Swahili: New Testament

Estonian

2 Timothy

1

1Mimi Paulo, ambaye Mungu alitaka niwe mtume wa Kristo Yesu ili niutangaze ule uzima tulioahidiwa katika kuungana na Kristo Yesu,
1Paulus, Kristuse Jeesuse apostel Jumala tahtmisel selle elu tõotust mööda, mis on Kristuses Jeesuses, -
2nakuandikia wewe mwanangu mpenzi Timotheo. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
2armsale pojale Timoteosele: Armu, halastust ja rahu Jumalalt Isalt ja Kristuselt Jeesuselt, meie Issandalt!
3Ninamshukuru Mungu ambaye ninamtumikia kwa dhamiri safi kama walivyofanya wazee wangu; namshukuru kila ninapokukumbuka daima katika sala zangu.
3Ma olen tänulik Jumalale, keda ma oma esivanemate viisil puhta südametunnistusega teenin, alatasa meenutades sind oma eestpalvetes ööl ja päeval,
4Nakumbuka machozi yako na ninatamani usiku na mchana kukuona, ili nijazwe furaha.
4ning igatsedes sind näha, kui mulle tulevad meelde sinu pisarad, et ma saaksin täis rõõmu,
5Naikumbuka imani yako ya kweli, imani aliyokuwa nayo nyanya yako Loisi, na pia mama yako Eunike. Nina hakika kwamba wewe pia unayo.
5mäletades sinu siirast usku, mis esmalt elas sinu vanaemas Loises ja sinu emas Eunikes ja nüüd - selles olen ma veendunud - elab ka sinus.
6Ndio maana nakukumbusha ukiweke motomoto kile kipaji ulichopewa na Mungu wakati nilipokuwekea mikono yangu.
6Sel põhjusel tuletan ma sulle meelde, et sa taas õhutaksid lõkkele Jumala ande, mis on sinus minu käte pealepanemise kaudu.
7Kwa maana Mungu hakutupa Roho wa kutufanya tuwe waoga, bali alitupa Roho wa kutujalia nguvu, upendo na nidhamu.
7Jumal ei ole meile ju andnud arguse vaimu, vaid väe ja armastuse ja mõistlikkuse vaimu.
8Basi, usione haya kumshuhudia Bwana wetu, wala usione haya kwa sababu yangu mimi niliye mfungwa kwa ajili yake. Lakini shiriki katika mateso kwa ajili ya Habari Njema, kadiri ya nguvu unazopewa na Mungu.
8Ära siis häbene tunnistamast meie Issandat ega mind, tema vangi, vaid kannata koos minuga kurja evangeeliumi pärast Jumala väe abil,
9Yeye alituokoa, akatuita tuwe watu wake yeye mwenyewe, si kwa sababu ya matendo yetu wenyewe bali kwa sababu ya kusudi lake na neema yake. Alitujalia neema hiyo katika Kristo Yesu kabla mwanzo wa nyakati;
9kes on meid päästnud ja kutsunud püha kutsega, mitte meie tegude järgi, vaid omaenese kavatsuse ja armu järgi, mis meile on antud Kristuses Jeesuses enne igavesi aegu,
10lakini sasa imefunuliwa kwetu kwa kuja kwake Mwokozi wetu Yesu Kristo. Yeye amekomesha nguvu za kifo, na kwa njia ya Habari Njema akadhihirisha uzima usio kufa.
10nüüd on aga saanud avalikuks meie Päästja Kristuse Jeesuse ilmumise läbi, kes on kõrvaldanud surma ning on evangeeliumi kaudu toonud valge ette elu ja kadumatuse,
11Mungu amenichagua mimi niwe mtume na mwalimu kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema,
11mille kuulutajaks ja apostliks ning õpetajaks mind on seatud.
12nami nateseka mambo haya kwa sababu hiyo. Lakini niko bado timamu kabisa kwani namjua yule niliyemwamini, tena nina hakika kwamba yeye aweza kukilinda salama kile alichonikabidhi, mpaka Siku ile.
12Sel põhjusel ma ka kannatan. Ent ma ei häbene, sest ma tean, kellesse ma olen uskuma hakanud ja olen veendunud, et tema on vägev hoidma minu hoolde usaldatut oma päevani.
13Shika kwa makini mafundisho yale ya kweli niliyokufundisha, na kubaki katika hiyo imani na huo upendo wetu katika kuungana na Kristo Yesu.
13Võta terve õpetuse eeskujuks see, mida sa minult oled kuulnud usus ja armastuses, mis on Kristuses Jeesuses!
14Jambo lile bora ulilokabidhiwa lilinde kwa nguvu ya Roho Mtakatifu anayeishi ndani yetu.
14Seda head, mis su hoolde on usaldatud, hoia Püha Vaimu abil, kes meis elab.
15Kama unavyojua, watu wote mkoani Asia wameniacha, miongoni mwao wakiwa Fugelo na Hermogene.
15Sa tead seda, et mulle on pööranud selja kõik, kes on Aasias, nende seas Fügelos ja Hermogenes.
16Bwana aihurumie jamaa ya Onesiforo, kwa sababu aliniburudisha rohoni mara nyingi, wala hakuona haya kwa kuwa nilikuwa kifungoni,
16Issand andku halastust Onesiforose kodule, sest tema on mind sagedasti kosutanud ega ole häbenenud mu ahelaid,
17ila mara tu alipofika Roma, alianza kunitafuta kwa bidii mpaka akanipata.
17vaid kui ta juhtus Rooma, otsis ta mind hoolega ning leidis üles.
18Bwana amjalie huruma katika Siku ile! Nawe wajua vizuri mengi aliyonifanyia huko Efeso.
18Issand andku talle leida halastust Issanda käest oma päeval! Ja kui palju ta on abistanud mind Efesoses, tead sina kõige paremini.