1Jitahidini kuwa na upendo. Vilevile fanyeni bidii ya kupata vipaji vingine vya kiroho, hasa kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu.
1Taotlege armastust ja olge innukad nõudma vaimuande, eriti prohvetlikult kõnelemist!
2Mwenye kunena lugha ngeni hasemi na watu bali anasema na Mungu. Yeye hunena kwa nguvu ya Roho mambo yaliyofichika.
2Sest kes räägib keeli, ei räägi inimestele, vaid Jumalale, sest keegi ei mõista teda, ta räägib vaimu ajel ju saladusi.
3Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, husema na watu kwa ajili ya kuwajenga, kuwafariji na kuwatia moyo.
3Aga kes prohvetlikult kõneleb, see kõneleb inimestele nende ehitamiseks ja julgustamiseks ja lohutamiseks.
4Mwenye kunena lugha ngeni anajijenga mwenyewe. Lakini mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, analijenga kanisa.
4Kes keeli räägib, ehitab iseennast, prohvetlikult kõneleja ehitab aga kogudust.
5Basi, ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha ngeni lakini ningependelea hasa muwe na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, maana mtu mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, ni wa maana zaidi kuliko yule mwenye kusema lugha ngeni, isipokuwa tu kama yupo hapo mtu awezaye kuyafafanua hayo mambo asemayo, ili kanisa lipate kujengwa.
5Ma tahaksin, et teie kõik räägiksite keeli, aga veel enam, et te kõneleksite prohvetlikult, sest see, kes kõneleb prohvetlikult, on suurem keelterääkijast, olgu siis, et ta ise neid ka tõlgendab, et see ehitaks kogudust.
6Hivyo, ndugu zangu, kama nikija kwenu na kusema nanyi kwa lugha ngeni itawafaa nini? Haitawafaa chochote, isipokuwa tu kama nitawaelezeni ufunuo wa Mungu au ujuzi fulani au ujumbe wa Mungu au mafundisho fulani.
6Nüüd aga, vennad, kui ma tuleksin teie juurde ja räägiksin keeli - mis kasu ma teile tooksin, kui ma teile ei räägiks kas ilmutuse või tunnetuse alusel, või prohvetlikku sõna või õpetust?
7Ndivyo ilivyo kwa vyombo visivyo na uhai vyenye kutoa sauti kama vile filimbi au kinanda. Je, mtu anawezaje kuutambua wimbo unaochezwa kama vyombo hivyo havitoi sauti waziwazi vinapopigwa?
7Nõnda on ka hingetute pillidega, olgu vile või keelpill: kui nende helid ei erineks, kuidas siis saadaks aru, mis on puhutud vilel või mängitud keelpillil?
8La mgambo likilia bila kufuata taratibu zake, nani atajiweka tayari kwa vita?
8Sest kui pasun teeks ebaselget häält, kes siis hakkaks valmistuma sõjaks?
9Hali kadhalika na ninyi, kama ulimi wenu hausemi kitu chenye kueleweka, nani ataweza kufahamu mnayosema? Maneno yenu yatapotea hewani.
9Nõnda ka teie, kui te keelt kasutades ei anna selge tähendusega sõnu, kuidas siis võib mõista, mida räägitakse? Te räägite siis ju tuulde.
10Zipo lugha mbalimbali ulimwenguni, na hakuna hata mojawapo isiyo na maana.
10Niipalju kui maailmas ongi keeli, ükski neist ei ole kõlatu.
11Lakini ikiwa mimi sifahamu maana ya lugha asemayo mtu fulani, mimi ni mgeni kwake mtu huyo naye pia ni mgeni kwangu.
11Kui ma nüüd ei tea kõne tähendust, siis olen ma rääkijale umbkeelne ja rääkija on minule umbkeelne.
12Hali kadhalika na ninyi, maadam mna hamu ya kupata vipaji vya Roho, jitahidini hasa kujipatia vile vinavyosaidia kulijenga kanisa.
12Nõnda ka teie, kui te juba nii innukalt taotlete vaimuandeid, siis püüdke, et teil oleks neid küllaga koguduse ehitamiseks.
13Kwa hiyo, mwenye kunena lugha ngeni na aombe apate uwezo wa kuzifafanua.
