Swahili: New Testament

Croatian

Mark

14

1Ilikuwa siku mbili tu kabla ya sikukuu ya Pasaka na ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria walikuwa wakitafuta njia ya kumtia Yesu nguvuni kwa hila wamuue.
1Za dva dana bijaše Pasha i Beskvasni kruhovi. Glavari svećenički i pismoznanci tražili su kako da ga na prijevaru uhvate i ubiju.
2Lakini walisema, "Tusimtie nguvuni wakati wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia."
2Jer se govorilo: "Nikako ne na Blagdan da ne nastane pobuna naroda."
3Yesu alikuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni, Mkoma. Alipokuwa mezani kula chakula, mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya nardo safi ya thamani kubwa alikuja, akaivunja hiyo chupa, akammiminia Yesu marashi hayo kichwani.
3I kad je u Betaniji, u kući Šimuna Gubavca, bio za stolom, dođe neka žena s alabastrenom posudicom prave skupocjene nardove pomasti. Razbi posudicu i poli ga po glavi.
4Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika wakajisemea, "Kwa nini kupoteza ovyo marashi haya?
4A neki negodovahu te će jedan drugomu: "Čemu to rasipanje pomasti?
5Yangaliweza kuuzwa kwa fedha kiasi cha denari mia tatu, wakapewa maskini!" Wakamkemea huyo mama.
5Mogla se pomast prodati za više od tristo denara i dati siromasima." I otresahu se na nju.
6Lakini Yesu akawaambia, "Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema.
6A Isus reče: "Pustite je, što joj dodijavate? Dobro djelo učini na meni.
7Maskini mnao daima pamoja nanyi; mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaopenda. Lakini mimi sitakuwapo pamoja nanyi daima.
7Ta siromaha svagda imate uza se i kad god hoćete možete im dobro činiti, a mene nemate svagda.
8Yeye amefanya alivyoweza; ameupaka mwili wangu marashi kuutayarisha kwa maziko.
8Učinila je što je mogla: unaprijed mi pomaza tijelo za ukop.
9Nawaambieni kweli, popote ulimwenguni Habari Njema itakapohubiriwa, kitendo hiki alichofanya kitatajwa kwa ajili ya kumkumbuka."
9Zaista, kažem vam, gdje se god bude propovijedalo evanđelje, po svem svijetu, navješćivat će se i ovo što ona učini - njoj na spomen."
10Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alienda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.
10A Juda Iškariotski, jedan od dvanaestorice, ode glavarima svećeničkim da im ga preda.
11Makuhani wakuu waliposikia habari hiyo, walifurahi, wakaahidi kumpa fedha. Basi, Yuda akaanza kutafuta nafasi ya kumsaliti Yesu.
11Kad su oni to čuli, obradovali su se i obećali mu dati novca. I tražio je zgodu da ga preda.
12Siku ya kwanza ya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, wakati ambapo mwana kondoo wa Pasaka huchinjwa, wanafunzi wake walimwuliza, "Wataka tukuandalie wapi karamu ya Pasaka?"
12Prvoga dana Beskvasnih kruhova, kad se žrtvovala pasha, upitaju učenici Isusa: "Gdje hoćeš blagovati pashu, da odemo i pripravimo?"
13Basi Yesu akawatuma wawili wa wanafunzi wake akiwaambia, "Nendeni mjini, nanyi mtakutana na mtu anayebeba mtungi wa maji. Mfuateni
13On pošalje dvojicu učenika i rekne im: "Idite u grad i namjerit ćete se na čovjeka koji nosi krčag vode. Pođite za njim
14mpaka katika nyumba atakayoingia, mkamwambie mwenye nyumba, Mwalimu anasema: wapi chumba changu ambamo nitakula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu?
14pa gdje on uđe, recite domaćinu: 'Učitelj pita: Gdje mi je svratište u kojem bih blagovao pashu sa svojim učenicima?'
15Naye atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani kilichotayarishwa na kupambwa. Tuandalieni humo."
15I on će vam pokazati na katu veliko blagovalište, prostrto i spremljeno. Ondje nam pripravite."
16Wanafunzi wakaondoka, wakaenda mjini, wakakuta kila kitu sawa kama Yesu alivyokuwa amewaambia. Wakaandaa karamu ya Pasaka.
16Učenici odu, dođu u grad i nađu kako im on reče te priprave pashu.
17Ilipokuwa jioni, Yesu alifika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
17A uvečer dođe on s dvanaestoricom.
