Shona

Swahili: New Testament

Colossians

1

1Pauro muapositori waKristu Jesu nekuda kwechido chaMwari, naTimotio hama,
1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo,
2kuvatsvene nehama dzakatendeka muna Kristu vari paKorose: Nyasha kwamuri, nerugare rwunobva kuna Mwari Baba vedu naIshe Jesu Kristu.
2tunawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Kolosai, ndugu zetu waaminifu katika kuungana na Kristo. Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu.
3Tinopa kuvonga kuna Mwari naBaba vaIshe wedu Jesu Kristu, tichikunyengetererai nguva dzose,
3Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.
4sezvo takanzwa zverutendo rwenyu muna Kristu Jesu, uye zverudo kuvatsvene vose,
4Maana tumesikia juu ya imani yenu katika Kristo Yesu na juu ya upendo wenu kwa watu wote wa Mungu.
5nekuda kwetariro yakagadzirirwa imwi kumatenga, yamakagara manzwa pashoko rechokwadi cheevhangeri,
5Wakati ujumbe ule wa kweli, yaani Habari Njema, ilipowafikieni kwa mara ya kwanza, mlipata kusikia juu ya lile tumaini linalopatikana kwake. Kwa sababu hiyo imani na upendo wenu vinategemea jambo lile mnalotumainia ambalo mmewekewa salama mbinguni.
6iyo yasvika kwamuri sepanyika yosewo; ichibereka chibereko, sezvainoitawo kwamuri, kubvira pazuva ramakanzwa nekuziva nyasha dzaMwari muchokwadi;
6Habari Njema inazidi kuzaa matunda na kuenea ulimwenguni kote kama vile ilivyofanya kwenu ninyi tangu siku ile mliposikia juu ya neema ya Mungu na kuitambua ilivyo kweli.
7sezvamakadzidzawo kuna Epafrasi, muranda unodikamwa pamwe nesu, mushumiri wakatendeka waKristu nekuda kwenyu,
7Mlijifunza juu ya neema ya Mungu kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu, ambaye ni mfanyakazi mwaminifu wa Kristo kwa niaba yetu.
8iye wakatiudzawo zverudo rwenyu muMweya.
8Yeye alitupa habari za upendo wenu mliojaliwa na Roho.
9Nekuda kweizvi isuwo, kubvira pazuva ratakanzwa, hatimiri kukunyengetererai, nekukumbira kuti muzadzwe neruzivo rwechido chake, pauchenjeri hwose nekunzwisisa kwemweya;
9Kwa sababu hiyo tumekuwa tukiwaombeeni daima tangu tulipopata habari zenu. Tunamwomba Mungu awajazeni ujuzi kamili wa mapenzi yake, awajazeni hekima yote na elimu iletwayo na Roho wake.
10kuti mufambe sezvinofanira Ishe muchimufadza pazvose, muchibereka zvibereko pabasa rose rakanaka, muchikura paruzivo rwaMwari;
10Hapo mtaweza kuishi kama anavyotaka Bwana na kutenda daima yanayompendeza. Maisha yenu yatakuwa yenye matunda ya kila namna ya matendo mema na mtazidi kukua katika kumjua Mungu.
11muchisimbiswa nesimba rose, zvichienderana nesimba rekurumbidzwa kwake, muve nemoyo murefu nekutsungirira nemufaro;
11Mungu awajalieni nguvu kwa uwezo wake mtukufu ili mweze kustahimili kila kitu kwa uvumilivu.
12muchipa kuvonga kuna Baba, vakatiita kuti tifanire kugoverana kwenhaka yevatsvene muchiedza.
12Na kwa furaha, mshukuruni Baba aliyewawezesha ninyi kuwa na sehemu yenu katika mambo yale Mungu aliyowawekea watu wake katika utawala wa mwanga.
13vakatinunura pasimba rerima, vakatishandurira muushe hweMwanakomana werudo rwavo,
13Yeye alituokoa katika nguvu ya giza, akatuleta salama katika ufalme wa Mwanae mpenzi,
14watine dzikinuro maari kubudikidza neropa rake, ndiko kukangamwirwa kwezvivi.
14ambaye kwa njia yake tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa.
15Ndiye mufananidzo waMwari usingaonekwi, dangwe rechisikwa choga choga;
15Kristo ni mfano wa Mungu asiyeonekana; ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
16Nekuti maari zvinhu zvose zvakasikwa, zviri kumatenga nezviri panyika, zvinoonekwa nezvisingaonekwi, kana zviri zvigaro zveushe kana ushe, kana ukuru, kana masimba; zvinhu zvose zvakasikwa naye, zvikasikirwa iye.