13Seepärast, kes räägib keeli, palvetagu, et ta võiks neid ka tõlgendada.
14Maana, nikisali kwa lugha ngeni roho yangu ndiyo inayosali, lakini akili yangu hubaki bure.
14Kui ma keeli rääkides palvetan, siis palvetab mu vaim, aga mu mõistus on viljatu.
15Nifanye nini, basi? Nitasali kwa roho yangu, nitasali pia kwa akili yangu; nitaimba kwa roho yangu, nitaimba pia kwa akili yangu.
15Kuidas siis nüüd? Ma tahan palvetada vaimus, aga tahan palvetada ka mõistusega, tahan laulda vaimus, aga tahan laulda ka mõistusega.
16Ukimsifu Mungu kwa roho yako tu, atawezaje mtu wa kawaida aliye katika mkutano kuitikia sala yako ya shukrani kwa kusema: "Amina," kama haelewi unachosema?
16Sest muidu, kui sa õnnistad vaimus, kuidas saab kõrvalseisja öelda sinu tänupalve peale 'Aamen', kuna ta ju ei tea, mida sa ütled?
17Sala yako ya shukrani yaweza kweli kuwa bora, lakini huyo mwingine haitamfaidia.
17Sest sa võid küll tänada ilusasti, kuid teist see ei ehita.
18Namshukuru Mungu kwamba mimi nasema kwa lugha ngeni zaidi kuliko ninyi nyote.
18Ma tänan Jumalat, et ma räägin keeli rohkem kui teie kõik,
19Lakini katika mikutano ya waumini napendelea zaidi kusema maneno matano yenye kueleweka ili niwafundishe wengine, kuliko kusema maneno elfu ya lugha ngeni.
19kuid koguduse keskel ma tahaksin rääkida pigem viis sõna oma mõistusega, et ka teisi õpetada, kui kümme tuhat sõna keeltega.
20Ndugu, msiwe kama watoto katika fikira zenu. Kuhusu uovu muwe kama watoto wachanga lakini katika kufikiri ni lazima muwe kama watu waliokomaa.
20Vennad, ärge olge lapsed mõtlemise poolest! Olge lapsed kurjas, mõtlemise poolest aga täiskasvanud!
21Imeandikwa katika Sheria: "Bwana asema hivi: Kwa njia ya wenye kunena lugha ngeni, na kwa midomo ya wageni, nitasema na watu hawa, hata hivyo, hawatanisikiliza."
21Seadusesse on kirjutatud: 'Ma räägin sellele rahvale teiste keeltega ja teiste huultega, ent nad ei võta nõndagi kuulda,' ütleb Issand.
22Hivyo basi, kipaji cha kusema lugha ngeni ni ishara, si kwa ajili ya watu wenye imani, bali kwa ajili ya wale wasioamini; lakini kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni kwa ajili ya wale wanaoamini na si kwa ajili ya wasioamini.
22Nii ei ole siis keeled tunnustäheks usklikele, vaid uskmatuile, ent prohvetlikult kõnelemine ei ole uskmatuile, vaid usklikele.
23Basi, kanisa lote linapokutana pamoja, na wote wakaanza kusema kwa lugha ngeni, kama wakija watu wa kawaida au wasioamini, je, hawatasema kwamba ninyi mna wazimu?
23Kui nüüd terve kogudus tuleks kokku ühte paika ja kõik räägiksid keeli ning kõrvalseisjad või uskmatud astuksid sisse, kas nad ei ütleks, et te jampsite?
24Lakini, wote wakiwa wanautangaza ujumbe wa Mungu, akija mtu wa kawaida au asiyeamini, yote atakayosikia yatamhakikishia ubaya wake mwenyewe; yote atakayosikia yatamhukumu.
24Kui nad aga kõik kõneleksid prohvetlikult ja sisse astuks mõni uskmatu või kõrvalseisja, siis kõik tooksid esile tema olukorra ja arvustaksid teda.
25Siri za moyo wake zitafichuliwa, naye atapiga magoti na kumwabudu Mungu akisema: "Kweli Mungu yupo pamoja nanyi."
25Siis saaks avalikuks, mis on varjul tema südames, ning nõnda ta heidaks silmili maha, kummardaks Jumalat ja tunnistaks: Jumal on tõesti teie seas.
