Shona

Swahili: New Testament

Galatians

3

1Haiwa vaGaratia matununu, ndiani wakakuroyai, kuti murege kuteerera chokwadi, imwi makaratidzwa Jesu Kristu pachena pamberi pemeso enyu, akarovererwa pamuchinjikwa pakati penyu?
1Enyi Wagalatia, mmekuwa wajinga kweli! Ni nani aliyewaloga? Habari juu ya kusulubiwa kwake Yesu Kristo ilielezwa waziwazi mbele ya macho yenu.
2Ichechi chete ndinoda kudzidza kwamuri: Makagamuchira Mweya nemabasa emurairo here, kana nekunzwa kwerutendo?
2Napenda kujua tu kitu kimoja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa sababu ya kutimiza matakwa ya Sheria ama kwa sababu ya kuisikia na kuiamini Habari Njema?
3Ko muri matununu akadai? Mambotanga muMweya, zvino mopedzeredzwa nenyama here?
3Je, mu wajinga kiasi hicho? Ninyi mlianza yote kwa msaada wa Roho je, mnataka sasa kumaliza kwa nguvu zenu wenyewe?
4Makatambudzika zvikuru zvakadai pasina here? Kana zvakadaro ndinoreva pasina!
4Je, mambo yale yote yaliyowapata ninyi yamekuwa bure tu? Haiwezekani!
5Naizvozvo uyo unokupai Mweya nekuita mabasa esimba pakati penyu, unozviita nemabasa emurairo here, kana nekunzwa kwerutendo?
5Je, Mungu huwajalia Roho na kutenda miujiza kati yenu ati kwa sababu mnatimiza yanayotakiwa na sheria, ama kwa sababu mnasikia Habari Njema na kuiamini?
6Abhurahamu sezvaakatenda Mwari zvikaverengwa kwaari kuti kururama.
6Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: yeye alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.
7Naizvozvo munoziva kuti avo vari verutendo ndivo vana vaAbhurahamu.
7Sasa basi jueni kwamba watu wenye kumwamini ndio walio watoto halisi wa Abrahamu.
8Nerugwaro zvarwakaona zviri mberi kuti Mwari unoti vahedheni vakarurama kubudikidza nerutendo, rwakagara rwaparidza evhangeri kuna Abhurahamu, ruchiti: Mauri marudzi ose acharopafadzwa.
8Maandiko Matakatifu yalionyesha kabla kwamba Mungu atawakubali watu wa mataifa kuwa waadilifu kwa njia ya imani. Hivyo Maandiko Matakatifu yalitangulia kumtangazia Abrahamu Habari Njema: "Katika wewe mataifa yote yatabarikiwa."
9Naizvozvo ivo vari verutendo vanoropafadzwa pamwe naAbhurahamu wakatendeka.
9Basi, wale walio na imani wanabarikiwa pamoja na Abrahamu aliyeamini.
10Nekuti vose vari vemabasa emurairo vari pasi perushambwa; nekuti kwakanyorwa, kuchinzi: Vakapiwa rushambwa vose vasingarambiri pazvinhu zvose zvakanyorwa mubuku yemurairo kuti vazviite.
10Lakini wote wanaotegemea tu kutimiza yanayotakiwa na Sheria, wako chini ya laana. Maana, Maandiko Matakatifu yasema: "Yeyote asiyeshika na kutimiza yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Sheria, yuko chini ya laana."
11Zvino, zviri pachena kuti hakuna munhu unonzi wakarurama nemurairo pamberi paMwari, nekuti kunonzi: Wakarurama uchararama nerutendo.
11Ni dhahiri kwamba Sheria haiwezi kumfanya mtu akubaliwe kuwa mwadilifu; maana Maandiko Matakatifu yasema: "Mwadilifu kwa imani ataishi."
12Zvino murairo haubvi parutendo; asi uyo unozviita uchararama mazviri.
12Lakini Sheria haitegemei imani, ila Maandiko yasema: "Mwenye kutimiza yanayotakiwa na Sheria ataishi."
13Kristu wakatidzikunura parushambwa rwemurairo, aitwa rushambwa nekuda kwedu, nekuti kwakanyorwa, kuchinzi: Vane rushambwa vose vanoturikwa pamuti;
13Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya Sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: "Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa."
14Kuti ropafadzo yaAbhurahamu isvike kuvahedheni kubudikidza naJesu Kristu; kuti tigamuchire chivimbiso cheMweya kubudikidza nerutendo.
14Jambo hili lilifanyika kusudi ile baraka aliyopewa Abrahamu iwashukie watu wa mataifa mengine kwa njia ya Kristo, na ili kwa imani, tumpokee yule Roho ambaye Mungu alituahidia.
