Swahili: New Testament

Estonian

1 John

4

1Wapenzi wangu, msimsadiki kila mtu asemaye kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama huyo mtu anaongozwa na Roho wa Mungu au la, Maana manabii wengi wa uongo wamezuka ulimwenguni.
1Armsad, ärge usaldage iga vaimu, vaid katsuge vaimud läbi, kas nad on Jumalast, sest palju valeprohveteid on läinud välja maailma.
2Hii ndiyo njia ya kujua kama mtu anaongozwa na Roho wa Mungu: Kila anayekiri kwamba Kristo alikuja, akawa binadamu, mtu huyo anaye Roho wa Mungu.
2Te tunnete Jumala Vaimu sellest: iga vaim, kes tunnistab Jeesust Kristust lihasse tulnuna, see on Jumalast,
3Lakini mtu yeyote asiyemkiri Kristo hivyo, hana huyo Roho atokaye kwa Mungu. Mtu huyo ana roho ambaye ni wa Adui wa Kristo; nanyi mlikwisha sikia kwamba anakuja, na sasa tayari amekwisha wasili ulimwenguni!
3ning ükski vaim, kes seda Jeesust ei tunnista, ei ole Jumalast, vaid see on antikristuse oma, kellest te olete kuulnud, et ta tuleb, ja nüüd ta juba ongi maailmas.
4Lakini ninyi, watoto, ni wake Mungu na mmekwisha washinda hao manabii wa uongo; maana Roho aliye ndani yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye ndani ya hao walio wa ulimwengu.
4Teie, lapsed, olete Jumalast ja olete nad ära võitnud, sest see, kes on teis, on suurem sellest, kes on maailmas.
5Wao husema mambo ya ulimwengu, nao ulimwengu huwasikiliza kwani wao ni wa ulimwengu.
5Nemad on maailmast, seepärast nad räägivad nagu maailmgi, ja maailm kuulab neid.
6Lakini sisi ni wake Mungu. Mtu anayemjua Mungu hutusikiliza, mtu asiye wa Mungu hatusikilizi. Basi, kwa njia hiyo tunaweza kutambua tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo.
6Meie oleme Jumalast; kes on Jumala ära tundnud, see kuulab meid. Kes ei ole Jumalast, ei kuula meid. Sellest me tunneme ära tõe vaimu ja eksituse vaimu.
7Wapenzi wangu, tupendane, maana upendo hutoka kwa Mungu. Kila mtu aliye na upendo ni mtoto wa Mungu, na anamjua Mungu.
7Armsad, armastagem üksteist, sest armastus on Jumalast ja igaüks, kes armastab, on sündinud Jumalast ja tunneb Jumalat.
8Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.
8Kes ei armasta, see ei ole tundnud Jumalat, sest Jumal on armastus.
9Na Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanae wa pekee ulimwenguni, ili tuwe na uzima kwa njia yake.
9Jumala armastus meie vastu on saanud avalikuks selles, et Jumal oma ainusündinud Poja on läkitanud maailma, et me tema läbi elaksime.
10Hivi ndivyo upendo ulivyo: si kwamba sisi tulikuwa tumempenda Mungu kwanza, bali kwamba yeye alitupenda hata akamtuma Mwanae awe sadaka ya kutuondolea dhambi zetu.
10Selles on armastus - ei, mitte selles, et meie oleme armastanud Jumalat, vaid et tema on armastanud meid ja on läkitanud oma Poja lepitusohvriks meie pattude eest.
11Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.
11Mu armsad, kui Jumal meid nõnda on armastanud, siis oleme ka meie kohustatud armastama üksteist.
12Hakuna mtu aliyekwisha mwona Mungu kamwe; lakini kama tukipendana Mungu anaishi katika muungano nasi, na upendo wake unakamilika ndani yetu.
12Jumalat ei ole keegi iial näinud. Kui me üksteist armastame, siis püsib Jumal meis ja tema armastus on saanud meis täiuslikuks.
13Tunajua kwamba tunaishi katika umoja na Mungu, naye Mungu anaishi katika umoja nasi, kwani yeye ametupa Roho wake.
13Sellest me tunneme, et me püsime temas ja tema meis, et ta on andnud meile osa oma Vaimust.
14Sisi tumeona na kuwaambia wengine kwamba Baba alimtuma Mwanae awe Mwokozi wa ulimwengu.
14Ja me oleme näinud ja tunnistame, et Isa on läkitanud Poja maailma Päästjaks.
15Kila mtu anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu anaishi katika muungano na mtu huyo, naye anaishi katika muungano na Mungu.
15Kes iganes tunnistab, et Jeesus on Jumala Poeg, selles püsib Jumal ning tema püsib Jumalas.
16Basi, sisi tunajua na tunaamini upendo alio nao Mungu kwetu sisi. Mungu ni upendo, na kila mtu aishiye katika upendo, anaishi katika muungano na Mungu, na Mungu anaishi katika muungano naye.
16Ja me oleme tunnetanud ja uskunud armastust, mis Jumalal on meie vastu. Jumal on armastus ja kes püsib armastuses, püsib Jumalas ja Jumal püsib temas.
17Upendo umekamilika ndani yetu kusudi tuweze kuwa na ujasiri Siku ile ya Hukumu; kwani maisha yetu hapa duniani ni kama yale ya Kristo.
17Selles on Jumala armastus saanud meie juures täiuslikuks, et meil oleks julgust kohtupäeval; sest nii nagu on tema, oleme meiegi selles maailmas.
18Palipo na upendo hapana uoga; naam, upendo kamili hufukuza uoga wote. Basi, mtu mwenye uoga hajakamilika bado katika upendo, kwani uoga huhusikana na adhabu.
18Armastuses ei ole kartust, vaid täiuslik armastus ajab kartuse välja, sest kartuses on karistus, aga kartja ei ole saanud täiuslikuks armastuses.
19Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.
19Meie armastame, sest tema on meid enne armastanud.
20Mtu akisema kwamba anampenda Mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hamwoni.
20Kui keegi ütleb: 'Mina armastan Jumalat', ja vihkab oma venda, siis ta on valelik, sest kes ei armasta oma venda, keda ta näeb, ei suuda armastada Jumalat, keda ta ei ole näinud.
21Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.
21Ja see käsk on meil temalt endalt, et kes armastab Jumalat, armastagu ka oma venda!