1Basi, wewe mwanangu, uwe na nguvu katika neema tunayopata katika kuungana na Kristo Yesu.
1Sina siis, mu poeg, saa vägevaks armus, mis on Kristuses Jeesuses!
2Chukua yale mafundisho uliyonisikia nikitangaza mbele ya mashahidi wengi, uyakabidhi kwa watu wanaoaminika, ambao wataweza kuwafundisha wengine pia.
2Ja mida sa minult oled kuulnud paljude tunnistajate kuuldes, see anna ustavate inimeste hoolde, kes edaspidi sobivad õpetama ka teisi.
3Shiriki katika mateso kama askari mwaminifu wa Kristo yesu.
3Kannata koos minuga kurja nagu Kristuse Jeesuse tubli sõdur!
4Mwanajeshi vitani hujiepusha na shughuli za maisha ya kawaida ili aweze kumpendeza mkuu wa jeshi.
4Ükski, kes on sõjateenistuses, ei seo end argielu askeldustega, kui ta tahab jääda meelepäraseks sellele, kes ta on sõduriks kutsunud.
5Mwanariadha yeyote hawezi kushinda na kupata zawadi ya ushindi kama asipozitii sheria za michezo.
5Ja kui keegi võistleb, ei saa ta ometi võidupärga, kui ta ei võistle korrakohaselt.
6Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.
6Tööd rügav põllumees peab esimesena saama osa viljast.
7Fikiria hayo ninayosema, kwani Bwana atakuwezesha uyaelewe yote.
7Mõtle sellele, mis ma ütlen! Küll Issand annab sulle arusaamist kõiges.
8Mkumbuke Yesu Kristo aliyefufuliwa kutoka wafu, aliyekuwa wa ukoo wa Daudi, kama isemavyo Habari Njema ninayoihubiri.
8Olgu sul meeles Jeesus Kristus, kes on üles äratatud surnuist, kes põlvneb Taaveti soost! See on evangeelium,
9Kwa sababu ya kuihubiri Habari Njema mimi nateseka na nimefungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu haliwezi kufungwa minyororo,
9mille pärast ma kannatan kurja ja olen koguni ahelates nagu mõni roimar. Kuid Jumala sõna ei ole ahelais.
10na hivyo navumilia kila kitu kwa ajili ya wateule wa Mungu, ili wao pia wapate ukombozi upatikanao kwa njia ya Yesu Kristo, na ambao huleta utukufu wa milele.
10Seetõttu ma talun kõike äravalitute pärast, et ka nemad saaksid pääste Kristuses Jeesuses igavese kirkusega.
11Usemi huu ni wa kweli: "Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye.
11Ustav on see sõna: Kui me oleme surnud koos temaga, siis ka elame koos temaga,
12Tukiendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye. Tukimkana, naye pia atatukana.
12kui me jääme püsima vaevas, siis valitseme koos kuningatena, kui me tema salgame, siis salgab ka tema meid,
13Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe."
13kui me oleme uskmatud, jääb tema ometi ustavaks, sest ta ei saa ennast salata.
14Basi, wakumbushe watu wako mambo haya, na kuwaonya mbele ya Mungu waache ubishi juu ya maneno. Ubishi huo haufai, ila huleta tu uharibifu mkuu kwa wale wanaousikia.
14Seda tuleta neile meelde, vannutades Jumala ees, et nad ei peaks sõnasõda - sellest pole mingit kasu, see vaid hukutab kuulajad.
15Jitahidi kupata kibali kamili mbele ya Mungu kama mfanyakazi ambaye haoni haya juu ya kazi yake, na ambaye hufundisha sawa ule ujumbe wa kweli.
15Püüa hoolega osutuda Jumala ees kõlblikuks töötegijana, kel pole tarvis häbeneda, kes tõe sõna kuulutab õigesti.
16Jiepushe na majadiliano ya kidunia na ya kipumbavu; kwani hayo huzidi kuwatenga watu mbali na Mungu.
16Labastest tühijuttudest hoidu aga eemale! Nende rääkijad ju lähevad aina kaugemale jumalakartmatuses
17Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.
17ja nende sõna levib otsekui vähktõbi. Nende seast on Hümenaios ja Fileetos,
18Hawa wamepotoka kabisa mbali na ukweli, na wanatia imani ya watu wengine katika wasiwasi kwa kusema ati ufufuo wetu umekwisha fanyika.
18kes on kaldunud kõrvale tõest, öeldes, et ülestõusmine on juba toimunud, ning rikuvad ära mõnede usu.
19Lakini msingi thabiti uliowekwa na Mungu uko imara, na juu yake yameandikwa maneno haya: "Bwana anawafahamu wale walio wake," na "Kila asemaye yeye ni wa Bwana, ni lazima aachane na uovu."
19Ometi püsib kindlana Jumala seatud aluskivi, millel on see pitser: 'Issand tunneb omi' ja 'Ülekohtust taganegu igaüks, kes nimetab Issanda nime'.
20Katika nyumba kubwa kuna mabakuli na vyombo vya kila namna: vingine ni vya fedha na dhahabu, vingine vya mbao na udongo, vingine ni vya matumizi ya pekee na vingine kwa ajili ya matumizi ya kawaida.
20Aga suures majas ei ole üksnes kuld- ja hõbeastjaid, vaid neid on ka puust ja savist - osa auliseks, osa autuks tarbeks.
21Basi, kama mtu atajitakasa kwa kujitenga mbali na mambo hayo yote maovu, atakuwa chombo cha matumizi ya pekee, kwa sababu amewekwa wakfu, anamfaa Bwana wake na yupo tayari kwa kila kazi njema.
21Kui nüüd keegi end puhastab neist vigadest, siis ta saab auliseks astjaks, pühitsetuks ja peremehele kasulikuks, valmiks igale heale teole.
22Jiepushe na tamaa za ujana, fuata uadilifu, imani, upendo, amani, pamoja na watu wote ambao wanamwomba Bwana kwa moyo safi.
22Põgene noorusea himude eest! Taotle õiglust, usku, armastust ja rahu nendega, kes Issandat appi hüüavad puhtast südamest!
23Epuka ubishi wa kijinga na kipumbavu; wajua kwamba hayo huleta magomvi.
23Aga sõgedad ja kasvatamatud arutlemised lükka tagasi, teades, et need tekitavad tülisid.
24Mtumishi wa Bwana asigombane. Anapaswa kuwa mpole kwa watu wote, mwalimu mwema na mvumilivu,
24Issanda sulasel ei ole tarvis tülitseda, vaid ta olgu lahke kõikide vastu, osav õpetama, valmis kannatama kurja,
25ambaye ni mpole anapowaonya wapinzani wake, kwani huenda Mungu akawajalia nafasi ya kutubu, wakapata kuujua ukweli.
25kes tasadusega kasvatab vastupanijaid selleks, et ehk Jumal annab neile meeleparandust tõe mõistmiseks,
26Hapo fahamu zao zitawarudia tena, wakaponyoka katika mtego wa Ibilisi aliyewanasa na kuwafanya wayatii matakwa yake.
26ja et nad kaineneksid ja pääseksid lahti kuradi paelust, mis on püüdnud nad oma tahtmise valda.