kutahiriwa ama baada ya kutahiriwa? Kabla ya kutahiriwa, na si baada ya kutahiriwa.
11O Abraham sas les dino o semno te dichol, kodia sas o semno te sikavel ke O Del jinelas les sa vorta pala pesko pachamos mai anglal sar te avel semno pe leste, o Abraham kai si o dat sa kodolenge kai pachanpe ando Del, bi te aven semnome, kodia si kodola kai nai ferdi ke si semnome, numa ke lenpe pala traio le pachamasko ke sar amaro dat, o Abraham traiisardia mai anglal sar te avel semnome.
11Abrahamu alitahiriwa baadaye, na kutahiriwa huko kulikuwa alama iliyothibitisha kwamba Mungu alimkubali kuwa mwadilifu kwa sababu ya imani yake aliyokuwa nayo kabla ya kutahiriwa. Kwa hiyo, Abrahamu amekuwa baba wa wale wote ambao, ingawa hawakutahiriwa, wamemwamini Mungu, wakafanywa waadilifu.
13O Del shinadia le Abrahamoske ai kodolenge kai aven pala leste ke e lumia avela lenge. Kodo shinaimos na ke o Abraham kerdia o zakono, numa ke sas jindo sa vorta katar O Del pala pesko pachamos.
12Vilevile yeye ni baba wa wale waliotahiriwa; lakini si kwa kuwa wametahiriwa, bali kwa sababu wanafuata njia ileile ya imani baba yetu Abrahamu aliyofuata kabla ya kutahiriwa.
14Te avilino kodola kai keren o zakono ferdi won te len so sas shinado. Apo o pachamos intaino lo, ai so sas shinado katar O Del nas te mol kanch.
13Mungu alimwahidi Abrahamu na wazawa wake kwamba ulimwengu ungekuwa mali yao. Ahadi hiyo haikufanywa kwa sababu Abrahamu aliitii Sheria, bali kwa kuwa aliamini, akakubaliwa kuwa mwadilifu.
15Ke o zakono anel e xoli le Devleski; Numa kotse kai nai zakono, nai chi bezexa.
14Maana kama watakaopewa hayo aliyoahidi Mungu ni wale tu wanaoitii Sheria, basi, imani haina maana yoyote, nayo ahadi ya Mungu si kitu.
16Anda kodia so sas shinado katar O Del sas pala pachamos, saxke te avel ek podarka ivia katar O Del, ai te avel lashi sas kodolenge kai avena katar o Abraham. Na ferdi kodolenge kai keren o zakono, numa vi kodolenge kai pachanpe sar o Abraham pachaiape, o Abraham si amaro dat savorhenge;
15Sheria husababisha ghadhabu; lakini kama hakuna Sheria, haiwezekani kuivunja.
17Sar mothol E Vorba le Devleski, "Kerdem anda tute o dat bute themengo." Wo si amaro dat angla Del ande kodo kai pachaiape, O Del kai del o traio le mulen, ai kerel te avel so nas shoxar.
16Kwa sababu hiyo, jambo hili lategemea imani, hivyo kwamba ahadi hiyo yatokana na neema ya Mungu, na kwamba ni hakika kuwa ahadi hiyo ni kwa ajili ya wote: si kwa wale tu wanaoishika Sheria, bali pia kwa wale waishio kwa imani kama Abrahamu. Yeye ni baba yetu sisi sote.
18O Abraham pachaiape ai azhukerelas, kana nas kanch te azhukerelas, ai kerdilo kadia "O dat bute themengo" Vorta sar O Del phendiasas leske, 'Avela but narodo pala tute.'
17Kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi." Ahadi hiyo ni kweli mbele ya Mungu ambaye Abrahamu alimwamini--Mungu ambaye huwapa wafu uzima, na kwa amri yake, vitu ambavyo havikuwapo huwa.
19Pashte iek shel bershengo sas; numa lesko pachamos chi kovliolas kana delas pe goji ka pesko stato, kai sas vunzhe sar mulo, ai e Sarah kai nashtilas te avel la glate.
18Abrahamu aliamini na kutumaini ingawa hali yenyewe ilikuwa bila matumaini, na hivyo amekuwa baba wa mataifa mengi kama Maandiko Matakatifu yasemavyo: "Wazao wako watakuwa wengi kama nyota!"
20Chi xasardo pesko pachamos, ai pachalaspe ande so shinadiasas leske O Del; inker lesko pachamos bariolas, ai naisilas le Devles.
19Alikuwa mzee wa karibu miaka mia moja, lakini imani yake haikufifia ingawa alijua kwamba mwili wake ulikuwa kama umekufa, na pia mkewe, Sara, alikuwa tasa.
21Pachalaspe zurales ke O Del si les e putiera te kerel so shinadia.
20Abrahamu hakuionea mashaka ile ahadi ya Mungu; alipata nguvu kutokana na imani, akamtukuza Mungu.
22Anda kodia o Abraham pala pesko pachamos, sas jindo vorta katar O Del.
21Alijua kwamba Mungu anaweza kuyatekeleza yale aliyoahidi.
23Numa kadala vorbi "jindo sar vorta" nas ferdi ramome leske,
22Ndiyo maana Mungu alimkubali kuwa mwadilifu.
24Sas ramome vi amenge, ai iame sam jinde sa vorta, ame kai pachas ande leste kai vazdia andai martia ka traio O Jesus amaro Del.
23Inaposemwa, "Alimkubali," haisemwi kwa ajili yake mwenyewe tu.
25Sas dino kai martia pala amare bezexa, ai sas andino palpale ka traio amenge te kerel anda amende vorta angla Del.
24Jambo hili linatuhusu sisi pia ambao tunamwamini Mungu aliyemfufua Yesu, Bwana wetu, kutoka wafu.
25Yeye alitolewa auawe kwa ajili ya dhambi zetu, akafufuka ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu na Mungu.