1Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu.
1Aga see olgu sul teada, et viimseil päevil tuleb raskeid aegu,
2watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu;
2sest siis on inimesi, kes on enesearmastajad, rahaahned, kelkijad, ülbed, teotajad, sõnakuulmatud vanemaile, tänamatud, nurjatud,
3watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema;
3halastamatud, leppimatud, laimajad, ohjeldamatud, jõhkrad, hea põlgajad,
4watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.
4reetlikud, tormakad, upsakad, rohkem lõbu- kui jumalaarmastajad,
5Kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo.
5kellel on küll jumalakartuse nägu, aga kes on salanud selle väe. Niisuguseid väldi!
6Baadhi yao huenda katika nyumba za watu na huwateka wanawake dhaifu waliolemewa mizigo ya dhambi na ambao wanaongozwa na tamaa za kila aina;
6Nendest on ju mõned, kes poetuvad perekondadesse ja haaravad oma mõju alla pattudega koormatud ja mitmesugustest himudest aetavaid naisterahvaid,
7wanawake ambao wanajaribu daima kujifunza lakini hawawezi kuufikia ujuzi wa huo ukweli.
7kes aina õpivad, ent kunagi ei suuda jõuda tõe mõistmisele.
8Watu hao huupinga ukweli kama vile Yane na Yambre walivyompinga Mose.
8Nii nagu Jannes ja Jambres panid vastu Moosesele, nõnda panevad ka nemad vastu tõele. Nad on inimesed, kelle mõistus on rikutud ja kes on kõlbmatud usu poolest.
9Lakini hawataweza kuendelea zaidi kwa maana upumbavu wao utaonekana wazi kwa wote. Ndivyo ilivyokuwa kwa akina Yane na Yambre.
9Kuid palju kaugemale nad enam ei jõua, sest nende meeletus saab silmanähtavaks kõigile, nii nagu nende kahegi puhul sündis.
10Wewe lakini, umeyafuata mafundisho yangu, mwenendo wangu, makusudi yangu katika maisha, imani yangu, uvumilivu wangu, upendo wangu, subira yangu,
10Sina aga oled järgnenud mulle minu õpetuses, eluviisis, kavatsustes, usus, pikas meeles, armastuses, vastupidamises,
11udhalimu na mateso yangu. Unayajua mambo yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Lustra. Nilivumilia udhalimu mkubwa mno! Lakini Bwana aliniokoa katika mambo hayo yote.
11tagakiusamistes, kannatustes, mis mulle on osaks saanud Antiookias, Ikoonionis, Lüstras. Millist tagakiusamist ma olen pidanud taluma, ent kõigest on Issand mind välja kiskunud!
12Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.
12Ja kõiki, kes tahavad elada jumalakartlikult Kristuses Jeesuses, kiusatakse taga.
13Watu waovu na wadanyanyifu watazidi kuwa waovu zaidi na zaidi kwa kuwadanganya wengine na kudanganyika wao wenyewe.
13Kurjad inimesed ja petised lähevad aga ikka pahemaks, eksides ise ja eksitades teisi.
14Lakini wewe dumu katika ukweli ule uliofundishwa, ukaukubali kabisa. Unawajua wale waliokuwa walimu wako.
14Aga sina püsi selles, mida sa oled õppinud ja usaldanud, teades, kelle käest sa oled õppinud,
15Unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua Maandiko Matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa Kristo Yesu.
15ja kuna sa tunned lapsest saadik pühi kirju, mis võivad sulle tarkust anda päästeks usu kaudu, mis on Kristuses Jeesuses.
16Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili,
16Kogu Pühakiri on Jumala sisendatud ja kasulik õpetamiseks, noomimiseks, parandamiseks, kasvatamiseks õiguses,
17ili mtu anayemtumikia Mungu awe mkamilifu, na tayari kabisa kufanya kila tendo jema.
17et Jumala inimene oleks täiesti varustatud ja valmis igale heale teole.