1Nakuamuru mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu atakayewahukumu watu walio hai na wafu, na kwa sababu anakuja kutawala akiwa Mfalme:
1Ma vannutan sind Jumala ja Kristuse Jeesuse ees, kes tuleb kohut mõistma elavate ja surnute üle, ning tema ilmumise ja tema kuningriigi nimel:
2hubiri huo ujumbe, sisitiza kuutangaza (iwe ni wakati wa kufaa au wakati usiofaa), karipia, onya na himiza watu ukiwafundisha kwa uvumilivu wote.
2Kuuluta sõna, astu esile, olgu aeg paras või ärgu olgu, noomi, manitse, julgusta igati pika meelega ja õpetamisega.
3Utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mafundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayari kusikia.
3Sest tuleb aeg, mil nad ei salli tervet õpetust, vaid otsivad endile oma himude järgi õpetajaid, kes kõditavad nende kõrvu,
4Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.
4ja pööravad end eemale tõest ning pöörduvad müütide poole.
5Wewe, lakini, uwe macho katika kila hali; vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Habari Njema, timiza kikamilifu utumishi wako.
5Aga sina ole igati kaine, kannata kurja, tee evangeeliumikuulutaja tööd, täida oma hoolekandetööd!
6Kwa upande wangu mimi, niko karibu kabisa kutolewa dhabihu na wakati wa kufariki kwangu umefika.
6Sest mind valatakse juba joogiohvrina ja mu lahkumisaeg on käes.
7Nimefanya bidii katika mashindano, nimemaliza safari yote na imani nimeitunza.
7Olen võidelnud head võitlemist, lõpetanud elujooksu, säilitanud usu.
8Na sasa imebakia tu kupewa tuzo la ushindi kwa maisha ya uadilifu, tuzo ambalo Bwana Hakimu wa haki, atanipa mimi Siku ile na wala si mimi tu, ila na wale wote wanaotazamia kwa upendo kutokea kwake.
8Nüüd on mulle valmis pandud õiguse pärg, mille Issand, õiglane kohtunik, oma päeval mulle annab, aga mitte üksnes mulle, vaid kõikidele, kes igatsevad tema ilmumist.
9Fanya bidii kuja kwangu karibuni.
9Tõtta peatselt tulema mu juurde,
10Dema ameupenda ulimwengu huu akaniacha na kwenda zake Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia, na Tito amekwenda Dalmatia.
10sest praegust ajastut armastama hakates on Deemas mu maha jätnud ja läinud Tessaloonikasse, Kreeskens Galaatiasse ja Tiitus Dalmaatsiasse.
11Luka peke yake ndiye aliye hapa pamoja nami. Mpate Marko uje naye, kwa maana ataweza kunisaidia katika kazi yangu.
11Luukas üksi on minu juures. Võta Markus ning too ta enesega, sest ta on väga vajalik mulle abiliseks.
12Nilimtuma Tukiko kule Efeso.
12Tühhikose ma läkitasin Efesosse.
13Utakapokuja niletee koti langu nililoacha kwa Karpo kule Troa; niletee pia vile vitabu, na hasa vile vilivyotengenezwa kwa ngozi.
13Kui sa tuled, too kaasa mantel, mille ma jätsin Karpose juurde Troasesse, ja raamatud, eriti aga pärgamendid.
14Yule sonara aitwaye Aleksanda amenitendea maovu mengi; Bwana atamlipa kufuatana na hayo matendo yake.
14Vasksepp Aleksandros on teinud mulle palju kurja. Issand tasugu talle tema tegude järgi!
15Jihadhari naye kwa sababu aliupinga ujumbe wetu kwa ukali.
15Ole sinagi tema suhtes valvas, sest ta on ägedasti meie sõnadele vastu.
16Wakati nilipojitetea kwa mara ya kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu; wote waliniacha. Mungu asiwahesabie kosa hilo!
16Kui ma esimest korda kohtus enese eest kostsin, siis ei seisnud keegi mu kõrval, vaid kõik jätsid mu maha. Ärgu pandagu seda neile süüks!
17Lakini, Bwana alikaa pamoja nami, akanipa nguvu, hata nikaweza kuutangaza ujumbe wote, watu wa mataifa wausikie; tena nikaokolewa katika hukumu ya kifo kama kinywani mwa simba.
17Aga Issand seisis minu kõrval ja tegi mu vägevaks, et sõna kuulutamine minu läbi saaks täielikult teoks ja kõik rahvad seda kuuleksid; nii ma olen välja kistud lõvi suust.
18Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika Utawala wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina.
18Küll Issand kisub mu välja igast kurjast teost ja viib mu varjule oma taevasesse kuningriiki. Tema päralt olgu kirkus igavesest ajast igavesti! Aamen.
19Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo.
19Tervita Priskat ja Akvilat ja Onesiforose peret!
20Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.
20Erastos jäi Korintosesse, Trofimose pidin aga jätma haigena Mileetosesse.
21Fanya bidii kuja kabla ya majira ya baridi. Ebulo, Pude, Lino na Klaudia wanakusalimu; vilevile ndugu wengine wote.
21Tõtta siia enne talve! Eubulos ja Pudens ja Linos ja Klaudia ning kõik vennad tervitavad sind!
22Bwana awe nawe rohoni mwako. Nawatakieni nyote neema.
22Issand olgu sinu vaimuga! Arm olgu teiega!