1Vadiwa, musatenda mweya yose yose, asi muidze mweya, kuti yakabva kuna Mwari here; nekuti vaporofita vazhinji venhema vakabudira munyika.
1Wapenzi wangu, msimsadiki kila mtu asemaye kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama huyo mtu anaongozwa na Roho wa Mungu au la, Maana manabii wengi wa uongo wamezuka ulimwenguni.
2Ndizvo zvamunoziva nazvo Mweya waMwari: Mweya umwe neumwe unobvuma kuti Jesu Kristu wakauya munyama unobva kuna Mwari.
2Hii ndiyo njia ya kujua kama mtu anaongozwa na Roho wa Mungu: Kila anayekiri kwamba Kristo alikuja, akawa binadamu, mtu huyo anaye Roho wa Mungu.
3Mweya umwe neumwe usingabvumi kuti Jesu Kristu wakauya panyama, haubvi kuna Mwari; uye uyu ndiye uya womupikisi waKristu wamakanzwa kuti unouya nazvino watova panyika.
3Lakini mtu yeyote asiyemkiri Kristo hivyo, hana huyo Roho atokaye kwa Mungu. Mtu huyo ana roho ambaye ni wa Adui wa Kristo; nanyi mlikwisha sikia kwamba anakuja, na sasa tayari amekwisha wasili ulimwenguni!
4Imwi muri vaMwari vana vaduku, uye makavakunda, nekuti uyo uri mamuri mukuru kuna iye uri munyika.
4Lakini ninyi, watoto, ni wake Mungu na mmekwisha washinda hao manabii wa uongo; maana Roho aliye ndani yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye ndani ya hao walio wa ulimwengu.
5Ivo ndevenyika; naizvozvo vanotaura zvinobva kunyika, uye nyika inovanzwa.
5Wao husema mambo ya ulimwengu, nao ulimwengu huwasikiliza kwani wao ni wa ulimwengu.
6Isu tiri vaMwari; uyo unoziva Mwari unotinzwa; usi waMwari haatinzwi. Ndizvo zvatinoziva nazvo Mweya wechokwadi nomweya wokutsauka.
6Lakini sisi ni wake Mungu. Mtu anayemjua Mungu hutusikiliza, mtu asiye wa Mungu hatusikilizi. Basi, kwa njia hiyo tunaweza kutambua tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo.
7Vadiwa, ngatidanane; nekuti rudo runobva kuna Mwari, uye umwe neumwe unoda wakaberekwa naMwari, zvekare unoziva Mwari.
7Wapenzi wangu, tupendane, maana upendo hutoka kwa Mungu. Kila mtu aliye na upendo ni mtoto wa Mungu, na anamjua Mungu.
8Usingadi, haazivi Mwari, nekuti Mwari rudo.
8Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.
9Naizvozvi rudo rwaMwari rwakaratidzwa kwatiri, kuti Mwari wakatuma Mwanakomana wake wakaberekwa umwe woga munyika, kuti tirarame kubudikidza naye.
9Na Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanae wa pekee ulimwenguni, ili tuwe na uzima kwa njia yake.
10Rudo ruri pachinhu ichi, kwete kuti takada Mwari, asi kuti iye wakatida, akatuma Mwanakomana wake kuti ave rudzikunuro rwezvivi zvedu.
10Hivi ndivyo upendo ulivyo: si kwamba sisi tulikuwa tumempenda Mungu kwanza, bali kwamba yeye alitupenda hata akamtuma Mwanae awe sadaka ya kutuondolea dhambi zetu.
11Vadiwa, kana Mwari akatida saizvozvo, nesu tinofanirawo kudanana.
11Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.
12Hakuna munhu wakamboona Mwari; kana tichidanana, Mwari unogara matiri uye norudo rwake rwunoperedzerwa matiri.
12Hakuna mtu aliyekwisha mwona Mungu kamwe; lakini kama tukipendana Mungu anaishi katika muungano nasi, na upendo wake unakamilika ndani yetu.
13Ndizvo zvatinoziva nazvo kuti tinogara maari, naiye matiri, nekuti wakatipa zvemweya wake.
13Tunajua kwamba tunaishi katika umoja na Mungu, naye Mungu anaishi katika umoja nasi, kwani yeye ametupa Roho wake.
14Isu takaona uye tinopupura kuti Baba vakatuma Mwanakomana, kuti ave Muponesi wenyika.
14Sisi tumeona na kuwaambia wengine kwamba Baba alimtuma Mwanae awe Mwokozi wa ulimwengu.
15Ani nani unobvuma kuti Jesu ndiye Mwanakomana waMwari, Mwari unogara maari, naiye muna Mwari.
15Kila mtu anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu anaishi katika muungano na mtu huyo, naye anaishi katika muungano na Mungu.
16Nesu takaziva tikatenda rudo urwu Mwari rwaanarwo kwatiri. Mwari rudo; uye unogara murudo unogara muna Mwari, naMwari maari.
16Basi, sisi tunajua na tunaamini upendo alio nao Mungu kwetu sisi. Mungu ni upendo, na kila mtu aishiye katika upendo, anaishi katika muungano na Mungu, na Mungu anaishi katika muungano naye.
17Rudo rwakapedzeredzwa nesu pachinhu ichi, kuti tive neushingi nezuva rekutongwa; nekuti sezvaari iye, ndizvo zvatiriwo panyika ino.
17Upendo umekamilika ndani yetu kusudi tuweze kuwa na ujasiri Siku ile ya Hukumu; kwani maisha yetu hapa duniani ni kama yale ya Kristo.
18Hakuna kutya murudo, asi rudo rwakaperera runodzinga kutya, nekuti kutya kune marwadzo, unotya haana kuperedzerwa parudo.
18Palipo na upendo hapana uoga; naam, upendo kamili hufukuza uoga wote. Basi, mtu mwenye uoga hajakamilika bado katika upendo, kwani uoga huhusikana na adhabu.
19Isu tinomuda, nekuti iye wakatanga kutida.
19Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.
20Kana munhu achiti: Ndinoda Mwari asi achivenga hama yake, murevi wenhema; nekuti uyo usingadi hama yake yaakaona, ungada seiko Mwari waasina kuona?
20Mtu akisema kwamba anampenda Mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hamwoni.
21Iwoyu murairo tinawo unobva kwaari, kuti unoda Mwari ngaadewo hama yake.
21Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.