1Naizvozvo ngatitye zvimwe chivimbiso chekupinda muzororo rake zvachichipo kurege kuva neumwe wenyu uchawanikwa achitaira pakupindamo.
1Mungu alituahidia kwamba tutaweza kupata pumziko hilo alilosema. Basi, na tuogope ili yeyote kati yenu asije akashindwa kupata pumziko hilo.
2Nekuti nesuwo takaparidzirwa evhangeri, sekwavariwo; asi shoko rokunzwikwa harina kuvabatsira, nokuti harina kuvhenganiswa nerutendo kuna ivo vakanzwa.
2Maana Habari Njema imehubiriwa kwetu kama vile ilivyohubiriwa kwa hao watu wa kale. Lakini ujumbe huo haukuwafaa chochote, maana waliusikia lakini hawakuupokea kwa imani.
3Nekuti isu vakatenda tinopinda pazororo sezvaakareva achiti: Sezvo ndakapika pakutsamwa kwangu, ndikati: Havangapindi muzororo rangu; kunyange mabasa akange apedzwa kubva pakuvambwa kwenyika.
3Basi, sisi tunaoamini tunapata pumziko hilo aliloahidi Mungu. Kama alivyosema: "Nilikasirika, nikaapa: Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko." Mungu alisema hayo ingawa kazi yake ilikuwa imekwisha malizika tangu alipoumba ulimwengu.
4Nekuti wakataura pane imwe nzvimbo pamusoro pezuva rechinomwe sezvizvi: Mwari akazorora nezuva rechinomwe pamabasa ake ose;
4Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: "Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi zake zote."
5nepanozve: Havangapindi muzororo rangu.
5Tena jambo hili lasemwa pia: "Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko."
6Naizvozvo zvazvichipo kuti vamwe vachapinda pariri, uye kuti avo vakatanga kuparidzirwa evhangeri havana kupinda nekusateerera,
6Wale waliotangulia kuhubiriwa Habari Njema hawakupata pumziko hilo kwa sababu hawakuamini. Wapo, basi, wengine ambao wangejaliwa kulipata.
7unogurazve rimwe zuva, achiti: Nhasi achitaura nemuromo waDhavhidhi, nguva huru yakadai yapfuura, sezvakwakataurwa, kuchinzi: Nhasi kana muchinzwa inzwi rake musawomesa moyo yenyu.
7Jambo hili ni wazi, kwani Mungu aliweka siku nyingine ambayo inaitwa "Leo". Miaka mingi baadaye Mungu alisema juu ya hiyo siku kwa maneno ya Daudi katika Maandiko yaliyokwisha tajwa: "Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu."
8Nekuti dai Joshua akanga avapa zororo, haazaizoreva pashure pamusoro perimwe zuva.
8Kama Yoshua angaliwapa watu hao hilo pumziko, Mungu hangalisema baadaye juu ya siku nyingine.
9Zvino zvasarira vanhu vaMwari kuzorora kwesabata.
9Kwa hiyo, basi, bado lipo pumziko kwa watu wa Mungu kama kule kupumzika kwake Mungu siku ya saba.
10Nekuti uyo wakapinda muzororo rake wakazorora iye amene pamabasa ake, saMwari pane ake.
10Maana, kila anayepata pumziko aliloahidi Mungu atapumzika baada ya kazi yake kama vile pia Mungu alivyopumzika baada ya yake.
11Naizvozvo ngatishingaire kuti tipinde muzororo iroro, kuti zvimwe kusava neunozowa achitevera muenzaniso iwoyo wekusateerera.
11Basi, tujitahidi kupata pumziko hilo, ili asiwepo yeyote miongoni mwenu atakayeshindwa, kama walivyofanya wao kwa sababu ya ukosefu wao wa imani.
12Nekuti shoko raMwari ibenyu, uye rine simba nekupinza kukunda munondo unocheka kumativi maviri, rinobaya kusvikira panoparadzana moyo nemweya, nemafundo nemongo; nerinonzwisisa ndangariro nezvinangwa zvemoyo.
12Neno la Mungu ni hai na lina nguvu; ni kali zaidi kuliko upanga wenye makali kuwili. Hukata kabisa mpaka mahali ambapo moyo na roho hukutana, mpaka pale vikutanapo viungo vya mwili na mafuta. Neno hilo huchambua nia na fikira za mioyo ya watu.
13Hakuna chinhu chakasikwa chisingaratidziki pachiso chake; asi zvinhu zvose zvakafukurwa nekuzarurwa pameso aiye watinofanira kuzvidavirira kwaari.
13Hakuna kiumbe chochote kilichofichika mbele ya Mungu; kila kitu kimefunuliwa wazi mbele ya macho yake. Kwake, sisi sote tutapaswa kutoa hoja ya matendo yetu.
14Naizvozvo zvatine mupristi mukuru kwazvo, wakapfuurira kumatenga, iye Jesu Mwanakomana waMwari, ngatibatisise kutenda kwedu.
14Basi, tunapaswa kuzingatia kwa uthabiti imani tunayoiungama. Maana tunaye Kuhani Mkuu aliyeingia mpaka kwa Mungu mwenyewe--Yesu, Mwana wa Mungu.
15Nekuti hatina mupristi mukuru usingagoni kunzwiswa tsitsi neutera hwedu, asi wakaidzwa pazvinhu zvose sesu asina chivi.
15Huyu Kuhani Mkuu wetu si mmoja ambaye hawezi kutuunga mkono katika unyonge wetu, ila ni Kuhani Mkuu ambaye alijaribiwa kama sisi kwa kila namna lakini hakutenda dhambi.
16Naizvozvo ngatiswederei takashinga kuchigaro cheushe chenyasha, kuti tigamuchire tsitsi, tiwane nyasha dzekubatsira panguva yakafanira.
16Basi, na tukikaribie bila hofu kiti cha enzi cha Mungu, palipo na neema, ili tukajipatie huruma na neema ya kutusaidia wakati wa lazima.