1Naizvozvo hama tsvene, vagovani vekudamwa kwekudenga, rangarirai muapositori nomupristi mukuru wokupupura kwedu, iye Jesu Kristu,
1Ndugu zangu watu wa Mungu ambao mmeitwa na Mungu, fikirini juu ya Yesu ambaye Mungu alimtuma awe Kuhani Mkuu wa imani tunayoiungama.
2wakange akatendeka kuna iye wakamugadza, saMozisiwo muimba yake yose.
2Yeye alikuwa mwaminifu kwa Mungu aliyemteua kufanya kazi yake kama vile Mose alivyokuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu.
3Nekuti uyu wakanzi wakafanira rukudzo rwunopfuura rwaMozisi, muvaki weimba sezvaanokudzwa kupfuura imba;
3Mjenzi wa nyumba hupata heshima zaidi kuliko hiyo nyumba yenyewe. Hali kadhalika naye Yesu anastahili heshima kubwa zaidi kuliko Mose.
4Nekuti imba imwe neimwe inovakwa neumwe, asi unovaka zvose ndiMwari.
4Kila nyumba hujengwa na mjenzi fulani--na Mungu ndiye mjenzi wa vitu vyote.
5Zvino Mozisi zvirokwazvo wakanga akatendeka muimba yake yose semuranda, kuti ave chapupu chezvinhu izvo zvaifanira kuzotaurwa,
5Mose alikuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Bwana kama mtumishi, na alinena juu ya mambo ambayo Mungu atayasema hapo baadaye.
6asi Kristu seMwanakomana pamusoro peimba yake; iye isu tiri imba yake kana tikabatisisa kusatya netariro yatinozvirumbidza pamusoro payo kusvika pakuguma.
6Lakini Kristo ni mwaminifu kama Mwana mwenye mamlaka juu ya nyumba ya Mungu. Sisi ni nyumba yake kama tukizingatia uhodari wetu na uthabiti wetu katika kile tunachotumainia.
7Naizvozvo sezvinotaura Mweya Mutsvene, achiti: Nhasi kana muchinzwa inzwi rake,
7Kwa hiyo, basi, kama asemavyo Roho Mtakatifu: "Kama mkisikia sauti ya Mungu leo,
8musawomesa moyo yenyu sepakutsamwisa, nezuva rekuidzwa murenje.
8msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama wazee wenu walivyokuwa wakati walipomwasi Mungu; kama walivyokuwa siku ile kule jangwani,
9Apo madzibaba enyu akandiidza, vachindinzvera, vakaona mabasa angu makore makumi mana.
9Huko wazee wenu walinijaribu na kunichunguza, asema Bwana, ingawa walikuwa wameyaona matendo yangu kwa miaka arobaini.
10Naizvozvo ndakatsamwiswa nezera iro, ndikati: Vanogara vachitsauka pamoyo wavo; uye havana kuziva nzira dzangu;
10Kwa sababu hiyo niliwakasirikia watu hao nikasema, Fikira za watu hawa zimepotoka, hawajapata kamwe kuzijua njia zangu.
11Naizvozvo ndakapika pakutsamwa kwangu, ndikati: Havangapindi pazororo rangu.
11Basi, nilikasirika, nikaapa: Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko."
12Chenjererai hama, kuti kusava neumwe wenyu ane nemoyo wakashata wekusatenda, pakutsauka kubva kuna Mwari mupenyu,
12Basi ndugu, jihadharini asije akawako yeyote miongoni mwenu aliye na moyo mbaya hivyo na asiyeamini hata kujitenga na Mungu aliye hai.
13asi kurudziranai zuva nezuva, kana kuchanzi: Nhasi; kuti kurege kuva neumwe wenyu unowomeswa kubudikidza nekunyengera kwechivi.
13Maadamu hiyo "Leo" inayosemwa katika Maandiko bado inatuhusu sisi, mnapaswa kusaidiana daima, ili mtu yeyote miongoni mwenu asidanganywe na dhambi na kuwa mkaidi.
14Nekuti tava vagovani vaKristu, kana tichibatisisa kuvamba kwechivimbo chedu kusvikira pakuguma;
14Maana sisi tunashirikiana na Kristo ikiwa tutazingatia kwa uthabiti tumaini tulilokuwa nalo mwanzoni.
15kana zvichanzi: Nhasi kana muchinzwa inzwi rake, musawomesa moyo yenyu, sepakutsamwisa.
15Maandiko yasema hivi: "Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu kama wazee wenu walivyokuwa wakati walipomwasi Mungu."
16Nekuti vamwe vakati vanzwa, vakamutsamwisa, asi havazi ivo vose vakabva Egipita naMozisi.
16Ni akina nani basi, waliosikia sauti ya Mungu wakamwasi? Ni wale wote walioongozwa na Mose kutoka Misri.
17Asi wakatsamwiswa nani makore makumi mana? Havazi ivo vakatadza vane mitumbu yakawira murenje here?
17Mungu aliwakasirikia akina nani kwa miaka arobaini? Aliwakasirikia wale waliotenda dhambi, maiti zao zikatapakaa kule jangwani.
18Uye ndivanaani vaakapikira kuti havangapindi pazororo rake, kunze kwaivo vasina kutenda?
18Mungu alipoapa: "Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko," alikuwa anawasema akina nani? Alikuwa anasema juu ya hao walioasi.
19Zvino tinovona kuti vakanga vasingagoni kupinda nekuda kwekusatenda.
19Basi, twaona kwamba hawakuingia huko kwa sababu hawakuamini.