18Walipokuwa mezani wakila, Yesu alisema, "Kweli nawaambieni, mmoja wenu anayekula pamoja nami, atanisaliti."
18I dok bijahu za stolom te blagovahu, reče Isus: "Zaista, kažem vam, jedan će me od vas izdati - koji sa mnom blaguje."
19Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, "Je, ni mimi?"
19Ožalošćeni, stanu mu govoriti jedan za drugim: "Da nisam ja?"
20Yesu akawaambia, "Ni mmoja wenu ninyi kumi na wawili, anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli.
20A on im reče: "Jedan od dvanaestorice koji umače sa mnom u zdjelicu.
21Kweli Mwana wa Mtu anakwenda zake kama Maandiko Matakatifu yanavyosema juu yake; lakini, ole wake mtu yule anayemsaliti Mwana wa Mtu! Ingalikuwa afadhali kwa mtu huyo kama hangalizaliwa!"
21Sin Čovječji, istina, odlazi kako je o njemu pisano, ali jao čovjeku onomu koji ga predaje. Tomu bi čovjeku bolje bilo da se ni rodio nije!"
22Walipokuwa wanakula, Yesu alitwaa mkate, akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi wake akisema, "Twaeni; huu ni mwili wangu."
22I dok su blagovali, on uze kruh, izreče blagoslov pa razlomi, dade im i reče: "Uzmite, ovo je tijelo moje."
23Kisha akatwaa kikombe, akamshukuru Mungu, akawapa; nao wote wakanywa katika kikombe hicho.
23I uze čašu, zahvali i dade im. I svi su iz nje pili.
24Akawaambia, "Hii ni damu yangu inayothibitisha agano la Mungu, damu inayomwagwa kwa ajili ya watu wengi.
24A on im reče: "Ovo je krv moja, krv Saveza, koja se za mnoge prolijeva.
25Kweli nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa upya katika Ufalme wa Mungu."
25Zaista, kažem vam, ne, neću više piti od ovoga roda trsova do onoga dana kad ću ga - novoga - piti u kraljevstvu Božjem."
26Kisha wakaimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.
26Otpjevavši hvalospjeve, zaputiše se prema Maslinskoj gori.
27Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Ninyi nyote mtakuwa na mashaka nami; maana Maandiko Matakatifu yasema: Nitampiga mchungaji nao kondoo watatawanyika.
27I reče im Isus: "Svi ćete se sablazniti. Ta pisano je: Udarit ću pastira i ovce će se razbjeći.
28Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya."
28Ali kad uskrsnem, ići ću pred vama u Galileju."
29Petro akamwambia "Hata kama wote watakuwa na mashaka nawe na kukuacha, mimi sitakukana kamwe!"
29Nato će mu Petar: "Ako se i svi sablazne, ja neću!"
30Yesu akamwambia, "Kweli nakwambia, usiku huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu."
30A Isus mu reče: "Zaista, kažem ti, baš ti, danas, ove noći, prije nego se pijetao dvaput oglasi, triput ćeš me zatajiti."
31Lakini Petro akasisitiza, "Hata kama ni lazima nife pamoja nawe, sitakuacha kamwe." Wanafunzi wote pia wakasema vivyo hivyo.
31Ali on je upornije uvjeravao: "Bude li trebalo i umrijeti s tobom - ne, neću te zatajiti." A tako su svi govorili.
32Basi, wakafika katika bustani iitwayo Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Kaeni hapa wakati mimi nasali."
32I dođu u predio imenom Getsemani. I kaže Isus svojim učenicima: "Sjednite ovdje dok se ne pomolim."
33Kisha akawachukua Petro, Yakobo na Yohane; akaanza kufadhaika sana na kuhangaika.
33I povede sa sobom Petra, Jakova i Ivana. Spopade ga užas i tjeskoba
34Akawaambia, "Nina huzuni kubwa moyoni hata karibu kufa. Kaeni hapa mkeshe."
34pa im reče: "Duša mi je nasmrt žalosna! Ostanite ovdje i bdijte!"
35Akaenda mbele kidogo, akajitupa chini kifudifudi, akasali kwamba, kama ingewezekana, asiipitie saa hiyo ya mateso.
35Ode malo dalje i rušeći se na zemlju molio je da ga, ako je moguće, mimoiđe ovaj čas.
36Akasema, "Baba yangu, kwako mambo yote yanawezekana. Uniondolee kikombe hiki; lakini isiwe kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe."
36Govoraše: "Abba! Oče! Tebi je sve moguće! Otkloni čašu ovu od mene! Ali ne što ja hoću, nego što hoćeš ti!"
