Swahili: New Testament

Croatian

John

16

1"Nimewaambieni hayo kusudi msiiache imani yenu.
1To sam vam govorio da se ne sablaznite.
2Watu watawatenga ninyi na masunagogi yao. Tena, wakati unakuja ambapo kila atakayewaua ninyi atadhani anamhudumia Mungu.
2Izopćavat će vas iz sinagoga. Štoviše, dolazi čas kad će svaki koji vas ubije misliti da služi Bogu.
3Watawatendeeni mambo hayo kwa sababu hawamjui Baba, wala hawanijui mimi.
3A to će činiti jer ne upoznaše ni Oca ni mene.
4Basi, nimewaambieni mambo haya ili saa yake itakapofika mkumbuke kwamba niliwaambieni. "Sikuwaambieni mambo haya tangu mwanzo kwa sababu nilikuwa pamoja nanyi.
4Govorio sam vam ovo da se, kada dođe vrijeme, sjetite da sam vam rekao." "S početka vam ne rekoh ovo jer bijah s vama.
5Lakini sasa namwendea yule aliyenituma; na hakuna hata mmoja wenu anayeniuliza: Unakwenda wapi?
5A sada odlazim k onome koji me posla i nitko me od vas ne pita: 'Kamo ideš?'
6Kwa kuwa nimewaambieni mambo hayo mmejaa huzuni mioyoni mwenu.
6Naprotiv, žalošću se ispunilo vaše srce što vam ovo kazah.
7Lakini, nawaambieni ukweli: afadhali kwenu mimi niende zangu, maana nisipokwenda Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda, basi, nitamtuma kwenu.
7No kažem vam istinu: bolje je za vas da ja odem: jer ako ne odem, Branitelj neće doći k vama; ako pak odem, poslat ću ga k vama.
8Naye atakapokuja atawathibitishia walimwengu kwamba wamekosea kuhusu dhambi, uadilifu na hukumu ya Mungu.
8A kad on dođe, pokazat će svijetu što je grijeh, što li pravednost, a što osuda:
9Wamekosea kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini;
9grijeh je što ne vjeruju u mene;
10kuhusu uadilifu, kwa sababu naenda zangu kwa Baba, nanyi hamtaniona tena;
10pravednost - što odlazim k Ocu i više me ne vidite;
11kuhusu hukumu kwa sababu mkuu wa ulimwengu huu amekwisha hukumiwa.
11a osuda - što je knez ovoga svijeta osuđen.
12"Ninayo bado mengi ya kuwaambieni, ila kwa sasa hamwezi kuyastahimili.
12Još vam mnogo imam kazati, ali sada ne možete nositi.
13Lakini atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza kwenye ukweli wote; maana hatasema kwa mamlaka yake mwenyewe, bali atawaambieni yote atakayosikia, na atasema mambo yatakayokuwa yanakuja.
13No kada dođe on - Duh Istine - upućivat će vas u svu istinu; jer neće govoriti sam od sebe, nego će govoriti što čuje i navješćivat će vam ono što dolazi.
14Yeye atanitukuza mimi kwa kuwa atawaambieni yale atakayopata kutoka kwangu.
14On će mene proslavljati jer će od mojega uzimati i navješćivati vama.
15Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu; ndiyo maana nimesema kwamba huyo Roho Mtakatifu atawaambieni yale atakayopata kutoka kwangu.
15Sve što ima Otac, moje je. Zbog toga vam rekoh: od mojega uzima i - navješćivat će vama."
16"Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona!"
16"Malo, i više me nećete vidjeti; i opet malo, pa ćete me vidjeti."
17Hapo baadhi ya wanafunzi wake wakaulizana, "Ana maana gani anapotwambia: Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona? Tena anasema: Kwa kuwa ninakwenda kwa Baba!"
17Nato se neki od učenika zapitkivahu: "Što je to što nam kaže: 'Malo, i nećete me vidjeti, i opet malo, pa ćete me vidjeti' i 'Odlazim Ocu'?"
18Basi, wakawa wanaulizana, "Ana maana gani anaposema: Bado kitambo kidogo? Hatuelewi anaongelea nini."
18Govorahu dakle: "Što je to što kaže 'Malo'? Ne znamo što govori."
