1Nekuti ndinoda kuti muzive kuti kurwa kukuru zvakadini kwandinako pamusoro penyu, naivo vepaRaodhikia, navose vasina kumboona chiso changu panyama,
1Napenda mjue jinsi ninavyofanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, kwa ajili ya watu wa Laodikea na kwa ajili ya wote ambao hawajapata kuniona kwa macho.
2kuti moyo yavo inyaradzwe, vasonanidzwe murudo, nemufuma yose yekuvimbiswa kwakakwana kwekunzwisisa, paruzivo rwechakavanzika chaMwari, nechaBaba, nechaKristu,
2Nafanya hivi kusudi mioyo yao ifarijiwe na kuvutwa pamoja katika upendo, ili wajazwe uthabiti mwingi uletwao na elimu ya kweli. Hapo wataijua siri ya Mungu ambayo ni Kristo mwenyewe.
3maari fuma yose yeuchenjeri neruzivo yakavigwa.
3Ndani yake zimefichika hazina zote za hekima na elimu.
4Ndinoreva izvi, kuti kusava nemunhu unokurasai nemashoko anonyengera.
4Basi, nawaambieni, msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa maneno ya uongo hata kama ni ya kuvutia sana.
5Nekuti kunyange ndisipo panyama, zvakadaro ndinemwi pamweya, ndichifara nekuvona kurongeka kwenyu, nekusimba kwerutendo rwenyu muna Kristu.
5Maana, ingawa mimi niko mbali nanyi kwa mwili, lakini niko pamoja nanyi kwa roho, na ninafurahi kuona uthabiti kamili mnaosimama nao pamoja katika imani yenu kwa Kristo.
6Naizvozvo sezvamakagamuchira Kristu Jesu Ishe, fambai maari,
6Maadamu ninyi mmemkubali Kristo Yesu kuwa Bwana, basi, ishini katika muungano naye.
7makadzika midzi nekuvakwa maari, nekusimbiswa murutendo, sezvamakadzidziswa, muchiwedzera makuri nekuvonga.
7Mnapaswa kuwa na mizizi ndani yake, kujijenga juu yake na kuwa imara katika imani yenu kama mlivyofundishwa. Muwe na shukrani tele.
8Chenjerai, zvimwe umwe munhu ungakupambai neuchenjeri, nekunyengera kusina maturo, achitevera tsika dzevanhu, achitevera dzidziso dzekuvamba dzenyika, uye kwete kutevera Kristu.
8Angalieni basi, mtu asiwapotoshe kwa udanganyifu mtupu wa hekima ya kibinadamu, ambayo chanzo chake ni mafundisho ya mapokeo ya watu na ya pepo watawala, na wala si Kristo mwenyewe!
9Nekuti kuzara kose kweuMwari kunogara maari pamuviri.
9Maana, ndani yake Kristo katika ubinadamu wake, umo ukamilifu wote wa Mungu,
10Nemwi maari makazadziswa, iye musoro weutungamiriri hwose nesimba;
10nanyi mmepewa uzima kamili katika kuungana naye. Yeye yuko juu ya pepo watawala wote na wakuu wote.
11iye wamakadzingiswawo maari nedzingiso isina kuitwa nemaoko, pakubvisa muviri wezvivi zvenyama, pakudzingisa kwaKristu;
11Katika kuungana na Kristo ninyi mlitahiriwa, lakini si kwa tohara ifanywayo na watu, bali inayofanywa na Kristo mwenyewe, na ambayo inahusikana na kukombolewa kutoka katika utu wa dhambi.
12makavigwa pamwe naye pabhabhatidzo, pamakamutswawo pamwe naye kubudikidza nerutendo rwekuita kwaMwari wakamumutsa kuvakafa.
12Maana, mlipobatizwa mlizikwa pamoja na Kristo, na katika ubatizo, mlifufuliwa pia pamoja naye kwa imani yenu katika nguvu ya Mungu ambaye alimfufua Kristo kutoka wafu.
13Nemwi makafa mukudarika kwenyu, nepakusadzingiswa kwenyama yenyu, wakakuitai vapenyu pamwe naye, akukangamwirai kudarika kose,
13Wakati mmoja nanyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ninyi mlikuwa watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amewapa ninyi uzima pamoja na Kristo. Mungu ametusamehe dhambi zetu zote;
14akadzima rugwaro rwezviga rwaipikisana nesu, rwaipesana nesu; akarubvisa irwo pakati, akaruroverera;
14alifutilia mbali ile hati ya deni iliyokuwa inatukabili na masharti yake, na kuifuta kabisa kwa kuipigilia msalabani.
15akazumbura ukuru nemasimba, akavabudisa pachena, akavakunda mauri.
15Juu ya msalaba Kristo aliwapokonya nguvu zao hao pepo watawala na wakuu; aliwafanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuwaburuta kama mateka katika msafara wa ushindi wake.
16Naizvozvo kusava nemunhu unokutongai pachikafu kana chimwiwa, kana nekuda kwemusi wemutambo kana pakugara kwemwedzi kana pasabata;
16Kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya Mwezi mpya au Sabato.
17zvinova mumvuri wezvinhu zvichavuya, asi muviri ndewa Kristu.
17Mambo ya aina hiyo ni kivuli tu cha yale yatakayokuja; ukweli wenyewe ndiye Kristo.
18Kusava nemunhu unokutorerai mubairo wenyu nemano, achifanira kuzvininipisa nekunamata vatumwa, achipindira pazvinhu zvaasina kuona, achizvikudza pasina nefungwa dzake dzenyama,
18Msikubali kuhukumiwa na mtu yeyote anayejitakia kuwa wa maana kwa sababu ya maono ya pekee na ambaye anasisitiza juu ya unyenyekevu wa uongo na ibada kwa malaika. Mtu wa namna hiyo amepumbazika kwa fikira danganifu za kidunia
19asingabatisisi Musoro, uyo maari muviri wose nemafundo nemarunda unofundiwa, nekurukirwa pamwe, uchikura nekukura kwaMwari.
19na amejitenga na Kristo aliye kichwa cha huo mwili. Chini ya uongozi wa Kristo, mwili wote unalishwa na kuunganishwa pamoja kwa viungo na mishipa yake, nao hukua kama atakavyo Mungu.
20Zvino kana makafa pamwe naKristu kune dzidziso dzekuvamba dzenyika, munosungikanireiko nemirairo, semugere munyika,
20Ninyi mmekufa pamoja na Kristo na kukombolewa kutoka nguvu za pepo watawala wa ulimwengu. Kwa nini, basi, kuishi tena kama vile mngekuwa wa ulimwengu huu? Ya nini kuwekewa masharti:
21(usabata, usaravira, usagunzva,
21"Msishike hiki," "Msionje kile," "Msiguse kile!"
22izvi zvose zvichaparara nekushandiswa) zvichitevera mirairo nedzidziso dzevanhu?
22Mambo hayo yote yanahusika na vitu vyenye kuharibika mara tu vinapotumiwa; hayo ni maagizo na mafundisho ya kibinadamu tu.
23Izvo zvine chimiro cheuchenjeri pakuzvidira kunamata, nekuzvininipisa, nekuramba muviri; hazvibatsiri kukunda kugutsa nyama.
23Kweli, masharti hayo yaonekana kuwa ya hekima katika namna ya ibada ya kujitakia wenyewe, unyenyekevu wa uongo na kuutendea mwili kwa ukali; lakini kwa kweli, haifai chochote kuzuia tamaa za mwili.