1Watumwa wote wanapaswa kuwaheshimu wakuu wao ili kusiwe na sababu ya watu kulitukana jina la Mungu na mafundisho yetu.
1Kes iganes on orjana ikke all, pidagu oma peremehi kogu austuse vääriliseks, et Jumala nime ja õpetust ei teotataks.
2Watumwa ambao wakuu wao ni Wakristo wasiwadharau kwani ni ndugu zao. Badala yake, wanapaswa kuwatumikia hata vizuri zaidi, maana hao wanaopata faida kutokana na kazi yao ni waumini ambao wanawapenda. Unapaswa kufundisha na kuhubiri mambo haya.
2Aga kellel on usklikud peremehed, ärgu mõtelgu neist üleolevalt sellepärast, et nad on vennad, vaid teenigu neid veel enam, sest nad on usklikud ja armsad ning heategevuses püüdlikud. Seda õpeta ja manitse!
3Mtu yeyote anayefundisha kinyume cha mambo haya, na ambaye hakubaliani na maneno ya kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo na mafundisho ya dini,
3Kui keegi õpetab teisiti ega jää meie Issanda Jeesuse Kristuse tervete sõnade ja jumalakartusele vastava õpetuse juurde,
4huyo amejaa majivuno na wala hajui chochote. Ni mtu wa kupenda ubishi na magombano juu ya maneno matupu, na hiyo husababisha wivu, ugomvi, matusi, shuku mbaya,
4siis see on iseennast täis ega saa millestki aru, vaid on haige vaidlemisest ja sõnelemisest, millest tekib kadedust, riidu, teotust, kurje kahtlustusi,
5na ubishi usio na kikomo kutoka kwa watu ambao akili zao zimeharibika, na ambao hawana tena ukweli. Wanadhani dini ni njia ya kujipatia utajiri.
5lõputuid hõõrumisi inimeste vahel, kes on mõistuse poolest rikutud ja ilma jäänud tõest, ning kes arvavad jumalakartuse olevat tuluallika.
6Kweli dini humfanya mtu awe tajiri sana, ikiwa anatosheka na vitu alivyo navyo.
6Ent jumalakartus on suur tuluallikas, kui inimesele piisab sellest, mis tal on.
7Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote.
7Ei ole me ju midagi toonud maailma, nii ei suuda me ka midagi maailmast ära viia.
8Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.
8Kui meil on aga elatist ja ihukatet, siis olgu neist meile küll.
9Lakini wale wanaotaka kutajirika huanguka katika majaribu, na kunaswa katika mtego wa tamaa nyingi mbaya za kipumbavu, ambazo huwavuta mpaka kwenye uharibifu na maangamizi.
9Kes tahavad aga rikastuda, need langevad kiusatusse ja lõksu, paljudesse rumalaisse ja kahjulikesse himudesse, mis vajutavad inimesed sügavale hävingusse ja hukatusse.
10Kwa maana kupenda sana fedha ni chanzo cha uovu wote. Watu wengine wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga mbali na imani, na wameivunja mioyo yao kwa huzuni nyingi.
10Jah, kõige kurja juur on rahaarmastus, sest raha ihaldades on mõnedki eksinud ära usust ja on ise endale valmistanud palju valu.
11Lakini wewe, mtu wa Mungu, jiepushe na mambo hayo. Zingatia uadilifu, uchaji wa Mungu, imani, mapendo, subira na unyenyekevu.
11Sina aga, Jumala inimene, põgene selle eest! Taotle õigust, jumalakartust, usku, armastust, kannatlikkust, tasadust!
12Piga mbio kadiri uwezavyo katika shindano la mbio za imani, ukajipatie tuzo la uzima wa milele, uliloitiwa wakati ulipokiri imani yako mbele ya mashahidi wengi.
12Võitle head usuvõitlust, hakka kinni igavesest elust, millele sa oled kutsutud, kui sa oled andnud hea tunnistuse paljude tunnistajate ees.
13Mbele ya Mungu anayevipa vitu vyote uhai, na mbele ya Yesu Kristo aliyetoa ushahidi na kukiri ukweli mbele ya Pontio Pilato,
13Ma käsin sind Jumala ees, kes teeb kõik elavaks, ja Kristuse Jeesuse ees, kes Pontius Pilaatuse ees andis hea tunnistuse,
14nakuamuru ushike maagizo yako na kuyatii kwa uaminifu mpaka Siku ile atakapotokea Bwana wetu Yesu Kristo.
14et sa käsku säilitaksid puhtalt ja laitmatult meie Issanda Jeesuse Kristuse ilmumiseni,
15Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana.
15mille parajal ajal toob nähtavale õnnis ja ainus võimas valitseja, kuningate Kuningas ja isandate Issand,
16Yeye peke yake anaishi milele, katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina.
16kellel ainsana on surematus, kes elab ligipääsmatus valguses, keda ükski inimene pole näinud ega suudagi näha. Tema päralt olgu au ja igavene võimus! Aamen.
17Waamuru watu walio matajiri katika mambo ya maisha ya sasa, wasijivune, wasiweke tumaini lao katika mali isiyoweza kutegemewa; bali wamtegemee Mungu, ambaye kwa ukarimu hutupatia vitu vyote tuvifurahie.
17Neid, kes on nüüdsel ajal rikkad, käsi, et nad ei oleks ülbed ega loodaks ebakindlale rikkusele, vaid Jumalale, kes valmistab meile kõike rikkalikult maitsmiseks;
18Waamuru watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, na wawe wakarimu na walio tayari kuwashirikisha wengine mali zao.
18käsi neil teha head, saada rikkaks headelt tegudelt, olla lahke ja helde käega,
19Kwa namna hiyo watajiwekea hazina ambayo itakuwa kwao msingi imara kwa wakati ujao. Hapo wataweza kujipatia uzima ambao ni uzima wa kweli.
19talletades enesele vara heaks aluskiviks tuleviku tarvis, et haarata kinni tõelisest elust.
20Timotheo, tunza salama yote yale uliyokabidhiwa. Jiepushe na majadiliano ya kidunia na ubishi wa kipumbavu juu ya kile wanachokiita watu wengine: "Elimu".
20Oh Timoteos, hoia, mis su hoolde on usaldatud, pöördu ära labastest tühijuttudest ja valeliku tunnetuse vastuväidetest,
21Maana wengine wamejidai kuwa na hiyo elimu, na matokeo yake wamepoteza imani. Nawatakieni nyote neema!
21mida omaks tunnistades mõned on kaldunud kõrvale usust. Arm olgu teiega!