19Yesu alijua kwamba walitaka kumwuliza, basi akawaambia, "Je, mnaulizana juu ya yale niliyosema: Bado kitambo kidogo nanyi hamtaniona; na baada ya kitambo kidogo tena mtaniona?
19Isus spozna da su ga htjeli pitati pa im reče: "Pitate se među sobom o tome što kazah: 'Malo, i nećete me vidjeti; i opet malo, pa ćete me vidjeti'?
20Nawaambieni kweli, ninyi mtalia na kuomboleza, lakini ulimwengu utafurahi: mtaona huzuni lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.
20Zaista, zaista, kažem vam: vi ćete plakati i jaukati, a svijet će se veseliti. Vi ćete se žalostiti, ali žalost će se vaša okrenuti u radost.
21Wakati mama anapojifungua huona huzuni kwa sababu saa ya maumivu imefika; lakini akisha jifungua hayakumbuki tena maumivu hayo kwa sababu ya furaha kwamba mtu amezaliwa duniani.
21Žena kad rađa, žalosna je jer je došao njezin čas; ali kad rodi djetešce, ne spominje se više muke od radosti što se čovjek rodio na svijet.
22Ninyi pia mna huzuni sasa; lakini nitawajieni tena, nanyi mtajaa furaha mioyoni mwenu, na furaha hiyo hakuna mtu atakayeiondoa kwenu.
22Tako dakle i vi: sad ste u žalosti, no ja ću vas opet vidjeti; i srce će vam se radovati i radosti vaše nitko vam oteti neće.
23Siku hiyo hamtaniomba chochote. Kweli nawaambieni, chochote mtakachomwomba Baba kwa jina langu, atawapeni.
23U onaj me dan nećete ništa više pitati. Zaista, zaista, kažem vam: što god zaištete u Oca, dat će vam u moje ime.
24Mpaka sasa hamjaomba chochote kwa jina langu. Ombeni nanyi mtapata ili furaha yenu ikamilike.
24Dosad niste iskali ništa u moje ime. Ištite i primit ćete da radost vaša bude potpuna!"
25"Nimewaambieni mambo hayo kwa mafumbo. Lakini wakati utakuja ambapo sitasema tena nanyi kwa mafumbo, bali nitawaambieni waziwazi juu ya Baba.
25"To sam vam govorio u poredbama. Dolazi čas kad vam više neću govoriti u poredbama, nego ću vam otvoreno navješćivati Oca.
26Siku hiyo mtaomba kwa jina langu, na siwaambii kwamba nitamwomba Baba kwa niaba yenu;
26U onaj dan iskat ćete u moje ime i ne velim vam da ću ja moliti Oca za vas.
27maana yeye mwenyewe anawapenda ninyi, kwa sababu ninyi mmenipenda mimi na mmeamini kwamba nimetoka kwa Mungu.
27Ta sam vas Otac ljubi jer vi ste mene ljubili i vjerovali da sam ja od Boga izišao.
28Mimi nilitoka kwa Baba, nikaja ulimwenguni; na sasa nauacha ulimwengu na kurudi kwa Baba."
28Izišao sam od Oca i došao na svijet. Opet ostavljam svijet i odlazim Ocu."
29Basi, wanafunzi wake wakamwambia, "Ahaa! Sasa unasema waziwazi kabisa bila kutumia mafumbo.
29Kažu mu učenici: "Evo, sad otvoreno zboriš i nikakvon se poredbom ne služiš.
30Sasa tunajua kwamba wewe unajua kila kitu, na huna haja ya kuulizwa maswali na mtu yeyote; kwa hiyo tunaamini kwamba umetoka kwa Mungu."
30Sada znamo da sve znaš i ne treba da te tko pita. Stoga vjerujemo da si izišao od Boga."
31Yesu akawajibu, "Je, mnaamini sasa?
31Odgovori im Isus: "Sada vjerujete?
32Wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo ninyi nyote mtatawanyika kila mtu kwake, nami nitaachwa peke yangu. Kumbe, lakini mimi siko peke yangu, maana Baba yu pamoja nami.
32Evo dolazi čas i već je došao: raspršit ćete se svaki na svoju stranu i mene ostaviti sama. No ja nisam sam jer Otac je sa mnom.
33Nimewaambieni mambo haya ili mpate kuwa na amani katika kuungana nami. Ulimwenguni mtapata masumbuko; lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu!"
33To vam rekoh da u meni mir imate. U svijetu imate muku, ali hrabri budite - ja sam pobijedio svijet!"