Swahili: New Testament

Estonian

1 Corinthians

12

1Ndugu, kuhusu vipaji vya kiroho, napenda mfahamu vizuri mambo haya:
1Vaimuandide suhtes, vennad, ei taha ma jätta teid teadmatusse.
2Mnajua kwamba, kabla ya kuongoka kwenu, mlitawaliwa na kupotoshwa na sanamu tupu.
2Te teate, et kui te olite paganad, siis te läksite tummade ebajumalate juurde, just nagu oleks teid tagant sunnitud.
3Basi, jueni kwamba mtu yeyote anayeongozwa na Roho wa Mungu hawezi kusema: "Yesu alaaniwe!" Hali kadhalika, mtu yeyote hawezi kusema: "Yesu ni Bwana," asipoongozwa na Roho Mtakatifu.
3Seepärast ma teatan teile, et ükski, kes Jumala Vaimus räägib, ei ütle: 'Neetud olgu Jeesus!' ning ükski ei suuda öelda: 'Jeesus on Issand!' muidu kui Pühas Vaimus.
4Vipaji vya kiroho ni vya namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja.
4Armuandides on küll erinevusi, aga Vaim on seesama,
5Kuna namna nyingi za kutumikia, lakini Bwana anayetumikiwa ni mmoja.
5ja teenimisviisides on erinevusi, aga Issand on seesama,
6Kuna namna mbalimbali za kufanya kazi ya huduma, lakini Mungu ni mmoja, anayewezesha kazi zote katika wote.
6ja väeavaldustes on erinevusi, aga Jumal on seesama, kes teeb kõike kõikides.
7Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote.
7Aga igaühele antakse Vaimu avaldus ühiseks kasuks.
8Roho humpa mmoja ujumbe wa hekima, na mwingine ujumbe wa elimu apendavyo Roho huyohuyo.
8Nii antakse ühele Vaimu kaudu tarkusesõna, teisele aga tunnetusesõna sellesama Vaimu poolt;
9Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya;
9ühele usku sessamas Vaimus, teisele aga tervendamise armuande ikka samas Vaimus;
10humpa mmoja kipaji cha kufanya miujiza, mwingine kipaji cha kusema ujumbe wa Mungu, mwingine kipaji cha kubainisha vipaji vitokavyo kwa Roho na visivyo vya Roho; humpa mmoja kipaji cha kusema lugha ngeni, na mwingine kipaji cha kuzifafanua.
10ühele väge imetegudeks, teisele prohvetlikku kuulutamist, kolmandale võimet eristada vaime; ühele mitmesuguseid võõraid keeli, teisele aga keelte tõlgendamist.
11Hizo zote ni kazi za Roho huyohuyo mmoja, ambaye humpa kila mtu kipaji tofauti, kama apendavyo mwenyewe.
11Aga kõike seda teeb üks ja sama Vaim, jagades igaühele eriosa, nõnda nagu tema tahab.
12Kama vile mwili ulivyo mmoja wenye viungo vingi, na viungo hivyo vyote--ingawaje ni vingi--hufanya mwili mmoja, ndivyo ilivyo pia kwa Kristo.
12Sest nii nagu ihu on üks tervik ja sel on palju liikmeid, aga kõik selle ihu liikmed, kuigi neid on palju, on üks ihu, nõnda on ka Kristus.
13Maana sisi, tukiwa Wayahudi au watu wa mataifa mengine, watumwa au watu huru, sote tumebatizwa kwa Roho mmoja katika mwili huo mmoja; na sote tukanyweshwa Roho huyo mmoja.
13Sest meie kõik oleme ühe Vaimuga ristitud üheks ihuks, olgu juudid või kreeklased, olgu orjad või vabad, ning me kõik oleme joodetud ühe Vaimuga.
14Mwili hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi.
14Sest ihu ei ole üks liige, vaid paljud liikmed.
15Kama mguu ungejisemea: "Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili", je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha!
15Kui jalg ütleks: 'Et ma ei ole käsi, siis ma ei kuulu ihusse', kas ta sellepärast ei kuulu ihusse?
16Kama sikio lingejisemea: "Kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili", je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La!
