Swahili: New Testament

Estonian

2 Corinthians

13

1Hii ni mara yangu ya tatu kuja kwenu. "Kila tatizo litatatuliwa kwa ushahidi wa watu wawili au watatu," yasema Maandiko.
1Ma tulen nüüd kolmandat korda teie juurde. Kahe ja kolme tunnistaja suu läbi tehakse iga asi kindlaks.
2Nilikwisha sema, na kama ilivyokuwa safari ya pili, sasa nasema tena nikiwa mbali: wale wote waliotenda uovu bila kutubu, na pia wale wengine, nitakapokuja, watakiona cha mtema kuni.
2Ma olen öelnud enne ja ütlen veel ette ära - teist korda teie pool olles ja nüüd eemal olles - neile, kes on seni patustanud, ja kõigile muudele: kui ma jälle tulen, siis ma ei säästa teid!
3Mtajionea wenyewe kwamba Kristo anasema ndani yangu. Kwenu Kristo si dhaifu; bali nguvu yake yafanya kazi miongoni mwenu.
3Te ju otsite tõendust, kas minus räägib Kristus, kes ei ole nõder teie suhtes, vaid on vägev teie sees.
4Maana hata kama alisulubiwa kwa sababu ya udhaifu, lakini sasa anaishi kwa uwezo wa Mungu. Sisi pia tu dhaifu kwa kuungana naye lakini tutaishi naye kwa uwezo wa Mungu kwa ajili yenu.
4Sest kuigi ta löödi risti nõtruses, ometi elab ta Jumala väest. Nii oleme meiegi nõdrad temas, kuid elame koos temaga Jumala väest teie jaoks.
5Jichunguzeni ninyi wenyewe mpate kujua kama kweli mnayo imani. Jichunguzeni ninyi wenyewe. Je, hamjui kwamba Kristo Yesu yumo ndani yenu? Kama sivyo, basi ninyi mmeshindwa.
5Katsuge iseendid läbi, kas te olete usus! Pange end proovile! Või te ei tunne endast, et Jeesus Kristus on teie sees? Kui ei, siis te olete ju kõlbmatud!
6Lakini natumaini kwamba ninyi mnajua kuwa sisi hatukushindwa.
6Aga ma loodan, et te tunnetate, et meie ei ole kõlbmatud.
7Tunamwomba Mungu msifanye uovu wowote, lakini si kusudi tuonekane kama watu waliokwisha faulu, bali mpate kutenda mema, hata kama sisi tunaonekana kuwa tumeshindwa.
7Me palume Jumalat, et teie ei teeks mingit kurja - mitte et meie seeläbi paistaksime kõlblikena, vaid me tahame, et teie teeksite head, ehkki meie oleksime nagu kõlbmatud.
8Maana hatuwezi kuupinga ukweli; uwezo tulio nao ni wa kuuendeleza ukweli.
8Sest me ei suuda midagi tõe vastu, vaid üksnes tõe poolt.
9Tunafurahi kwamba sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu; kwa hiyo tunaomba mpate kuwa wakamilifu.
9Meid rõõmustab, kui meie oleme nõdrad, teie aga vägevad. Ja me palvetame, et teie asjad saaksid korda.
10Basi, ninaandika barua hii nikiwa mbali, ili nitakapofika kwenu nisilazimike kuwa mkali kwenu kwa kutumia ule uwezo alionipa Bwana; naam, uwezo wa kujenga na si wa kubomoa.
10Ma kirjutan seda eemal olles sellepärast, et ma teie juures olles võiksin seda meelevalda, mille Issand mulle on andnud, kasutada ülesehitamiseks ja mitte karmilt mahalõhkumiseks.
11Kwa sasa, ndugu, kwaherini! Muwe na ukamilifu, shikeni mashauri yangu, muwe na nia moja; kaeni kwa amani. Naye Mungu wa mapendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
11Lõppeks, vennad, olge rõõmsad! Seadke oma asjad korda, laske endid julgustada, olge üksmeelsed, pidage rahu! Küll siis armastuse ja rahu Jumal on teiega!
12Salimianeni kwa ishara ya upendo.
12Tervitage üksteist püha suudlusega! Teid tervitavad kõik pühad!
13(G13-12) Watu wote wa Mungu huku wanawasalimuni.
13Issanda Jeesuse Kristuse arm, Jumala armastus ja Püha Vaimu osadus olgu teie kõikidega!
14(G13-13) Neema ya Bwana Yesu Kristo na upendo wa Mungu na umoja wa Roho Mtakatifu, viwe nanyi nyote.