16Maana kwa njia yake vitu vyote viliumbwa duniani na mbinguni, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana: wenye enzi, watawala, wakuu na wenye mamlaka. Vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake.
17Ndiye unotangira zvinhu zvose, uye zvinhu zvose zvakabatanidzwa maari.
17Kristo alikuwako kabla ya vitu vyote; kwa kuungana naye, vyote vyadumu mahali pake.
18Uye ndiye musoro wemuviri, kereke; unova kutanga, dangwe kune vakafa; kuti pazvose iye ave wokutanga.
18Yeye ni kichwa cha mwili wake, yaani kanisa; yeye ni chanzo cha uhai wa huo mwili. Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza aliyefufuliwa kutoka wafu, ili awe na nafasi ya kwanza katika vitu vyote.
19Nekuti zvakafadza Baba, kuti kuzara kose kugare maari,
19Maana Mungu alipenda utimilifu wote uwe ndani yake.
20uye akonzere naye kuti zvinhu zvose zviyananiswe kwaari, amboita rugare kubudikidza neropa remuchinjikwa wake kubudikidza naiye, kunyange zviri panyika kunyange zviri kumatenga.
20Kwa njia yake Mungu alivipatanisha naye vitu vyote naam, viumbe vyote mbinguni na duniania; alileta amani kwa damu ya Kristo msalabani.
21Nemwi maimbova vaeni nevavengi mufungwa nemabasa akaipa, asi zvino wayanana nemwi
21Hapo kwanza ninyi pia mlikuwa mbali na Mungu na mlikuwa adui zake kwa sababu ya fikira zenu na matendo yenu maovu.
22mumuviri wenyama yake kubudikidza nekufa akukumikidzei muri vatsvene, uye musina mhosva uye musingamhuriki pachiso chake,
22Lakini sasa, kwa kifo cha Mwanae aliyeishi hapa duniani, Mungu amewapatanisha naye, kusudi awalete mbele yake mkiwa watakatifu, safi na bila lawama.
23kana muchirambira parutendo makateyiwa uye makasimbiswa, uye hamubviswi patariro yeevhangeri yamakanzwa, yakaparidzirwa chisikwa choga choga chiri pasi pedenga; iyo yandakaitwa mushumiri wayo ini Pauro.
23Mnapaswa, lakini kuendelea kuwa imara na thabiti katika imani hiyo, na msikubali kusukumwa mbali na tumaini lile mlilopata wakati mlipoisikia Habari Njema. Mimi Paulo nimekuwa mtumishi wa hiyo Habari Njema ambayo imekwisha hubiriwa kila kiumbe duniani.
24Zvino ndinofara pamatambudziko angu nekuda kwenyu, nekuzadzisa zvakasara pamatambudziko aKristu munyama yangu nekuda kwemuviri wake, inova kereke;
24Na sasa nafurahi kuteseka kwa ajili yenu, maana kwa mateso yangu hapa duniani, nasaidia kukamilisha kile kilichopungua bado katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, yaani kanisa.
25iyo ini yandakaitwa mushumiri wayo zvichienderana nekuita kwaMwari kwandakapiwa pamusoro penyu, kuzadzisa shoko raMwari,
25Nami nimefanywa kuwa mtumishi wa kanisa kufuatana na mpango wake Mungu ambao alinikabidhi kwa faida yenu. Mpango wenyewe ni kuutangaza kwa ukamilifu ujumbe wake,
26chakavanzika chakange chakafukidzwa kubvira kare, nekubva kumazera, asi zvino chinoratidzwa kuvatsvene vake,
26ambao ni siri aliyowaficha binadamu wote tangu milele, lakini sasa amewajulisha watu wake.
27kuna ivo Mwari vaakada kuzivisa kiti fuma yekubwinya kwechakavanzika ichi pakati pevahedheni chii, chinova Kristu mamuri, tariro yekubwinya;
27Mpango wa Mungu ni kuwajulisha watu wake siri hii kuu na tukufu ambayo ni kwa ajili ya watu wote. Na, siri yenyewe ndiyo hii: Kristo yuko ndani yenu, na jambo hilo lamaanisha kwamba ninyi mtaushiriki utukufu wa Mungu.
28watinoparidza isu, tichiyambira munhu umwe neumwe, nekudzidzisa munhu umwe neumwe munjere dzose, kuti tikumikidze munhu umwe neumwe akakwana muna Kristu;
28Kwa sababu hiyo tunamhubiri Kristo kwa watu wote; tunawaonya na kuwafundisha wote kwa hekima yote, ili tuweze kumleta kila mmoja mbele ya Mungu akiwa amekomaa katika kuungana na Kristo.
29ndizvo zvandinoshingairirawo, ndichirwa zvinoenderana nekubata kwake kunobata mandiri nesimba.
29Kwa madhumuni hayo mimi nafanya kazi na kujitahidi nikiitumia nguvu kuu ya Kristo ifanyayo kazi ndani yangu.