1Je, tunaanza tena kujipendekeza? Je, tunahitaji barua ya utambulisho kwenu, au kutoka kwenu, kama watu wengine?
1Kas jälle peame hakkama ennast soovitama? Või on meil vaja, nagu mõnel teisel, soovituskirju teie kätte või teie käest?
2Ninyi wenyewe ni barua yetu; barua iliyoandikwa mioyoni mwetu kila mtu aione na kuisoma.
2Ei, teie ise olete meie kiri, kirjutatud meie südamesse, igale inimesele mõistetav ja loetav.
3Ni dhahiri kwamba ninyi ni barua ya Kristo aliyoipeleka kwa mikono yetu. Barua yenyewe imeandikwa si kwa wino, bali kwa Roho wa Mungu hai; imeandikwa si juu ya kipande cha jiwe, bali juu ya mioyo ya watu.
3On ilmne, et teie olete Kristuse kiri, meie teenimistöö läbi valminud kiri, mis ei ole kirjutatud tindiga, vaid elava Jumala Vaimuga, ka mitte kivilaudadele, vaid lihastele südamelaudadele.
4Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.
4Niisugune usaldus Jumala vastu on meil aga Kristuse kaudu.
5Si kwamba sisi tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila uwezo wetu wote hutoka kwa Mungu:
5Meie ei ole ju iseendast kõlblikud midagi lugema oma teeneks, just nagu oleks see meist endist, vaid meie kõlblikkus tuleb Jumalalt,
6maana yeye ndiye aliyetuwezesha kulihudumia Agano Jipya ambalo si agano la sheria iliyoandikwa, bali Agano la Roho. Maana sheria iliyoandikwa huleta kifo, lakini Roho huleta uzima.
6kes on teinud meid kõlblikuks teenima uut lepingut, mitte kirjatähe, vaid Vaimu lepingut, sest kirjatäht suretab, aga Vaim teeb elavaks.
7Sheria iliwekwa kwa kuandikwa juu ya vipande vya mawe. Ingawaje mwisho wake umekuwa kifo, utukufu wake ulikuwa mkuu mno hata wana wa Israeli wasiweze kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya mng'ao wake. Tena mng'ao huo ulikuwa wa muda tu. Basi, ikiwa huduma ya kile ambacho kimesababisha kifo imefanyika kwa utukufu mwingi kiasi hicho,
7Aga kui juba kirjatähtedega kividesse uuristatud surmateenistus sündis kirkuses, nii et Iisraeli lapsed ei suutnud vaadata Moosese palgesse selle kirkuse pärast, mis ometi oli kaduv,
8basi, huduma ya Roho ina utukufu mkuu zaidi.
8kuidas siis vaimuteenistus ei peaks sündima veelgi suuremas kirkuses?
9Ikiwa basi, kulikuwa na utukufu katika huduma ile iliyoleta hukumu, ni wazi kwamba huduma ile iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu itakuwa na utukufu mkuu zaidi.
9Kui juba hukkamõistuteenistusel oli kirkus, siis on õigeksmõistuteenistus veel palju suurem kirkuselt.
10Sasa utukufu mkuu zaidi umechukua nafasi ya ule utukufu uliokuja hapo awali, ambao fahari yake imekwisha toweka.
10Ning toona kirgastatu ei olegi praegu enam kirgas selle võrratu kirkuse kõrval.
11Maana ikiwa kile kilichokuwa cha muda tu kilikuwa na utukufu wake, bila shaka kile chenye kudumu milele kitakuwa na utukufu mkuu zaidi.
11Jah, kui kõrvalejäetav juba oli täis kirkust, kui palju enam on kirkuses see, mis jääb!
12Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
12Et meil nüüd on niisugune lootus, siis võime toimida täie julgusega
13Sisi hatufanyi kama Mose ambaye alilazimika kuufunika uso wake kwa kitambaa ili watu wa Israeli wasiuone ule mwisho wa mng'ao uliokuwa unafifia.
13ega pane Moosese kombel katet oma palgele, et Iisraeli lapsed ei saaks vaadata selle lõppu, mis on kaduv.
14Lakini akili zao zilipumbazwa. Mpaka leo hii lisomwapo Agano la Kale, kifuniko hicho bado kipo. Kifuniko hicho kitaondolewa tu mtu anapoungana na Kristo.
14Kuid nende mõtteviis on paadunud. Veel tänapäevani jääb Vana Testamendi lugemise peale seesama kate, seda ei kergitata, sest see eemaldatakse alles Kristuses.
15Naam, mpaka hivi leo kila isomwapo Sheria ya Mose akili zao huwa zimefunikwa.
15Tänapäevani, iga kord kui Moosest loetakse, lasub kate nende südamel.
16Lakini, wakati mtu amgeukiapo Bwana, kifuniko hicho huondolewa.
16Aga kui nende süda pöördub Issanda poole, siis võetakse kate ära.
17Hapa "Bwana" ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru.
17Ent Issand on Vaim, ja seal, kus on Issanda Vaim, on vabadus.
18Basi, sisi sote ambao nyuso zetu hazikufunikwa, twaonyesha kama katika kioo, utukufu wa Bwana; tunabadilishwa tufanane zaidi na huo mfano wake kwa utukufu mwingi zaidi. Hiyo ni kazi yake Roho wa Bwana.
18Aga meid kõiki, kes me katmata palgega vaatleme Issanda kirkust peegeldumas, muudetakse samasuguseks kujuks kirkusest kirkusesse. Seda teeb Issand, kes on Vaim.