1Pauro, muapositori waJesu Kristu nechido chaMwari, kuvatsvene vari paEfeso, nekune vakatendeka muna Kristu Jesu:
1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, nawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Efeso, mlio waaminifu katika kuungana na Kristo Yesu.
2Nyasha kwamuri, nerugare runobva kuna Mwari Baba vedu, naIshe Jesu Kristu.
2Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
3Ngaarumbidzwe Mwari naBaba vaIshe wedu Jesu Kristu, wakatiropafadza neropafadzo yose yeMweya pazvinhu zvekudenga muna Kristu,
3Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Maana, katika kuungana na Kristo ametubariki kwa kutujalia zawadi zote za kiroho mbinguni.
4sezvaakatisarudza maari pasati pava nekuvambwa kwenyika, kuti tive vatsvene vasingamhuriki pamberi pake murudo;
4Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituteua tuwe wake katika kuungana na Kristo ili tuwe watakatifu na bila hitilafu mbele yake. Kwa sababu ya upendo wake,
5agara atitemera mukuitwa vana naJesu Kristu kwaari, sezvaakafadzwa pakuda kwake,
5Mungu alikuwa ameazimia tangu zamani kutuleta kwake kama watoto wake kwa njia ya Yesu Kristo. Ndivyo alivyopenda na kunuia.
6kuve kurumbidzwa kwenyasha dzake, nadzo wakatiita kuti tigamuchirwe muMudikamwa;
6Basi, tumsifu Mungu kwa sababu ya neema yake tukufu katika Mwanae mpenzi!
7maari matine dzikunuro kubudikidza neropa rake, iko kangamwiro yekudarika, zvichienderana nefuma yenyasha dzake;
7Maana kwa damu yake Kristo sisi tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa. Ndivyo ulivyo ukuu wa neema yake
8madziri wakawanza kwatiri mukuchenjera kose neungwaru;
8aliotukirimia bila kipimo! Kwa hekima na ujuzi wake wote
9azivisa kwatiri chakavanzika chekuda kwake, sekushuva kwake kwakanaka kwaakazvipira maari pachake;
9Mungu alitekeleza kile alichonuia, akatujulisha mpango wake uliofichika, ambao alikuwa ameazimia kuutekeleza kwa njia ya Kristo.
10kuti pakuitika kwekuzara kwenguva, aunganidze pamwe zvinhu zvose muna Kristu, zvose zviri kumatenga nezviri panyika maari.
10Mpango huo ambao angeutimiza wakati utimiapo ni kukusanya pamoja viumbe vyote, kila kitu mbinguni na duniani, chini ya Kristo.
11muna iye matakawanawo nhaka, yatakagara tatemerwa nezviga zvaiye unoita zvinhu zvose nezano rechido chake;
11Kila kitu hufanywa kufuatana na mpango na uamuzi wa Mungu; naye Mungu ametuteua sisi tuwe watu wake kwa mapenzi yake katika kuungana na Kristo, kufuatana na azimio alilofanya tangu mwanzo.
12kuti tive verumbidzo yekubwinya kwake, isu takavimba kare kuna Kristu;
12Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu utukufu wa Mungu!
13muna iye imwiwo manzwa shoko rechokwadi, evhangeri yeruponeso rwenyu; muna iyewo matenda kwaari makapiwa mucherechedzo weMweya Mutsvene wechivimbiso,
13Nanyi pia watu wa mataifa mengine, mliusikia ujumbe wa kweli yaani Habari Njema iliyowaletea wokovu, mkamwamini Kristo; naye Mungu, ili kuonyesha kuwa ninyi ni wake, akawapiga mhuri kwa kuwapeni yule Roho Mtakatifu aliyetuahidia.
14uri rubatso rwenhaka yedu, parudzikunuro rwezvakawanikwa, kurumbidzo yekubwinya kwake.
14Huyu Roho ni dhamana ya kurithi yote yale Mungu aliyowaahidia watu wake, na jambo hili latuhakikishia kwamba Mungu atawakomboa kabisa wote walio wake. Tuusifu utukufu wake!
15Naizvozvo iniwo, ndakati ndanzwa zverutendo rwenyu muna Ishe Jesu, nerudo kuvatsvene vose,
15Kwa sababu hiyo, tangu niliposikia juu ya imani yenu kwa Bwana Yesu na mapendo yenu kwa watu wa Mungu,
16handiregi kukuvongerai, ndichikutaurai paminyengetero yangu;
16sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika sala zangu
17kuti Mwari waIshe wedu Jesu Kristu, Baba vekubwinya, akupei mweya wekuchenjera nekuzarurirwa paruzivo rwepamusoro pake;
17ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo Baba mtukufu, awajalieni Roho wake atakayewapa hekima na kuwafunulieni Mungu mpate kumjua.
18meso efungwa dzenyu avhenekerwa kuti muzive kuti tariro yekudana kwake chii, uye fuma yekubwinya kwenhaka yake pavatsvene chii?
18Namwomba Mungu aifunue mioyo yenu iweze kuuona mwanga wake, mpate kutambua lile tumaini alilowaitieni na utukufu mkuu wa zawadi alizowawekea watu wake,
19Nekuti ukuru hwakapfuvurisa hwesimba rake kwatiri isu tinotenda chii, maererano nekubata kwesimba rake guru,
19mpate kutambua jinsi uwezo wake ulivyo mkuu mno kwa ajili yetu sisi tunaoamini. Uwezo huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na nguvu ile kuu mno
20raakashandisa muna Kristu paakamumutsa kuvakafa, nokumugarisa kuruoko rwake rwerudyi panzvimbo dzekudenga,
20aliyomfufua nayo Kristo kutoka wafu, akamketisha kulia kwake mbinguni.
21kumusoro-soro kweutongi hwose, nesimba, neukuru, neushe, nezita roga roga rinorehwa, kwete kwenguva ino chete, asi kune inozouyawo;
21Huko, Kristo anatawala juu ya kila tawala, mamlaka, enzi na ukuu; anatawala juu ya kila cheo kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na katika ulimwengu ujao.
22akaisa zvose pasi petsoka dzake, akamupa utungamiriri pamusoro pezvose kukereke,
22Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake, akamkabidhi kwa kanisa akiwa mkuu wa vitu vyote.
23ndiwo muviri wake, kuzara kwaiye unozadzisa zvose mune zvose.
23Kanisa ni mwili wa Kristo, na ukamilifu wake yeye anayekamilisha vitu vyote kila mahali.