15Hama, ndinotaura nemutowo wevanhu; kunyange iri sungano yevanhu, kana yasimbiswa hakuna munhu unoikonesa kana kuwedzera kwairi.
15Ndugu, nitawapeni mfano kutoka maisha yetu ya kila siku. Fikirini juu ya mkataba kati ya watu wawili. Mkataba ukisha fanyika na kutiwa sahihi hapana mtu anayeuweka kando au kuuongezea kitu.
16Zvino zvivimbiso zvakaitwa kuna Abhurahamu nekumbeu yake. Haarevi, achiti: Nekumbeu dzako sevanenge vazhinji; asi saanenge ari mumwe, unoti; Nokumwana wako; unova Kristu.
16Basi, Abrahamu alipewa ahadi, yeye pamoja na mzawa wake. Maandiko hayasemi: "Na wazawa wake," yaani wengi, bali yasema, "Na mzawa wake," yaani mmoja, naye ndiye Kristo.
17Zvino ndinoreva ichi: Sungano yakagara yasimbiswa naMwari muna Kristu, murairo wakazouya makore mazana mana nemakumi matatu apfuura haungaishaisi maturo, kuti chivimbiso chishaiswe maturo.
17Ninachotaka kusema ni hiki: Mungu alifanya agano lake akalithibitisha; Sheria ambayo ilitokea miaka mia nne na thelathini baadaye, haiwezi kulitangua hilo agano wala kuibatilisha hiyo ahadi.
18Nekuti kana nhaka ichibva kumurairo, haichabvi kuchivimbiso; asi Mwari wakapa kuna Abhurahamu nechivimbiso.
18Maana, kama urithi ya Mungu inategemea Sheria, basi, haiwezi kutegemea tena ahadi ya Mungu. Kumbe, lakini Mungu alimkirimia Abrahamu kwa sababu aliahidi.
19Ko murairo chii? Wakawedzerwa nekuda kwekudarika, kusvikira mbeu yasvika yakaitirwa chivimbiso; wakagadzwa nevatumwa muruoko rwemurevereri.
19Ya nini basi, Sheria? Iliongezwa hapo ili kuonyesha uhalifu ni kitu gani, mpaka atakapokuja yule mzawa wa Abrahamu aliyepewa ile ahadi. Sheria ililetwa na malaika kwa mkono wa mpatanishi.
20Asi murevereri haazi weumwe, asi Mwari ndeumwe.
20Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.
21Ko murairo unopesana nezvivimbiso zvaMwari here? Ngazvisadaro! Nekuti dai pakanga pane murairo wakapiwa unogona kuraramisa, zvirokwazvo kururama kungadai kuchiuya nemurairo.
21Je, Sheria inapingana na ahadi za Mungu? Hata kidogo! Maana, kama kungalitolewa sheria ambayo ingeweza kuwapa watu uzima, basi, tungeweza kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya Sheria.
22Asi rugwaro rwakapfigira zvose pasi pechivi, kuti chivimbiso chinobva parutendo rwaJesu Kristu chipiwe kune vanotenda.
22Lakini sivyo; Maandiko Matakatifu yamekwisha sema kwamba ulimwengu wote upo chini ya utawala wa dhambi; na hivyo, kwa kumwamini Yesu Kristo, wenye kuamini watimiziwe ile ahadi.
23Asi rutendo rwusati rwasvika, taichengetwa pasi pemurairo, takapfigirwa murutendo rwaizozarurwa shure.
23Kabla ya kujaliwa imani, Sheria ilitufanya wafungwa mpaka imani hiyo iliyokuwa inakuja ifunuliwe.
24Saizvozvo murairo wakange uri murairidzi wedu, kutiisa kuna Kristu kuti tinzi takarurama nerutendo.
24Basi, hiyo Sheria ilikuwa kama mlezi wetu mpaka alipokuja Kristo, ili kwa njia ya imani, tukubaliwe kuwa waadilifu.
25Zvino rutendo rwakati rwasvika, hatisisiri pasi pemurairidzi.
25Tangu kufika kwa hiyo imani, Sheria si mlezi wetu tena.
26Nekuti mose muri vana vaMwari nerutendo rwaKristu Jesu.
26Kwa njia ya imani, ninyi nyote mmekuwa watoto wa Mungu katika kuungana na Kristo.
27Nekuti mose makabhabhatidzwa muna Kristu makafuka Kristu;
27Ninyi nyote mliobatizwa mkaungana na Kristo ni kama vile mmemvaa Kristo.
28Hakuna muJudha kana muGiriki, hakuna wakasungwa kana wakasununguka, hakuna munhurume kana munhukadzi; nekuti imwi mose muri vamwe muna Kristu Jesu.
28Hivyo, hakuna tena tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki, mtumwa na mtu huru, mwanamume na mwanamke. Nyote ni kitu kimoja katika kuungana na Kristo Yesu.
29Zvino kana muri vaKristu, saka muri vana vaAbhurahamu, vadyi venhaka maererano nechivimbiso.
29Ikiwa ninyi ni wa Kristo, basi ni wazawa wa Abrahamu, na mtapokea yale aliyoahidi Mungu.