26Ndugu, tuseme nini, basi? Mnapokutana pamoja, mmoja aimbe wimbo, mwingine atoe mafundisho, mwingine awe na ufunuo kutoka kwa Mungu, mwingine atumie kipaji cha kusema kwa lugha ngeni na mwingine afafanue yanayosemwa. Yote yawe kwa ajili ya kulijenga kanisa.
26Kuidas siis nüüd, vennad? Kui te tulete kokku, siis on igaühel midagi: on laulu, on õpetust, on ilmutust, on keelterääkimist, on nende tõlgendamist - see kõik toimugu ülesehitamiseks.
27Wakiwepo watu wenye vipaji vya kusema kwa lugha ngeni, waseme wawili au watatu, si zaidi, tena mmojammoja; na aweko mtu wa kufafanua yanayosemwa.
27Kui keegi räägib keeli, siis rääkigu kaks või kõige rohkem kolm, ja järjekorras, ning üks tõlgendagu.
28Lakini kama hakuna awezaye kufafanua, basi, mwenye kusema lugha ngeni anyamaze mkutanoni, aseme na nafsi yake mwenyewe na Mungu.
28Aga kui tõlgendajat ei ole, siis ta olgu koguduses vait - rääkigu iseendale ja Jumalale.
29Kuhusu wale wenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, waseme wawili au watatu, na wengine wayapime maneno yao.
29Prohvetitest kõnelgu kaks või kolm ning teised hinnaku kõneldut.
30Ikiwa mmoja anaposema mwingine wa wasikilizaji amepata ufunuo kutoka kwa Mungu, basi, yule anayesema anyamaze.
30Aga kui kellelegi teisele, kes istub, ilmutatakse midagi, siis esimene jäägu vait.
31Maana nyote mwaweza kutangaza ujumbe wa Mungu, mmoja baada ya mwingine, ili nyote mpate kujifunza na kutiwa moyo.
31Te võite ju kõik ükshaaval prohvetlikult kõnelda, et kõik õpiksid ja kõik saaksid virgutust.
32Kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu ni lazima kitawaliwe na huyo mwenye hicho kipaji.
32Ja prohvetite vaimud alistuvad prohvetitele.
33Maana Mungu si Mungu wa fujo, ila wa amani.
33Sest Jumal ei ole korratuse, vaid rahu Jumal. Nõnda nagu on kõigis pühade kogudustes:
34Kama ilivyo desturi katika makanisa yote ya watu wa Mungu, wanawake wakae kimya katika mikutano ya waumini. Hawana ruhusa kusema; ila wawe watii kama isemavyo Sheria.
34olgu naised koguduses vait, sest neil ei ole lubatud rääkida, vaid nad alistugu, nagu ka Seadus ütleb.
35Ikiwa wanayo maswali ya kuuliza, wawaulize waume zao nyumbani, maana ni aibu kwa mwanamke kusema katika mikutano ya waumini.
35Aga kui nad tahavad midagi õppida, siis küsigu kodus oma meeste käest. Sest naisele on häbiks koosolekul rääkida.
36Je, mnadhani neno la Mungu limetoka kwenu ninyi au kwamba limewajieni ninyi peke yenu?
36Kas Jumala sõna on lähtunud teist või üksnes teieni jõudnud?
37Kama mtu yeyote anadhani kwamba yeye ni mjumbe wa Mungu au kwamba anacho kipaji cha Roho, na ajue kwamba haya ninayowaandikia ninyi ni amri ya Bwana.
37Kui keegi tundub endale prohvetina või vaimusaanuna, küll ta siis tunneb, et see, mis ma teile kirjutan, on Issanda käsk.
38Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.
38Kui aga mõni seda ära ei tunne, siis ei tunta tedagi.
39Hivyo basi, ndugu zangu, mnapaswa kuwa na hamu ya kutangaza ujumbe wa Mungu; lakini msimkataze mtu kusema kwa lugha ngeni.
39Niisiis, mu vennad, taotlege innukalt prohvetlikult kõnelemist ja ärge keelake keelterääkimist;
40Lakini yote yafanyike kwa heshima na kwa utaratibu.
40aga kõik sündigu viisakalt ja korra järgi.