Shona

Swahili: New Testament

Revelation

13

1Zvino ndakamira pamusoro pejecha regungwa ndikaona chikara chichikwira chichibva mugungwa, chine misoro minomwe nenyanga gumi; nepamusoro penyanga dzacho, korona gumi, nepamusoro pemisoro yacho zita rekunyomba.
1(G12-18) Na likajisimamia ukingoni mwa bahari. (G13-1) Kisha nikaona mnyama mmoja akitoka baharini. Alikuwa na vichwa saba na pembe kumi, na kila pembe ilikuwa na taji. Jina la kashfa lilikuwa limeandikwa juu ya vichwa hivyo.
2Zvino chikara ichi chandakaona chakange chakaita sengwe; netsoka dzacho sedzebheya*, nemuromo wacho semuromo weshumba; zibukanana rikachipa simba raro, nechigaro charo cheushe, nesimba guru.
2Mnyama huyo niliyemwona alikuwa kama chui; miguu yake ilikuwa kama ya dubu, na kinywa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu yake, kiti chake cha enzi na uwezo mkuu.
3Zvino ndakazoona umwe wemisoro yacho wakange wakaita sowakakuvadzwa kusvikira parufu; asi vanga raifanira kuuraya rakange rapora; nyika yose ikashamisika ichitevera chikara.
3Kichwa kimojawapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona. Dunia nzima ilishangazwa na huyo mnyama na kumfuata.
4Vakanamata zibukanana rakapa simba kuchikara; vakanamata chikara, vachiti: Ndiani wakafanana nechikara? Ndianiko unogona kuita hondo nacho?
4Watu wote wakaliabudu lile joka kwa sababu lilimpa huyo mnyama uwezo wake. Wakamwabudu pia huyo mnyama wakisema, "Nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana naye?"
5Zvino kukapiwa kwachiri muromo unotaura zvinhu zvikuru nekunyomba; kukapiwa kwachiri simba kuti chizviite mwedzi makumi mana nemiviri.
5Kisha huyo mnyama akaruhusiwa kusema maneno ya kujigamba na kumkufuru Mungu; akaruhusiwa kuwa na mamlaka kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
6Ndokubva chashamisa muromo wacho kuti chinyombe Mwari, nekunyomba zita rake netende rake naivo vanogara kudenga.
6Basi, akaanza kumtukana Mungu, kulitukana jina lake, makao yake, na wote wakaao mbinguni.
7Zvino kwakapiwa kwachiri kuti chiite hondo nevatsvene, nekuvakunda; simba rikapiwawo kwachiri pamusoro perudzi rwose nerurimi nerudzi.
7Aliruhusiwa kuwapiga vita na kuwashinda watu wa Mungu. Alipewa mamlaka juu ya watu wa kila kabila, ukoo, lugha na taifa.
8Uye vose vanogara panyika vachachinamata, vane mazita asina kunyorwa mubhuku reupenyu reGwayana rakabayiwa kubva pakuvambwa kwenyika.
8Wote waishio duniani watamwabudu isipokuwa tu wale ambao majina yao yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo aliyechinjwa.
9Kana munhu ane nzeve, ngaanzwe.
9"Aliye na masikio, na asikie!
10Kana munhu achitapa, unoenda muutapwa, unouraya nemunondo unofanira kuurawa nemunondo. Ndipo pane kutsungirira nerutendo rwevatsvene.
10Waliokusudiwa kuchukuliwa mateka lazima watatekwa; waliokusudiwa kuuawa kwa upanga lazima watauawa kwa upanga. Kutokana na hayo ni lazima watu wa Mungu wawe na uvumilivu na imani."
11Zvino ndakaona chimwe chikara chichikwira chichibva panyika; uye chakange chine nyanga mbiri segwayana, chikataura sezibukanana.
11Kisha nikamwona mnyama mwingine anatoka ardhini. Alikuwa na pembe mbili kama pembe za kondoo, na aliongea kama joka.
12Uye chakashandisa simba rose rechikara chekutanga pamberi pacho. Chinomanikidza nyika nevagere mukati mayo kuti vanamate chikara chekutanga, chiya chine vanga rinouraya rakaporeswa.
12Alikuwa na mamlaka kamili kutoka kwa yule mnyama wa kwanza, na akautumia uwezo huo mbele ya huyo mnyama. Akailazimisha dunia yote na wote waliomo humo kumwabudu huyo mnyama wa kwanza ambaye alikuwa na jeraha la kifo lililokuwa limepona.
13Chinoita zvishamiso zvikuru, zvekuti chinoburusira moto kubva kudenga panyika pamberi pevanhu.
13Basi, huyu mnyama wa pili akafanya miujiza mikubwa hata akasababisha moto kutoka mbinguni ushuke duniani mbele ya watu.
14Zvino chinonyengera avo vanogara panyika nezvishamiso zvachakapiwa kuti chizviite pamberi pechikara; chichiti kune vanogara panyika kuti vaitire mufananaidzo chikara chakange chine vanga remunondo chikararama.
14Aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. Aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
15Chikapiwa simba kuti chipe mufananidzo wechikara mweya, kuti mufananidzo wechikara utaure, chiraire kuti vose vasinganamati mufananidzo wechikara vaurawe.
15Kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na kuwaua watu wote ambao hawakuiabudu.
16Chinokonzera vose, zvose vaduku nevakuru, vafumi nevarombo, vakasununguka nevakasungwa, kuti vapiwe mucherechedzo muruoko rwavo rwerudyi, kana pahuma dzavo,
16Aliwalazimisha wote, wadogo na wakubwa, matajiri na maskini, watu huru na watumwa, watiwe alama juu ya mikono yao ya kulia au juu ya paji za nyuso zao.
17uye kuti kusava neunogona kutenga kana kutengesa, kunze kwaiye une mucherechedzo, kana zita rechikara kana nhamba yezita racho.
17Akapiga marufuku mtu yeyote kununua au kuuza kitu isipokuwa tu mtu aliyetiwa alama hiyo, yaani jina la yule mnyama au tarakimu ya jina hilo.
18Hehwuno uchenjeri. Unonzwisisa ngaaverenge nhamba yechikara; nekuti inhamba yemunhu; uye nhamba yacho ndimazana matanhatu nemakumi matanhatu nenhanhatu.
18Hapa ni lazima kutumia ujasiri! Mwenye akili anaweza kufafanua maana ya tarakimu ya mnyama huyo, maana ni tarakimu yenye maana ya mtu fulani. Tarakimu hiyo ni mia sita sitini na sita.