37Kisha akarudi kwa wanafunzi wale watatu, akawakuta wamelala. Basi, akamwuliza Petro, "Simoni, je umelala? Hukuweza kukesha hata saa moja?"
37I dođe, nađe ih pozaspale pa reče Petru: "Šimune, spavaš? Jedan sat nisi mogao probdjeti?
38Kisha akawaambia, "Kesheni na kusali ili msije mkaingia katika majaribu. Roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu."
38Bdijte i molite da ne padnete u napast. Duh je, istina, voljan, no tijelo je slabo."
39Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.
39Opet ode i pomoli se istim riječima.
40Kisha akarudi tena, akawakuta wamelala. Macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Hawakujua la kumjibu.
40Ponovno dođe i nađe ih pozaspale. Oči im se sklapale i nisu znali što da mu odgovore.
41Alipowajia mara ya tatu aliwaambia, "Mnalala bado na kupumzika? Sasa imetosha! Saa imefika! Mwana wa Mtu anakabidhiwa kwa watu waovu.
41Dođe i treći put i reče im: "Samo spavajte i počivajte! Gotovo je! Dođe čas! Evo, predaje se Sin Čovječji u ruke grešničke!
42Amkeni, twendeni zetu. Tazameni, yule atakayenisaliti amekaribia."
42Ustanite, hajdemo! Evo, izdajica se moj približio!"
43Yesu alipokuwa bado anasema, Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, akafika pamoja na umati wa watu wenye mapanga na marungu. Watu hao walikuwa wametumwa na makuhani wakuu, walimu wa Sheria na wazee.
43Uto, dok je on još govorio, stiže Juda, jedan od dvanaestorice, i s njime svjetina s mačevima i toljagama, poslana od glavara svećeničkih, pismoznanaca i starješina.
44Msaliti Yuda alikuwa amewapa ishara: "Yule nitakayembusu ndiye; mkamateni, mkampeleke chini ya ulinzi."
44A izdajica im njegov dade znak: "Koga poljubim, taj je! Uhvatite ga i oprezno odvedite!"
45Yuda alipofika tu, alimwendea Yesu moja kwa moja, akasema, "Mwalimu!" Kisha akambusu.
45I kako dođe, odmah pristupi k njemu i reče: "Učitelju!" I poljubi ga.
46Basi, hao watu wakamkamata Yesu, wakamtia nguvuni.
46Oni podignu na nj ruke i uhvate ga.
47Mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo pamoja na Yesu akauchomoa upanga wake, akampiga mtumishi wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.
47A jedan od nazočnih trgnu mač, udari slugu velikoga svećenika i odsiječe mu uho.
48Yesu akawaambia, "Je, mmekuja na mapanga na marungu kunikamata kana kwamba mimi ni mnyang'anyi?
48Isus im prozbori: "Kao na razbojnika iziđoste s mačevima i toljagama da me uhvatite.
49Kila siku nilikuwa pamoja nanyi nikifundisha Hekaluni, wala hamkunikamata. Lakini sasa lazima Maandiko Matakatifu yatimie."
49Danomice bijah vam u Hramu, naučavah i ne uhvatiste me. No neka se ispune Pisma!"
50Hapo wanafunzi wote wakamwacha, wakakimbia.
50I svi ga ostave i pobjegnu.
51Kulikuwa na kijana mmoja aliyekuwa anamfuata Yesu akiwa amevaa shuka. Nao wakajaribu kumkamata.
51A jedan je mladić išao za njim, ogrnut samo plahtom. I njega htjedoše uhvatiti,
52Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi.
52no on ostavi plahtu i gol pobježe.
53Basi, wakampeleka Yesu kwa Kuhani Mkuu ambapo makuhani wakuu wote, wazee na walimu wa Sheria walikuwa wamekutanika.
53Zatim odvedoše Isusa velikom svećeniku. I skupe se svi glavari svećenički, starješine i pismoznanci.
54Petro alimfuata Yesu kwa mbali, akaingia ndani ya ya wa Kuhani Mkuu, akaketi pamoja na walinzi akiota moto.
54Petar je izdaleka išao za njim do u dvor velikog svećenika. Tu je sjedio sa stražarima i grijao se uz vatru.
55Makuhani wakuu na Baraza lote wakatafuta ushahidi wa kumshtaki Yesu wapate kumwua, lakini hawakupata.
55A glavari svećenički i cijelo Vijeće, da bi mogli pogubiti Isusa, tražili su protiv njega kakvo svjedočanstvo, ali nikako da ga nađu.