16Ja kui kõrv ütleks: 'Et ma ei ole silm, siis ma ei kuulu ihusse', kas ta sellepärast ei kuulu ihusse?
17Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa?
17Kui kogu ihu oleks silm, kuhu jääks siis kuulmine? Kui kogu ihu oleks kuulmine, kuhu jääks siis haistmine?
18Lakini kama ilivyo, Mungu alizipanga sehemu hizo tofauti katika mwili kama alivyopenda.
18Aga nüüd on Jumal seadnud iga üksiku liikme ihu külge, nõnda nagu tema tahtis.
19Kama sehemu zote zingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?
19Kui aga need kõik oleksid üks liige, kuhu jääks siis ihu?
20Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.
20Nüüd on aga küll palju liikmeid, kuid üks ihu.
21Basi, jicho haliwezi kuuambia mkono: "Sikuhitaji wewe", wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu: "Siwahitaji ninyi."
21Ent silm ei või öelda käele: 'Mul ei ole sind tarvis!' või jälle pea jalgadele: 'Mul ei ole teid tarvis!',
22Zaidi ya hayo, inaonekana kwamba sehemu zile za mwili zinazoonekana kuwa ni dhaifu ndizo zilizo muhimu zaidi.
22vaid hoopis vastupidi - need ihuliikmed, mis tunduvad olevat nõrgemad, on tingimata vajalikud,
23Tena, viungo vile tunavyovifikiria kuwa havistahili heshima kubwa, ndivyo tunavyovitunza kwa uangalifu zaidi; viungo vya mwili ambavyo havionekani kuwa vizuri sana, huhifadhiwa zaidi,
23ja neid, mis meile ihus tunduvad olevat autumad, ümbritseme erilise auga, ning oma näotuile liikmeile anname rohkem nägusust.
24ambapo viungo vingine havihitaji kushughulikiwa. Mungu mwenyewe ameuweka mwili katika mpango, akakipa heshima zaidi kiungo kile kilichopungukiwa heshima,
24Meie nägusail liikmeil ei ole seda ju tarvis. Kuid Jumal on ihu nõnda seadnud, et ta on andnud puudulikumale rohkem au,
25ili kusiweko na utengano katika mwili bali viungo vyote vishughulikiane.
25et ihus ei oleks lõhestumist, vaid et liikmed üksmeelselt muretseksid üksteise eest.
26Kama kiungo kimoja kinaumia viungo vyote huumia pamoja nacho. Kiungo kimoja kikisifiwa viungo vingine vyote hufurahi pamoja nacho.
26Ja kui üks liige kannatab, siis kannatavad koos temaga kõik liikmed, ja kui ühte liiget austatakse, siis rõõmustavad sellest ühtlasi kõik liikmed.
27Basi, ninyi nyote ni mwili wa Kristo; kila mmoja wenu ni kiungo cha mwili huo.
27Teie olete aga Kristuse ihu ning igaüks omast kohast tema liikmed.
28Mungu ameweka katika kanisa: kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu; kisha ameweka wale wenye kipaji cha kufanya miujiza, kuponya, kusaidia; viongozi na wenye kusema lugha ngeni.
28Ja Jumal on seadnud koguduses esmalt mõned apostleiks, teiseks prohveteiks, kolmandaks õpetajaiks; seejärel tulevad imeteod, seejärel armuannid tervendamiseks, abistamiseks, juhtimiseks, mitmesugusteks keelteks.
29Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni walimu? Wote ni wenye kipaji cha kufanya miujiza?
29Ega kõik ole apostlid? Ega kõik prohvetid? Ega kõik õpetajad?
30Je, wote ni wenye kipaji cha kuponya? Wote ni wenye kipaji cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha?
30Ega kõigil ole tervendamisandisid? Ega kõik räägi keeli? Ega kõik tõlgenda neid?
31Muwe basi, na tamaa ya kupata vipaji muhimu zaidi. Nami sasa nitawaonyesheni njia bora zaidi kuliko hizi zote.
31Aga taotlege suuremaid armuande!Ja ma näitan teile veel ülevama tee.