Shona

Swahili: New Testament

Galatians

4

1Zvino ndinoti, mudyi wenhaka, kana achingori mwana chete, haatongosiyani nemuranda, kunyange ari ishe wezvose;
1Basi, nasema hivi: mrithi, akiwa bado mtoto, hawi tofauti na mtumwa ingawaje mali yote ni yake.
2asi uri pasi pevarairidzi nevatariri kusvikira panguva yakatarwa nababa.
2Wakati huo wote yuko chini ya walezi na wadhamini mpaka wakati ule uliowekwa na baba yake.
3Saizvozvo nesu, apo takanga tichiri vana, taiva muuranda pasi pedzidziso dzekutanga dzenyika;
3Hali kadhalika na sisi tulipokuwa bado watoto, tulikuwa watumwa wa pepo watawala wa ulimwengu.
4Asi apo kuzara kwenguva kwakati kwasvika, Mwari wakatuma Mwanakomana wake, wakaitwa nemukadzi, wakaitwa pasi pemurairo,
4Lakini wakati ule maalumu ulipotimia, Mungu alimtuma Mwanawe aliyezaliwa na mwanamke, akaishi chini ya Sheria
5kuti adzikunure vari pasi pemurairo, kuti tigamuchire kuitwa vanakomana.
5apate kuwakomboa wale waliokuwa chini ya Sheria ili sisi tufanywe wana wa Mungu.
6Uye nekuti muri vanakomana, Mwari wakatuma Mweya weMwanakomana wake mumoyo yenyu, achidanidzira achiti: Abha*, Baba!
6Kwa vile sasa ninyi ni wana, Mungu amemtuma Roho wa Mwanae mioyoni mwenu, Roho ambaye hulia "Aba," yaani "Baba."
7Saka iwe hausisiri muranda, asi mwanakomana; kana wava mwanakomana, wava mudyi wenhaka yaMwari kubudikidza naKristu.
7Basi, wewe si mtumwa tena, bali mwana. Na ikiwa ni mwana, basi, wewe utapokea yote Mungu aliyowawekea watoto wake.
8Asi nenguva iyo, musati maziva Mwari, maiva varanda vaivo vasati vari vamwari pachisikigo;
8Zamani hamkumjua Mungu na hivyo mkatumikia miungu isiyo miungu kweli.
9asi ikozvino sezvo moziva Mwari, zvikuru zvamunozikamwa naMwari modzokerazve sei kuurongwa hwusina simba hweurombo, hwamunoshuvazve kuva muuranda hwahwo?
9Lakini sasa, kwa vile mnamjua Mungu, au tuseme mnajulikana na Mungu, mnawezaje tena kurudi kwa wale pepo maskini na dhaifu hata kutaka kuwatumikia tena?
10Munochengetedza misi, nemwedzi, nenguva, nemakore.
10Bado mnaadhimisha siku, miezi na miaka!
11Ndinokutyirai, zvimwe ndakashingairira pasina kwamuri.
11Nahofu kwamba labda kazi niliyoifanya kwa ajili yenu imepotea bure!
12Ivai seni, nekuti ini ndakaitawo semwi, hama, ndinokukumbirisai. Hamuna kutombonditadzira chinhu;
12Ndugu, nawasihi muwe kama mimi, kwa vile hata mimi nimekuwa kama ninyi. Hamkunitendea ubaya wowote.
13zvino munoziva kuti nemuundonda panyama, ndakaparidza evhangeri kwamuri pakutanga,
13Mnajua kwamba ugonjwa wangu ndio ulionipatia fursa ya kuwahubirieni Habari Njema kwa mara ya kwanza.
14nemuedzo wangu waiva panyama yangu hamuna kuzvidza kana kuramba; asi makandigamuchira semutumwa waMwari, saKristu Jesu.
14Hata hivyo, wakati ule hamkunidharau wala kunikataa kwa sababu ya udhaifu wangu ingawa mlishawishiwa kufanya hivyo; lakini mlinipokea kama malaika wa Mungu, kama vile ningekuwa Kristo Yesu mwenyewe.
15Zvino kuropafadza kwenyu ndekupi? Nekuti ndinopupura nezvenyu, kuti kana zvichibvira, mutumbure meso enyu muape kwandiri.
15Mlikuwa wenye furaha; sasa kumetokea nini? Naapa kwamba wakati ule mngaliweza hata kuyang'oa macho yenu na kunipa mimi.
16Zvino ndava muvengi wenyu nekukuuudzai chokwadi here?
16Je, sasa nimekuwa adui yenu kwa sababu ya kuwaambieni ukweli?
17Vanokushingairirai nemutowo usakanaka; asi vanoda kukusiyai kunze, kuti imwi muvashingairire.
