Shona

Swahili: New Testament

Galatians

2

1Zvino shure kwemakore gumi nemana ndakakwirazve kuJerusarema naBhanabhasi, ndikatorawo Titosi.
1Baada ya miaka kumi na minne, nilikwenda tena Yerusalemu pamoja na Barnaba; nilimchukua pia Tito pamoja nami.
2Ndakakwira nekuzarurirwa, ndikarondedzera kwavari evhangeri yandinoparidza pakati pevahedheni, asi pachivande kune vakange vachikudzwa, kuti zvimwe neumwe mutowo ndingamhanya kana ndakatomhanyira pasina, kana kuti zvimwe ndatomhanyira pasina.
2Kwenda kwangu kulitokana na ufunuo alionipa Mungu. Katika kikao cha faragha niliwaeleza hao viongozi ujumbe wa Habari Njema niliohubiri kwa watu wa mataifa. Nilifanya hivyo kusudi kazi yangu niliyokuwa nimefanya, na ile ninayofanya sasa isije ikawa bure.
3Asi kunyange Titosi waiva neni ari muGiriki, haana kurovererwa kuti adzingiswe;
3Lakini, hata mwenzangu Tito, ambaye ni Mgiriki, hakulazimika kutahiriwa,
4uye nekuda kwehama dzenhema, vakange vapinzwa nekunyangira, vakange vapinda chinyararire kuzoshora kusununguka kwedu kwatinako muna Kristu Jesu, kuti vatiise muuranda;
4ingawa kulikuwa na ndugu wengine wa uongo waliotaka atahiriwe. Watu hawa walijiingiza kwa ujanja na kupeleleza uhuru wetu tulio nao katika kuungana na Kristo Yesu, ili wapate kutufanya watumwa.
5vatisina kupa mukana nekuzviisa pasi kunyange kweawa; kuti chokwadi cheevhangeri chirambe chigere nemwi.
5Hatukukubaliana nao hata kidogo ili ukweli wa Habari Njema ubaki nanyi daima.
6Asi kana vari ivo vairatidza kuva chinhu (hazvinei kwandiri kuti vaiva vakadini; Mwari haagamuchiri chimiro chinoonekwa chemunhu), nekuti kana vari ivo vanokudzwa havana kundiwedzera chinhu;
6Lakini watu hawa wanaosemekana kuwa ni viongozi--kama kweli walikuwa hivyo au sivyo, kwangu si kitu, maana Mungu hahukumu kwa kuangalia mambo ya nje--watu hawa hawakuwa na kitu cha kuongeza katika Habari hii Njema kama niihubirivyo.
7asi nekusiyana ivo vakati vaona kuti evhangeri yavasakadzingiswa yakakumikidzwa kwandiri, seye vekudzingiswa kuna Petro,
7Badala yake, walitambua kwamba Mungu alikuwa amenituma kuhubiri Habari Njema kwa watu wa mataifa mengine kama vile Petro alivyokuwa ametumwa kuihubiri kwa Wayahudi.
8(nekuti iye wakasima nesimba kuna Petro vuapositori hwevakadzingiswa, ndiye wakapa kwandiri vuapositori kuvahedheni);
8Maana, yule aliyemwezesha Petro kuwa mtume kwa Wayahudi, ndiye aliyeniwezesha nami pia kuwa mtume kwa watu wa mataifa mengine.
9vakati vaziva nyasha dzakange dzapiwa kwandiri, Jakobho, naKefasi, naJohwani, vanokudzwa kuva mbiru, ruoko rwerudyi rwekudyidzana vakandipa, nekuna Bhanabhasi, kuti isu tiende kuvahedheni, ivo kuna vakadzingiswa;
9Basi, Yakobo, Kefa na Yohane, ambao waonekana kuwa viongozi wakuu, walitambua kwamba Mungu alinijalia neema hiyo, wakatushika sisi mkono, yaani Barnaba na mimi, iwe ishara ya ushirikiano. Sisi ilitupasa tukafanye kazi kati ya watu wa mataifa mengine, na wao kati ya Wayahudi.
10chete kuti tirangarire varombo; chandakashingairirawo kuti ndichiite.
10Wakatuomba lakini kitu kimoja: tuwakumbuke maskini; jambo ambalo nimekuwa nikijitahidi kutekeleza.
11Zvino Kefasi wakati asvika Andiyokiya, ndakamupikisa pachiso, nekuti waifanira kumhurwa.
11Lakini Kefa alipofika Antiokia nilimpinga waziwazi maana alikuwa amekosea.
