1Mimi Paulo mtume,
1Paulus, apostel mitte inimeste poolt ega mõne inimese kaudu, vaid Jeesuse Kristuse ja Jumala Isa läbi, kes Tema on üles äratanud surnuist,
2na ndugu wote walio pamoja nami, tunayaandikia makanisa yaliyoko Galatia. Mimi nimepata kuwa mtume si kutokana na mamlaka ya binadamu, wala si kwa nguvu ya mtu, bali kwa uwezo wa Yesu Kristo na wa Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka wafu.
2ning kõik vennad, kes on minu juures - Galaatia kogudustele:
3Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kutoka kwa Bwana Yesu Kristo.
3Armu teile ja rahu Jumalalt, meie Isalt, ja Issandalt Jeesuselt Kristuselt,
4Kristo alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba, ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu mbaya wa sasa.
4kes andis enese meie pattude eest, et meid välja kiskuda praegusest kurjuse ajastust Jumala ja meie Isa tahtmist mööda,
5Kwake yeye uwe utukufu milele! Amina.
5kellele olgu kirkus igavesest ajast igavesti! Aamen.
6Nashangaa kwamba muda mfupi tu umepita, nanyi mnamwasi yule aliyewaita kwa neema ya Kristo, mkafuata Habari Njema ya namna nyingine.
6Ma imestan, et teie nii ruttu pöördute ära temast, kes teid Kristuse armu kaudu on kutsunud, mingi teistsuguse evangeeliumi poole.
7Lakini hakuna "Habari Njema" nyingine. Ukweli ni kwamba wako watu wanaowavurugeni, watu wanaotaka kuipotosha Habari Njema ya Kristo.
7Mingit teist evangeeliumi ei ole, on vaid mõningaid, kes teid segadusse ajavad ja tahavad Kristuse evangeeliumi pahupidi pöörata.
8Lakini, hata kama mmoja wetu au malaika kutoka mbinguni, atawahubirieni Habari Njema tofauti na ile tuliyowahubirieni sisi, basi huyo na alaaniwe!
8Aga kui ka meie ise või ingel taevast kuulutaks mingit evangeeliumi selle asemel, mida meie oleme teile kuulutanud - see olgu neetud!
9Tulikwisha sema, na sasa nasema tena: kama mtu yeyote anawahubirieni Habari Njema ya aina nyingine, tofauti na ile mliyokwisha pokea, huyo na alaaniwe!
9Nagu me oleme teile juba ütelnud ja praegu ma ütlen jälle: Kui keegi kuulutab teile mingit evangeeliumi selle asemel, mis te olete vastu võtnud - see olgu neetud!
10Sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha Mungu? Au je, nataka kuwapendeza watu? Kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa Kristo.
10Kas ma nüüd otsin toetust inimestelt või Jumalalt? Kas ma püüan meeldida inimestele? Sest kui ma veel tahaksin meeldida inimestele, siis ma ei oleks Kristuse sulane.
11Ndugu, napenda mfahamu kwamba ile Habari Njema niliyoihubiri si ujumbe wa kibinadamu.
11Sest ma teatan teile, vennad, et evangeelium, mida ma olen kuulutanud, ei ole inimestelt,
12Wala mimi sikuipokea kutoka kwa binadamu, wala sikufundishwa na mtu. Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia.
12sest mina ei ole seda vastu võtnud ega õppinud inimeste käest, vaid Jeesuse Kristuse ilmutuse kaudu.
13Bila shaka mlikwisha sikia jinsi nilivyokuwa ninaishi zamani kwa kuzingatia dini ya Kiyahudi, na jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kupita kiasi na kutaka kuliharibu kabisa.
13Te olete ju kuulnud minu endisest elust juudi usus, et ma üliväga kiusasin taga Jumala kogudust ja püüdsin teda hävitada
14Naam, mimi niliwashinda wengi wa wananchi wenzangu wa rika langu katika kuizingatia dini ya Kiyahudi, nikajitahidi sana kuyashika mapokeo ya wazee wetu.
14ning ma jõudsin juudi usus ette paljudest eakaaslastest oma rahva hulgas, olles palju innukam oma vanemate pärimuste suhtes.
15Lakini Mungu, kwa neema yake, alikuwa ameniteua hata kabla sijazaliwa, akaniita nimtumikie.
15Kui aga Jumalale, kes minu on ema ihust alates välja valinud ja oma armu läbi kutsunud, oli meelepärane
16Mara tu alipoamua kunifunulia Mwanae kusudi niihubiri Habari Njema yake kwa watu wa mataifa mengine, bila kutafuta maoni ya binadamu,
16ilmutada mulle oma Poega, et ma kuulutaksin evangeeliumi temast paganate seas, siis ma ei hakanud arutlema liha ja verega
17na bila kwenda kwanza Yerusalemu kwa wale waliopata kuwa mitume kabla yangu, nilikwenda kwanza Arabia, kisha nikarudi tena Damasko.
17ega läinud ka üles Jeruusalemma nende juurde, kes enne mind olid apostlid, vaid läksin Araabiasse ja seejärel pöördusin jälle tagasi Damaskusesse.
18Ilikuwa tu baada ya miaka mitatu, ndipo nilipokwenda Yerusalemu kuonana na Kefa; nilikaa kwake siku kumi na tano.
18Seejärel, kolme aasta pärast, läksin ma üles Jeruusalemma Keefasega tutvuma ning jäin tema juurde viieteistkümneks päevaks.
19Lakini sikuwaona mitume wengine isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
19Kedagi teist apostlitest ma ei näinud kui vaid Jaakobust, Issanda venda.
20Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo.
20Ent mida ma teile kirjutan, vaata, ma kinnitan Jumala ees, et ma ei valeta!
21Baadaye nilikwenda katika tarafa za Siria na Kilikia.
21Seejärel ma tulin Süüria ja Kiliikia maakohtadesse.
22Wakati huo, mimi binafsi sikujulikana kwa jumuiya za Wakristo kule Yudea.
22Kuid Juudamaa kogudustele, kes on Kristuses, jäin ma palge poolest tundmatuks.
23Walichokuwa wanajua ni kile tu walichosikia: "Mtu yule aliyekuwa akitutesa hapo awali, sasa anaihubiri imani ileile aliyokuwa anajaribu kuiangamiza."
23Nad ainult kuulsid räägitavat: 'See, kes meid enne taga kiusas, kuulutab nüüd selle usu evangeeliumi, mida ta varem püüdis hävitada.'
24Basi, wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.
24Ja nad ülistasid Jumalat minu pärast.