17Hao watu wengine wanawahangaikia ninyi, lakini nia zao si njema. Wanataka kuwatenganisha nami ili ninyi muwahangaikie wao.
18Asi zvakanaka kushingaira pachinhu chakanaka nguva dzose, uye kwete kana ndiripo nemwi chete.
18Kwa kweli ni jambo jema daima kuwahangaikia wengine katika mambo mema, na si tu wakati mimi nipo pamoja nanyi.
19Vana vangu vaduku, vandinorwadziwazve nemimba pakubereka, kusvikira Kristu aumbwa mamuri.
19Watoto wangu, kama vile mama mja mzito anavyotaabika wakati wa kujifungua, mimi nataabika tena kwa ajili yenu mpaka hapo hali yake Kristo itakapoundwa ndani yenu.
20Ndinoshuva kuvapo nemwi ikozvino, uye kushandura inzwi rangu; nekuti ndiri mukukahadzika pamusoro penyu.
20Laiti ningekuwa pamoja nanyi sasa, maana ningalipata msimamo ufaao juu yenu! Nina wasiwasi sana nanyi!
21Ndiudzei, imwi munoshuva kuva pasi pemurairo, hamunzwi murairo here?
21Niambieni, enyi mnaopenda kutawaliwa na sheria: Je, mnasikia isemavyo Sheria?
22Nekuti kwakanyorwa kuti Abhurahamu wakange ane vanakomana vaviri, umwe nemurandakadzi, umwe nemukadzi wakasununguka.
22Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu kwamba Abrahamu alikuwa na watoto wawili: mmoja kwa mwanamke mtumwa, na wa pili kwa mwanamke huru.
23Asi wemurandakadzi wakaberekwa nenzira yenyama; asi wemukadzi wakasununguka nechivimbiso.
23Yule wa mwanamke mtumwa alizaliwa kama kawaida, lakini yule wa mwanamke huru alizaliwa kutokana na ahadi ya Mungu.
24Zvinhu izvi zvinofananidzira; nekuti ava isungano mbiri; imwe inobva pagomo reSinai, inobereka vana vevuranda, inova Agari.
24Mambo hayo yamekuwa mfano; mama hao wawili ni mfano wa maagano mawili; la kwanza ni lile lililofanyika mlimani Sinai, mwakilishi wake ni Hagari, na watoto wake wanazaliwa utumwani.
25Zvino Agari uyu ndiro gomo reSinai muArabhiya, rinomiririra Jerusarema razvino uye riri pauranda pamwe nevana varo.
25Hagari anawakilisha mlima Sinai ulioko Arabia, na ni mfano wa Yerusalemu ya sasa, ulio mtumwa pamoja na watoto wake.
26Zvino Jerusarema riri kumusoro rakasununguka rinova mai vedu tose.
26Lakini Yerusalemu ya juu mbinguni ni mji ulio huru, nao ni mama yetu.
27Nekuti kwakanyorwa kuchinzi: Fara, iwe mhanje, usingazvari, Pururudza, udanidzire, iwe usingarwadziwi nemimba, nekuti musiiwa unavana vazhinji kunovaiye unomurume.
27Maana imeandikwa: "Furahi, ewe uliye tasa usiyezaa; paaza sauti wewe usiyepata kujifungua mtoto; maana watoto wa yule aliyeachwa ni wengi zaidi kuliko wa yule aliye na mume."
28Zvino isu, hama, saIsaka tiri vana vechivimbiso.
28Sasa, basi, ndugu zangu, ninyi ni watoto wa Mungu kutokana na ahadi yake kama alivyokuwa Isaka.
29Asi sepanguva iyo, uyo wakaberekwa nemutowo wenyama wakamutambudza iye wemutovo weMweya, zvakadaro kunyange ikozvino.
29Lakini kama vile siku zile yule mtoto aliyezaliwa kwa njia ya kawaida alimdhulumu yule aliyezaliwa kwa uwezo wa Roho wa Mungu, vivyo hivyo na siku hizi.
30Asi rugwaro runoti kudini? Dzinga murandakadzi nemwanakomana wake; nekuti mwanakomana wemurandakadzi haangavi mudyi wenhaka pamwe nemwanakomana wewakasununguka.
30Lakini Maandiko Matakatifu yasemaje? Yasema: "Mfukuze mama mtumwa pamoja na mwanawe; maana mtoto wa mtumwa hatarithi pamoja na mtoto wa mama huru."
31Naizvozvo, hama, hatizi vana vemurandakadzi, asi vewakasununguka.
31Kwa hiyo, basi, ndugu, sisi si watoto wa mtumwa bali wa mama huru.