12Nekuti vasati vasvika vamwe vakange vabva kuna Jakobho, iye waidya nevahedheni; asi vakati vasvika akasuduruka, akazviraura, achitya avo vekudzingiswa.
12Awali, kabla ya watu kadhaa waliokuwa wametumwa na Yakobo kuwasili hapo, Petro alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa mengine. Lakini, baada ya hao watu kufika, aliacha kabisa kula pamoja na watu wa mataifa mengine, kwa kuogopa kikundi cha waliosisitiza tohara.
13Nevamwe vaJudha vakanyengera pamwe naye; zvekuti Bhanabhasiwo wakatorwa neunyepedzeri hwavo.
13Hata ndugu wengine Wayahudi walimuunga mkono Petro katika kitendo hiki cha unafiki, naye Barnaba akakumbwa na huo unafiki wao.
14Asi ndakati ndichiona kuti havafambi zvakarurama maererano nechokwadi cheevhangeri, ndakati kuna Petro pamberi pevose: Kana iwe uri muJudha, uchirarama nemutowo wevahedheni, uye kwete sezvinoita vaJudha, unoroverera sei vahedheni kuti vararame sevaJudha?
14Basi, nilipoona kuwa msimamo wao kuhusu ukweli wa Habari Njema haukuwa umenyooka, nikamwambia Kefa mbele ya watu wote: "Ingawa wewe ni Myahudi, unaishi kama watu wa mataifa mengine na si kama Myahudi! Unawezaje, basi kujaribu kuwalazimisha watu wa mataifa mengine kuishi kama Wayahudi?"
15Isu vaJudha pachisikirwo, uye kwete vatadzi vanobva kuvahedheni,
15Kweli, sisi kwa asili ni Wayahudi, na si watu wa mataifa mengine hao wenye dhambi!
16tichiziva kuti munhu haanzi wakarurama nemabasa emurairo, asi nerutendo rwaJesu Kristu, kunyange isuwo takatenda kuna Kristu Jesu, kuti tinzi takarurama nerutendo rwaKristu, uye kwete nemabasa emurairo; nekuti nemabasa emurairo hakuna nyama ichanzi yakarurama.
16Lakini, tunajua kwa hakika kwamba mtu hawezi kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa kuitii Sheria, bali tu kwa kumwamini Yesu Kristo. Na sisi pia tumemwamini Yesu Kristo ili tupate kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya imani yetu kwa Kristo, na si kwa kuitii Sheria.
17Asi kana isu, tinotsvaka kunzi takarurama kuna Kristu, isu tomenewo tiwanikwe tiri vatadzi, naizvozvo Kristu wava mushumiri wechivi here? Ngazvisadaro!
17Sasa, ikiwa katika kutafuta kukubaliwa kuwa waadilifu kwa kuungana na Kristo sisi tunaonekana kuwa wenye dhambi, je, jambo hili lina maana kwamba Kristo anasaidia utendaji wa dhambi? Hata kidogo!
18Nekuti kana ndikavakazve zvinhu zvandaputsa, ndinozviita mudariki.
18Lakini ikiwa ninajenga tena kile nilichokwisha bomoa, basi nahakikisha kwamba mimi ni mhalifu.
19Nekuti ini kubudikidza nemurairo ndakafa kumurairo, kuti ndirarame kuna Mwari,
19Maana, kuhusu Sheria hiyo, mimi nimekufa; Sheria yenyewe iliniua, nipate kuishi kwa ajili ya Mungu. Mimi nimeuawa pamoja na Kristo msalabani,
20Ndakarovererwa pamuchinjikwa pamwe naKristu; asi ndinorarama; zvakadaro handisisiri ini, asi Kristu unorarama mandiri; ndiko kurarama kwandinorarama zvino panyama, ndinorarama nerutendo rweMwanakomana waMwari; wakandida akazvipa nekuda kwangu
20na sasa naishi, lakini si mimi tena, bali Kristo anaishi ndani yangu. Maisha haya ninayoishi sasa naishi kwa imani, imani katika Mwana wa Mungu aliyenipenda hata akayatoa maisha yake kwa ajili yangu.
21Handishaisi nyasha dzaMwari maturo; nekuti kana kunzi wakarurama zvichibva kumurairo, saka Kristu wakafira pasina.
21Sipendi kuikataa neema ya Mungu. Kama mtu huweza kukubaliwa kuwa mwadilifu kwa njia ya Sheria, basi, Kristo alikufa bure!