56Watu wengi walitoa ushahidi wa uongo juu ya Yesu, lakini ushahidi wao haukupatana.
56Mnogi su doduše lažno svjedočili protiv njega, ali im se svjedočanstva ne slagahu.
57Kisha wengine walisimama, wakatoa ushahidi wa uongo wakisema:
57Ustali su neki i lažno svjedočili protiv njega:
58"Tulimsikia mtu huyu akisema, Nitaliharibu Hekalu hili lililojengwa kwa mikono, na kwa siku tatu nitajenga lingine lisilojengwa kwa mikono."
58"Mi smo ga čuli govoriti: 'Ja ću razvaliti ovaj rukotvoreni Hram i za tri dana sagraditi drugi, nerukotvoreni!'"
59Lakini hata hivyo, ushahidi wao haukupatana.
59Ali ni u tom im svjedočanstvo ne bijaše složno.
60Basi, Kuhani Mkuu akasimama katikati yao, akamwuliza Yesu, "Je, hujibu neno? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?"
60Usta nato veliki svećenik na sredinu i upita Isusa: "Zar ništa ne odgovaraš? Što to ovi svjedoče protiv tebe?
61Lakini yeye akakaa kimya; hakusema hata neno moja. Kuhani Mkuu akamwuliza tena, "Je, wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu Mtukufu?"
61A on je šutio i ništa mu nije odgovarao. Veliki ga svećenik ponovo upita: "Ti li si Krist, Sin Blagoslovljenoga?"
62Yesu akajibu, "Naam, mimi ndiye. Tena, mtamwona Mwana wa Mtu amekaa upande wa kulia wa Mwenyezi, akija katika mawingu ya mbinguni."
62A Isus mu reče: "Ja jesam! I gledat ćete Sina Čovječjega gdje sjedi zdesna Sile i dolazi s oblacima nebeskim."
63Hapo Kuhani Mkuu akararua joho lake, akasema, "Tuna haja gani tena ya mashahidi?
63Nato veliki svećenik razdrije haljine i reče: "Što nam još trebaju svjedoci?
64Mmesikia kufuru yake! Ninyi mwaonaje?" Wote wakaamua kwamba anastahili kuuawa.
64Čuli ste hulu. Što vam se čini?" Oni svi presudiše da zaslužuje smrt.
65Basi, baadhi yao wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, wakampiga na kumwambia, "Bashiri ni nani aliyekupiga!" Hata watumishi wakamchukua, wakampiga makofi.
65I neki stanu pljuvati po njemu, zastirati mu lice i udarati ga govoreći: "Proreci!" I sluge ga stadoše pljuskati.
66Petro alipokuwa bado chini ukumbini, mmoja wa wajakazi wa kuhani Mkuu alikuja.
66I dok je Petar bio dolje u dvoru, dođe jedna sluškinja velikoga svećenika;
67Alipomwona Petro akiota moto, alimtazama, akamwambia, "Hata wewe ulikuwa pamoja na Yesu Mnazareti."
67ugledavši Petra gdje se grije, upre u nj pogled i reče: "I ti bijaše s Nazarećaninom, Isusom."
68Lakini Petro akakana, "Sijui, wala sielewi unayosema!" Kisha Petro akaondoka, akaenda nje uani. Hapo jogoo akawika.
68On zanijeka: "Niti znam niti razumijem što govoriš." I iziđe van u predvorje, a pijetao se oglasi.
69Yule mjakazi alipomwona tena Petro, akaanza tena kuwaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, "Mtu huyu ni mmoja wao."
69Sluškinja ga ugleda i poče opet govoriti nazočnima: "Ovaj je od njih!"
70Petro akakana tena. Baadaye kidogo, watu waliokuwa wamesimama hapo wakamwambia Petro, "Hakika wewe ni mmoja wao, maana wewe ni Mgalilaya."
70On opet nijekaše. Domalo nazočni opet stanu govoriti Petru: "Doista, i ti si od njih! Ta Galilejac si!"
71Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, "Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake."
71On se tada stane kleti i preklinjati: "Ne znam čovjeka o kom govorite!"
72Hapo jogoo akawika mara ya pili. Basi, Petro akakumbuka jinsi Yesu alivyokuwa amemwambia: "Kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu." Petro akabubujika machozi.
72I odmah se po drugi put oglasi pijetao. I spomenu se Petar one besjede, kako mu ono Isus reče: "Prije nego se pijetao dvaput oglasi, triput ćeš me zatajiti." I briznu u plač.