1Zvino kudenga kwakaonekwa chishamiso chikuru ichi: Mukadzi, wakakapfeka zuva, nemwedzi uri pasi petsoka dzake, nepamusoro wake korona yenyeredzi gumi nembiri;
1Kisha ishara kubwa ikaonekana mbinguni. Palikuwa hapo mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi chini ya miguu yake, na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake!
2iye wakange ane mimba akachema achirwadziwa pakupona kwake, achitambudzika pakuzvara.
2Alikuwa mja mzito, na akapaaza sauti kwa maumivu na uchungu wa kujifungua mtoto.
3Zvino kwakaonekwa chimwe chishamiso kudenga, Tarira, zibukanana ziguru zidzvuku rine misoro minomwe, nenyanga gumi nekorona nomwe pamisoro yaro.
3Ishara nyingine ikatokea mbinguni: joka kubwa jekundu na lenye pembe kumi na vichwa saba; na kila kichwa kilikuwa na taji.
4Muswe waro wakakweva chetatu chenyeredzi dzekudenga, ndokudzikandira panyika; zibukanana rikamira pamberi pemukadzi wakange ozvara, kuti riparadze mwana wake kana angozvara.
4Joka hilo liliburuta kwa mkia wake theluthi moja ya nyota za anga na kuzitupa duniani. Nalo lilisimama mbele ya huyo mama aliyekuwa karibu kujifungua mtoto, tayari kabisa kummeza mtoto, mara tu atakapozaliwa.
5Akazvara mwana wemukomana, waizotonga marudzi ose netsvimbo yedare; mwana wake ndokutorwa kumusoro kuna Mwari nekuchigaro chake cheushe.
5Kisha mama huyo akajifungua mtoto wa kiume, ambaye atayatawala mataifa yote kwa fimbo ya chuma. Lakini mtoto akanyakuliwa na kupelekwa kwa Mungu na kwenye kiti chake cha enzi.
6Mukadzi akatizira murenje, paakagadzirirwa nzvimbo naMwari, kuti vamuriritira mazuva churu nemazana maviri nemakumi matanhatu.
6Huyo mama akakimbilia jangwani, ambako Mungu alikuwa amemtayarishia mahali pa usalama ambapo angehifadhiwa kwa muda wa siku elfu moja mia mbili na sitini.
7Zvino kukava nehondo kudenga; Mikaeri nevatumwa vake vakarwa nezibukanana, zibukanana rikarwa rine vatumwa varo;
7Kisha kukazuka vita mbinguni: Mikaeli na malaika wake walipigana na hilo joka, nalo likawashambulia pamoja na malaika wake.
8vakasakunda, nenzvimbo yaro haina kuzowanikwa kudenga.
8Lakini joka hilo halikuweza kuwashinda, na hatimaye hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yake na malaika wake.
9Zvino zibukanana ziguru rakakandirwa kunze, iya nyoka yekare, inonzi Dhiabhorosi uye Satani, inonyengera nyika yose; yakakandirwa panyika, nevatumwa vayo vakakandirwa pasi pamwe nayo.
9Basi, joka hilo kuu likatupwa nje. Joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia Ibilisi au Shetani. Ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. Naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
10Zvino ndakanzwa inzwi guru kudenga richiti: Zvino ruponeso rwasvika, nesimba, neushe hwaMwari wedu, nesimba raKristu wake; nekuti mupomeri wehama dzedu wakandirwa pasi, wakavapomera pamberi paMwari wedu masikati neusiku.
10Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikisema: "Sasa ukombozi utokao kwa Mungu umefika! Nguvu na Utawala wa Mungu wetu umedhihirika. Na Kristo wake ameonyesha mamlaka yake! Maana yule mdhalimu wa ndugu zetu, aliyesimama mbele ya Mungu akiwashtaki usiku na mchana, sasa ametupwa nje.
11Zvino ivo vakamukunda neropa reGwayana, neshoko reuchapupu hwavo; uye havana kuda upenyu hwavo kusvikira parufu.
11Ndugu zetu wameshinda kwa damu ya Mwanakondoo na kwa nguvu ya ukweli walioutangaza; maana hawakuyathamini maisha yao kuwa kitu sana, wakawa tayari kufa.
12Saka farai matenga nemwi munogara maari. Mune nhamo vagari vemunyika nevegungwa, nekuti dhiabhorosi wakaburukira kwamuri akatsamwa kwazvo, nekuti unoziva kuti uchine nguva duku.
12Kwa sababu hiyo, furahini enyi mbingu na vyote vilivyomo ndani yenu. Lakini, ole wenu nchi na bahari, maana Ibilisi amewajieni akiwa na ghadhabu kuu, kwa sababu anajua kwamba siku zake zilizobakia ni chache."
13Zvino zubukanana rakati raona kuti rakandirwa panyika rikashusha mukadzi wakazvara murume.
13Joka lilipotambua kwamba limetupwa chini duniani, likaanza kumwinda yule mama aliyekuwa amejifungua mtoto wa kiume.
14Ipapo kumukadzi kukapiwa mapapiro maviri egondo guru, kuti abhururukire kurenje kunzvimbo yake, kwaanonoriritirwa kwenguva nedzimwe nguva nehafu yenguva, abve pauso hwenyoka.
14Lakini mama huyo akapewa mabawa mawili ya tai apate kuruka mbali sana na hilo joka, mpaka mahali, pake jangwani ambapo angehifadhiwa salama kwa muda wa miaka mitatu na nusu.
15Zvino nyoka yakabudisa mvura mumuromo mayo yakaita serwizi shure kwemukadzi kuti amukonzere kuti akukurwe nerwizi.
15Basi, joka likatapika maji mengi kama mto, yakamfuata huyo mama nyuma ili yamchukue.
16Zvino nyika yakabatsira mukadzi, nyika ndokushamisa muromo wayo, ikamedza rwizi rwakabudiswa nezibukanana mumuromo maro.
16Lakini nchi ikamsaidia huyo mama: ikajifunua kama mdomo na kuyameza maji hayo yaliyotoka kinywani mwa hilo joka.
17Zvino zibukanana rakatsamwira mukadzi, rikaenda kunoita hondo nevakasara vembeu yake vanochengeta mirairo yaMwari, vane uchapupu hwaJesu Kristu.
17Basi, joka hilo likamkasirikia huyo mama, likajiondokea, likaenda kupigana na wazawa wengine wa huyo mama, yaani wote wanaotii amri za Mungu na kuuzingatia ukweli wa Yesu.