Shona

Swahili: New Testament

Ephesians

2

1Wakakumutsai, imwiwo makanga makafa mukudarika nemuzvivi,
1Ninyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu.
2izvo zvamaifamba mazviri kare nemutowo wenyika ino, nenzira dzemutungamiriri wesimba redenga, dzemweya unobata zvino muvana vekusateerera;
2Wakati ule mliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii mtawala wa pepo wenye nguvu wa anga, pepo ambao huwatawala sasa watu wasiomtii Mungu.
3vataifamba tose pakati pavo kare mukuchiva kwenyama yedu, tichiita kuda kwenyama nekwefungwa, nepachisikigo chedu isu taiva vana vekutsamwirwa sevamwewo.
3Na hata sisi sote tulikuwa kama wao; tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya tu mambo yale yaliyoipendeza miili na akili zetu. Kidunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu.
4Asi Mwari wakafuma panyasha, nekuda kwerudo rwake rukuru rwaakatida narwo,
4Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa mapendo yasiyopimika,
5kunyange takange takafa mukudarika, wakatimutsa pamwe naKristu (makaponeswa nenyasha);
5hata, ingawa tulikuwa tumekufa kwa sababu ya dhambi, alitufanya hai pamoja na Kristo. Kwa neema ya Mungu ninyi mmeokolewa.
6akatimutsa pamwe naye, akatigarisa pamwe naye kunzvimbo dzekumatenga, muna Kristu Jesu;
6Kwa kuungana na Kristo Yesu, Mungu alitufufua pamoja naye, tukatawale pamoja naye mbinguni.
7kuti nenguva dzinovuya aratidze fuma hurusa yenyasha dzake muunyoro kwatiri muna Kristu Jesu;
7Ndivyo alivyopenda kuonyesha kwa watu wa nyakati za baadaye, ukuu wa neema yake aliyotujalia kwa ukarimu katika kuungana kwetu na Kristo Yesu.
8Nekuti nenyasha makaponeswa nerutendo, uye izvi hazvibvi kwamuri, asi chipo chaMwari;
8Maana, kwa neema ya Mungu mmekombolewa kwa njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya juhudi zenu, bali ni zawadi ya Mungu.
9hazvibvi pamabasa, kuti kusava neunozvikudza.
9Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.
10Nekuti tiri basa rake, takasikirwa mabasa akanaka muna Kristu Jesu, akagara agadzirwa naMwari kuti tifambe maari.
10Sisi ni viumbe vyake Mungu, na kwa kuungana na Kristo Yesu, alituumba kwa ajili ya kuishi maisha ya matendo mema aliyotutayarishia tuyatende.
11Naizvozvo rangarirai kuti imwi panguva dzakapfuura, maiva vahedheni munyama, vanonzi kusadzingiswa naivo vanonzi vekudzingiswa munyama kunoitwa nemaoko;
11Ninyi mlio kwa asili watu wa mataifa mengine--mnaoitwa, "wasiotahiriwa" na Wayahudi ambao hujiita, "Waliotahiriwa," (kwa sababu ya kile wanachoifanyia miili yao) --kumbukeni mlivyokuwa zamani.
12kuti panguva iyo makange musina Kristu, muri vatorwa paubwo hwevaIsraeri, nevatorwa pasungano dzechivimbiso, musina tariro, uye musina Mwari panyika.
12Wakati ule ninyi mlikuwa bila Kristo; mlikuwa nje ya jamii ya Israeli; mlikuwa wageni na hamkuwa na sehemu yoyote katika lile agano la zile ahadi. Mlikuwa bila matumaini Mungu hapa duniani.
13Asi zvino muna Kristu Jesu, imwi maimbova kure, munoswededzwa neropa raKristu.
13Lakini sasa, kwa kuungana na Kristo Yesu, ninyi ambao hapo awali mlikuwa mbali, mmekaribishwa kwa njia ya damu yake Kristo.
14Nekuti ndiye rugare rwedu, iye wakaita zviviri zvive chimwe, akaputsa mudhuri wapakati wokuparadzanisa;
14Maana Kristo mwenyewe ametuletea amani kwa kuwafanya Wayahudi na watu wa mataifa mengine kuwa jamii moja. Kwa mwili wake yeye mwenyewe aliubomoa ule ukuta uliowatenganisha na kuwafanya maadui.
15aparadza munyama yake ruvengo, iwo mutemo wemirairo pazviga; kuti asike maari pavaviri munhu umwe mutsva, aite rugare,
15Aliiondoa ile Sheria ya Wayahudi pamoja na amri zake na kanuni zake, ili kutokana na jamii hizo mbili aumbe jamii moja mpya katika umoja naye na hivyo kuleta amani.
16uye kuti ayananise vaviri kuna Mwari, mumuviri umwe nemuchinjikwa, auraya ruvengo nawo;
16Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake aliziunganisha jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu.
17uye wakasvika akaparidza rugare kwamuri, imwi maiva kure, nekune avo vaiva pedo;
17Basi, Kristo alikuja akahubiri Habari Njema ya amani kwenu ninyi watu wa mataifa mengine mliokuwa mbali na Mungu, na pia kwa Wayahudi ambao walikuwa karibu na Mungu.
18nekuti kubudikidza naye isu tose tine mapindiro neMweya mumwe kuna Baba.
18Hivyo, kwa njia yake, sisi sote, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba katika Roho mmoja.
19Naizvozvo, zvino hamusisiri vaeni nevatorwa, asi vebwo pamwe nevatsvene neveimba yaMwari.
19Basi, ninyi si wageni tena, wala si watu wa nje; ninyi ni raia pamoja na watu wa Mungu, na ni watu wa jamaa ya Mungu.
20Makavakwa pamusoro penheyo dzevaapositori nevaporofita, Jesu Kristu amene ari mbiru yepakona.
20Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa na mitume na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi.
21Maari imba yose yakabatanidzwa, ikure ive tembere tsvene muna Ishe.
21Yeye ndiye mwenye kulitengeneza jengo lote na kulikuza hata liwe hekalu takatifu kwa ajili ya B wana.
22Maari nemwiwo makavakwa pamwe, kuti muve ugaro hwaMwari kubudikidza neMweya.
22Katika kuungana naye, ninyi pia mnajengwa pamoja na wote wengine, muwe makao ya Mungu kwa njia ya Roho wake.