1"Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
1"Ja sam istinski trs, a Otac moj - vinogradar.
2Yeye huliondoa ndani yangu kila tawi lisilozaa matunda, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.
2Svaku lozu na meni koja ne donosi roda on siječe, a svaku koja rod donosi čisti da više roda donese.
3Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.
3Vi ste već očišćeni po riječi koju sam vam zborio.
4Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu. Tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipokaa katika mzabibu hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu.
4Ostanite u meni i ja u vama. Kao što loza ne može donijeti roda sama od sebe, ako ne ostane na trsu, tako ni vi ako ne ostanete u meni.
5"Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi yake. Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo atazaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.
5Ja sam trs, vi loze. Tko ostaje u meni i ja u njemu, taj donosi mnogo roda. Uistinu, bez mene ne možete učiniti ništa.
6Mtu yeyote asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi litupwalo nje hata likakauka. Watu huliokota tawi la namna hiyo na kulitupa motoni liungue.
6Ako tko ne ostane u meni, izbace ga kao lozu i usahne. Takve onda skupe i bace u oganj te gore.
7Mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, basi, ombeni chochote mtakacho nanyi mtapewa.
7Ako ostanete u meni i riječi moje ako ostanu u vama, što god hoćete, ištite i bit će vam.
8Baba yangu hutukuzwa kama mkizaa matunda mengi na kuwa wanafunzi wangu.
8Ovim se proslavlja Otac moj: da donosite mnogo roda i da budete moji učenici.
9Mimi nimewapenda ninyi kama vile Baba alivyonipenda mimi. Kaeni katika pendo langu.
9Kao što je Otac ljubio mene tako sam i ja ljubio vas; ostanite u mojoj ljubavi.
10Mkizishika amri zangu mtakaa katika pendo langu, kama vile nami nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
10Budete li čuvali moje zapovijedi, ostat ćete u mojoj ljubavi; kao što sam i ja čuvao zapovijedi Oca svoga te ostajem u ljubavi njegovoj.
11Nimewaambieni mambo haya ili furaha yangu ikae ndani yenu, na furaha yenu ikamilike.
11To sam vam govorio da moja radost bude u vama i da vaša radost bude potpuna.
12Hii ndiyo amri yangu: pendaneni; pendaneni kama nilivyowapenda ninyi.
12Ovo je moja zapovijed: ljubite jedni druge kao što sam ja vas ljubio!
13Hakuna upendo mkuu zaidi kuliko upendo wa mtu atoaye uhai wake kwa ajili ya rafiki zake.
13Veće ljubavi nitko nema od ove: da tko život svoj položi za svoje prijatelje.
14Ninyi ni rafiki zangu mkifanya ninayowaamuru.
14Vi ste prijatelji moji ako činite što vam zapovijedam.
15Ninyi siwaiti tena watumishi, maana mtumishi hajui anachofanya bwana wake. Lakini mimi nimewaita ninyi rafiki, kwa sababu nimewajulisha yote ambayo nimeyasikia kutoka kwa Baba yangu.
15Više vas ne zovem slugama jer sluga ne zna što radi njegov gospodar; vas sam nazvao prijateljima jer vam priopćih sve što sam čuo od Oca svoga.
16Ninyi hamkunichagua mimi; mimi niliwachagueni na kuwatuma mwende mkazae matunda, matunda yadumuyo, naye Baba apate kuwapa ninyi chochote mumwombacho kwa jina langu.
16Ne izabraste vi mene, nego ja izabrah vas i postavih vas da idete i rod donosite i rod vaš da ostane te vam Otac dadne što ga god zaištete u moje ime.
17Basi, amri yangu kwenu ndiyo hii: pendaneni.
17Ovo vam zapovijedam: da ljubite jedni druge."
18"Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba umenichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.
18"Ako vas svijet mrzi, znajte da je mene mrzio prije nego vas.
19Kama mngalikuwa watu wa ulimwengu, ulimwengu ungaliwapenda ninyi kama watu wake. Lakini kwa vile ninyi si wa ulimwengu, ila mimi nimewachagueni kutoka ulimwenguni, kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukieni.
19Kad biste bili od svijeta, svijet bi svoje ljubio; no budući da niste od svijeta, nego sam vas ja izabrao iz svijeta, zbog toga vas svijet mrzi.
20Kumbukeni niliyowaambieni: mtumishi si mkuu zaidi kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa na ninyi pia; kama wameshika neno langu, watalishika na lenu pia.
20Sjećajte se riječi koju vam rekoh: 'Nije sluga veći od svoga gospodara.' Ako su mene progonili, i vas će progoniti; ako su moju riječ čuvali, da vašu će čuvati.
21Lakini hayo yote watawatendeeni ninyi kwa sababu ya jina langu, kwani hawamjui yeye aliyenituma.
21A sve će to poduzimati protiv vas poradi imena moga jer ne znaju onoga koji mene posla.
22Kama nisingalikuja na kusema nao wasingalikuwa na hatia; lakini sasa hawawezi kujitetea kwamba hawana dhambi.
22Da nisam došao i da im nisam govorio, ne bi imali grijeha; no sada nemaju izgovora za svoj grijeh.
23Anayenichukia mimi, anamchukia na Baba yangu pia.
23Tko mene mrzi, mrzi i Oca mojega.
24Kama nisingalifanya kwao mambo ambayo hakuna mtu mwingine amekwisha yafanya wasingalikuwa na hatia; lakini sasa wameona niliyoyafanya wakinichukia mimi, wakamchukia na Baba yangu pia.
24Da nisam učinio među njima djela kojih nitko drugi ne čini, ne bi imali grijeha; a sada vidješe pa ipak zamrziše i mene i Oca mojega.
25Na hivi ni lazima yatimie yale yaliyoandikwa katika Sheria yao: Wamenichukia bure!
25No neka se ispuni riječ napisana u njihovu Zakonu: Mrze me nizašto.
26"Atakapokuja huyo Msaidizi nitakayemtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia mimi.
26A kada dođe Branitelj koga ću vam poslati od Oca - Duh Istine koji od Oca izlazi - on će svjedočiti za mene.
27Nanyi pia mtanishuhudia kwa kuwa mmekuwa nami tangu mwanzo.
27I vi ćete svjedočiti jer ste od početka sa mnom.